Pesa kidogo Stara na Dini yako unaviona ushamba,Unapotea Binti - Ukht.Fatma Mdidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 02. 2024
  • Ukht Fatma Mdidi akizungumza jana katika event ya Ladies in Islam ilofanyika aktika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center

Komentáře • 43

  • @zainabolenga2829
    @zainabolenga2829 Před 4 měsíci +6

    Hongera bibi fatma mdidi kwa ubora wako Allah akulipe pepo na akufanyie mwisho mwemah

  • @zuu515
    @zuu515 Před 4 měsíci +2

    I hope you all see the noor and beauty of ukhti fatima...no makeup noor on her face ❤ mashaallah tabarakaAllah ... lesson learned...mtwii Allah atakunawirisha na noor yake.

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv Před 5 měsíci +5

    Jazakah Allah kharain Mola akuajalie kheri na mwisho mwema ameen na pia akuajalie afya na akuajalie zaidi uwemwenye kukataza wanawake wenzio wa kiislam

  • @mozaally7643
    @mozaally7643 Před 4 měsíci +1

    Hongera ukhti Fatma mara nyengne hao wanawake wenzio watolee mawaidha maana wa full mekup utasema waholini

  • @sadikiissa7756
    @sadikiissa7756 Před 5 měsíci +3

    Hongeren sana. Allah awazidishie ktk kukumbushana ili kuwanusuru wanawake wa kiislam kwa kuwa wengi wao wameacha dini ya Allah na kuiga mila za Wazungu.

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 Před 4 měsíci +1

    Pongezi ikufikie dada faftima kwako hadi kwa Allah Subhanah wantawalh❤

  • @maxmiliankoga2711
    @maxmiliankoga2711 Před 4 měsíci +1

    Mash allah m mungu akuzidishie

  • @mbarukshaban8098
    @mbarukshaban8098 Před 3 měsíci

    Mashaallah

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 Před 5 měsíci +1

    BARAKALLAHU FIIKI WA JAZAKALLAHU KHAIRAN UKHTI.

  • @user-nn6fy6bh7p
    @user-nn6fy6bh7p Před 4 měsíci

    Barakallahu fiiki wajazakallahu khairan

  • @nazraseiban1082
    @nazraseiban1082 Před 4 měsíci

    Ukhty uko faswaha sana...MashaAllah❤

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 4 měsíci +14

    Kuna wanawake full make up kama wapo harusini tuchague na maeneo ya kujipodoa wadada huu ni msiba

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk Před 4 měsíci

      Ujumbe mzur sana dada yangu mashaallah Allah akuweke inshaallah

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před 4 měsíci

      Lakini hapo hakuna wanaume halafu mjue wanawake tunapenda kupendeza

  • @zuu515
    @zuu515 Před 4 měsíci

    Ameeen yarab

  • @mams1892
    @mams1892 Před 5 měsíci

    Jazzakallahu khairan

  • @MaryamZugo
    @MaryamZugo Před 4 měsíci

    MashaAllah nakupenda sanaaa

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 Před 3 měsíci

    Masha ALLAH

  • @a.856
    @a.856 Před 5 měsíci +1

    Jazakallah khayran

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 4 měsíci

    Mashaallah Allahu ❤

  • @mozaally7643
    @mozaally7643 Před 4 měsíci

    Wengne wamejitia makope jmni hapo Kuna muhadhara ndio wanaonesha nn Innalillah WA inna ilaihi raajiun Allah atuongoe na vizaz vyetu

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před 4 měsíci +1

    Leo hii imekua kinyume, wanawake ndo wanao ziudumia familia pamoja na kumuudumia mume.

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 Před 5 měsíci

    Mashallah

  • @AdmiringCorgi-rg5tj
    @AdmiringCorgi-rg5tj Před 4 měsíci

    Chukuweni Sunna hapo enyi Wanawake ambao hamujaolewa kwa wafaya kazi wenu pale wanapofanya vizuri.

  • @atambitotzmagari7100
    @atambitotzmagari7100 Před 4 měsíci

    Asalamu Alaykm warahmatullah wabarakatu,dada nnashida na wewe naomba namba yako

  • @crspasmahongepeter5178
    @crspasmahongepeter5178 Před 5 měsíci

    Hi

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 Před 4 měsíci

    Shughuli kama hii ya wanawake tu kwa hio wahusika wote na wataarishaji wote watakiwa wawe wanawake... Kama mpiga picha.. Lakini Leo kama hapo anakuwa mwanamume ndio mpiga picha hii inakuwa haikubaliki wala haiingii akilini

  • @saidsuleiman1912
    @saidsuleiman1912 Před 5 měsíci +4

    Mbona wengi wenu hapo mko uchi kwa mujibu wa maamrisho ya dini? Licha ya kuwa unaelezea maneno mazuri ya bibi Khadija

    • @alhabibismail3031
      @alhabibismail3031 Před 5 měsíci

      ......makosa ni ya cameraman kuwachkua wakiwa hvyo kisha kuonesha io part,,mana hapo ni wanawake watupu...kosa la pili niww kuangalia ilitakiwa uangalie chni..ALLAH ATUSAMEHE

    • @khamismuhammad
      @khamismuhammad Před 5 měsíci +3

      Mche Allah wewe! Ivi alokwambia wakiwa wanawake watupu wanaruhusiwa kukaa uchi nani? Mche Allah kutokan na maneno yako ayo! Kwani uko walikotoka mpaka kufika apo pia kuna wanawake watupu sio?!! Na hata km cameraman hakuchukuwa watu wakaona je unasemaje kuhusu Allah pia gawaoni au mche Allah

    • @alhabibismail3031
      @alhabibismail3031 Před 4 měsíci

      @@khamismuhammad jazaka llah khayr kwa nasaa yako nzuri..

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 4 měsíci +1

      ​@@khamismuhammad uchi Gani umeuona mbona mimi sijaona?

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 Před 4 měsíci

      Alafu kisheria uchi wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja

  • @AdmiringCorgi-rg5tj
    @AdmiringCorgi-rg5tj Před 4 měsíci

    Kasri

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 4 měsíci

    Makofi yanini wamama wazima mna shindwa kusema Taqbiiir!?

  • @FaridSaid-wm6yh
    @FaridSaid-wm6yh Před 3 měsíci

    قل الحق من ربك ..........
    وقل الحق وإن كان مر
    Kuna maswali mengi yanahitaji uyajibu,
    Je MUHAMMAD IBNI WAHAAB ni kweli kama inavyo zushwa ati alitumwa na waingereza au mayahudi au makafiri kupotosha uislamu?
    Sasa wapi alipotosha?
    Nitajie aya ndani ya Qur'an au Sunna (Hadithi)
    walau moja alipotosha kwa ushahidi thabiti ?
    Acheni Fitna za Hadaa kwa Umma .

  • @AdmiringCorgi-rg5tj
    @AdmiringCorgi-rg5tj Před 4 měsíci

    Aaaaah!! Wakowapi wanaojifananiza angalau kidoogo tu Khadija jamanii?

  • @user-vj2si3bj8u
    @user-vj2si3bj8u Před 4 měsíci

    Mashaallah