Muda Ambao Dua Hujibiwa Haraka / Wajanja Wote Waliutumia Usiku / Sheikh Walid Alhad Omar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 11. 2021
  • Muda Ambao Dua Hujibiwa Haraka / Wajanja Wote Waliutumia Usiku / Sheikh Walid Alhad Omar
    Sheikh Walid Alhad Akieleza kwa uzuri na ubora wa hali ya juu kabisa juu ya Darasa la tafsiri juu ya muda ambao dua hujibiwa haraka na wajanja wote waliutumia usiku
    Darsa la tafsiri kichangani 2021 la mwezi ramadhani mwaka 1442H lilotolewa na sheikh Walid Alhad Omar kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi tizama video zetu mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
  • Zábava

Komentáře • 135

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Před rokem +58

    Huyu Shekh kanislimisha Mimi juzi🌹

  • @saidatowainda525
    @saidatowainda525 Před 4 měsíci +6

    Shekh ninakufuatilia sana Allah akulipe kheri,pia nakupongeza kwa kuteuliwa/kuchaguliwa kuwa shekh mkuu wa mkoa Mufti hakupoteza naamini anajua huo ni mgodi unaotoa madini ya thamani ,Allah akuongoze ktk uongozi huu aliokubariki,nafuatilia sana visa vyako,elimu na mawaidha yako yenye mafundisho mazuri

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 Před rokem +6

    لا إله إلا الله محمد رسول الله لا إله إلا الله والله اكبر

  • @bernardyona4564
    @bernardyona4564 Před rokem +9

    Sheeeh naomba uniandikie hayo maneno mie huwa nakufatilia sanaaa nanaamka sana usik wa manane kuombaaa

  • @ishakaali92
    @ishakaali92 Před 2 lety +23

    Mashaallah nakufatilia sana darsa zako unapenda kutupa faida huna kubana bana Allah akupe afya uzidi kutupa vitu kama hivi

  • @lilianmasawe9780
    @lilianmasawe9780 Před 2 lety +11

    Mashallah Allah akuhifadh shekh

  • @azizasana9313
    @azizasana9313 Před 2 lety +30

    Nimemjua wiki hii,ktk youtube,haki umeniweka krib na Allah,ulipwe mema mengi na Allah sheik Walid.

    • @awadhally544
      @awadhally544 Před 2 lety

      0

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před rokem

      Maaaa shaaa Alllah
      Alhamdulillah

    • @maliathmajid8228
      @maliathmajid8228 Před rokem

      Ni kweli kabisa ...wewe ni kama Mimi tu Allah ampe Pepo huyu mja jamani anejua kuniwema karibu na allaha.

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 Před rokem

      Aziza yn uy mt ana paswd uczozpat san kw mashekh wengne kwke unazpat Allah atuekee inshàallah

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 Před rokem

      Mm nimekuwa karibu na allah sama siku hizi asbabi yy allah amuweke mashaallah

  • @hawaramadhani4066
    @hawaramadhani4066 Před 2 lety +6

    Allah akulipe kheli shekhe

  • @mamamarcely2720
    @mamamarcely2720 Před 2 lety +7

    Asante mungu akupe maisha marefu

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před 2 lety +13

    Shukran sana shehe walidi mungu akupe afya njema

  • @sharifashabani8973
    @sharifashabani8973 Před rokem +10

    Mashaallah shekh wetu allah akufanyie wepesi ktk kutufikishia mambo mazur

  • @fatmakilalah9751
    @fatmakilalah9751 Před rokem +3

    Manshallah allah akulipe nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @SulumaSwaleh
    @SulumaSwaleh Před měsícem

    MASHALLAH BIN GHAMMY NISEME NINI KWAKO KWANI KILA UTACHOONGE KINAGUSA MOYO. ALLAH AKUINGIZE PEPONI KWA HURUMA ZAKE . AMEEN YARAB.

  • @abdulkadrymruma2395
    @abdulkadrymruma2395 Před 2 lety +8

    Mashaallah hakika mungu akulinde sheikh wetu

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 Před 11 měsíci +2

    mashallah 🙏

  • @omarmotito841
    @omarmotito841 Před 8 měsíci +1

    Assalamou alaykoum wa rahmatullah wa barakatu imam kabla ya yote natangulia kwa kumuomba Allah akujalie kila lakheri duniani na kesho akhera osizani kama mawaidha na elimu onafundishaka inaishiaka uko Tanzanie mie apa nakufata drcongo nakuomba ukue na kuongeza mandiko mimi niko mamuma ile inaweza kunisaidiya sana inchallah

  • @ramadhanmbarak3979
    @ramadhanmbarak3979 Před 2 měsíci

    MaashaAllah shekh Walid Allah akuhifadh

  • @ablahmansimba4684
    @ablahmansimba4684 Před rokem +6

    Huyu shekhe WA mkoa WA daresalam nishekh nae mufti hajakosea kabisa kumteuwa nimemfuwatilia darasa zake huyu nimwalim pia simtu wakujinyanyuwa Allah amuhifadhi pia mufti wetu Allah amuhifadhi.

