Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 09. 2023

Komentáře • 108

  • @Hassan-rz2np
    @Hassan-rz2np Před 19 dny +3

    Mashallah ❤may Allah grant you blessings

  • @kristinmpoli3586
    @kristinmpoli3586 Před 7 měsíci +9

    Allah akulipe kheri nyingi sheikh wetu

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u Před 3 dny +1

    Shukran jazakallah Allah atufanyie wepesi

  • @user-eq9yi7pz4i
    @user-eq9yi7pz4i Před 9 měsíci +5

    Ma Sha Allah, Swadaqta

  • @user-zn7ub8uc4x
    @user-zn7ub8uc4x Před 9 měsíci +5

    Jazaq llah. Khairan

  • @fadhilimagembe6413
    @fadhilimagembe6413 Před 13 dny +2

    Shukran sana Sheikh Walid kwa elimu kubwa ya uchumi kwa waumini wa kiislam..Allah akulinde na akuhifadhi.

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani1455 Před 9 měsíci +5

    MashaAllah MashaAllah

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 Před 8 měsíci +6

    Ahsante sana shehe wangu

  • @user-zl6mq1jo6t
    @user-zl6mq1jo6t Před 3 měsíci +3

    Maashallah sheikh Allah akuhifadhi tunakupenda saaaana

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 9 měsíci +5

    Walid wallah unahekima sana

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 9 měsíci +9

    Maneno Matamu Mashallah!

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Před 9 měsíci +6

    Asalam alaykum warahamatullah. Wabarakatuh. Shukrani. Kwa. Darasa. Mungu. Akuhifadhi. Insha allah❤❤

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před 9 měsíci +13

    Maneno Matamu Mashallah! Mwenyezi Mungu akuweke Shekh Wetu

  • @barkaabdallah2407
    @barkaabdallah2407 Před měsícem +1

    MashaAllah jazakalahu kheri baadal kheri janatil fridaus from kenya 🇰🇪

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk Před 9 měsíci +25

    Swadacter naomben like zangu

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Před 8 měsíci +5

    MashaAllah....sheikh walid nakukubali sana

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 Před 6 měsíci +3

    Jazakallah

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r Před 9 měsíci +7

    Sheikh Walid nakupenda kwa ajili ya Allah,,Allah akupe afya umri mref uendlee kutuelima,,,jazzaqalah kher

    • @Mpakistanog
      @Mpakistanog Před 6 měsíci

      Nami nampenda kwa ajili ya allah

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před 9 měsíci +7

    Aslm alkm ww.... sheikh Walid usinichekeshe😀😀😀😀😀. Allah akulinde, akupe umri furaha na mafanikio Masha Allah 🌹. Jazakallah kheir 🙏❤️♥️♥️♥️😁😁😁😁😁

  • @user-uz5cu7cr9h
    @user-uz5cu7cr9h Před 9 měsíci +5

    Mashaallh

  • @user-br6mo6it8c
    @user-br6mo6it8c Před 4 měsíci +2

    Allah akulipe Kila laheri n'a darsa y'a cheikh

  • @shakirally3899
    @shakirally3899 Před 9 měsíci +5

    Mashallah

  • @AdamMatmbwa-pf7gw
    @AdamMatmbwa-pf7gw Před 9 měsíci +4

    Alhamdulillah Allah akuweke shehe wetu

  • @nabillionairevevo5986
    @nabillionairevevo5986 Před 9 měsíci +4

    Mashallah mawaidha mazuri Sheikh nakuskiza tokea Mombasa

  • @user-zi4et6uz2u
    @user-zi4et6uz2u Před 9 měsíci +3

    Allhaa akuhifadh inshaallha

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 9 měsíci +11

    Mash Allah tabarak Allah kheri. Mola akupe Afya , umri na elimu yenyekunufaika ili uendelee kutuelimisha inshaallah

  • @AllyBanda-en2bk
    @AllyBanda-en2bk Před 9 měsíci +4

    Mashaalaah

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 9 měsíci +4

    Ma Shaa Allah upo sahihi kabisa Sheikh wangu

  • @zainabiddi8650
    @zainabiddi8650 Před 9 měsíci +6

    Mashaallah!! Sheikh Walid. Jazakallahu kheir

  • @allyjumarashid6095
    @allyjumarashid6095 Před 9 měsíci +4

    MA SHA ALLAAH MADA HIYO NI MUJARAB SHEIKH WALID ALLAH AKUHIFADH WALA HUNA KUJIMWAMBAFAI

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 Před 6 měsíci +4

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed3477 Před 8 měsíci +2

    Asanteee shekhe

  • @Zeelao-yb4po
    @Zeelao-yb4po Před 8 měsíci +3

    Swadaqta

  • @kwengekitwana9234
    @kwengekitwana9234 Před 9 měsíci +3

    Mashaallah

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 Před 3 měsíci +5

    mimi ni mkristo , ila kwa haya aliyoyafundisha huyu shehe nitaenda kuyafundisha kanisani.

