I hope you all see the noor and beauty of ukhti fatima...no makeup noor on her face ❤ mashaallah tabarakaAllah ... lesson learned...mtwii Allah atakunawirisha na noor yake.
Jazakah Allah kharain Mola akuajalie kheri na mwisho mwema ameen na pia akuajalie afya na akuajalie zaidi uwemwenye kukataza wanawake wenzio wa kiislam
Hongeren sana. Allah awazidishie ktk kukumbushana ili kuwanusuru wanawake wa kiislam kwa kuwa wengi wao wameacha dini ya Allah na kuiga mila za Wazungu.
Shughuli kama hii ya wanawake tu kwa hio wahusika wote na wataarishaji wote watakiwa wawe wanawake... Kama mpiga picha.. Lakini Leo kama hapo anakuwa mwanamume ndio mpiga picha hii inakuwa haikubaliki wala haiingii akilini
......makosa ni ya cameraman kuwachkua wakiwa hvyo kisha kuonesha io part,,mana hapo ni wanawake watupu...kosa la pili niww kuangalia ilitakiwa uangalie chni..ALLAH ATUSAMEHE
Mche Allah wewe! Ivi alokwambia wakiwa wanawake watupu wanaruhusiwa kukaa uchi nani? Mche Allah kutokan na maneno yako ayo! Kwani uko walikotoka mpaka kufika apo pia kuna wanawake watupu sio?!! Na hata km cameraman hakuchukuwa watu wakaona je unasemaje kuhusu Allah pia gawaoni au mche Allah
قل الحق من ربك .......... وقل الحق وإن كان مر Kuna maswali mengi yanahitaji uyajibu, Je MUHAMMAD IBNI WAHAAB ni kweli kama inavyo zushwa ati alitumwa na waingereza au mayahudi au makafiri kupotosha uislamu? Sasa wapi alipotosha? Nitajie aya ndani ya Qur'an au Sunna (Hadithi) walau moja alipotosha kwa ushahidi thabiti ? Acheni Fitna za Hadaa kwa Umma .
Hongera bibi fatma mdidi kwa ubora wako Allah akulipe pepo na akufanyie mwisho mwemah
I hope you all see the noor and beauty of ukhti fatima...no makeup noor on her face ❤ mashaallah tabarakaAllah ... lesson learned...mtwii Allah atakunawirisha na noor yake.
Jazakah Allah kharain Mola akuajalie kheri na mwisho mwema ameen na pia akuajalie afya na akuajalie zaidi uwemwenye kukataza wanawake wenzio wa kiislam
Hongera ukhti Fatma mara nyengne hao wanawake wenzio watolee mawaidha maana wa full mekup utasema waholini
Hongeren sana. Allah awazidishie ktk kukumbushana ili kuwanusuru wanawake wa kiislam kwa kuwa wengi wao wameacha dini ya Allah na kuiga mila za Wazungu.
Pongezi ikufikie dada faftima kwako hadi kwa Allah Subhanah wantawalh❤
Mash allah m mungu akuzidishie
Mashaallah
BARAKALLAHU FIIKI WA JAZAKALLAHU KHAIRAN UKHTI.
Barakallahu fiiki wajazakallahu khairan
Ukhty uko faswaha sana...MashaAllah❤
Kuna wanawake full make up kama wapo harusini tuchague na maeneo ya kujipodoa wadada huu ni msiba
Ujumbe mzur sana dada yangu mashaallah Allah akuweke inshaallah
Lakini hapo hakuna wanaume halafu mjue wanawake tunapenda kupendeza
Ameeen yarab
Jazzakallahu khairan
MashaAllah nakupenda sanaaa
Masha ALLAH
Jazakallah khayran
Mashaallah Allahu ❤
Wengne wamejitia makope jmni hapo Kuna muhadhara ndio wanaonesha nn Innalillah WA inna ilaihi raajiun Allah atuongoe na vizaz vyetu
Leo hii imekua kinyume, wanawake ndo wanao ziudumia familia pamoja na kumuudumia mume.
Mashallah
Chukuweni Sunna hapo enyi Wanawake ambao hamujaolewa kwa wafaya kazi wenu pale wanapofanya vizuri.
Asalamu Alaykm warahmatullah wabarakatu,dada nnashida na wewe naomba namba yako
Hi
Shughuli kama hii ya wanawake tu kwa hio wahusika wote na wataarishaji wote watakiwa wawe wanawake... Kama mpiga picha.. Lakini Leo kama hapo anakuwa mwanamume ndio mpiga picha hii inakuwa haikubaliki wala haiingii akilini
Mbona wengi wenu hapo mko uchi kwa mujibu wa maamrisho ya dini? Licha ya kuwa unaelezea maneno mazuri ya bibi Khadija
......makosa ni ya cameraman kuwachkua wakiwa hvyo kisha kuonesha io part,,mana hapo ni wanawake watupu...kosa la pili niww kuangalia ilitakiwa uangalie chni..ALLAH ATUSAMEHE
Mche Allah wewe! Ivi alokwambia wakiwa wanawake watupu wanaruhusiwa kukaa uchi nani? Mche Allah kutokan na maneno yako ayo! Kwani uko walikotoka mpaka kufika apo pia kuna wanawake watupu sio?!! Na hata km cameraman hakuchukuwa watu wakaona je unasemaje kuhusu Allah pia gawaoni au mche Allah
@@khamismuhammad jazaka llah khayr kwa nasaa yako nzuri..
@@khamismuhammad uchi Gani umeuona mbona mimi sijaona?
Alafu kisheria uchi wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja
Kasri
Makofi yanini wamama wazima mna shindwa kusema Taqbiiir!?
قل الحق من ربك ..........
وقل الحق وإن كان مر
Kuna maswali mengi yanahitaji uyajibu,
Je MUHAMMAD IBNI WAHAAB ni kweli kama inavyo zushwa ati alitumwa na waingereza au mayahudi au makafiri kupotosha uislamu?
Sasa wapi alipotosha?
Nitajie aya ndani ya Qur'an au Sunna (Hadithi)
walau moja alipotosha kwa ushahidi thabiti ?
Acheni Fitna za Hadaa kwa Umma .
Aaaaah!! Wakowapi wanaojifananiza angalau kidoogo tu Khadija jamanii?
22:08 22:09
Mashaallah