czcams.com/users/liveeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf Link ya video ya kwanza czcams.com/users/liveMkjaVOyGynA?si=avHGUZlDYy8kzjx8 Link ya video ya pili
But what I’ve learned from this story Fridge zetu zisiwedondoshe Barafu to everyone and Pia kumtegemea Mungu mana katika kila jaribu kuna Mlango Mwingine wa Kutokea
Wow ! Maombi yaendelee ili aimalike zaidi huyo ana mapenzi na upendo wa dhati ipo siku mtaishi pamoja mmlee mtoto wenu don't give up Mungu yupo na anatenda
aww for really nimelia machozi ya furaha 😢🙌😒😭😭KWELI MUNGU YUPO GUYS😢❤sis shena your more than a shoulder to cry and learn on 😢❤always proud to know you May God keep you for us ❤❤❤
Mlioko huku Ulaya mnajua huyu Baba anapitia hali gani... Angekaa na mkewe miezi 6 tuu angebadilika sana... Mama yake anazidi kumtia ugonjwa... Kila saa ni kelele na hamsaidii kwa mazoezi wala nn.... Wamama wa huku ni wachache sana wenye upendo wakuwapigania watoto wao.... Wengi ni kelele na kukuona huna faida tena... But huyu Angekaa na Mama mtoto wake angepona mapema sana..... 😢
Daah ila vibibi vya kizungu na vya kiarabu sijui hua vipoje jmniiiiiiiiii 😅😅😅🙌🙌ila Chendwa ana moyo wa pekee sana Mungu akubariki kwakweli Yan una mapenzi ya dhati ww dada sijapata kuona nakupenda dada Mungu awe nawe ktk kila hatua upigayo ❤❤❤
mwenyezi mungu mkwabwa uyu dada nlikua nafatilia historia yake am happy naamini kwa uwezo wa Allah ataungana na mumewake na mtoto wao na wataishinkwa pamoja .kikibwa usiwahi kukata tamaa kwa umtu unaempenda hata itokee changamoto gani muamini mwenyezi mungu na amini kua mda sahihi u akuja zidi kusali na kuomba mungu
Dada shena tunaomba utuletee mwana dada anaitwa @Amina kupila anatumia hivyo kote hapa CZcams TikTok interesting kote yeye yupo finland naye pia hua anatoa mafunzo mbali mbali ya ki maisha kwa ujumla
Hongera pia pole maana bado ni safari ndefu sana ila kikubwa mtoto kakutana na baba ake na kingine Next time nenda ubalozi wa ujerumani hapo ndani kuna ubalozi wao na ni haraka zaidi haina haja ya kupiga simu sijui nchi jirani na ni rahisi hata kuelewana lugha ya mzazi wa mumeo na watu wa ubalozi wa ujeruman and maybe unaweza pata visa ya ujeruman then unaingia Austria wanaweza fanya hivyo pia kama unabahati mtoto anapatiwa sponsor kutoka Krankenkasse ya baba ake kwa 90 days na lawyer bure
Dah'!! Mungu alijionesha.mpk nimelia,nimemuona,namsifu sana huyo Binti,pia mamake kushikamana,naye Kwa Kila hatua.dah.Mungu atasimama juu yenu Hongera sana
Yani huyo mama wa Kuti angejali furaha ya mtoto wake kama kweli anampenda, angewachukua Chendwa na mtoto wake ili wakaishi huko Austria pamoja. I hope one day Chendwa ataungana na mpendwa wake
Jamani mungu ni mwema kwakweli huyo baba kama angekaa na mke wake angepona, kwa sababu ulaya kuna stress upweke ni mwingi mno na kuumwa anatakiwa watu wakumsemesha, mama mkwe ndio anazidisha ugonjwa wa mwanae.
Pole dada yo have to get Urania wa mtoto wa kwa baba yake ,Naya Tanzania , dual citizenship, German, and Tanzania, you son to learn Germany Swahili in English is going to help me future when she decide to go to school in Europe do that tomorrow thank you
Yaani mungu siwezi mtafakari mgonjwa kapewa visa na akafika Tz na akakutana na familia yake waaa ashukuriwe mungu yote yatakuwa mazuri shetani Hana ushindi wataishi pamoja, hayo ndio maombi yangu
Shena, huyu.dada hadithi yake ina funzo kiroho na kimwili. Mimi ninahaja ya kumuunganisha bint yangu ni mwalimu awe na mazoea na hili zoezi lako. How will I get you your phone number etc.