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 Před 2 lety +4

    jazakha Allah kheir allah atakulipa in sha allah

    • @bernardyona4564
      @bernardyona4564 Před rokem

      Ustadhi,,,mie nimesilimu Sasa Mambo mengi siyajuwiii naomba msaada wako mie huwa naamka ucku wamanane

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před rokem +4

    Nakupenda shekhe napenda mafundisho yako

  • @MakameMketo-ci2en
    @MakameMketo-ci2en Před 10 měsíci +1

    Mashaallah shekh allah akulipe

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 Před 2 lety +3

    MashaAllah Allah barik

  • @shanindemane5811
    @shanindemane5811 Před 2 lety +6

    Jazakallahu khayra

  • @user-my3fl2jq6i
    @user-my3fl2jq6i Před 4 měsíci

    Mungu amuweke panapo stahili shekh wa mkoa wa daar es salama

  • @jarufumuhamed6396
    @jarufumuhamed6396 Před 2 lety +2

    Inshallah Allah akulipe

  • @saddamhussein9054
    @saddamhussein9054 Před rokem +1

    Masha ALLAH sheikh ALLAH akupe umri

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Před 10 měsíci +1

    Nimelia wallahi kwa hichi kisa

  • @mamkubwaashura8096
    @mamkubwaashura8096 Před 2 lety +4

    Shukran saana sheikh Allah akupe afya uzidi kutuelimisha

  • @allysmo7046
    @allysmo7046 Před rokem +1

    Alhamdulillah shukran sheikh la mkoa .. Napongez sana kwa cheo hcho maalim wngu kaka yngu ..

  • @daudymussa4620
    @daudymussa4620 Před rokem +4

    Wajanja wanatumiaga uciku

  • @ashaomary2623
    @ashaomary2623 Před 7 měsíci

    Allah aendeleeee kukupa afya njema na uelewa zaidi

  • @HashimuKalata-gq4cd
    @HashimuKalata-gq4cd Před rokem +1

    Mashaallah Allah akuhifazi tuzidi kupata manufaa

  • @user-xr5lf6pe1n
    @user-xr5lf6pe1n Před 2 měsíci

    Nakupenda kwa ajili ya Allah sw kwa mafunzo yako

  • @hadyaAlii
    @hadyaAlii Před 11 měsíci +2

    Mashaallah ❤❤❤

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi4612 Před 9 měsíci +1

    Maashallah, Shukran

  • @johnhygaru8846
    @johnhygaru8846 Před 4 měsíci

    Barakallahufika ya ustaadh

  • @huseinsaidy3871
    @huseinsaidy3871 Před 2 lety +3

    MaashaAllah

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 Před 2 lety +5

    Kweli kabisa Mgodi wa Madini unaopatikana kichangan

    • @khuiii9032
      @khuiii9032 Před 2 lety +1

      Jina zuri Abdul Allah umeliharibu hivyo subhana Allah

  • @user-nz5yn5oi3t
    @user-nz5yn5oi3t Před 6 měsíci

    Masha a llahu allahu mustaanu

  • @kassimugonie9223
    @kassimugonie9223 Před 7 měsíci

    Shkrani ghaaaaalim nakukubali alh azidi kukubakisha utupe faida

  • @niahkidingi
    @niahkidingi Před 11 měsíci +1

    Mashaallah

  • @alfanhamisi
    @alfanhamisi Před 6 měsíci

    Jazakkallah khairah

  • @kachaka991
    @kachaka991 Před rokem

    Shukran jazza.

  • @afric01
    @afric01 Před rokem

    Aslm alkm ww... Shukran sana sheikh Walid. Jazakallah kheir 🙏

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 10 měsíci

    Homgera kissamwanyange

  • @mpembaramadhanimpembaibnsa774

    Mashallah

  • @nassirsalim219
    @nassirsalim219 Před rokem

    jazzaka Allah kher sheikh

    • @zeitunhassan7284
      @zeitunhassan7284 Před rokem

      Niko Kenya nakupata naomba kuongea na wewe jinsi Gani nitakupata

  • @aminaharufa1343
    @aminaharufa1343 Před rokem +2

    Masha Allah Allah akulinde

  • @hawakambi5310
    @hawakambi5310 Před 2 lety +2

    Shehe Wengine kiarabu atujui

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Před 2 lety +3

    Mashallah shelkh nskuomba niandikie iyo Dua ya sijida tafadhali

    • @zenaomary4662
      @zenaomary4662 Před 2 lety

      Ahsat shekh mollah akuhfadh uzd kutup faida🙏

    • @zenaomary4662
      @zenaomary4662 Před 2 lety

      Sheikh naomba noadikie hyo duaa ya sijida🙏

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn Před 4 měsíci

    Mungu mkubwa

  • @rahmamussa8780
    @rahmamussa8780 Před 7 měsíci

    Asalam aleykum, mimi nilikua nahitaji kujua je mwanamke mjamzito wa tambo la miezi nane anaruhusiwa kusali amekaa chini na nasali vipi, kwasababu kila nikijaribu kusali kawaida tumbo linanielemea na ninapomaliza sijiskii sawa katika upumjaji na kuacha sala naona ni makosa na sitokua na raha naomba mwenye elimu hii anifahamishe

  • @allykimwaga349
    @allykimwaga349 Před 2 lety +15

    Assalam alaykum sheikh wangu. Tafadhal naomba kuuliza, Kuna mahala umesema tuombe kwa kiarabu, je Kuna sababu gani inayozuia kutumia luga nyingine wakati mwenyezi mungu anasikia lugha zote.

