😂😂😂 bibibumenichekesha hongereni wote mlio towa sadaka Allah atawalipa kheri Inshaallah,fabi na Adam poleni kwa kuchoka siku nya leo Allah atawalipa ujiravwenu Inshaallah
Faby mwambie bibi aneumwa pumu ck ikimbana achukue ndimu 4 magadi pakti 1 yale ya mia akamulie ndimu kwenye bakuli kisha aweke magadi povu litatoka lile povu ndio linalotakiwa kunywa anywe povu mpk liishe km ana vidonda vya tumbo asitumie
@@zawadikasim6679 ndio mpe kijiko kidogo cha chakula kutwa mara 3 lkn ndimu kamua 2 / magadi nusu pakti maana inabidi utengeneze mara 3 kwa ck kwa sababu povu likotoka likiisha bac hakuna tena povu
❤❤❤ mashallah hongeren mlio jitolea mwenyezi mungu awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran😂😂😂
😂😂😂 bibibumenichekesha hongereni wote mlio towa sadaka Allah atawalipa kheri Inshaallah,fabi na Adam poleni kwa kuchoka siku nya leo Allah atawalipa ujiravwenu Inshaallah
Mashallah BB mcheshi sn Mungu wabark wote wanaotow sadaka zao
Masha Allah mtangazaji mwenyezi Mungu akulipe Kila lenye heri update mwisho mwema kwa kuhimiza swala
Bibi nae akimuona mumewe fabi ana vimaneno vya uongo vya jiran vyake 😂😂😂😂
Kabisa, alafu anaongea kama chiriku
Bibi 😂😂eti.minalfadhilina. maashaallah bibi unafurahisha
Yani nikimuona tu huyu bibi lazima nicheke tu anafulahisha sana😂😂😂
Mansha Allah Eid Mubarak from 🇺🇸 beautiful people that lady she's so happy mansha Allah thanks again again ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongereni DTV
Hira bibi unajua kutufurahisha Allah awalipe wote mliojitoea kwa sandaka hii
Jamanii bibii❤❤❤❤🎉 Mungu awajaziee waliotuwa hii sadska❤
Yaan Bibi Kila siku anavibe😂😂😂🤣😅🤣
Maashaallah fb Allah akulipekilalaheri
Bibi anavituko jmn 😂😂
Mashaaallah bibi huyo
Mashaalah fabi unajutaidi sana kuwa saidia watu kimaisha
Ongera kama na bibi amepata mboga. Umependeza sana Feb❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂Alifazilina
Walah bibi nafurahi kkuona 😂😂😂❤❤❤
Bibi nimecheka😂😂
Faby mwaya umependeza mashallh
Bibi mcheshi sana achoshi japo haon ila anajua kuishi NA watu
Fabby Allha akulipe killa la kheri kwa kumlea bibi
Bwana na mange ila Niko nyuma kweli mm sielewi ata bwabwa la mangi ndy nini
Fabi mbona kule kwa watoto wa uyo bibi mlikoanzia amwendi kuwaona
Bibi kicheche😂
Jamani tuanzishe kikundi tumchangi huyu bibi
Hongereni D tv🎉🎉
Hakuna mtu anae ishi nae jaman akamsaidia jaman
❤❤❤
Kapele bobo aka chune macho hospitali ya macho msasan pengine ataona
😂😊
Fabby usingefunga hicho kilemba haujapendeza hakta kidogo
Ulitaka afunge kitenge chako
😂😂😂 Wivu huo
Mbona kapendeza sana tuu
kapendeza sana!!! hebu tuoneshe Mumeo ulimwandaa vp kwa idd
Majina ya fetty wanawivu na majungu pole😂
😂😂😂
Faby mwambie bibi aneumwa pumu ck ikimbana achukue ndimu 4 magadi pakti 1 yale ya mia akamulie ndimu kwenye bakuli kisha aweke magadi povu litatoka lile povu ndio linalotakiwa kunywa anywe povu mpk liishe km ana vidonda vya tumbo asitumie
Mtoto aweza tumia
@@zawadikasim6679 ndio mpe kijiko kidogo cha chakula kutwa mara 3 lkn ndimu kamua 2 / magadi nusu pakti maana inabidi utengeneze mara 3 kwa ck kwa sababu povu likotoka likiisha bac hakuna tena povu
@@zawadikasim6679 kamua mchunga mpe maji yake au roweka karafuu ck nzima mnyeshwe kabla hajala pia nazo ni dawa roweka karafuu 7
@@zawadikasim6679 mtt kamua ndimu 2 ila cjui umri wake hp ni kuanzia miaka 7 ndimu 2 magadi nusu pakti kijiko cha chakula mpe kutwa mara 3
Yaani hayo magaidi na ndimu ni dawa haswa mimi nilibandwa lkn nilipopewa dawa hii.
😂😂😂😂
Nampend sana uyu bibi❤❤😂
😂😂😂