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia asikate tamaa..tunazidi kumuombea
czcams.com/users/liveeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf
Link ya video ya kwanza
czcams.com/users/liveMkjaVOyGynA?si=avHGUZlDYy8kzjx8
Link ya video ya pili
Huyo mama angemfanyia mpango huyu dada na mtoto waende, huyu baba baada ya mwaka angekua vizuri sana,
Huyo ajuza hataki family ya kijana yake😮
Nahisi Shida Ipo Kwa Mama
Weeee hatimaye kuti kapatikana jamani nimefurahi sana mana alijua kutusikitisha😢😢
God is always good aisee part 1 nililia lkn jmn kweli mungu hamsahau aliye mlilia hajawai kachwa ❤❤❤..Glory to God
MUNGU Akutunze Zaidi Dear Shena Interview zako zina Mafundisho mazuri Sana ❤❤
🙏🙏
Saaana shena anasaidia mie kaniponya mno uyu dada Mungu ampe maisha marefu
Shena hongera mwaya kwa kuwa sehemu ya maisha ya huyu dada
Mashaa Allah nimefurahi kumuona tena jaameni nilikuwa na muwazia Sana na kumuombea duwaa na shukuru Allah ameirejesha furaha yake Allah Kareem
Natafuta intaview yake ya kwanza siiyoni jaman .Hakika Mungu ni mwema
Nimekupenda dada Mungu akupigania huyo kaka ni wako ni swala la muda tu
But what I’ve learned from this story Fridge zetu zisiwedondoshe Barafu to everyone and Pia kumtegemea Mungu mana katika kila jaribu kuna Mlango Mwingine wa Kutokea
Jamani jamani. Aise Mungu yupo jaman and true love never dies. Am happy for her
Dada uko vzr mwenyezi mungu akutie nguvu subira na uvumilivu
Wow ! Maombi yaendelee ili aimalike zaidi huyo ana mapenzi na upendo wa dhati ipo siku mtaishi pamoja mmlee mtoto wenu don't give up Mungu yupo na anatenda
Mbona nalia machozi ya furaha nikikumbuka huyu dada alivyokuwa 1st interview wacha Mungu abaki kuwa Mungu
Mungu ashukuliwe chendwa usiache maombi mungu yupo
aww for really nimelia machozi ya furaha 😢🙌😒😭😭KWELI MUNGU YUPO GUYS😢❤sis shena your more than a shoulder to cry and learn on 😢❤always proud to know you May God keep you for us ❤❤❤
Ooh Chendwa Wang nimefurai sana kukuona adi machozi yamenitoka MUNGU ni mwema sana ipo siku utaenda kuishi na baba mtoto wako in Sha Allah
Jamani huyu dada mungu kasikia maombi yako hakika usiahe kuiomba
Glory to God , Mungu amutupi mja wake…
yaani huyu mama angeataka maisha ya mwanae yabadilike angeruhusu huyu dada akaenda kumuhudumia kutti yaani angeacha ubishi tu
Mlioko huku Ulaya mnajua huyu Baba anapitia hali gani... Angekaa na mkewe miezi 6 tuu angebadilika sana... Mama yake anazidi kumtia ugonjwa... Kila saa ni kelele na hamsaidii kwa mazoezi wala nn.... Wamama wa huku ni wachache sana wenye upendo wakuwapigania watoto wao.... Wengi ni kelele na kukuona huna faida tena... But huyu Angekaa na Mama mtoto wake angepona mapema sana..... 😢
Daah ila vibibi vya kizungu na vya kiarabu sijui hua vipoje jmniiiiiiiiii 😅😅😅🙌🙌ila Chendwa ana moyo wa pekee sana Mungu akubariki kwakweli Yan una mapenzi ya dhati ww dada sijapata kuona nakupenda dada Mungu awe nawe ktk kila hatua upigayo ❤❤❤
aisee pole sana Shendwa na mungu akufanyie wepesi katika mambo yako licha ya changamoto kubwa zinazokukabili
Pole.sana dada
Pole Kendwa usichoke kuomba .Mungu atazidi kukusimamia .
