Mashaallah naipongeza D Tv kwakuwajibika na wanyonge.Allah awajaalie jannatu firdausi na wote wenye wanyoosha mkono nahata wale ambao hawajatoa lkni wanawaombea watu hawa.Fab Allah akufungulie milango yakheri na akupe uwezo inshaallah.
Alhamdullah mwenyezi mungu awajalie Fab na kwa wote mlio shikisha kipindi hichi kwa kazi kubwa mnayo ifanya allah atawalipa kwa kila mnachokitoa kwa hali na mali yaraab
Fabian nakupenda kwa ajili ya Allah napenda unavowakumbusha watu kuswali Allah atakupa kila la kheir inshallah
Kabisa swallah ndio kila kitu kabisa mashallah 😘 unawaongoza vizuri kweli
Mashaallah naipongeza D Tv kwakuwajibika na wanyonge.Allah awajaalie jannatu firdausi na wote wenye wanyoosha mkono nahata wale ambao hawajatoa lkni wanawaombea watu hawa.Fab Allah akufungulie milango yakheri na akupe uwezo inshaallah.
Kweli kabisa ibada niyamhimu
Fabi huyo OMAR ni wakuvaa Miwani ya kuonea mbali itamsaidia sana kwa hiyo mpeleke hospital
Kk fabiii omary nae apatiwe godor na kitanda inshallah kherii
Nmependa sana kaka ulivyo zungumzia swala 🥰 Allah akufungulie na akupe kila la kheri
Fab mungu atawabariki sana❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah mungu awalipe wote walio jitolea inshallaah na fabie na adamu mungu awatie nguvu
Ameen yaarab
Niko apo bibi harusi ❤
ManshaAllah Fabi jaman anawakumbusha kusali Allah akubarik
Swala ndio kila kutu muombe mungu akusimamie kila kitu
Alhamdullah mwenyezi mungu awajalie Fab na kwa wote mlio shikisha kipindi hichi kwa kazi kubwa mnayo ifanya allah atawalipa kwa kila mnachokitoa kwa hali na mali yaraab
Maa shaa Allah
Kazi nzuri
Mwenyezi mungu awazidishie ❤
Ubarikiwe Sana Fabian na team yako Adam Mungu awabariki sana. Mungu ambariki aliyetoa
Fabi mpeleke Omar hospital ya macho akapate miwani ya macho itamsaidia kuona mbali na jua, mbarikiwe sana.
Mungu Akupe mke mwema Fabi haya Fanya Fanya uowe
MashaAllah Gani Allah akupe KILA la kheri InshaAllah
Imekbudha swalaa Ibadan MUHIMU SANA
Kk fabi wewe owa tu tuandae sale😂😂
Mashaallah fabi ,umefanya kazi nzuri kumsaidia bibi na omari ,sasa omari avae miwani ya jua maana jua linaharibu macho
Nimekua wa kwanza leoo jmani mashalla kk fabiii na Adamuu Allah awalipe badala inshallahh 🤲
Bora kaongea ukweli
Vizuri unawakumbusha kufaya ibada
Fabi na msaidizi wako Mumgu awajalieni mna fanya vizuri kwa Ajili ya Allha
Mashallah fabi Allah Akujaalie Mwisho mwema Inshallah
Fabi pz mtafutie omari miwani pie
Mashuka mazuri mashallah
Mashallah Allah awajalie maisha yafuraha na mepesi inshaallah
Mashaallah Allah awalipe wote waliojitolea Na awalipe kher Fabi na Adamu kwa ukumbusho wenu hibada ndo kira kitu
Omar Allah atakuponya mdogo wangu
Allah awalipe kheri kwa waandaaji na wachangiaji wa kipindi
Masha ALLAH
Bado kofia
Fabi kwanini omary asipelekwe veta asomee ufundi
Mbarikiwe saana jmn
❤❤❤
Anamatatizo gani ya macho msaidieni akiwa haoni nani atamsaidie mama ake wote wakiwa haoni mwenyezi mungu amsaidie mumpeleke akapimwe ubovu ni nini
Fabi 😂😂 oa bn
🤲🤲
Mpigieni plasta na juu kunaa uwazi
In shaa Allah
Mpeleke madrasa
apate miwani pia
Sasa kanzu bila kofia
Ww Fabian ndiye ulikuwa maximum tv au?
Ndiyo huyu alikua na Zahir
Fab ww Fab ww sina la kusema Allah akulipe uko vizr kuwahimiza watu kufanya ibada . Ibada ndio kila kitu
Where can I donate to help her out?? - From US
+255719141723
Fabi mm naitakji msaada wa kitanda lakini navaa ijabu kisheria
Unamatatizo gani my dear
Kaka faby naomba namba yako ya wasaph ndugu yangu si kwa ubaya mm sipo tz nahitaji kuongea na wewe huko inshaallah
Fabll mzima wewe
Mzima za kwako