Bibi na mpenda huyu jamani mchangamvu sana ata kama ana kitu yupo mchangamvu sana mungu ijalie hii familia na wote wanaojitolea ktka hii familia na pia mungu awajalie kaka fabi na kaka adamu kwa kujituma yarabi
Wanadamu ndivyo tunavyo takiwa kuishi, Walio barikiwa watoe kwa wale wasionacho nakuwapatia furaha wasionacho.Hongera napongenźi kwa wale wote walio msaaidia mama huyu Mungu awazidishie pale walipo punguza.Inshallah.
❤❤❤ mashallah kwa wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran mwendeleze kutia furaha kwa wote wanaosaidiwa kutoa ni moyo sio utajir
Mashaallah Allah anifanyie wepesi Na bibi zangu uwa nawapenda sana mda wt ni watu wa furaha ht km awana kitu ndo uyu bibi yy mda wote mtu wa furaha nikjaaliwa kurudi nilichokipata nitawakiiisha kwa Fabi na Adamu wampelekee bibi hata kwenda kumuona nitaenda nikijaaliwa
Fabi na wenzako na wanayechangia Mwenyezi mungu awazidishie
Fabi Allah akujalie Kila lakher yarab Amin Akupe unacho Taman Chenye kher na ww tunakupenda mwana wetu kwa KAZI unayo Fanya Mungu akuhifadhi
Bibi na mpenda huyu jamani mchangamvu sana ata kama ana kitu yupo mchangamvu sana mungu ijalie hii familia na wote wanaojitolea ktka hii familia na pia mungu awajalie kaka fabi na kaka adamu kwa kujituma yarabi
Allahuma Aamiin.🤲🏽
Mwenyezi Mungu amfurahishe aliyetoa hela kumpa bibi yetu huyu mcheshi, na awalipe wote waliotoa kumsaidia
Mashallah bibi angejengewa hata banda la vyumba viwili atafutiwe kaeneo kake ingependeza Sana
MashaAllah ❤❤❤ Mungu awabariki wote waliomsaidia Bibi
Bibi na mpenda saaana
Ninacho mmpendea huu bibi manshallaah mcheshi sana
Wee fabi na bibi aki mwatuvunja mbavu na kucheka🤣🤣🤣🤣
Mke wa fabi mchangamshi kweli
Wanadamu ndivyo tunavyo takiwa kuishi, Walio barikiwa watoe kwa wale wasionacho nakuwapatia furaha wasionacho.Hongera napongenźi kwa wale wote walio msaaidia mama huyu Mungu awazidishie pale walipo punguza.Inshallah.
Mashallaahh kk fabii na Adamu mungu awajalie kila la kheriii 🤲
Menyezi Mungu awazidishe uyu kk ana moyo
Ongereni nyote mlochangia. Mungu awape wepesi
Allah ajaalie malipo yenu yawe pepo ya firdaus 🙏🏻❤️ nyote mlochangia
❤❤❤ mashallah kwa wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran mwendeleze kutia furaha kwa wote wanaosaidiwa kutoa ni moyo sio utajir
Mashallah nimempenda bibi mpaka basi Allah amzidishie furaha amjalie afya njema yeye na Sisi ameen
Amiin 🤲
❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah mungu awajalie wote walie jitolea kwa kumsaidia bibi na fabie na team yako allaah awalipe kila la kheri inshallaah
Fabie M.mungu akusaidie unajua kuliwaza wanyonge
Allah bariki kila alie weka mkono wake amiiiiiin
Mashaallah Allah anifanyie wepesi Na bibi zangu uwa nawapenda sana mda wt ni watu wa furaha ht km awana kitu ndo uyu bibi yy mda wote mtu wa furaha nikjaaliwa kurudi nilichokipata nitawakiiisha kwa Fabi na Adamu wampelekee bibi hata kwenda kumuona nitaenda nikijaaliwa
Bibi umepata ya laidi ...Mingus amjalie wowote amemjagia Bibi yatu .
Kutoa ni moyo kwa kweli si lazima Uwe nazo kiasi gani kijana Mwenyezi Mungu akuzidishie pale ulipotoa❤
Ajengewe nyumb yake wasilekebishe apo. Utakua utata
Mungu awabariki wt wanaochangia🙏
😂😂😂😂😂ila bibi amekubali hali yake Mungu awabariki
Bibi nakupenda sana jamani awe amepata awe amekosa yeye anayo happy ❤❤❤❤
Nyumba ya family kuja kuijenga munatafuta ugomvi bora hata angekuwa na kiwanja chake na mwanawe Omry
Mashallah congratulations kazi nzuri mungu awabariki nyote
Fab ongera sana.Bibi apate mbomba kule anakochota maji mbali sana kwa mtu asiyeona❤❤❤
Mungu anamuonyesh 🎉🎉 naanaenda pekeyako
Masha ALLAH, Alhamdulillah
Inshaallah mungu ajaalie bibi apate nyumba yake 🤲🤲 na upande wako/wenu Fabi mungu awabariki. Amin.