Shena mungu akubariki kwa ushauri wako kwa watu wengi hasa huyo dada alikutana na watu kutia wewe, mungu azidi kukuinua maana unamsaada kwa watu wengi
Kwasasa amani ipo mungu ashukuliwe and dada yetu shena ubalikiwe sana unatusaidia umeletwa duniani na mungu kwamakusudi usituchoke amen
mwenyezi mungu mkwabwa uyu dada nlikua nafatilia historia yake
am happy naamini kwa uwezo wa Allah ataungana na mumewake na mtoto wao na wataishinkwa pamoja .kikibwa usiwahi kukata tamaa kwa umtu unaempenda hata itokee changamoto gani muamini mwenyezi mungu na amini kua mda sahihi u akuja zidi kusali na kuomba mungu
Jamaanina mkumbuka huyu dada hatimaye Mungu ni mwema
shena naomba ulete tena ya mary mswidesh yule mama wa mapacha
Am happy for this sure ❤❤
Hasikiki!lakini all in all God is good always!
Unafanya vizuri sana Shena. Pia naomba link ya interview ya yule kijana alienda US kwa kupitia Brazil
Mungu nimwema Kwa kuwa mumeo anaendelea vizuri
Jaman nimefurahi kumuona Tena huyu dada Mungu ni mwema
Kweli Mungu ni mwaminifu sana. Naamini shendwa siku moja mtaishi wote na baba wa mtoto wako.
Harafu mtt wake angeishi maisha malefu kuishi na huyu Dada da hongera sana mrembo
Masha Allah ame change sana nimefurahi sana kumuona tena Mungu azidi kumsimamia Inshaa Allah
Mungu akubariki sana wewe dada, unampenda Mungu na yeye amekuonyesha upendo mkubwa sana.
Mungu amfanyie wepesi waungane kama familia jamani
Dada shena tunaomba utuletee mwana dada anaitwa @Amina kupila anatumia hivyo kote hapa CZcams TikTok interesting kote yeye yupo finland naye pia hua anatoa mafunzo mbali mbali ya ki maisha kwa ujumla
Mungu awatunze Sanaa na mtoto
Hongera pia pole maana bado ni safari ndefu sana ila kikubwa mtoto kakutana na baba ake na kingine Next time nenda ubalozi wa ujerumani hapo ndani kuna ubalozi wao na ni haraka zaidi haina haja ya kupiga simu sijui nchi jirani na ni rahisi hata kuelewana lugha ya mzazi wa mumeo na watu wa ubalozi wa ujeruman and maybe unaweza pata visa ya ujeruman then unaingia Austria wanaweza fanya hivyo pia kama unabahati mtoto anapatiwa sponsor kutoka Krankenkasse ya baba ake kwa 90 days na lawyer bure
Ooh Hallelujah endelea na maombi mpendwa usiache Mungu anaishi.😊
Mungu Nimwema kwakweli na huyo Binti mvumilivu
Dah'!! Mungu alijionesha.mpk nimelia,nimemuona,namsifu sana huyo Binti,pia mamake kushikamana,naye Kwa Kila hatua.dah.Mungu atasimama juu yenu Hongera sana
Mungu Ni mwema sana shena ubarikiwe sana unawagusa watu
Mama mkwe hapo kalenga mali. Shindwe kabisa
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia
True love
Yani huyo mama wa Kuti angejali furaha ya mtoto wake kama kweli anampenda, angewachukua Chendwa na mtoto wake ili wakaishi huko Austria pamoja. I hope one day Chendwa ataungana na mpendwa wake
Hörgerät sasa shena hongera pia dada mungu ni mwema mashallah ❤❤❤❤
Mama huyu kuting anachangia kumuua mwanae mapema raiti angemruhusu huyu dada kuwa pamoja na mmewe angepona na maisha yangeebdelea
Sad story but God is faithful
Jamani mungu ni mwema kwakweli huyo baba kama angekaa na mke wake angepona, kwa sababu ulaya kuna stress upweke ni mwingi mno na kuumwa anatakiwa watu wakumsemesha, mama mkwe ndio anazidisha ugonjwa wa mwanae.
