Fabi wangechangia hata elfu 2 kwa mwez itasaidia bili kuliko kuchota bure kabisa sababu mtaa mzima watahamia hapo sababu ni bure shida itakuwa kwa bibi,,,ni ushauri tu jamani
Huyu bibi nimempeleleza hajui kuwaombea mungu walio msaidia... mkubwa kwako unaomba watu waziri kumsaidia, mfundishe kushukuru na kuwaombea dua watu walomsaidia.. Baba Fahad anajua kuwaombea mungu watu walomsaidia na kuwashukuru.. ila huyu bibi wala hajui kabsaaa, allah atamuongoza
Furaha yangu basi natoka machozi Allah akulupeni kher fabi na wote walochangia hili na jengine Allah awaingize pepon kwa mlango wanaotaka 😢😢😢daah yaani siwezi kuzuia chozi langu
Allah awalipe kheri kwa kila alie jitolea lakini fabi hapo wakati kushawarahisishia kufua kisimani kisa maji yatatumika sn itakuwa shida watayachota hapo wakafue majumbani mwao labda uhofie wakifua hapo wataweka uchafu lakini sio maji kutumika sn itakuwa ngumu au walipie mchango wa maji
Naona huyu Fabi amekuwa mbaguzi, ni huyu bibi tu na familia yake kina baba Fadi na jopu lake. Maskini yule mama na watoto wake wadogo na mmoja mgonjwa amemtupa
Fabi hiyo bomba iwekewe kifungio na kufuli lake jioni afunge,na ingewezekana majirani wachangie kwa kila ndoo ili pesa imsaidie bibi mahitaji madogo madogo,majirani wanafurahi hapo ila baadae itakuwa fujo tu wala hawataenda kufulia mtoni
Omari awe anawatoza alau sh 200 anaweke. Kuchotesha bure maji bure ilikuwa miaka ya nyuma siku hizi bill ni kubwa mno:itakuja bonge la bill. Halafu watafungiwa bb wa watu akose maji.
Maasha Allah ....Hii ni sadaka zuri sana katika sadaka.ALLAH ajaalie kwa aliyetoa iwe ni asbabu ya kuingia peponi.Aamiyn
Sadaka jaria: duniani Allah awape hasana na akhera hasana
Ameen ya Rabb
Amiin
Aamiyn yaa Rabb
Ahsant sana fabi kwa kumjali na kumpambania bibi mwenyezi mungu awape imani usaidie wangineo kila mwenye hali ngumu mungu awasimamie insha Llah
Mashallah Allah awabarik wote wenye kutoa kwanamna Moja ama nyingine Allah awazidishie kwawalicho punguza
Uyu mam aangu mdogo alovaa kanga kifuwan mtot wa babu yng mashallah
Masha allah Allah bariki kwakila alieweka pesa yake nawewe fabi na Adam Allah atawalipa kwakweli
Mashaaallah Fabian Umefanya kazi kubwa kwa kumpambania bibi mpaka kupata maji Allah Awalipe Ujira ulio mwema kwa wote wanaojitolea kumsaidia bibi
Màshallah Màshallah Màshallah Fahby mwanangu mungu Akulinde Kwa kuwafurahisha wanyonge jamani
Fabi umekesha Sana hongera Sana Mungu akubaliki mnooooooo
Màshallah Màshallah Màshallah mungu Amzidishie Hugo.Alietowa Sadaka sake Jamani
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AWALIPE KILA LA KHERI ALOJITOLEA MUNGU AMJAALIE JANNA FEEDAUS
Mashaallah kweli maji ni uhai hiz ndio amana za kuwekeza hp dunian
❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah TABARAKALLAAH alie jitolea allaah amzidishie pale alipo towa apate zaidi
