Dunia ipo kwenye mpango mzito wa kuhakikisha kunakuwa na UISLAMU bila WAISLAMU - Prof.Njozi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 68

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Před 8 měsíci +3

    Hawataweza kwa jina la Yesu mungu ni mkuu sana

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 Před měsícem

    Marekani hawamini hii dunia imeumbwa na nani wao wanaamini wanaamini katika sayansi maumbile yote viumbe ni nature ni jamii ya mayahudi.Sasa basi mwenye akili anajua kwamba alichokiumba mwenyezi hata kidogo hakiwezi kumpangia mwenyezi mungu.hiyo mipango anayoipanga haitafanikiwa hata kidogo kwa nguvu za mungu.Historia zinaeleza kulikuwa na Tawala kubwa zilitawala dunia kwa malengo mabaya mungu aliziangusha.Tumuombe mwamba afanikiwe dunia iwe na heshima nafikiri mwamba anayesimamia nidhamu ya dunia ni Putin mungu ampe nguvu zaidi na ushindi.AMIN

  • @user-gw2dc3ds7d
    @user-gw2dc3ds7d Před 7 měsíci +2

    Hasbunalah waneemanwakil

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Před 8 měsíci +3

    Mzee nashukuru kwa kutupa Elimu

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m Před 7 měsíci +1

      Una akili kaka, tofauti na watu wengine anaamua kubisha kwa mtazamo wa dini bila kuangalia ukweli

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 Před 8 měsíci +1

    Mzee ana uchambuz mzuri sana hakika

  • @siasia5469
    @siasia5469 Před 9 měsíci +7

    Muwe mna mleta mara nyingi ana madini mengi Allah amuhifadhi

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 Před 9 měsíci +3

    Na wmefanikiwa kutufanya tusiwe na uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya maauzi sahihi

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 Před 8 měsíci +1

    Mwamba ana madini sana chuma kamili

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 8 měsíci

    Truly!!

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 Před 8 měsíci +2

    Sio marekani tuu hata wewe myu aki inuka na kupinga maslahi yako na familia yako hata wewe hutamuelewa huyo mtu, watu wanauana hata afrika kwaajili ya maslahi yao huwezi kumtenga mtu na maslahi yake kwani maslahi ndio maisha ,usidhani kama weee ni kiongozi halafu uache kuitetea heshima ya nchi yako na watu wako utakua wewe hujitambui.

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Před 9 měsíci

    Shukran 🙏🇹🇿

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 Před 7 měsíci +1

    Waislamu acheni kujitia mnajua saaana wakati hamtaki elimu ya duniani!!!!!

    • @saidmsuya3165
      @saidmsuya3165 Před 4 měsíci +1

      😂😂😂😂tatizo we ni mbumbumbu

    • @josephmasanja8584
      @josephmasanja8584 Před 4 měsíci

      @@saidmsuya3165 wewe ndo mbumbumbu, unang'ang'ania kuvaa nguo za kizamani wakati binadamu hajajua kujishonea nguo inayompendeza na uhuru wa mwili kufanya kazi yoyote

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před měsícem

      Kwenda zako wewe. Nyinyi ndio mna Elimu ya dunia mngekua na Akili finyu namna hiyo Loooo! Fyuuuuuu!

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela Před měsícem

    Nilikua nakuelewa

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před 9 měsíci +3

    Swadakta sheikh umenena ukweli

  • @MohdHamad-zr8ll
    @MohdHamad-zr8ll Před 7 měsíci

    Nikweli hata mambo ya uzazi wa mpango ni mbinu ya mayahudi.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 8 měsíci

    👍✌️👊.

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 8 měsíci +1

    Yaani hawezi kuzungumza Jambo bila kutaja uislam wenye dini yao waarabu wapo kimya nyinyi mijitu myeusi mnahangaikia uarabu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 8 měsíci +1

      Unateseka ukiwa wapi?

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m Před 7 měsíci

      Unaropoka hakuna unachoelewa. Halo kwambia uisilamu ni dini ya waarabu Nani?

  • @Greatamir
    @Greatamir Před 8 měsíci

    8:38 8:55 8:57 8:58

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 Před 9 měsíci

    PROFESSOR NZOZI

  • @MadjidiHilali
    @MadjidiHilali Před 8 dny

    😅😅😅

  • @paschalcharles6097
    @paschalcharles6097 Před 8 měsíci

    Hivi hii mtu kutaka ni kitu gani????

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před 9 měsíci

    Kitu Cha mwanzo ni haki maslahi ni jambo la pili ukisoma suratul al asr kwa hiyo marekani ni Wala dhalin

  • @michaelmillinga5064
    @michaelmillinga5064 Před 7 měsíci

    Hovyo kabisa.. pointless

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa Před 8 měsíci +1

    Mahali popote penye waislam hapakosi chuki nenda somalia, alfaghanistan, Pakistan, Sudan, Mali, Chad, Yemen kote huko wanauwa hovyo sababu ya dini, waislam wengi wanakuwa na amani wakiwa USA, UK, Canada, Australia, France, Norway na hawataki kukimbilia Saud Arabia, Iran au Kuwait

    • @ibrahimabdillah5729
      @ibrahimabdillah5729 Před 8 měsíci +1

      Kwenu muwe na chuki...ila mkiwa Kwao mtaishi kwa amani?!
      Ndio unamaanisha ndg.....?!

