MAPYA YAIBUKA|MAJIRANI WASUSA MAJI|NAJUTA NANUNIWA NA WATU|WAMEVUNJA KOKI YA MAJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 58

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 2 měsíci +15

    Hata mwezi Bado mimi nilisema ayo maji yataleta majanga na yamesha tokea wanadamu hatufadhiriki Kwa kweli Mungu asaidie yarabi

    • @rayaabdul-gm3hc
      @rayaabdul-gm3hc Před 2 měsíci

      Ndugu yangu sio wewe hata mimi niliongea

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Před 2 měsíci +1

      @@rayaabdul-gm3hc umeonaee Yani ubinadamu kazi ni Bora uyo alio jitolea angejitolea.kwa.bibi tu auze apate pesa kidogo na yeye haepukane na hadha alio kua anapitia kuusu maji lakini kama ivyo ni mtihani isitoshe yeye hana macho majirani ndo msaada kwake unafikili itakuaje SI moja ya Atari Mungu amsaidie na chuki za ao majirani yarabi

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 2 měsíci +5

    ❤❤❤❤ binahadamu kazi hata uwafanyie mema yaina gani ni bire kabisa kwanza hawana wema kabisa sijui tuliumbwa vipi

  • @ashahaji6265
    @ashahaji6265 Před 2 měsíci +6

    Chonyo tu, Africa hii na maendeleo yatachelewa kufika Adrica

  • @mayengoanna7237
    @mayengoanna7237 Před 2 měsíci +5

    Hayo maji weka kibox cha chuma na kufuli

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci +1

    Lakini mimi nilisema lakini nikabazwe. Walimwengu ni shida. Lakini ni ushamba tu. Kweli Feb❤❤❤❤🎉🎉

  • @rehemakanyere4188
    @rehemakanyere4188 Před 2 měsíci +1

    Duh

  • @user-gb3sf9fy2u
    @user-gb3sf9fy2u Před 2 měsíci +4

    Ka fab mnunulie kisanduku na kufuli afunge hapo kwenye bomba

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 Před 2 měsíci +5

    Wangechota kwa pesa tu ili pesa ikalipwe biri

  • @Official83640
    @Official83640 Před 2 měsíci +2

    Bibi anapenda kwenda Kazole nyie huko wapi mnataka kumnunulia 😂😂😂😂😂😂

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 2 měsíci +2

    Shukuran hawana kabisa wadhenzi hao kwanza walipe tuu pumbafu zao shukuran hamna kusema muinuwe mikono kumshukuru mungu mmepata nema ya maji leo mmesahau mlipo kua mnaenda kuchota maji aisse binahadamu kazi kabisa ndo mana mimi nimejitenga na binahadamu siwataki kabisa tambia mbaya roho chafu za kutu

  • @AishaMaganga-vd1jg
    @AishaMaganga-vd1jg Před 2 měsíci +1

    Yaani sisi wa Africa😢 Mungu asimame nasisi! Wivu wanini namaji wanateka ote? Ndiyomaana hatuna maendeleo.

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie Před 2 měsíci

    Maashaallah Fab na Adam nawapenda sanaaa. Wachesh Wachapa kaz Allah awalipe

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q Před 2 měsíci +2

    Binadamu kazi ata ukambeba mgongoni wajisumbuwa, kwaiyo Bb usijali ww simama kwa Allah

  • @OmQrf
    @OmQrf Před 2 měsíci

    Husdaa mtihani mungu akunusuru

  • @user-dg4zc2un1y
    @user-dg4zc2un1y Před 2 měsíci +2

    Binaadam hata utegeze kwa pesa yako choyo king ndo mana hatuendelei kwa choyo au majiran chote icho choyo