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 Před 4 měsíci

    Alhamdu lillah masha All’wa sheikh Walid baaraka llwah fiiqa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 9 měsíci +5

    Mashaallah ❤❤

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 Před 9 měsíci +2

    Mashallah sheikh

  • @hamisimtemi3803
    @hamisimtemi3803 Před 2 měsíci +1

    Allahu Akbar

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 9 měsíci +3

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 9 měsíci +3

    ان الله في ما عليه العبد si hadithi Shehe

  • @mrishongwikwi6448
    @mrishongwikwi6448 Před 9 měsíci +2

    Mashaallah shekh

  • @MasiziaKari-lh6wc
    @MasiziaKari-lh6wc Před 9 měsíci +3

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @Kadaboy-sg6pd
    @Kadaboy-sg6pd Před 2 měsíci +3

    nisahihi ufakiri hautakikan ktk dini ya kiislam

  • @haidaryjoe5546
    @haidaryjoe5546 Před 8 měsíci +4

    elimu Sahih kwa wakati sahihi..Mashallah😅

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Před 9 měsíci +2

    Maashallaah

  • @rubbyruu7172
    @rubbyruu7172 Před 9 měsíci +4

    MashaAllah maneno Safi kabisaa

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf Před 2 měsíci +1

    Ukweli kwenye ahadi.

  • @d.e.o8296
    @d.e.o8296 Před 8 měsíci +6

    Mimi si muislam ila huyu jamaa kiboko anafundisha ukweli kabisaa

  • @husseinkombomwachikobe8828
    @husseinkombomwachikobe8828 Před 3 měsíci

    Allhamdullillah .allha.akuweke

  • @Malkiawanyuki1
    @Malkiawanyuki1 Před 2 měsíci

    Maneno mashaallah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před 9 měsíci +1

    Allah akbar 🥱

  • @user-oq1ye6hi3j
    @user-oq1ye6hi3j Před 3 měsíci

    Mashaalla

  • @MIRAJIMSURI
    @MIRAJIMSURI Před 2 měsíci +1

    Ni muda sasa wa kufunguliwa mlango mwingine wa kheri zaidi ya ileee ya mwanzo

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 2 měsíci

    Ee Mola wa muumba wa mbingu na ardhi munyanyue darja mja huyu aendelee kuwatumikia waislam mjaalie kusikilizwa na mkinge na maadui pande zote nne na jicho la husda inshaallah

  • @regnaemanuel5331
    @regnaemanuel5331 Před 7 měsíci

    mashallah❤❤❤

  • @user-qq2or2ms1l
    @user-qq2or2ms1l Před měsícem

    shekh twaomba utfafanulie hicho kitendo hatujakifaham

  • @SimonpaulMayunga
    @SimonpaulMayunga Před 9 měsíci +19

    Mimi sio muhislam lkn anacho fundisha shekhe ni sahihi kabisa uwaminifu ni kitu muhimu uwaminifu kwa MUNGU na kwa wanadamu. Me nitakufatilia sana shekhe ili nipate maarifa

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 Před 6 měsíci +2

    Yani huyu jamaa mpka wa din zingine wanampenda

  • @abdallahshariff2983
    @abdallahshariff2983 Před 3 měsíci

    Wallahi,kama shabiki yako,napendezwa na mawaidha yako,kwanza wewe ni mchezi,kisha unatumia lugha ya upole na ya kuridhisha.

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 Před 2 měsíci

      Kaka hatushabikii mashekhe tunajifunza toka kwao.mwalimu

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před 9 měsíci +1

    Usipo Shiba kwa jasho lako pia asema yasiyo yako ..😂😂kweli kabisaa na Watu w karni hii hawapendi kuondolea w2 shida wataka kuwacheka wenye shida Allah atuongoze yarabb.

  • @farris_2549
    @farris_2549 Před 21 dnem

    🤌✅️💙💨

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane2706 Před 9 měsíci +2

    E preciso nos informar

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Před 9 měsíci +3

    hahahahaha

  • @djumaassumani5169
    @djumaassumani5169 Před 3 měsíci

    Mambo yana bana kila siku

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před 9 měsíci +5

    Uwe uchumi halali sio fedha za dhuruma kutoka kwa wanasiasa.