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 8 měsíci

      Bahati mbaya sana kila kitu kiko wazi kuwa huko kote kwenye migogoro katika nchi za kiislam mastermind wa migogoro hiyo ni marekani,,,labda wewe uelewa wako Mdogo ndio maana pengine hujui kinachoendelea duniani

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 8 měsíci

      ​@@jumakapilima7295Magaidi hayo acha kuweka maneno meeengi ,hio ni dini ya fujo na ya kigaidi 😅

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 8 měsíci

      @@annasolomon9855 hahahaha,,,, kafiri wewe Una chuki binafsi

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 8 měsíci +1

      @@jumakapilima7295 Mimi kuitwa kafiri ndio furaha yangu 😂😂ilimradi najijua na ninawajua Magaidi Wala hawatusumbui☺️☺️

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před 8 měsíci

    #fikra gani hizi? Kwamba uislamu bila waislamu?
    Ni sawa na kusema kivuli bila mwenye nacho ni dhana ambayo sio sahihi
    Pia si kweli Amerka ana angalia tu maslahi na hauchukii uislamu bali ni vyote viwili
    Nchi ya kiislamu ni inayo tawala kwa khilafah na hilo halikubali
    #Siri_ni_hii
    Uislamu ni mfumo wa kiutawala na sio dini ya kiroho pekee kama baadhi ya masheikh wanavyo somesha na kuhubiri

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m Před 7 měsíci

      Wewe ndo walewale wenye fikra za kimagharibi, mnataka kuishi mnavyotaka, na mnakubaliana na mifumo ya maisha ya hao wamagharibi

  • @sharomdguda
    @sharomdguda Před 8 měsíci

    Kila kitu uislam Islam too much waislamu wenyewe ni hawa hawa tunaoishi nao. Tatizo nini waislamu?

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Před 7 měsíci

    Hao waislam tatizo ni ugaidi na ubaguzi

    • @Johnmalekela
      @Johnmalekela Před měsícem

      Sio kweli hawana ugaid wowote fatilia sana utaelewa ndugu

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před 9 měsíci +1

    WIslam ndio wanaongoza kukimbilia nchi za Wakristo,hawaendi Saud au Yémen. Pia Uislamu umebakiza miaka 62 tu kutoweka duniani.soma hadithi za mtume,alisema Uislam ataishi miaka 1500 tu.Huu ni mwaka wa Kiislamu 1438.

    • @mbarakbinzoo
      @mbarakbinzoo Před 9 měsíci +2

      Ww n maiti inayotembea

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 9 měsíci

      Alafu inakuaje

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 9 měsíci

      Shoga kama wewe huwezi penda waisilamu

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 9 měsíci

      Shukran mzee Allah akutunze

    • @lookmanlookman6297
      @lookmanlookman6297 Před 8 měsíci

      ukiona ivo ujue kiama kipo karibu maana mtu wakuongopea maswahabe wake n hadith zake ni sahihi ukiona nchi zimejiandaa kupigana vita ndo utajua hii dini haina shaka na muhamad ni mkweli

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Před 8 měsíci

    Mbona Waislamu wengi Mashoga? Sasa wanapambanaje na USHOGA?

  • @Greatamir
    @Greatamir Před 8 měsíci

    😂😅😅😅😅

  • @alikamberis
    @alikamberis Před 8 měsíci

    Una uongo tu

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před 8 měsíci

    #Njozi hakika jambo msingi na kiini cha tatizo hujakipata
    Na haijalishi wewe ni prof au laa
    Kiini ni uislamu Una mfumo wa utawala na wao wanazuia uislamu usiwe na utawala
    Don't hit around the bush
    Mazungumzo kama yako ambayo una fanya general sio tishio kwao kwani wazunguka huku na kule
    Bado prof jipinde
    Lakini على كل حال
    Allah akulipe kila la kheri

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Před 8 měsíci +1

      Assalam alaikum Aisha,kama hutojali tunaomba kuja tukurekodi ili watu wapate faida

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Před 8 měsíci +1

    Usiwasifu wachina.Wachina ndio hawataki kabisa uislamu kwenye ardhi Yao na wanawawekea vitu maalumu vya kuwaangalia waislam chochote wanachofanya kuogopa ugaidi.
    Uislamu umejengwa kwenye chuki na siasa Kali kwa wote wasio waislamu ndio maana nchi zingine kama Poland hawataki kabisa waislamu kwenye nchi zao kuogopa ugaidi na siasa kali

    • @lookmanlookman6297
      @lookmanlookman6297 Před 8 měsíci

      tumekubali uislam hawautaki je kilichowafanya hao makafiri kuandika quran ya kwao walikua na maana gani dunia inapoelekea huwezi kujua kama wewe sio muislam chuki mmezitengeneza wenyewe ukiniuliza mimi nakupa mfano apa mwanza mwenyekiti wa mtaani alikua mchangaji mtanii makanisa yapo kama matatu ivi waislam walijengeza msikiti mchungaj akazuia msikiti usijengwe msikiti ulipojengwa walikua wanaubomoa unadhani waislam watafanyaje wachungaji na maasikofu wanaongea lolote hawachukulia hatua upande wapili masheikh wangap wangwa kwa kuongea tu nikuambie kitu haha unayoaona ya taendelea mpaka kiama

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 8 měsíci

      😅😅😅

    • @user-nv7jg6xc8l
      @user-nv7jg6xc8l Před 7 měsíci +1

      Kasome uislam ndo uongee

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m Před 7 měsíci

      Hakuna unachoelewa kuhusu uisilamu. Waswaili wanasema ikitaka kuua mbwa muite jina baya. Ndicho wanachofanya maadui wa uisilamu, kuwachafua waisilamu na uisilamu juu ya ugaidi. Mbona hao wanaoua waisilamu hawaitwi magaidi. .? Waisilamu tu ndo magaidi