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Před 2 měsíci +1

    😂😂❤kichaa kapewa rungu

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 2 měsíci +3

    Hao watu hawana Wema, bora Fabi umtilie bibi kibomba ndani ya nyumba yake

  • @user-dx1hz3ow7k
    @user-dx1hz3ow7k Před 2 měsíci +1

    Binadamu awana shukran kwa kweli mama angu àchana nao Walitaka uteseke

  • @happytsalakushe141
    @happytsalakushe141 Před 2 měsíci

    Nakupenda bure fabi

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 2 měsíci +1

    Hao watu wasichote tu maji maana hawalipi bili wao

  • @user-nv3ff1id4r
    @user-nv3ff1id4r Před 2 měsíci

    mchongee kisanduku awesome anafunga

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Před 2 měsíci +1

    Beii laisi samaki jamani watching from Capetown ❤❤❤

  • @user-my5di6kx3c
    @user-my5di6kx3c Před 2 měsíci

    Kk fabiii vp kuus rehema kumpeleka hospital kwa ajili ya macho yake na kuus kumpelek sisibilatiii kwa ajili ya miguu yakee

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 Před 2 měsíci

    Mungu awakumbuke kwa sadaka hii

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Před 2 měsíci

    Bbib hanakwambia et heeeh😅😅kila kitu et heeh

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Před 2 měsíci +1

    Fabi nunua kile kikopo ufunike na umuwekee funguo

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa8655 Před 2 měsíci

    Eh,,, unabwata😂😂😂😂😂 bibi ana maneno ya mjini👌

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 Před 2 měsíci +1

    Wa swahili hata uwabeba vichwani hawachukuliki maji ni yabibi ndo kawekewa kaona achote na majiraji leo wanaosha madirisha maj8 ni ya kunywa tu na kupikia tu sio kufulia au kuogea akufulia lkini bibi haoni sasa mnafanyi vibaya haswa waswahili hambebeki

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt Před 2 měsíci

      Hawana hisani hata uwafanyie vipi kweli hawabebeki

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 2 měsíci +1

    Binadamu hatuna jema. Yani baada awashukuru kupata maji ya kunywa wanaanza fujo.

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 2 měsíci

    nilijua tu lazima yalete shida kama kawekewa yeye yangemsaidia yeye si kwa ubaya binadam tunajuana wenyewe

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 2 měsíci

    Na mimi nataka ila kiwe sehemu nzuri kiwanja

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 2 měsíci

    ❤❤❤

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 Před 2 měsíci +2

    Weka lile dude la kufunga na kufuli ikifika jioni au akiondoka au uyo anae ona akae na funguo maji kila baada ya siku 3 wana jazaa unafunga siku 3 unafungua

    • @chikujuma18
      @chikujuma18 Před 2 měsíci +1

      Ubinadamu kazi hata wakiacha kuchota bibi mwenyewe kafanyiwa msaada

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 2 měsíci +1

    Nilijuatu kutatokea mtihani

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 2 měsíci +1

    Muwe munafunga siku tatu

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 2 měsíci +3

    Maskin Binaadam hawawezekani choyo kitupu hawamuonei huruma bibi wenyewe haoni

  • @janemusumba820
    @janemusumba820 Před 2 měsíci

    Unge weka box mfunge maji

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj Před 2 měsíci

    Minataka hapo faby

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Před 2 měsíci

    nimewatanihaokambale😅

  • @user-yo8np7ce8n
    @user-yo8np7ce8n Před 2 měsíci

    Fabi yule mm samir mgonjwa wa miguu vp mbona hatumuoni

    • @user-xd9ye7wk6c
      @user-xd9ye7wk6c Před 2 měsíci

      Kuna watu walisema asirushwr Tena wao watasimama nae ndo maana humuoni

    • @user-yo8np7ce8n
      @user-yo8np7ce8n Před 2 měsíci

      Hy Inshaallah asante

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 2 měsíci

    Tia nazi bibi atakuwa mtamu zaidi na pilipili na ndimu

  • @angle3600
    @angle3600 Před 2 měsíci

    Mimi nilijua patatokea maneno,mfereji ungejengewa,na paekwe kufuli,pafungwe mtu akitaka maji apewe funguo watoto pia wasiaribu mfereji kila wakati

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 měsíci

    kambare haliwi 😂 ni kama vile nguruwe samaki mkunga , sungura na ngamia