Shena ubarikiwe sana kipenzi umekuwa baraka sana kwa maisha ya wengi. Mungu akutunze dear
Chendwa wetuu😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Praise lord❤❤❤❤❤❤
Hongera sana dada na Mungu akubariki dada Shena
Shena mungu akubariki sana mungu akufungulie milango mikubwa zaidi
POLE sana dada, Mwenyezi Mungu akusimamie
Daaaah part 1 sijaiona
Jamani uyu dada ongera kwa kumrudisha Shena na Mungu akujalie kipenzi
Mwenyezi Mungu ni Mwema wakati wote
Pole dada yo have to get Urania wa mtoto wa kwa baba yake ,Naya Tanzania , dual citizenship, German, and Tanzania, you son to learn Germany Swahili in English is going to help me future when she decide to go to school in Europe do that tomorrow thank you
Sio nchi zote zina duo citizen dear.
Yaani mungu siwezi mtafakari mgonjwa kapewa visa na akafika Tz na akakutana na familia yake waaa ashukuriwe mungu yote yatakuwa mazuri shetani Hana ushindi wataishi pamoja, hayo ndio maombi yangu
Mtu yoyote WA ulaya hapewi visa kusafiri kokote duniani visa wanakata wakishafika nchi husika
Jamani God is Good
Chenda endelea kuomba kwani muomba Mungu hachoki iko siku utafanikiwa kabisa❤❤
Mungu wa upendo,Amina mno fanikiwa sana sijui niseme nini usirudi nyuma,songambele Chendwa.Mungu atakuona ndugu wengi wa upendo
Àmina
Mungu yu mwema ❤
Kabla sijaanza ata kutizama... Nimefurahi jmn maana nilitizama sehem ya kwanza 😊❤
Mungu ni mwema sana
❤️
@@OfficialDatingAssistanceshena hongera sana kichwa cha Habari story yake ya kwanza uliandikaje
Utukufu kwa Mungu🙌🙌🙌
Pole sana chendwa mungu akupiganie ❤ l love love you my dear friend
Dear tuekee link ya video yake ya kwanza please 🙏
Naweka dear
Amen Amen amen
Ongera saana shena inasaidia saana mpenzi
Thanks beautiful 😍
Dah!❤
🙏🙏
Ndyo ntafatiria inauma sana mungu amtupi mja wake 🙏🙏
Nilianza kufatilia kipindi chako kupitia huyu dada
Hatumsikii
Chendwa nina furaha ss kusikia ulionana na kuty..mnapendana japo changamoto ni nyingi.Mungu akusaidie
❤shena mungu akubariki
Shena, huyu.dada hadithi yake ina funzo kiroho na kimwili. Mimi ninahaja ya kumuunganisha bint yangu ni mwalimu awe na mazoea na hili zoezi lako. How will I get you your phone number etc.
Yaaaani Maisha haya Kama Move 🥹
Mungu aendelee kumpa afya njema
Mungu anaweza kila kitu
Dada Naomba unitafute
+4367764790884 tuwasiliane WhatsApp
Shena nimekupenda bure, unatoa msaada kwa wageni wako mwingine hapo ni contents tu apate kusaidia aah. Keep it up darling utafika mbali sana
🙏🙏🙏
🙏🙏
Mungu wa mbinguni akubariki sana shena ila tuletee felista wa china jamani msukuma mwenzangu
Mungu ni Mwema sana 🙏🏼
Sana sana ❤️😘 tusichoke kumuomba yeye 🙏
Nasubilia interview zako nianze kuwatch me apa 😊
nipo tena kwa hii story
🥰🥰
Zidi kumkabidhi mungu klaktu
❤❤❤
Shena ubarikiwe saaaaaaaaaana❤
Mungu ni mwema sana
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia asikate tamaa..tunazidi kumuombea
Dada umerud tena😊
Nimefurahi kimpata huyu dada jamni
Endelea na maombi usiache,
Naomba link yavedio yamwanzo imenipita jmni
czcams.com/users/liveeAK_nhSHqQA?si=bp_PuQlwM9gcsTBC
Pole dada.Natamani nipate namba yako
Chendwa una hofu ya Mungu na hatokuacha. Anakupigania kila uchao