NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 187

  • @njokimwaniki364
    @njokimwaniki364 Před měsícem +5

    This DJ brother is so deep...full of wisdom.He isn't living in an illusion.

  • @elsaMo-b5r
    @elsaMo-b5r Před měsícem +6

    Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri .
    Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka.
    Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa.
    Big up bro

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 Před měsícem +2

    Mashallah allah akuhifadhi jasiri sana maisha ni safari ndefu upo ngangariiiiiii nimependa unaongea kwa umakini

  • @abdulyibrahim2125
    @abdulyibrahim2125 Před 2 měsíci +9

    Story nzur kaka kaitowa inafundisha kitu kwenye maisha kwenda ulaya au kuishii ulaya

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před měsícem +4

    I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před měsícem +2

    Ahsante sana kwa Elimu hii brother 🎉🎉🎉🎉

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve Před 2 měsíci +23

    Hii interview imenifanya hii ela ya kwenda ulaya ninunue kiwanja nijenge..😅😅😅😅

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před měsícem +1

    Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani

  • @sadiqfixer
    @sadiqfixer Před 2 měsíci +1

    Hapo kweli kabisa Shena, turudi kwa Mwenyezi Mungu si kwa watoto tu, yaani kwa kila kitu

  • @khalid-oh5uu
    @khalid-oh5uu Před 2 měsíci +3

    Best one. Ameeleza vizuri

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 Před měsícem +1

    The hastles was really 😊 watoto wa kiume bwana Mungu awasaidie.

  • @fatemamahmood5440
    @fatemamahmood5440 Před měsícem

    Hongera kwa Safar na pole Sana ulizamilia kutimiza ndoto zako haikuww rahisi 🎉

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 Před měsícem +2

    Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před 2 měsíci +10

    Story ya huyu dah ni fundisho kwa makaka zetu wenye ndoto za kujilipua wajifunze

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 Před 2 měsíci +5

    Mungu wabariki kaka hongera Kwa utulivu na dada Shena nimejifunza zaidi

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před měsícem +1

    Wanasema wazee tembea uone na maisha ni safari life is Journey so kaza buti lakini usimsahau MOLA wako na Ibada.

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před měsícem +4

    Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa
    Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 2 měsíci +3

    Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r Před 2 měsíci +1

    MashaAllah tabaraka Rahman
    Elim haimtupi MTU

  • @Bariadi-ug8ve
    @Bariadi-ug8ve Před 2 měsíci +8

    Tatizo la mijitu ya tanzania mingii inaakili finyu mijuaji ina maisha ya shida ,kazi kupinga kila kitu ivi ukisikia ukajifunza kitu unapungukiwa nini?

  • @josephatjosephat4269
    @josephatjosephat4269 Před 2 měsíci +8

    Maisha ya Africa ni mazuri unakuwa karibu na familia kuliko maisha ya ukaya

    • @veronicankhwazi7954
      @veronicankhwazi7954 Před 2 měsíci

      Kabisaa

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před měsícem

      Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji

  • @user-zz5uj6gs4m
    @user-zz5uj6gs4m Před 2 měsíci +6

    Karibu tena bububu kamanda

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 Před měsícem

    Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r Před 2 měsíci +2

    Kweli kabisaaa. WA Zanzibari. Wana. Hikma na. HESHIMA. ZA wazee. HONGERA. Sana

  • @sanaf8367
    @sanaf8367 Před měsícem

    Jamaa majiekti sana and..... and.......... and nyingi sana

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 Před měsícem +1

    Wengine tunaishi miaka mingi na Alhamdulilah hatujapitia hayo mambo hayo jiongelee wewe bro

  • @glammummy
    @glammummy Před 2 měsíci +3

    kaka ana akili huyuuu Maashallah

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r Před 2 měsíci

    InshaAllah biidhnillah taala Utapata

  • @tinanicholasligwile6972
    @tinanicholasligwile6972 Před 2 měsíci +2

    Story kama inanivitia ivii 😊😊

  • @reginalemunge1221
    @reginalemunge1221 Před měsícem

    Tunawasikia vzuri dada Shena

  • @farhiaabdulaziz8549
    @farhiaabdulaziz8549 Před měsícem +3

    Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au

  • @jimmykitura5803
    @jimmykitura5803 Před měsícem

    Story za kijeshi sio vizuri kuziongelea Kama una story tulia kala kimya siri zingne ziache hivyo hivyo be strong sio kila kitu chakusimulia

  • @robbyissack8575
    @robbyissack8575 Před 2 měsíci +3

    Nice interview

  • @PtransJulius
    @PtransJulius Před měsícem

    nawapata vizuri south Africa.

