Sheikh Walid Awafundisha Wanaopnga Barazanji /Wee Unashangaa Wanyama Kuongea / Sheikh Walid Alhad

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 08. 2024
  • Sheikh Walid Awafundisha Wanaopnga Barazanji /Wee Unashangaa Wanyama Kuongea / Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sheikh Walid Awafundisha Wanaopnga Barazanji /Wee Unashangaa Wanyama Kuongea / Sheikh Walid Alhad Omar
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
    Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Tusipomtaja Mtume (S.A.W) Tumtaje Nani / Twendeni Tukamtaje MtumeSehemu Zote / Sheikh Walid Alhad Omar
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Zábava

Komentáře • 166

  • @salhamudy2065
    @salhamudy2065 Před 9 měsíci +5

    wallay Allah anajua jinsi gani nakupenda shekhe walid kwajir ya Allah wewe ni mtu mwengne kabisa katika hawa tulionao sasa Allah akujalie mwisho mwema inshaallah

  • @madaimachano2256
    @madaimachano2256 Před 10 měsíci +8

    Mashaallah,,, walimu kama hawa ndio wanaohitajika katika jamii iliyoparaganywa akili, Shahe wetu Mungu akubariki sana.... Mufti hujakosea na tunaomba tuthibishie awe shekhe wa Mkoa Kamili.... tunafahamu Kuna baadhi mambo hajatia kutikana na cheo hajikamilika....

  • @muftiahmadimahmudulemba1918
    @muftiahmadimahmudulemba1918 Před 9 měsíci +3

    Maa Shaa Allaahu
    Watu wanatumia akili zakibinaadam sio kutazama uwezo wamungu anaweza kufanya au?

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 10 měsíci +3

    Sheikh Walid Allah akubariki Sana kwa hekma kwa elimu ulonayo Mwenyeezi Mungu azidi kukuweka kwa jinsi unavyodadavua umenishibisha japo Mimi si katika wale akina bacho

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 10 měsíci +1

    Shoukran sheikh kwa Hakika asiekuelewa ana hasad juu yako

  • @hafswanaaman2911
    @hafswanaaman2911 Před 9 měsíci +1

    Mashaallah mashaallah sheikh Walid mungu akujazi kheri wape ukweli hayo wamjume Mtume❤❤

  • @omaralwi3946
    @omaralwi3946 Před 10 měsíci +1

    Masha Allah tunasikia Habib Omar anakuja kenya wiki ijayo. Insha Allah aje na Tz Allahuma Ameen

  • @khalidmzala3275
    @khalidmzala3275 Před 10 měsíci +2

    Mashaallah allah akujalie kila la khery

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 10 měsíci +1

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před 10 měsíci +1

    Aslm alkm ww... sheikh Walid 😀😀😀😀😀 . Jazakallah kheir 🙏🌹🌹🌹🌹

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 10 měsíci +2

    ASANTE SHEIKH LETU WALID KWA MAFUNDISHO

  • @omarymohamedndondo1801
    @omarymohamedndondo1801 Před 10 měsíci +1

    JAZZAKA ALLAHU KHAYRA

  • @ALHIMUTV
    @ALHIMUTV Před 10 měsíci +1

    Jaazaaka Allah khayra

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 Před 10 měsíci +2

    ❤ ALLAAH akbar

  • @ashamngindo8023
    @ashamngindo8023 Před 9 měsíci

    Mashallah shekh wetu mungu akuhifadh

  • @jumamwenda2607
    @jumamwenda2607 Před 10 měsíci

    Mashall

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 Před 10 měsíci

    Masha Allah Shekh Waled

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Před 10 měsíci

    MashaAllah

  • @yussufsumbu9412
    @yussufsumbu9412 Před 10 měsíci +1

    mashallah

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid7864 Před 10 měsíci +2

    Wanyama kuongea kwa mawahabi haiingii akilini kwao kwa sababu ni watu wa mwili mambo ya kiroho hawana ktk akili zao hayapo hawajaruzukiwa ufahamu

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 10 měsíci

      Sasa nyinyi masufi mmepata wapi hiyo ya wanyama wote kusema ilipotungwa mimba ya mtume.