    • @maftahramadhani2382
      @maftahramadhani2382 Před 9 měsíci

      Sahihi

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 Před 2 měsíci

      Mtu mwema ni yule anayetafuta kasoro zake akazifanyia kazi,ukitafuta kasoro za watu hiwezi kizifanyia kazi...utaishia kugombanisha watu na kuongea usiyoyajua!Tuwe kusikiliza na kucjukua yaliyomazuri inshaAllah...

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 Před 2 měsíci

      Usihukumu watu na kuwakhofisha watu kwa isiyoyajua bro

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 2 měsíci

      @@abdizoseyyid633 wacha wewe tunaishi nao tunawajua.

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 9 měsíci +2

    Swalatu awabin ni
    صلاة الأوابين هي صلاة الضحى إذا تأخرت حين ترمض الفصال، كما جاء في ذلك الحديث عن النبي صلى الله عليه وسلم في صحيح مسلم، وهي أيضاً صلاة الضحى إذا تأخرت إلى آخر الوقت، وليست تختلف عن غيرها فيما يقرأ فيها ويدع فيها، وليس لها حد؛ قد يصلي الإنسان ركعتين، وقد يصلي أربعة ركعات بسلامين، وقد يصلي ست ركعات بثلاثة ...

  • @mobilespecialschool4216
    @mobilespecialschool4216 Před 9 měsíci +3

    Amesahau kusema sehemu ya tano imejificha kwenye MAULIDI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @maheitumdintunya2928
    @maheitumdintunya2928 Před 8 měsíci +2

    shekhe watu hao walikua mafukara sana enzi hizo sema walikua wanajitahidi kueneza wanacho kiamini ili wewe leo ule matunda ya biashara yao wao hawakuwaza pesa hata kidogo kulikua nabiashara za kubadilishana biashara kwa biashara

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y Před 9 měsíci +2

    Nauliza,mshahara wa sheikh wa mkoa unatoka wapi?

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 Před 8 měsíci +1

    Hivi nyie mashekhe munajua lkn kama hizi pesa za karatasi ni shirki na kinyume na quraan? Sawa hamuna power ya kubadilisha chochote kuhusiana na pesa lakini jee hata kulisemea hili jambo basi pia hamuwezi unless iwe hamuelewi.

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 Před 2 měsíci

      Si kweli wala si sahihi pesa haina haramu yoyote ila shida unaipataje na kuitumia

  • @mwanabayadola5476
    @mwanabayadola5476 Před 8 měsíci +1

    Assalamu alaikum mm nimefanya San ile ya kumswali mtume kwa siku 1570 n swala za usku lakini nimepta mtihani ,nimefutwa kazi😭 sah niko n miez 5 bila kibarua chocte nipo saud.😭😭😭😭 Inaniuma sanà

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 Před 8 měsíci +1

      MUNGU Atakusimamia Inshaallah

    • @abdulwaheedmzury351
      @abdulwaheedmzury351 Před 8 měsíci

      Ongeza jitihada kwenye ibada pia dunia ya sasa inahitaji saan kujitoa akili illaaa katika kila ulifanyalo omba msaada kwa allah pia usiache allah anatabia yakukujarib je utashkuru au utakufuru anapima nia yako lakn jua allah ndie kila kitu na anafanya anapoamua ila sio unapotarajia ww , hio hata mm ilinitokea lakin amka usiku lia kwake muelezee shida kidhat utapata zaid ya hio uskute ilikua na mtihani usioujua

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 Před 8 měsíci

      Mm Ile nlisoma na mama Yangu akanisaidia kuisoma Majini yamenitoka mwilini usiogope mitihani ya Allah 🙏

    • @fatmaabubakar5946
      @fatmaabubakar5946 Před 6 měsíci +1

      Inawezekana hiyo ndio kheri,mm nimepata kheri kubwa baada ya kufukuzwa kazı.Alhamdulillahi rabbil a'lamiyna

    • @abdizoseyyid633
      @abdizoseyyid633 Před 2 měsíci

      Unatakiwa kumtegemea Allah na siyo kumtegea kwa unachokifanya

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Před 9 měsíci +2

    Mashallah

  • @munaissa2529
    @munaissa2529 Před 9 měsíci +2

    Mashaallah

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 Před 6 měsíci +1

  • @user-br6mo6it8c
    @user-br6mo6it8c Před 4 měsíci

    Mashallah

  • @husnaaboud2416
    @husnaaboud2416 Před 9 měsíci +2

    Mashaallah