  • @susans4490
    @susans4490 Před 2 měsíci +4

    Akaa baada ya kumaliza form ukakaa dar 5yrs ukatafuta visa 2 to 3yrs baadae ukarudi tena Zenji na ukarudi miaka pia 😂 mara ukawq 19yrs 🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 Před 2 měsíci +1

      Story nzima hayo tu ndio ulopata ya kukujenga?

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 2 měsíci +1

      😁

    • @DM.2200
      @DM.2200 Před 2 měsíci

      ​@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list

    • @mwanaidiheintel1760
      @mwanaidiheintel1760 Před měsícem +1

      Hata mimi sikuelewa hiyo miaka bado 😂😂😂😂😂

    • @SamwelJoseph-yk3cw
      @SamwelJoseph-yk3cw Před měsícem

      😂😂😂

  • @HassanAhmed-di9jq
    @HassanAhmed-di9jq Před 2 měsíci +2

    Koyama na chula ivyo visiwa

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před 2 měsíci +4

    Huyo asiyesikia akapimwe

  • @TichaSabah
    @TichaSabah Před měsícem

    Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa

  • @MdOmane-yg9gi
    @MdOmane-yg9gi Před 2 měsíci

    Nimejifunza kitu kaka umeeleza vizuri story Yako

  • @kshamte9582
    @kshamte9582 Před 2 měsíci +1

    Maisha dah! Mafunzo kila siku

  • @user-tp2xg7qu4y
    @user-tp2xg7qu4y Před měsícem +1

    Nawapata vyena naomba siku hiyoniarifuni
    Nikupeni somo

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 Před měsícem

    shukran mr dj

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 2 měsíci +3

    Wasomali wachafu kama warabu wanapenda kufanyiwa kilakitu kupelekesha wakiwa wanakula kama ugomvi

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 Před 2 měsíci +1

      Na nyie nae mna roho mbaya, chuki na kutukana watu waliowazidi ndo maana zari huwa tusi nyie na uchafu wenu, wanuka chupi na vikwapa

    • @annamussa185
      @annamussa185 Před 2 měsíci

      @@Ilhamtube554 hujielewi paka wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako 🐕🐕

    • @Ilhamtube554
      @Ilhamtube554 Před 2 měsíci

      @@annamussa185 we nguruwe tulia, changudoa mchafu wa bei chee, njaa zitakuua,🤣🤣🤣🤣

    • @annamussa185
      @annamussa185 Před 2 měsíci

      @@Ilhamtube554 huna maajabu sasa Nguruwe nalo tusi kahaba wa kizamani ww

    • @annamussa185
      @annamussa185 Před 2 měsíci +1

      @@Ilhamtube554 nimekuzidi kilakitu mpaka akili

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před měsícem

    Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia

  • @abasiabdulabi5430
    @abasiabdulabi5430 Před 2 měsíci +1

    Ogela kaka

  • @FaustineTz
    @FaustineTz Před měsícem

    Alafu awa wanzanzibar mbona wanapenda kujinadi sana wao ni wa Tz bwana

  • @sweetykabeya5873
    @sweetykabeya5873 Před měsícem +1

    Watu tunaishi Germany tunakuelewa sana,its not easy tuna mengi ya kusimulia

  • @AgathaMpemba
    @AgathaMpemba Před 2 měsíci +2

    Story nzuri sana nimejifunza

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona Před měsícem

    Sasa hivi una umri Gani Dj

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 Před měsícem +2

    Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia

  • @user-ch7fp4ve9s
    @user-ch7fp4ve9s Před měsícem

    Wote mnasikika vizuri

  • @KhadijaLitami
    @KhadijaLitami Před měsícem

    Mbona mimi simuoni mzungumzaji, nakuona Shena mwenyewe tu. Msaada plse!!

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt Před měsícem +2

      Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před měsícem +1

    Wow! ila for example wa TZ, yategemea ni kujiripuwa miaka ipi nyuma ndugu, so kesi sio Somali, na ushaga tu, za kisiasa ya TZ pia zilikuweko zamani

    • @merycianachangarawe8979
      @merycianachangarawe8979 Před měsícem

      Kweli sio izo kesi tu
      Sema huyo alipata Zari la fake visa
      Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga
      Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system
      Only ushoga danganya uwezavyo
      Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o Před měsícem

      @@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o Před měsícem

      @@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 Před měsícem

    Mnasikika vizuri

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Před měsícem

    Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o Před měsícem

    Mara nyingi hutokea hivyo, jamaa zetu back home, tukijibana sisi na kuwasaidia wao, wao hawajuwi hilo, hujuwa tunazo tu, na pia ni kama lazima tuwape

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 Před měsícem +1

    Soma kijana kichwa hakina madeni 😂😂😂

  • @MussaPaul-ob3nh
    @MussaPaul-ob3nh Před 2 měsíci

    I recommend seminar machundo from Denmark for that dialogue😊.