  • @khalfanhamadi3616
    @khalfanhamadi3616 Před 9 měsíci

    Siku1 alisema mtu hawezi kuongea na wanyama kama mungu hajampa mantika twairi sasa yy kuingea na paka je ana mantika twairi😂

  • @user-rf3mg3bh9j
    @user-rf3mg3bh9j Před 10 měsíci +3

    Masheikh wa kuigwa watu wa taswauf

  • @JumaMkululu
    @JumaMkululu Před 10 měsíci +3

    Nabii Suleiman aliongea na wanyama mbona hawabishi hayo lakini kwa kipenzi cha allah wanabisha wanyama kupeana taarifa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 10 měsíci +1

      Masufi acheni upumbavu, hoja hiyo ya wanyama kusema Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, na shekh Muhammad Bachu alisema mambo ya wahyi na miujiza hawakatai ila kuwepo na dalili ni wapi na msimuliaji ni nani kuhusu ilipotungwa mimba ya mtume wanyama wote walipeana habari? Nyinyi masufi mlipata wapi hiyo habari

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 Před 10 měsíci

      Wajibu hao

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 9 měsíci

      @@mohdkhatib223 ww kaa kando na kipenzi chetu sisi tutamsifu na tutamswalia waona ajabu wanyama kutamka kwa mimba ya mtume huoni ajabu mtume kapita kwenda kwa mola wake na jibril kashindwa kupita na nimalaika

    • @muhidinally3753
      @muhidinally3753 Před 9 měsíci

      Juma hakuna maandishi katika kitabu cha Allah wala hadithi qudus wala hadithi za mtume. Nyie mwatoa wapi?? Huo ndio uzushi. Allah awaongoze katika njia nyoofu

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Před 7 měsíci

    Uongozi unaweza kumfanya mtu aliyekuwa mchamungu akawa muovu umakini nakujitathimini nimuhimu zaidi

  • @sudiali2849
    @sudiali2849 Před 9 měsíci

    Ustad Unazunguka sana katika mifano yako
    Kuna tafauti ya Neno laa kusemwa na Mtume na maneno katika Barzanji
    Unacho paswa kutuilimisha ni utuambie hayo maajabu ya mbuzi na samaki yametajwa wapi katika hadith au quran acha kutoa mifano ya kitoto

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw Před 10 měsíci +1

    Ngoja ninyamaze. Wataelewa. Tu mawahabi 😂😂😂😂

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 Před 9 měsíci +1

    Sio hajabu ila nani ? Kawamtangulia baranjii ktk kisa hicho shekh hivi kweli hamuelewi au ndo upinzani laiti kma kisa hiki angekisema mtume swalallah alywasalaam ama Aya ktk Quran lkn hayo maneno ni ya barazanjii

  • @AllyNgale
    @AllyNgale Před 9 měsíci +1

    Alhamdulilahi kwakweli amefanya sawa au wamefanya sawa waliokuteua wewe uwe kaimu au uwe Shekhe wa Mkoa wa Dar salaam unatufaa saana Ktk jamii zote za kiislaam watakao kuradi na kukuchukia ni Roho mbaya nachuki na uvivu Walio nao Ktk mambo ya kheri

  • @zuberihamisi460
    @zuberihamisi460 Před 9 měsíci +1

    Wewe uwe muwazi kama ni mfuasi wa Barzanji

  • @shidiereng7181
    @shidiereng7181 Před 9 měsíci

    tafadhalini mashekhe wetu mtufunze Wala msilete uzishi katika dini

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 9 měsíci

      Tushawafunza sisi ndio maana Kojo kumtoka Jiwe ambalo halina Roho Nafsi kila siku likimpigiaya salamu Mtume S.A.W je wanyama wenye Roho Nafsi? Sasa sisi kujuwa kutoka kwenu mawahabi Uzushi wenu mulouzuwa wa kigawanyo cha Tauhid ipo wapi ktk Quran au Hadithi

  • @abasimwinyibovu3090
    @abasimwinyibovu3090 Před 9 měsíci

    Kila kitu mnapunga nyinyi3 mawahabi hatuwashsngai sana wengine mnathubutu kuzitia ndoa za wazazi wenu kuwa ni batili

