Ukipuuza haya usimlaumu mtu siku Dada wa Kazi akiwa mke mwenzako

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Ukht Fatma Mdidi

Komentáře • 30

  • @rahmayusuph9973
    @rahmayusuph9973 Před 3 měsíci +2

    Ma shaa Allah Tabarakallah ❤❤ ukhty wetuu tunakupendaa kwa ajili ya Allah 😍😍😍

  • @serahmohamed6513
    @serahmohamed6513 Před 3 měsíci

    MaashAllah tabarakaAllah wa Jazakallahu kheir inshaallah, ukhty Fatma nakupenda ww na mafundisho yako kwa ajili ya AllALLAH.

  • @RehemaJuma-es4jk
    @RehemaJuma-es4jk Před 2 měsíci

    Jazakah Allah kher nakupenda nikiwa kenya ukhty Fatma mdidi Allah ajalie siku moja nikutane n ww live nizidi furah n darsa zako

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Před 3 měsíci

    Eweee Ukhty Fatma wee 🙋‍♀️Mashallah Allahumma barik😁

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 Před 3 měsíci

    Maa shaa Allahu kipenzi changu roll model wangu!! I wish one day nihudhurie darsa lako liveee yn

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Před 3 měsíci

    Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤ukthy allah akujalie kila lenye kher nawe🤲🤲

  • @arashe6351
    @arashe6351 Před 3 měsíci

    Ma sha Allah....Ma sha Allah.....shukrani sana kwa elimu.

  • @jasmintanga2474
    @jasmintanga2474 Před 3 měsíci

    Maashaa Allah, shukran ukht kwa elimu

  • @MajuvaMajuva
    @MajuvaMajuva Před 3 měsíci

    Masha Allah baraka llah fika

  • @OmaryIssa-uk4zh
    @OmaryIssa-uk4zh Před 3 měsíci +1

    Mashaallah mashaallah

  • @LeonChoaji-n8z
    @LeonChoaji-n8z Před měsícem

    Dunia nzima imeamia kwenye madarasa ya mapenzi, kila mtu mwalimu na kila mwanamke kungwi. Tena wengine wanapitia mlango wa dini na ndoa. Si wachungaji, si masheikh.

  • @user-pt9uw3nz8c
    @user-pt9uw3nz8c Před 3 měsíci

    Maa Shaa Allah,TabbarakaAllah❤❤

  • @ZaidaNyanyagi
    @ZaidaNyanyagi Před 3 měsíci

    Masha Allah, nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @ashuumuhammad8269
    @ashuumuhammad8269 Před 3 měsíci

    MaashaAllah ukhty

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 Před 3 měsíci +3

    Ukhti darsa zako zinapatikana wapi kwa mabinti wari wanao olewa tunahitaji kuwaleta uwafundishe kabla ya kuolewa tafadhali

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 3 měsíci

    Naaam maadam fatuma wanawake wengi ndo mama ndo bab kila unachokifanya bila wewe kutoka walala njaa na watoto hali wala kwenda shule na kuvaa lakini kwa mwanaume wenye kazi watafany hayo

  • @nduwimanafatma9948
    @nduwimanafatma9948 Před měsícem

    Da Fatma hayo unaongea nikweli ila kwa maisha ya sasa ni ngum waume wanashinda kwenye majundi ya kahawa wake masokoni watoto wanakutazama je huyo mda utautowa wapi.
    Halafu uislam hujasema mume tuu nipe nikupe sister hata nasi twaitajia kutolewa mywele na kupewa iy pesa ya kusukwaa.
    Wanamume wameshawapa wake zao majukum yao je hiyo hali itatoka wapii

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 Před 3 měsíci

    Mashallah ukhuti

  • @a.856
    @a.856 Před 3 měsíci

    Jazakallah khayran

  • @moanamessi1749
    @moanamessi1749 Před 3 měsíci

    Mashaallah tabaraka llah

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t Před 3 měsíci

    Waambie wainga wainga wasio jijua NA majeuri yamewajaa wenyewe hawajui hata kujisafisha

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 3 měsíci

    Inamanisha mume no mtoto wa mwisho nyie😂😂😂😂😂 nimechoka mimi wakwangua anapenda ushindi au magadi

  • @thetruth8979
    @thetruth8979 Před 3 měsíci

    hivo kama mume hazingatii wajibu wake hivo vinyoleo na sabuni unazipara wapi?na kingine unashinda na njaa nguvu zinatoka wapi ukhti wanawake wengi wanajitahid waume ni tatizo labda wewe mwenzetu unahuduma bora ndio mana unamudu hayo unayo sema usafi unatoka wapi huduma hakuna

  • @tumwesigyehamdan8587
    @tumwesigyehamdan8587 Před 3 měsíci

    Wambie.. Daada

  • @ASIMOnlineTv
    @ASIMOnlineTv Před 3 měsíci

    Tufundisheni watoto wa kiume usafi

  • @user-bo1cn3dw6o
    @user-bo1cn3dw6o Před 3 měsíci

    Mbona unamambo ww nimnyoe kwani yy Hana mikono mnahangaika na hao wanaume hawana maana kesho wanakuletea wanawake wengine Sina muda huo

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před 2 měsíci

      Mm nashangaa hawa wanaofindisha hv uislamu umefundisha mwanamke amfanyie mwanaume tu yy. Mwanaume hana yakumfanyia mkeo. Kiufup mwanaume ndio amfanyie mkewe sio mwanamke tu

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před 2 měsíci +1

      Ndio hpo utasema ni mlemavu umfanyie hvo wengine hawatak ujinga huo wanajua kwamba mwanamke anachoak kazi za nyumba kuangalia watoto bdo uwangalie mpk kucha za mwanaume si kutupa kazi bila mshahara.

  • @nurumasha
    @nurumasha Před 3 měsíci

    Mh!!!!!!