MTOTO WA BIBI NAE APATA NEEMA|CHUMBANI KWAKE PABADILISHWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2024

Komentáře • 55

  • @user-vs7vv7xd2f
    @user-vs7vv7xd2f Před měsícem +17

    Fabian nakupenda kwa ajili ya Allah napenda unavowakumbusha watu kuswali Allah atakupa kila la kheir inshallah

  • @SibomanaSaida
    @SibomanaSaida Před měsícem +4

    Kabisa swallah ndio kila kitu kabisa mashallah 😘 unawaongoza vizuri kweli

  • @user-uf4xy4ms2m
    @user-uf4xy4ms2m Před 28 dny

    Mashaallah naipongeza D Tv kwakuwajibika na wanyonge.Allah awajaalie jannatu firdausi na wote wenye wanyoosha mkono nahata wale ambao hawajatoa lkni wanawaombea watu hawa.Fab Allah akufungulie milango yakheri na akupe uwezo inshaallah.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před měsícem +8

    Kweli kabisa ibada niyamhimu

  • @rahmakhamis5972
    @rahmakhamis5972 Před měsícem +4

    Fabi huyo OMAR ni wakuvaa Miwani ya kuonea mbali itamsaidia sana kwa hiyo mpeleke hospital

  • @user-my5di6kx3c
    @user-my5di6kx3c Před měsícem +3

    Kk fabiii omary nae apatiwe godor na kitanda inshallah kherii

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f Před měsícem +1

    Nmependa sana kaka ulivyo zungumzia swala 🥰 Allah akufungulie na akupe kila la kheri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před měsícem +2

    Fab mungu atawabariki sana❤❤❤

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před měsícem +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah mungu awalipe wote walio jitolea inshallaah na fabie na adamu mungu awatie nguvu

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Před měsícem

    Niko apo bibi harusi ❤

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před měsícem +1

    ManshaAllah Fabi jaman anawakumbusha kusali Allah akubarik

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 Před měsícem +3

    Swala ndio kila kutu muombe mungu akusimamie kila kitu

  • @bintmansooralhabsi1203
    @bintmansooralhabsi1203 Před měsícem

    Alhamdullah mwenyezi mungu awajalie Fab na kwa wote mlio shikisha kipindi hichi kwa kazi kubwa mnayo ifanya allah atawalipa kwa kila mnachokitoa kwa hali na mali yaraab

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před měsícem +1

    Maa shaa Allah
    Kazi nzuri
    Mwenyezi mungu awazidishie ❤

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem

    Ubarikiwe Sana Fabian na team yako Adam Mungu awabariki sana. Mungu ambariki aliyetoa

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před měsícem +1

    Fabi mpeleke Omar hospital ya macho akapate miwani ya macho itamsaidia kuona mbali na jua, mbarikiwe sana.

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před měsícem +1

    Mungu Akupe mke mwema Fabi haya Fanya Fanya uowe

  • @user-vm5yf8cs2r
    @user-vm5yf8cs2r Před měsícem

    MashaAllah Gani Allah akupe KILA la kheri InshaAllah
    Imekbudha swalaa Ibadan MUHIMU SANA

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j Před měsícem +1

    Kk fabi wewe owa tu tuandae sale😂😂

  • @fatumadiwani4098
    @fatumadiwani4098 Před měsícem

    Mashaallah fabi ,umefanya kazi nzuri kumsaidia bibi na omari ,sasa omari avae miwani ya jua maana jua linaharibu macho

  • @user-my5di6kx3c
    @user-my5di6kx3c Před měsícem

    Nimekua wa kwanza leoo jmani mashalla kk fabiii na Adamuu Allah awalipe badala inshallahh 🤲

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Před 14 dny

    Bora kaongea ukweli

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem +3

    Vizuri unawakumbusha kufaya ibada

    • @safiyaalmaamari4991
      @safiyaalmaamari4991 Před měsícem

      Fabi na msaidizi wako Mumgu awajalieni mna fanya vizuri kwa Ajili ya Allha

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Před měsícem

    Mashallah fabi Allah Akujaalie Mwisho mwema Inshallah

  • @user-nl8my3ye5d
    @user-nl8my3ye5d Před měsícem +1

    Fabi pz mtafutie omari miwani pie

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před měsícem +1

    Mashuka mazuri mashallah

  • @hamidakhamis-ir5qv
    @hamidakhamis-ir5qv Před měsícem

    Mashallah Allah awajalie maisha yafuraha na mepesi inshaallah

  • @user-dx1hz3ow7k
    @user-dx1hz3ow7k Před měsícem

    Mashaallah Allah awalipe wote waliojitolea Na awalipe kher Fabi na Adamu kwa ukumbusho wenu hibada ndo kira kitu

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie Před měsícem

    Omar Allah atakuponya mdogo wangu

  • @halimakiwiku9199
    @halimakiwiku9199 Před měsícem

    Allah awalipe kheri kwa waandaaji na wachangiaji wa kipindi

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 Před měsícem

    Masha ALLAH

  • @user-gd6kt9hu3t
    @user-gd6kt9hu3t Před měsícem

    Bado kofia

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 Před měsícem +1

    Fabi kwanini omary asipelekwe veta asomee ufundi

  • @user-dy9yk8po6d
    @user-dy9yk8po6d Před měsícem

    Mbarikiwe saana jmn

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před měsícem

    ❤❤❤

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Anamatatizo gani ya macho msaidieni akiwa haoni nani atamsaidie mama ake wote wakiwa haoni mwenyezi mungu amsaidie mumpeleke akapimwe ubovu ni nini

  • @user-sq6sl3tb3j
    @user-sq6sl3tb3j Před měsícem

    Fabi 😂😂 oa bn

  • @user-dl1gy9pe1g
    @user-dl1gy9pe1g Před měsícem +1

    🤲🤲

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Před měsícem +1

    Mpigieni plasta na juu kunaa uwazi

  • @khadijamansoor7415
    @khadijamansoor7415 Před měsícem

    Mpeleke madrasa

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Před měsícem

    apate miwani pia

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 Před měsícem

    Sasa kanzu bila kofia

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 Před měsícem

    Ww Fabian ndiye ulikuwa maximum tv au?

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie Před měsícem

    Fab ww Fab ww sina la kusema Allah akulipe uko vizr kuwahimiza watu kufanya ibada . Ibada ndio kila kitu

  • @aminahussein7707
    @aminahussein7707 Před měsícem

    Where can I donate to help her out?? - From US

  • @AshaSaid-gy2tg
    @AshaSaid-gy2tg Před měsícem

    Fabi mm naitakji msaada wa kitanda lakini navaa ijabu kisheria

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c Před měsícem

    Kaka faby naomba namba yako ya wasaph ndugu yangu si kwa ubaya mm sipo tz nahitaji kuongea na wewe huko inshaallah

  • @user-dw5ce3ht6c
    @user-dw5ce3ht6c Před měsícem

    Fabll mzima wewe