Mashaallah Allah atakulipa hiki ulichokifanya ni sandakan kubwa duniani na kesho khahera
Walipe hapo sio bure wanachekelea tu
Kwakweli mwenyezi Mungu atakupa kk umemfanyia vitu vingi sn mwambie bibi hao majirani wampe pesa siitakunatakiwa bili kila mwezi
MashaAllah Tabaraq Rahman 🎉🎉, Mungu akubariki sana fabi
Walipe bili jaman kuteka bure malipo yatakua shida mchango utasimama halaf watadaiwa walipe to
Maashaallah Maashaallah Allah awalipe wote mlio jitolea. Hongera sana Fab
Fabi wangechangia hata elfu 2 kwa mwez itasaidia bili kuliko kuchota bure kabisa sababu mtaa mzima watahamia hapo sababu ni bure shida itakuwa kwa bibi,,,ni ushauri tu jamani
Kweli kabisa hao majirani nao wajiongeze😂😂
MaShaAllah Allah awabariki wote walokamilisha hili. Bora ungaliwaambia wakachangie umeme kila mwisho wa mwezi. Shukran
Mashallah mashallah mashallah tabaraka Rahman 😂😂😂❤❤❤nawapenda sana
MASHA ALLAH, MASHA ALLAH, ALLAH TABARAKA WA TAALA, AWALIPE KILA LA KHERI
Mashallah mashallah mwenyezmungu amjaalie aliye jitolea hii swadaka
Fabi mungu akuhifadhi inshaallah 🤲🤲na bibi nae ana mambo 😂😂 Alhamdulillah
Maishallah fabi mwezi mungu akuzishie moyo huo huo na wanatoa michango
MashaAllah ❤❤Allah amuongezee alietoa sadaka hii kwa kweli Bibi na nyotayake❤❤
Masha allah. Mashaallah masha allah
Good boy fabi mwenyezi mungu akulinde
Mgeni fika wenyeji wa pone mungu a bariki
Huyu bibi nimempeleleza hajui kuwaombea mungu walio msaidia... mkubwa kwako unaomba watu waziri kumsaidia, mfundishe kushukuru na kuwaombea dua watu walomsaidia.. Baba Fahad anajua kuwaombea mungu watu walomsaidia na kuwashukuru.. ila huyu bibi wala hajui kabsaaa, allah atamuongoza
Sio kweli
Umeangalia interview aliyoletewa mashuka na pazia!? Mbona amewaombea Sana tu jamani?
Una roho mbaya na unachuki sana uyo bibi ameshukulu sana na amewombea sana Dua watu
Wakat mwengine sio adi mtu aombe dua umsikie dua nzur ni ile ya kimya kimya
Hili jina lina shida. Mnajiona mnjua kila kitu😂😂😂.
Bibi wawatu ameshukuru sana
MashaaAllah Allah awabariki sanaa ❤❤❤
Masha Allah, Faby nakupenda sana
Mashallllah sadaka jariya nzuri sana mmmashallllah❤
Hapo fabi itakuwa ishu kubwa .itakuja bili kubwa sana .bibi haoni watafanya fujo tu
Mashallah safi sana
Masha Allah bibi anafurahi na kupiga kingereza 😂
Mashaallah Allah amjaalie Yule aliejitolea❤❤❤❤🎉🎉
Mashallah kk fabi mungu akulipe
Mashaa Allah
Allah barik
Mashaa Allah mungu amzidishie
Mashallah mashallah mungu awafamyie wepes wote waliojitolea
❤❤❤❤ mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah
😂😂😂 bibi anafurahisha uyu mashaa allah
Mashallah Allah kwakweli huyu amefanya sadakta na Allah ataendelea kupata kheri mpk kufa kwakwe
Jaman Fab ongera sana. Lakini Feb kuchota bura bill ataweza bb kulipa bil?l❤❤❤❤
Maa Shaa Allah