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 Před měsícem

    Ukiwa mkimbizi kwa ujerumani ni shida mpaka uje kusimama.watu waje ulaya maisha ya ulaya sio kama nyumbani

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o Před měsícem

      Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi

  • @user-tp2xg7qu4y
    @user-tp2xg7qu4y Před měsícem +1

    Shena hata MIE pia nitafute naeshi umarekani natokeya bongo na Burundi nimechaga kihivyo ukinialika unatakiwa unipatie nikiwa home

  • @FortunataChande
    @FortunataChande Před 2 měsíci

    Samahani kwa kutoliandika vzr jina lako

  • @mamaabduly
    @mamaabduly Před 2 měsíci

    Shena.. Naomba niwasiliane na huyo kaka plz... 🙏Pls

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Wasomali kweli ni wagomvi sana halafu wasomali hawapendi watu wafanikiwe kwani kama sio msomali unamtakia nini au kusema sio msomali unataka nini mwezio anatafuta maisha

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před měsícem +2

      Hiyo nikweli tulienda kujiandikisha college mimi na wenzangu yule
      alietupokea akatwambia hapa kuna munira kutoka Somali ngoja niwatambulishe akaambiwa kuna wasomali wenzako njoo wapokee alipofika alianza kufoka hawa sio wasomali every country from Somali mbele za watu ukumbi umejaa sisahau akatuchambaa mpaka mpaka miguu imekufa nguvu shoga angu akasema mimi natoka kenya sitoki somali yule dada akatununia hatusalimiani nae mungu si athman dada yake msomali mimi shoga yangu namuuzia biashara zake mashuka mitandio na mapazia sasa akanikuta nae akamuuliza unajua huyu akamwambia my best friend mimi nikamwambia mimi na huyu hatuongei basi yule dada siku ya eid akatuita tulikuwa tunasali akasema peaneni mikono mukumbatiane yenye haki ya kujua nani msomali nani sie ni uhamiaji kuanzia leo muongee toka siku ile tukawa friend na watt wetu wakawa wanasoma nasary moja tukawa tunakutana ndio mpaka leo tunaongea ogopa wasomali 😢😢😢

    • @siasia5469
      @siasia5469 Před měsícem

      Wasonji wana umimi sana... Mkikutana Nchi za watu utawajua vizuri😮

  • @susans4490
    @susans4490 Před 2 měsíci +1

    Mmh mbona kama umetupinga changa la macho Inamaana skuli form ulimaliza ukiwa na 15yra old

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 Před 2 měsíci +2

      Mwanangu alianza grade 1 na 5yrs so atamaliza form 4 na 15yrs

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 Před měsícem

    Na nyiyi wazanzibar mkiwa oman mnatufanya vipi msomali anaye zungumza kiswahili mnamweka ndani kwasababu wengi wenu ni immigration huko oman

    • @anaabsaid3544
      @anaabsaid3544 Před měsícem

      Utantusemeya mbaya lakini wazanzibar tunawajua sana ndiyo sababu huwezi kukuta msomali zanzibar na tuko majirani

  • @fridadavid3151
    @fridadavid3151 Před měsícem

    Dada sena hutukusikii

  • @mikiothman103
    @mikiothman103 Před měsícem

    nahisi iyo sehemu inaitwa Barawa

  • @DorethMselem
    @DorethMselem Před 24 dny

    Mnh kwani si unatumia nida au mlitumia nida za watu wengine?

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 Před 2 měsíci

    Aaa mambo ya ushoga yamekuja juzi hayo

    • @shenasnas2229
      @shenasnas2229 Před 2 měsíci

      Bosi sio juzi Abeid Sisimizi kaenda Belgium miaka zaidi ya 10 na kaingia huko kwa ticket ya ushoga

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před měsícem

    Kipind cha magu usafiri viza fek au sahivi ndio tz afrika hayo mambo ya vuza feki zaman 98 nyumba na mbele 99 mm paspot ninayo sijasafir mchongo umefeli na hizo viza fek lazima ucheze dili la kweli sister ukitaka kufajya interview kwanza fanyanao chemba

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona Před měsícem

    Kwa hiyo baada ya kutumika sana na wazungi je hivi Sasa umeona au una mahusiano yote?

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před měsícem

    Dj nitampata wapi shena.

  • @hedayamohammed2781
    @hedayamohammed2781 Před měsícem

  • @user-ou2rx7ln4w
    @user-ou2rx7ln4w Před měsícem

    Tupo warabu huwa wanasema wana nyongana ila sisi bado twa pambana😂😂😂. Bariadi duniya lazima upitiyee changa moto ata uwanja una zulumiwa

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r Před 2 měsíci

    Tuna wasikiya.