    • @nabillkhamis8188
      @nabillkhamis8188 Před 2 lety +5

      Sio lazma kiarabu nafsi yako tu ya moyon inatosha

    • @ramsofundi2222
      @ramsofundi2222 Před 2 lety +2

      Skiliza kwa x nyingine kwa umakini

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 Před 2 lety +1

      @ Ally kimwaga kaaminisha ukiwa ndani swala ukiomba dua usiombe kwa Kiswahili kwasababu kwenye swala hakutakiwi kutiwa lugha nyengine isipokuwa kiarabu tu . Nandio akashauri kama una jambo lako nenda akuandikie kwa kiarabu uwe uanomba kwa kiarabu ukiwa ndani ya swala, ila kama hayupo ndani ya swala unaweza kuomba kwa lugha. Lugha yoyote ile na uliombalo liwe zuri ndoivo tu kwajinsi nilivo elewa mimi

    • @saidsaleh1856
      @saidsaleh1856 Před 2 lety +6

      kuomba kwa kiarabu imekusudiwa kwenye swala hususan za fardhi na ndio maana akasema uombe kwa kiarabu na ikibidi akuandikie ili uhifadhi ukiwa katk sijda ya kwenye swala uombe.....
      Ila ukiwa katika hali nyengine piga kwa kiswahili au wengine wanasema hata kwenye swala za sunna unaweza kuomba kwaa kiswahili.
      Wallahu aálamu.

    • @mzeeomarmzee9540
      @mzeeomarmzee9540 Před 2 lety

      @@saidsaleh1856 Twayyib

  • @shaisoho9033
    @shaisoho9033 Před rokem

    Shehk kama mimi sijui kiarabu naombaje jmn na ninapenda kuomba kwa sigda kama unavyosema?????msaada pls

  • @soilammary4211
    @soilammary4211 Před rokem +1

    Hizi darsa zako Sheikh huwa ni wap? Na lini na lini ?mida ipi

  • @AshaWaziri-mw4su
    @AshaWaziri-mw4su Před měsícem

    Asalam alaykum, mtu Kama anataka umpe maelekezo anapaataje mawasiliano

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 Před 11 měsíci

    Samahani et hii kulhalaw ni dua ya kumuombea marehemu?

  • @sharifatanzania5885
    @sharifatanzania5885 Před 2 lety +1

    Ustazi sisi wasammbaa pengine hatujui kialabu tufundishe

    • @rashidomary632
      @rashidomary632 Před 2 lety

      Taadaha hata kuonga kiarabu

    • @seifiddy1804
      @seifiddy1804 Před 2 lety

      mh mh weshu

    • @allywaziry7489
      @allywaziry7489 Před 10 měsíci

      Ooh sharifa nawe mndunghu angu.............kuomba Dua Kwa lugha tofauti katika swala sio Sahihi ,inabatilisha swala

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 10 měsíci

    Utasikia zaman tulikuwa tunasemaga hivyo yule mtu wetu

  • @sadikisemwali4516
    @sadikisemwali4516 Před 2 lety +1

    Hadith dhaifu

  • @anusiatakomba5856
    @anusiatakomba5856 Před rokem

    Ninaomba shehe unifundishe duwa

  • @haditvswahili4045
    @haditvswahili4045 Před 2 lety +1

    czcams.com/video/dVGl3gcdjAE/video.html
    TIBA YA KIISLAMU SEHEMU YA (18)
    MADA : FALSAFA YA KUU UGUWA NI NINI

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Před rokem +1

    Masikini shekhe umenitowa machozi. 😭😭Kumbe ni muza mkaa? Hana kitu kusha anatowa?

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před rokem

      pole ila ni miongoni mwa sifa za wachamungu

  • @adammaziku6521
    @adammaziku6521 Před rokem

    Je naweza kuomba maombi yangu Kwa kutumia lugha ya kiswahili?

    • @mfurumatongaschool1440
      @mfurumatongaschool1440 Před rokem

      Ndio unaweza kuomba maombi yako kwa kiswahili.

    • @kasatbintalib9127
      @kasatbintalib9127 Před rokem

      Yanatgmea n wp hyo maomb y kiswhl ama lugha nyengn yyte kwny swal n kiarab t ht km una maombi yko bnafs bs uyataje kw kiarab km kw maneno y shekh wet. Wallah a'alam

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem

    Somo hapa ni kwamba sala ni lugha ya Kiarabu tu.

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Před rokem

    Mashallah tabarka Rahmani. Ww ni shekhe wetu tunae kupenda sn. Kwa mawaidha yk