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q Před 9 měsíci

    Subhanallah astghafirullah ladhim

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 Před 9 měsíci

    Mashekhe wapenda vita.nikupeana ilimu sio kutusiana bachu akiwa amesema barzanji Ina makosa huangaliwa lakini watakosa kukata viuno barabarani kisi ngizo maulid na Wali waburee

  • @dredboy
    @dredboy Před 9 měsíci

    Una ushaihidi au ni maelezo hatutaki maelezo twataka ushahidi

  • @Yousouf-wn1qz
    @Yousouf-wn1qz Před 9 měsíci

    Masufi wanaona waoondowa naompnda mtume Mohamad (sw) kuliko waislamu wote duniani eti? kwakuwa wenzao hawapigi madufu namannanda ndohawa mpndi mtume

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 Před 9 měsíci

    Watu wanavichwa vigum Sana mnaambiwa mtume aliongea mpaka najiwe wewe kaongee najiwe kama unaweza

  • @kassimsleyman6911
    @kassimsleyman6911 Před 9 měsíci

    😮😅😢🎉 shekh kwan nn Mana ya barza zi

  • @user-ih8ty8dq4r
    @user-ih8ty8dq4r Před 9 měsíci

    Mtume aliongea na nyoka je nyoka sio mnyama tumieni akili

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y Před 10 měsíci

    Tungu kaongea ipo dalili katika Qur an kigogo cha mimbari kuzugumza hadith swahih
    Je wanyama kuzugmza ipo hadith sahihi

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 9 měsíci

    Ebu muogopeni Allah masufi musiogee uwongo

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 Před 9 měsíci

    Hawa ndiohawawalafi wanaotizama mituboyaotu nakupotowa watu ndomana akili zimewatoka hamuna lolote mabakwata munajulikana wanafik

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 10 měsíci

    Masufi acheni upumbavu, hoja hiyo ya wanyama kusema Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, na shekh Muhammad Bachu alisema mambo ya wahyi na miujiza hawakatai ila kuwepo na dalili ni wapi na msimuliaji ni nani kuhusu ilipotungwa mimba ya mtume wanyama wote walipeana habari? Nyinyi masufi mlipata wapi hiyo habari

  • @BashirAdan-ox6jr
    @BashirAdan-ox6jr Před 9 měsíci

    Wacha uwongo na porojo mingi toa Hadithi swahihi au aya ndani ya Qur'an ili kudhibitisha

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci

    Wewe pia wataka pesa mbona umekubali uongozi

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 9 měsíci

    Jiwe haliwezi kuongea acheni uongo. Mtu mzima na akili zake anaongea vitu visivyoeleweka.

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 9 měsíci

      Unabishina Na Mtume Muhammady (S.A.W) iyo Hadithi Siyo Zaifu

  • @dredboy
    @dredboy Před 9 měsíci

    Cmama na haki wacha kutetea batil

  • @MuslimChannelTZ
    @MuslimChannelTZ Před 9 měsíci

    Shekh sio ajabu kwa mtume mimba yake kutungwa na wanyama kuongea...lakini hiyo hadithi dalili zake ni zipi...je mtume alilizungumzia hilo au alitufunza kuhusu hilo...je kwenye Quran tukufu limezungumzwa hilo...?

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 10 měsíci

    ISITUMIKE NGUVU KUBWA KUMKANDAMIZA BACHU...BACHU HAKUKATAA CHOCHOTE...YEYE ALITAKA ANDIKO TU....LOLOTE TU..LAKINI ANDIKO SIO STORI

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 9 měsíci

    ١٩ hujibu mwa babaisha watu wasiojielewa mwapoteza

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Před 10 měsíci

    Wanyama waliongea una ushahidi wa Hilo sheikh tupe ushahidi

    • @AbdallahShamte-mp1iu
      @AbdallahShamte-mp1iu Před 10 měsíci +2

      Kwani unachipinga ni nini akhy au hajamsikia shekhe wako Bachu akinukuu hadith kutoka kwa Abuu Nuaimu kwenye مجلة المنرى wewe unataka ushahidi gani tena zaidi nyinyi mawahabi ndio mlete ushahidi kua hadith munkar haifai kuwa hoja tena sio kwa kelele zenu tu mulete hoja za kielimu ni mwanachuoni gani wa mustwalahi alhadiith amesema mtu akitumia hadith munkar maneno yake au kitabu chake huambiwa ni uongo?