Mungu awabariki sana
Mashaallah ❤
Alhamdulillah
Bibi mcheshi Allah amzidishie Afya...Mash Allah..❤
Napenda sana bb vipi naweza tuma pesa kwa ule kijana yuko Kenya mm ni mkenya tuna tumia mpesa ni saidiye number yake
🎉🎉🎉 mashaallah
Mungu mkubwa alihamdulila mungu . Akubariki kaka fabi nawote mlochangia
Mash'allah mungu awazidishie waliotoa tunaenjoy kwakweli tukimuona bibi
Mashallah Tabaraq Rahman ❤❤❤🎉🎉
Fabi na bibi yakomnanifurahisha sana😂😂😂
Ni wewe au
Mashallah..nikirudi nitakutafuta fabi na adam .munipeleke kwa bibi .
Babu shalila uttanitoa hila kwa mchuz wa amira 😂😂😂😂 bibi love u
Bibi nampenda sana
Bibi ananifrahisha mashallah allah azidi kumtunza na kumuhifadhi pia kwa sote na wote wenye kujitolea
Allah awazidishie wote wsliojitolea na term fab
Mashaallah Allah awabariki na awaifadhin dunian na kesho akhera
Mansha Allah she's so happy and beautiful Allah is great Allahamdulla ❤❤❤❤f 🇺🇸💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Apewe mtaji huyo kijana ili nae apambamnane na maisha
Bibi ❤❤❤😂😂😂😂
Maa shaa Allah ❤❤❤❤
Ukute bibi apo hajui kama anayetoa neti amepanda kitandani angemtoa anaogopa atavunja kitanda 😂😂❤
😂😂😂😂😂😂kbs
@@rahimaaaaa5682
😂
Mashaaallah
🤣🤣🤣🤣Fabi ww acha tu❤❤❤ eti shaga yanguuu🤩🤩🤩🤩 Allah akulipe Kila la kheiri
Masha Allah bibi mungu akupe maisha marefu
Kaka fabie samahani hio net haina dawa ni bora wangemfulia ndo mmkifunge samani kwahilo kama linadawa huwa linaleta madhara wamfulie nalo ndo mlifunge
Bibi ananivunja mbavu mimi na ugonjwa wangu wa kichwa,nampenda hadi nampenda tena❤❤
Mashallah kafurahi bibi kama namuona mambo kidogo kidogo
❤❤❤fab mungu akubaliki sana kwa vifaa na Juba hilo
Mashaallah Allah awape afya njema waliompa furaha Bibi huyu
Mashallah ❤ chumba kimetaradadi
Mashaallah jaman mung awabarik nyot mlo msaidia uyu bibi
Wee brother mashaala allah 🙏 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akuzidishie kwakweli watu km hao ndo wakuwasaidia
Maashaallah Fab ww mdg wangu Allah akulipe na awalipe wale waliojitolea kutoa
😂mashallh bibi michambo 😂😂😂😊
Jamani mungu awajaalie hero nabaraka nyie vijana
Maashaalla bibi uzidi kubarikiwa
mashalalh
Jamani utaniua mm 😂😂😂
We love you grandma ❤❤❤❤❤
Mashaallah
Mashallah alhamdulillah Fabian Allah akuzidishie imani zai❤ nakupenda sana
Fabi bwana mnanifurahisha na mchunba wako huyo😂 kabibi kasani kweli
Jaman nimempenda bibi ❤
Mnaaa❤
Bibi mcheshi sana😂😂
mashaAllah mungu akunyimi vyote upofu anao lkn nisaw namwenyekuonakwaucheshi
Et ndo unuse shoga angu 😂😂😂 ila nmefrah San kazi nzuri mungu atawalipa
Allah awazindishie muliyo towa wote
Bibi nakupenda Sana jaman Akupe umri mrefu mrefu wenye kher na ww
Bibi jaman ❤❤❤😊😂
Mashallah wanyumbani uyo ❤❤❤ mchangamfu hatari 😂😂
Kazizr
Bibi harusi kadamshi jmb😂😂 ila kk fabi sijui utamueza mana kingereza kimelala
❤❤
Bibi hata km familia ina mtatizo lakini wacha uzibiwe Matobo ht mlange uwekewe
Bibi nampenda jamani
Fabi unajuwa kuchagua nimependa shuka na mapazia
Anapatikana wapi?
❤❤❤🎉
Bibi nampenda bure😂😂😂
Mashaallah tabarak 😂😂
Nafikaga nasaya ntampataje uyo.bibi nichagie chochote
Nakupenda fabi na bibi
😂😂😂hongera.jamani shogake bibi
Jamani huyu bb nampenda
Nimefkurahi mpaka machozi
Ao awamtaki shakila wamekuja kuchunguza
Adam umepata Dem lakimatumbi hahahahahaaaaa
Bibi😂😂❤