  • @EstherNgayiwona
    @EstherNgayiwona Před měsícem

    Mnasikika wote tuendelee

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio Před 2 měsíci

    Kuddadeki mbogo mbishii ..lazima ulaya nitimbee tu

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před měsícem

    Huyu hana historia na hizo viza za fek ziliondoka toka 98-99 na mm paspot ninayo mpaka Leo ilikuwa na viza feki.toka 98 au 98 na hiyo viza itakuwa kachukuwa storry sio yake

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA Před měsícem +1

      😂😂😂 we 0 kweli wahindi mpaka saivi wanaenda nazo

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt Před měsícem

    Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 Před měsícem

    Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před měsícem

    Wewe jamaa inaonekana yule bibi wa America interview yake umeihusudu naona unapita mulemule

  • @FortunataChande
    @FortunataChande Před 2 měsíci +1

    Dada Shehina,samahani,hawa wazungu wanaotaka mpaka uwalipie apple card ili waje nchini ikoje hii,.tena si hela kidogo kuanzia milioni siyo matapeli hawa?

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Před 2 měsíci

      Mh! Kama hawezi kuja aache kwanini ww umlipie pesa?? Shtuka ndugu

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Před 2 měsíci

      Mh!

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Před 2 měsíci

      Shtuka ndugu jiongeze Kama hawezi kuja aache

    • @atomphoton5000
      @atomphoton5000 Před 2 měsíci +1

      Mzungu anatakwa kuhongwa na wadada wa Bongo. Aisee hii Dunia ina mambo kweli kweli. Achana na wanaijeria wewe utakuja kulia mchana kweupe

    • @AgathaMpemba
      @AgathaMpemba Před 2 měsíci

      @@atomphoton5000 apo ashtuke mapema hamna kitu apo ukute uyo ni mbongo mwenzako😂😂

  • @nataliaemanuely4046
    @nataliaemanuely4046 Před měsícem

    Nice

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le Před měsícem

    Anaskilizika tu

  • @mamaabduly
    @mamaabduly Před 2 měsíci

    WATU UNAOWAHOJI WANAWEKA HANDLE ZAO KAMA FB AU INSTA KAMA MTU ANAHITAJI USHAURI KWA ALICHOELEZEA IWE RAHUSI KUMFATA.. ANATU INSPIRE NINI?

  • @timejames5099
    @timejames5099 Před 2 měsíci

    Tunasikia wote

  • @mimahtv2974
    @mimahtv2974 Před měsícem

    Kuna wasomali wa tanga pia..!😅

  • @OllykekeSwahili
    @OllykekeSwahili Před měsícem

    Me Somali😀😀😀

  • @janechipeta6231
    @janechipeta6231 Před 2 měsíci

    Sasa yule rafiki yako mlikuja kuonana tena?

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz Před 2 měsíci +2

    Tatizo lako wewe Shena huwa unafuta Hizi Interviews, ulifuta Ile ya jamaa wa Marekani kimya kimya 😅.

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 Před 2 měsíci

      Yupi huyo

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 Před 2 měsíci

      Hatukupata hata muendelezo na mwisho wa ile story

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz Před 2 měsíci +1

      @@Justine_Tz1 Umeona eeeh 😄😄😄😄

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz Před 2 měsíci

      @@zahrababygarl1568 Yupo Shena mwenyewe anamfahamu

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 Před 2 měsíci +1

      @@Jeff_Tz yaan skuelew kabsa

  • @ishrak3112
    @ishrak3112 Před 2 měsíci +1

    Unampata vp huyu shena maana niko nataka kutoa story ya maisha niliyo yapitia hapa Deutschland

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 Před 2 měsíci

    Hivi Shena kuna baadhi ya videos huwa unazifuta!?

  • @AliMobarak-gc9gd
    @AliMobarak-gc9gd Před 2 měsíci

    Upo mji gani

  • @hatiagk4447
    @hatiagk4447 Před 2 měsíci

    Story hii inafurahisha

  • @safiam5338
    @safiam5338 Před 2 měsíci

    No tunawaskiya nyote

  • @thuweiybab3338
    @thuweiybab3338 Před 2 měsíci

    Koyama

  • @haikaelkiwia9705
    @haikaelkiwia9705 Před měsícem

    Kionyesha vidole bado sijaelewa

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před měsícem

    Mesali umeikosa sio mkabure sema mtembea bure.halafu wakat upo bara miaka 20 po znz 19.

  • @magrethpeter6049
    @magrethpeter6049 Před 2 měsíci

    Mambo shena nimefunguwa Badoo dating site wazungu wengi Wamo wanatoka North Western ndiyo nchi gani hi xxx o

  • @MoviesRecaps.92
    @MoviesRecaps.92 Před 2 měsíci +5

    Your a risk taker hakika,