  • @salumumangi994
    @salumumangi994 Před 9 měsíci

    Rajabu tuliza ufahamu wako wanyama wengi wamesema na bado wanaendelea kusema mpaka leo ingekuw kila kitu kina semwa kwenye kitabu Allah sijuwi kama kingi someka Mwenyezi Mungu kazungumza Kwa majumwisho ingekuw hivyo utahoji hata CZcams mbona hijaandikwa na nivitu hivi havikuwepo wakat wamtume sindio uzushi mbona tunavitumia

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 Před 9 měsíci

      Nyinyi ni watu wa maajabu yaani jambo ikiwa la kutajwa Mwenye Ezi Mungu na Mtume S.A.W huwa muna shaka nalo. Lkni mukiona watu wakiwaambrisha wamaya wanao wafunga kama kwa mfano sana sana Mbwa na wanasikiza yaani mwaanza kusifiya jamaa aongeya na Mbwa anaskiya. Ndio Bachu akaongeya na Paka 😂😂😂

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 9 měsíci

    Ni uongo hakuna mtu anayeweza kwenda mbinguni na farasi, hakuna mtu anayeweza kuongea na sisimizi ni uongo. Inakubidi uwe mpumbavu sana kuamini huo ujinga.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 9 měsíci

    Hamna kitu apaa

  • @alisuleiman4046
    @alisuleiman4046 Před 9 měsíci

    Sheikh wewe ni mswahili, toa hoja na dalili? Unaleta story too. Wewe mnafafiq Sheikh Walid.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 9 měsíci

    Ivo unavotafsir swahaba gani kafahamu ivyo

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 9 měsíci

    Tupe dalili
    Wapi wanyama walisema
    Acha porojo

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 10 měsíci +2

    Ss sheikh na nyny toeni dalili basi ktk hayo maneno wapi imethibiti kua wanyama walipeana habari ilipotunga mimba ya mtume mbn dalili hamtoi mmebakia kusema tu😂 hatujasema kua wanyama haiwezekani kuongea vo ila tunataka dalili km ulivyotoa dalili ya jiwe lililokua likimsalimia Mtume toeni basi na dalili ya wanyama kupeana habari😂 mmebakia kuchamba tu lkn dalili hamna😢

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 10 měsíci

      Dalili kaitoa nassoro bachu wewe pumba katika munakasha

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 10 měsíci +1

      @@MuhidiniNassor ile hadithi munkara ndio dalili?

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Před 9 měsíci

    Nyinyi watu wa talbisi
    وتلبس ألحق بلباطل

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 10 měsíci +2

    Ss ndugu yangu Walid hiyi n dini sio kila mtu anaweza kuleta tu mmb yke, hii n dini hatutakiwi kufata mkumbo ukileta jmb n lazima ulete dalili coz Mtume alishatutahadharisha juu ya watu ambao watakuja kuleta mmb ya uongo ktk dini, toa dalili sheikh wacha mnn mengi😂

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 Před 10 měsíci

      Unastaajabisha kweli.
      Yaani unamkataza mwenzako asifuate mkumbo kwasababu anaunga mkono mawlid, lakini wewe hujioni kwamba unafuata mkumbo kwa kuwafuata wanaopinga mawlid.
      Which is which?