Furaha yangu basi natoka machozi Allah akulupeni kher fabi na wote walochangia hili na jengine Allah awaingize pepon kwa mlango wanaotaka 😢😢😢daah yaani siwezi kuzuia chozi langu
Fabi bibi asiende mtoni afulie hapo nyumbani yeye
Mashaa'Allah ❤❤❤
insha munguawawekee majiya zamzam sikuyahesabu
Mashallah ❤❤❤❤
Masha ALLAH Alhamdulillah
Alhamdulillah ❤❤❤
Majirani wazuri
Alihamdulilah maashaallah majirani wateke napesa ndooo mia
Allah awalipe kheri kwa kila alie jitolea lakini fabi hapo wakati kushawarahisishia kufua kisimani kisa maji yatatumika sn itakuwa shida watayachota hapo wakafue majumbani mwao labda uhofie wakifua hapo wataweka uchafu lakini sio maji kutumika sn itakuwa ngumu au walipie mchango wa maji
Alhamdulilah munguawajaliyenikilalakher
Masha'Allah
Mashallah Mashallah ♥ ♥
Masha allah allah azidi kuwajia lidhiki njema na ya halali inshaall🙏🙏🙏
Nimefurahi
Aaalllahmdulilah yarab
insha allah mirankhasanati yenu wootefabinialojitoleya maji
Bibi❤😂😂😂
Nyie mnaosema bill kwani bomba limeletwa kwa mchango si mtu tu kajitolea hiyo ni sadaka yake..
Mansha'Allah Mansha'Allah
Mashallah
Alhamdulillah mungu awazidishie wote wanao msaidiya huyo mama etu niwapi hapo Jaman?
Sasa ka fab hapo si itakuwa mtu anachota maji anaenda kufulia kwake yy bibi atajua vp
Mashaallah ❤
Allhamdulilah
Naona huyu Fabi amekuwa mbaguzi, ni huyu bibi tu na familia yake kina baba Fadi na jopu lake. Maskini yule mama na watoto wake wadogo na mmoja mgonjwa amemtupa
Wanunue ayo maji. Bili itakua kubwaa. Awato fua mtoni. Minipo paree nimekaa
Italeta ugonvi wesubiri
Kbs ika fabi yupo ht simama imara😂😂
Fabi muguata kulipa
Bora tu wangechangia kidogo maana mtu anaweza sombelea nyumbani anafua usiku anajaza kwa mapipa
SADAKA SII MSIKITINI TU AU KANISANI.HATA KWA WAHITAJI..WACHOYO ACHENI KUSEMA BILI KUBWA.WENYEW WATASIMAMIA.
Bib na hicho kiingilish 😂😂
HUO NI MFANO MZURI SANA WA KUIGWA.TUSIWAACHE WAZEE WETU WATAABIKE.MUNGU AWABARIKI SANA
Tafuta kopo na kufuli awe usiku anafunga asubuhi afungua
Mungo awaongozeni kwenye njia njema
Fabi hiyo bomba iwekewe kifungio na kufuli lake jioni afunge,na ingewezekana majirani wachangie kwa kila ndoo ili pesa imsaidie bibi mahitaji madogo madogo,majirani wanafurahi hapo ila baadae itakuwa fujo tu wala hawataenda kufulia mtoni
❤❤❤😂
Omari awe anawatoza alau sh 200 anaweke. Kuchotesha bure maji bure ilikuwa miaka ya nyuma siku hizi bill ni kubwa mno:itakuja bonge la bill. Halafu watafungiwa bb wa watu akose maji.
Aliyeweka ndo kaamua hivyo dear ni sadaka yake acha tu
Kwakwel @@khadijasayeed3381
Hahaaaaa bibi orait
Mnunulie mkeo gas mtungi mkubwa
Fabi naomba no.yako ya watsap
0719141723
Walipe bili fabi watachota wataenda kufua ndani mwao walipe bili kasoro bibi
🎉🎉🎉🎉
Daah mashaallah allahumma barik Allah awalipe kheri maji ni uhai yani malipo yenu wote mlio wezesha jambo la bibi mtayakuta kwa Allah
Aki bibi huyu sw aki juu ana tufuraisha sana aki❤❤🎉