MAJIRANI WA BIBI WAJA NA MAPYA | NILIOGOPA KULALA NAMJUA YULE NI HATARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024

Komentáře • 38

  • @dtvonline2099
    @dtvonline2099  Před měsícem +12

    NIOMBE SAMAHANI KWA WOTE AMBAO MJAPENDEZWA NA ILE SEHEMU TUNAYOMZUNGUMZIA YULE NDUGU YAKE BIBI TAYARI JAMBO LENU NALIFANYIA KAZI KILE KIPANDE KINATOLEWA MUDA SI MREFU ASANTENI SANA MUNGU AWABARIKI

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před měsícem +1

    Tena juba juba kweli mashallah shoga yake kaka fabi😂😂😂alichoii😅😅

  • @user-dx1hz3ow7k
    @user-dx1hz3ow7k Před měsícem +2

    Sio jambo jema kumzungumzia mtu jp cm hana hila kuna wapo wanotazama watamwambia ikaleta huasama futa haraka ikiwezekana maisha haya yapo ndgu wa turbo moja awapendani hila sio vzl kuliweka mtandaoni

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před měsícem +2

    Yani nyinyi mnawasema watu kwenye mtandao kharamu yani😢 mwenyewe akiyapata ni uhasama

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před měsícem +1

    Apo bomba lifungwe liwekesiku marumu Kwa wiki mala mbili apo nafuu

  • @user-gg4xj1yt3r
    @user-gg4xj1yt3r Před měsícem

    Bibi Allar ata kulinda ata kama sio vizuri ahache iyo roho chafu ukiona mtu anajulikana ubaya basi ndio mwisho Mungu apendi ahache iyo tabia

  • @aidasaidalsharji1559
    @aidasaidalsharji1559 Před měsícem +1

    Kaka fabi na sema wema daima una ku wa uwovu wewe wapangiye kila mtu ape we doo 4 kwa siku

  • @MamySarah-lo8gg
    @MamySarah-lo8gg Před měsícem +1

    Binadam atar kaaa 😢

  • @Amina-tw4iw
    @Amina-tw4iw Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂Jamn hap kwenye kitanda bib umenifurahish

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 29 dny

      Amina soma comment huko kuna mtu ananitafuta eti ananichamba kwa nini nimemwita fabi mara 3 kwani mimi ndio ninaetowa msaada mwambie msaada natowa kama anataka nimtangazie kwa spika nakuja kutangaza

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před měsícem

    sawa kaka usijali

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před měsícem

    Hatari sana

  • @asiamussa396
    @asiamussa396 Před 29 dny

    Hapo waambiwe kuchota mwisho ndoo tatu au tano basi yy mwenyewe atajua jinsi ya kutumia maji yake nyumbani kwake ila ukisema muweke masharti ya hivo hamutaweza kumzuia kufanya kitu akiwa nyumbani kwake

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem

    Kumbe Dada yako gwiji duuuuuh, hatari sana binadamu mmmmh

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Před měsícem

    Apo watalana😂tu juya maji

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem +1

    Fabi Fabi Fabi nakwita mara 3 hayo mambo si yakuongea kwenye media hata kama hana simu watu watampelekea ugomvi utazidi ya hapo muwe munaongea private 😢😢

    • @dtvonline2099
      @dtvonline2099  Před měsícem

      Sawa

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před 29 dny

      Kwani mpka umuite mara tatu kaaaa utazani wew ndo unatoaga msaada wakati wew ni mtizamaji tu

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 29 dny

      @@user-sv6zy3hc8o
      Kwani wewe kinakuuma nini
      Na nikitoa msaada unataka nikutangazie ili ujue au una stress

  • @user-jn7do4wd6f
    @user-jn7do4wd6f Před měsícem

    Fabi tuletee neema tumemmisi na pamoja na watoto wake 3 tumuone watoto wake wanaendeleaje tumsaidie

  • @odilialazaro
    @odilialazaro Před měsícem

    Fabi mzima jamani hayo mambo sio ya kuongelea kwenye media

  • @user-mm1oe6dy5z
    @user-mm1oe6dy5z Před měsícem

    Faby atawasikia

  • @zawadikasim6679
    @zawadikasim6679 Před měsícem

    Fabi futa hiki utashitakiwa tunakupenda

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Fabii huko panapo uzwa milion nne hebu tupaon

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před měsícem

    Fabi futa hii video usije kuzidisha uhasama jaman hiyi itafanya fitna video hii tokapo sio mtu mzuri ndo atazidi jaman fabi mengine sio yakuongelea mtandaoni

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před měsícem +4

    Fabi please tunakupenda sana ayo mambo mengine sio ya kuongea kwenye Media naomba uifute haraka sana watu sio wa mchezo utaleta uhasama.kwenye familia Allahu Akbar

    • @dtvonline2099
      @dtvonline2099  Před měsícem +1

      Natoa ndugu yangu

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před měsícem

      Shoga angu Amina uwepo nipo juzi unadiskasi ndevu leo upo huku niache mie 😀😀😀❤🇬🇧

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Před měsícem

      Me nipo 😅shoga angu zahir amesikia umeona mrejesho ombi langu kalisikia anapelekwa.saloon kashushuka mjuaji 😂😂

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Před měsícem

      Tusubir mrejesho shalo atakavyo pendeza😂😂😂

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 28 dny

    Faby cha msingi ni kuuza maji hpo bac hicho kipande kisha futwa nn ? 😂😂maana cjakickia😂

  • @saudamdoe
    @saudamdoe Před měsícem

    Fabi fabi fabi nakwita mara3 hayo mambo sio poa kabisa

  • @user-ft2vq5on6l
    @user-ft2vq5on6l Před měsícem

    Aaah fabi usiseme mambo hayo ni private akisikia mwenyewe atamkomoa