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 10 měsíci +2

      @@omaryjumas6327 alete dalili wapi imethibiti wanyama walipeana habari😂

    • @MunezeroHabiba-td3mv
      @MunezeroHabiba-td3mv Před 10 měsíci

      Midjinga iko kibao mfano wako habisme towa vidjikelele hapa

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 10 měsíci

    Mawahabi hakuna siku wataamini kwani Hawana ilmu ya kujua mambo, hawajui ukubwa na utukufu wa mtume wanajihesabu ni kama wao wenye kunya mavi yakanuka,

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 10 měsíci

      Masufi nao wanajiona Wana elimu kushinda Maswahaba
      Na wema walio tangulia

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci

      @mohamefmullah dini ya kiislamu yaenda na elimu watu wapiga maulidi kusherekea mazazi yake swali jee katika msikiti wa mtume ambayo ingekua vizuri zaidi twasherekea mazazi ya mtume ndani ya msikiti wa mtume mbona hayafanyiki?pili swali liko pale pale jee wanyama waliongea

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Před 10 měsíci +1

      ​@@abdurahimabdulkadir3926iyo ya kutofanywa ktk mckiti wa mtume ata c hoja manake hata engkua yanafanywa mle basi bado ingebakia kua hayafai kwa 7bu hayana dalili za kisheria, alafu awa wao kazi yao n kuongea tuuuuuu lkn dalili ya hoja 19 za Bachu hawana yan wanazidi kuwaaminisha watu kua Bachu kawaweza😂

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 10 měsíci +1

      Masufi acheni upumbavu, hoja hiyo ya wanyama kusema Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, na shekh Muhammad Bachu alisema mambo ya wahyi na miujiza hawakatai ila kuwepo na dalili ni wapi na msimuliaji ni nani kuhusu ilipotungwa mimba ya mtume wanyama wote walipeana habari? Nyinyi masufi mlipata wapi hiyo habari

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 10 měsíci +1

      Sisi tunasoma Quran, na tunaona ndani ya Quran nabii Suleiman aliongea na wanyama, hayo mambo ya wahyi hatupingi kwa mitume, lakini la wanyama walipeana habari wakati mimba ya mtume ilipotungwa, nyinyi wapumbavu wa kisufi mmepata wapi?
      Leteni dalili basi ili tuamini huo uzushi wenu.

  • @NasmaaJumah-db9ic
    @NasmaaJumah-db9ic Před 10 měsíci

    Tutajie wapokez wa hadithi ya kumuadhinia mtt acha shubha

    • @akambi482
      @akambi482 Před 10 měsíci

      Unajua maana ya hadithi kwanza?

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Před 9 měsíci

      Hadithi sahihi kapokea Mtume Mohammad (S.A.W) someni jamani!

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 10 měsíci +2

    Tatizo sio kuongea wanyama. Tatzo ni hilo tukio lilikuepo kweli⁉️⁉️⁉️⁉️ kuongea twajua kama waeza ongea . Alafu Shekhe Saidi sikashamaliza kazi na mkamsifu😂😂😂sasa mnafafanua nini. Kwasasa hata makafiri wanajua kua maulidi haipo ktk Dini MUULIZE MAZINGE ALIJIBU VP

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před 10 měsíci

    Alafu acha kuongopea watu sio yote yanayo egemezwa kwa mtu ni ya kweli lazima tuchuje kwa misingi ya kisheria maana dini mashia na masufi wameiharibu wanaingea mengi ya uwongo na kumsingizua uwongo
    Kwa hiyo mtu akizungumza kitu kwa dini ni lazima Atoe na Dalili na Dalili pia tunaipima kwa mizani za kisheria je imethibiti

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 Před 10 měsíci

      Eti tuchuje wewe kama nani mjingajingatu hutambuliki labda mtaani kwako

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 10 měsíci

      @@fadhilimusa9732
      2shawazoe masufi Wana taqleed ya upofu hamchuji Kila munalo ambiwa
      Ndio maana munadanganywa
      Mtume alikula sima mawlidi kondoa unakubali tu kama fala vile
      Samai dawa ya Ukimwi
      Mara Kuna mtu alikufa akafufuka Akatamka Shahada Kisha akafa tena
      C wazimu huu kuamini upuzi kama huo
      Chochote kitakacho nasibishwa na dini lazima tuchuje kwa mizani ya kisheria kikiwa na Ushahidi wa kweli hilo tunalifanyia kazi
      Kikiwa ni Cha uwongo lazima tutalipinga na kulibainisha kwa watu

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 10 měsíci

      @@fadhilimusa9732 alafu kaa ukijua Sina wasiwasi na Dini yangu na Akinijua Allah inatosha ila sitoona Dini inaharibiwa na vibaraka flani na tukae kimya

    • @mohamedrashid7864
      @mohamedrashid7864 Před 10 měsíci

      Hakuna wahabi hata mmoja anaetumia sheria kuliendea jmbo . Huwa wanaagizwa na walimu wao hilo tu

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 10 měsíci

      @@mohamedrashid7864
      toa ushahidi wa maneno

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 9 měsíci +2

    Kama ni uchizi kuongea na paka, basi nyinyi masufi mtakuwa ndio machizi wa kwanza kwasababu nyinyi ndio mlipata habari ya kuwa wanyama wote walipeana habari wakati mimba ya mtume ilipotungwa.
    Hem teteeni uongo uliomo ndani ya kitabu cha barzanj, sio kuropaka tu kama mbwa koko.
    Mkiambiwa usufi ni upumbavu ndio mnazidi. Halafu nyinyi mashekh wa bakwata ndio mmezidi kwasababu mna upumbavu wa kisufi halafu na uzuzu wa kujali matumbo yenu

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 9 měsíci

      Hayo alisema NA kutuambia ni hadithi ya MTUME SAW iliosomwa kwenye mjadala. SASA BACHU NAE AJIGEUZA MTUME NA AMUULIZA PAKA NYAU 🐈NA YEYE ILI ATULETEE WAHYI KUTOKA KWA WALII 🐈NYAU. 🤣🤣🤣. yaani maswahaba WAMEAMBIWA NA MTUME SAW, ndio hadithi zilivyosemwa imepokewa NA ibn ABBAS SWAHABA wa MTUME SAW mpaka kwa ibn naiim akaiandika. Sasa bachu kapokea KWA WALII NYAU 🐈, 🤣 NA NYIE NDIO WAPOKEZI WA MTUME WENU NYAU 🐈, NA SWAHABA NDIO BACHU NA WEYE NI TABIINA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-ih8ty8dq4r
      @user-ih8ty8dq4r Před 9 měsíci

      Someni ikiwa mti uliongea na mtume je wanyama itashindikana

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci +1

    Sasa kwahivyo ww uliambiwa useme mkubwa wa jiko na hujuuliza sasa hii si dunia hii ni dini ukileta kitu lazma uulizwe labda watoto wako ndio hawatakuuliza lkni katika dini utaulizwa umufti wako twataka dalili

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 10 měsíci

    Ila bachu anawatesa jamani

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 9 měsíci

    Masufi huwa wote wana shida ya akili.

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 9 měsíci

      Unawatukana Waislamu Wenzio Doooh Masikini

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 Před 9 měsíci

      Ahahahahaha kama watakuwa wanafanya vitu vya kipumbavu basi sitakuwa nao. Mimi ni muafrica.

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 9 měsíci

      Muislamu hamtukani SHEIKH ABDULKADIR JAILANI KS SUFI.

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 10 měsíci

    Media zote ni mtoto wa bachu

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 10 měsíci

      Za kikojozi, kwa maarufu kwa KUJIKOJOLEA kwenye mnaqasha😂

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci +1

    Cheo chako cha umufti watu hawakitambui toa dalili jee wanyama waliongea

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Před 10 měsíci +1

      Kibachu wenu Hana akili kauliza suala Kisha kajijibu eti anatega hatimae mikojo vyurrrrrrrrrr

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci +1

      @@MuhidiniNassor twataka mufti ajibu swali jee wanyama waliongea ni kwely au ailimishe watu wanyama waliongea kitabu flani flani mwanachuoni flani ss s wajinga eti usiseme chumvi usiku hayo maneno akawadanganye watoto wake kwake ila dini yataka dalili haitaki eti aliesema ni mufti so hakuna kuuliza swali

  • @lillaahilhamdutv5383
    @lillaahilhamdutv5383 Před 10 měsíci +1

    Shida si kuongea kwa vitu, shida ni hiyo habari ni ya kweli?, Yaan utupe ushahidi wa hadithi sahihi zinazothibitisha hizo habari, la sivyo itakuwa ni habari kama za BBC CNN ALJAZIRA N. K kumuhusu mtume

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 10 měsíci +16

    Shehe sio ajabu wanyama kuongea kwa ajili ya Mtume ila ,nani alilithibitisha hilo? Je ndani ya Qur ani imo hiyo?je katika hadithi za wanavyuoni imo hiyo?hilo ndio linalotakiwa liwekwe wazi,na sio kusems uongo kwa kisingizio cha kumsifu mtume ,Kwa hivyo kwa kuwa mtume ndio asingiziwe vitu ambavyo havipo? Wewe ni shehe na unaaminiwa na ndio unatunzwa hapo kwa kuongea vitu wanavyoaminishwa watu ambavyo sio vya kweli,tuambie sasa ni kitabu gani cha wanazuoni au ni aya gani ndani ya Qur ani ilioyositbitisha hayo?

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 10 měsíci

      Tatizo la hawa masufi wanajitia uzuzu, na hiyo hoja ya wanyama kusema, Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, alisema hawakatai mambo ya wahyi na miujiza, ila katika hiyo inayotajwa katika barzanj dalili wamepata wapi, wanashindwa kujibu hadi leo.
      Halafu bakwata hakuna shekh, kuna wachumia matumbo tu kwa maslahi yao.

    • @allykhan6440
      @allykhan6440 Před 10 měsíci +1

      Njoo nikuoneshe hadithi

    • @allykhan6440
      @allykhan6440 Před 10 měsíci

      ​@@mohdkhatib223Kuwa na heshima,

    • @AbdallahShamte-mp1iu
      @AbdallahShamte-mp1iu Před 10 měsíci +1

      Hadith za mtu zipo nyingi na Shekhe wenu Bachu aliitoa siku ya Munakasha sasa sijui unataka hadithi ya Abunu Assi

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Před 10 měsíci +1

      Tukutane Mahakamani Naushahidi Wako Nawangu. Maana Kilakitu Ushahidi Ndio Akili Yako Ilipoishia Maskini.

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq Před 9 měsíci +1

    Achaneni na Bachu Albarzanji hakujua kujieleza alitaka kujulikana na sifa

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 10 měsíci

    Hayoa mambo ya kukata kucha usiku sijui kuomba chumvi usiku hayo sio mambo aliosingiziwa mtume ,ila kama alisingiziwa mtume kafanya hivyo basi pia waislamu wangehoji

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci

    Uislamu haupelekwi na cheo eti mufti toa dalili ya wanyama walingea

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci

    Mskiti wa mtume mbona hakupigwi maulidi eti kusherekea mazazi yake hicho cheo chako eti ni mufti lete dalili wanyama waliongea

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j Před 9 měsíci

    Kumbe walid ni pumbafu sana kwani hatuelewi

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 9 měsíci

      sheikh matusi ya nini sasa

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci +1

    Nyie wote mnapigania maulidi sababu ya matumboo

    • @aminanoor5963
      @aminanoor5963 Před 10 měsíci +2

      Na ww

    • @ramadhaniddsalim2201
      @ramadhaniddsalim2201 Před 10 měsíci +2

      Ww ndio hujielewi

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci

      ​@@aminanoor5963maulidi yalianza Karne ya sita mwisho na Karne ya saba mwanzo pili hata yalipoanza mbona huo mskiti wa mtume watu hawasherekei kuzaliwa kwa mtume ndani wa mskiti wake watu wa maulidi mwafanya mchezo mungetembezewa bakora

    • @meksd2418
      @meksd2418 Před 10 měsíci +2

      Kweliii sikuzotee hatulii sisii tunakulaa siku zaa maulidii tu
      Hebu kasomee uwe naadabu usiwee Kama yule mwehu wenu

    • @abdurahimabdulkadir3926
      @abdurahimabdulkadir3926 Před 10 měsíci

      @@meksd2418mliosoma watu wataka kujua jee wanyama waliongea mjadala uliisha sasa elimisheni watu jee wanyama waliongea pili alieota kuwa mtume alimwambia atunge kitabu Cha maulidi eti mstari mmoja uishe na nun mwingine uishe na heee elimisheni watu huu ni ukwely vina dalili

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q Před 9 měsíci

    Subhanallah astghafirullah ladhim