FURAHA YAREJEA|UTAPENDA MANENO YA HUYU MTOTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 54

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 2 měsíci +10

    Mmmh uyu mtoto ameniliza kwa kweli ana maneno ya busara kama mtu mzima mashallah ❤❤

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 2 měsíci +11

    Kaka fabie na team yako nawaombea dua kwa allaah ajitokeze mtu mwenye roho ya mapenzi na iman awanunulie gari kazi mnaofanya ni kubwa sana mbele ya allaah mungu atawalipa kwa kazi mnaofanya

  • @leylam2121
    @leylam2121 Před 2 měsíci +4

    Mashallah mashallah mtoto anamaneno ya hekma allah akujalie kila lakher mwanangu

  • @user-sh9jl2hx4u
    @user-sh9jl2hx4u Před 2 měsíci +3

    Ya ALLAH! Ipokee Dua ya mtoto huyu na kwa baraka ya Dua hiyo walipe mazuri wote wale wadau wa DTV Amin

  • @erinestangowi7785
    @erinestangowi7785 Před 2 měsíci +2

    Mama yetu msafi mashaAllah mpe hongera kwa usafi sio watu wengine unashida mbaka usafi wanashindwa kufanya usafi ni muhimu hatakama unashida wajitahidi usafi

  • @Fatima1234-wl1nu
    @Fatima1234-wl1nu Před 2 měsíci +4

    Alhamdulillah nashukuru mungu kwa wote mliyojitolea kwenye hii family hii mtalipwa mara mbili kwa mlichokitoa

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 2 měsíci +4

    😢😢😢😢mungu awalipeni wote mlie jitolea kwa ajili ya allaah

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 2 měsíci +4

    Mashaaallah Allah Awazidishie baraka tele katika utafutaji wa Riziki Tunayoiomba ni Furaha tuu

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 Před 2 měsíci +2

    huyu mtoto jaman anaongea kama mtu mzima hadi machozi yamenitoka❤️

    • @zuhrazuhra637
      @zuhrazuhra637 Před 2 měsíci +1

      Ni mdogo ila anajitambua Mashaallah, malezi ya bibi ni mazuri mno

    • @khadijasayeed3381
      @khadijasayeed3381 Před 2 měsíci

      @@zuhrazuhra637 Kabisa yaan kalelewa vzr sana

    • @azaniasaidi93
      @azaniasaidi93 Před 2 měsíci

      Mashaa'Allah mtoto mzur leo kafurahi ❤

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤ mashallah hongeren fabi na Adam pamoja na wanaotoa misaada mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah shukuran kwa kuongea furaha ya hii family

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤ninacho mpmpendea bibi nimsema kweli kwaungine mtu angesema nina umwa lakini yeye haseni uongo

  • @AAs-qw7fs
    @AAs-qw7fs Před 2 měsíci +1

    Masha Allah yuajibu vzr nimependa kwa kwel jmn❤

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa Před 2 měsíci

    Nimefurahi sana mwanangu usome kwa bidii Mungu atakusimamia

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 2 měsíci +1

    MashaAllah ❤❤❤ Alhamdulillah

  • @fatumamasudi4963
    @fatumamasudi4963 Před 2 měsíci

    Mashallah kaka feiba na kampunu yako, Allah atawalioa kila lakhery

  • @munirasallim6450
    @munirasallim6450 Před 2 měsíci +3

    Kumbe huyu mtoto n msichana interview Ile nyingine nilimuona kma mvulana

  • @UmJibreel-fo2gr
    @UmJibreel-fo2gr Před 2 měsíci

    Mashallah Allah awalip Kila mweny amejitolea

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 2 měsíci

    Mtoto anahekima mashaallah ❤❤

  • @SalmaSamiry
    @SalmaSamiry Před 2 měsíci +1

    Mashaallah allahumma barik mwenyzimungu ni mkubwa wallah kila alie toa alla amzidishie ameen

    • @SalmaSamiry
      @SalmaSamiry Před 2 měsíci

      Mashaallah mtoto anajua kujieleza vizuri Allah ambariki 😢😢😢

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 2 měsíci +1

    Allah atakupa nguvu zaidi

  • @tato8979
    @tato8979 Před 2 měsíci +1

    Kazi nzuri fabi mungu akubariki sana

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie Před 2 měsíci

    Maashaallah huyo mtt yako vizr.
    Fab ,Adam na wengne wote Allah awalipe kheir

  • @user-uo3xz4do6l
    @user-uo3xz4do6l Před 2 měsíci

    Mashaallah ❤

  • @user-cb2us2nu2m
    @user-cb2us2nu2m Před 2 měsíci +1

    MUNGU AKUBARIKI FABY

  • @hyy4114
    @hyy4114 Před 2 měsíci

    Allahumma Ameen hbbty uliniliza sana nashukuru sana leo kuona umepata fraha

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před 2 měsíci

    Bibi ni msafi sana mashaa allha

  • @JohanMwambage
    @JohanMwambage Před 2 měsíci

    Jamani mungu ni mwema nililia sana sikuile mtoto aliniliza asante mungu

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 2 měsíci

    Manshallaah bibi leo kaipata furaha kisha bibi aonyesha ni msafi ni juu maisha yanampiga lakini usijali bibi inshallaah huo ndo mwanzo

  • @mariamissa4029
    @mariamissa4029 Před 2 měsíci +1

    mashaallah mtoto ananeno mazuri na hekma❤❤

  • @user-nd8gg4ig7m
    @user-nd8gg4ig7m Před 2 měsíci

    Mtoto anamaneno ya busara mpaka machozi yamenitoke😢😢

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 2 měsíci

    Mwaambie awe anasoma dua kilasiku akiamka asubuhi najioni pia aswali sana ajitahidi

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe Před 2 měsíci

    Aminaa❤❤❤❤ mungu akubariki ndugu mwandishi

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 2 měsíci

    Aaallahmdulilah

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn Před 2 měsíci

    Allaah humma amiin

  • @user-ft2vq5on6l
    @user-ft2vq5on6l Před 2 měsíci

    Wenye uwezo wanunulieni gari kaka fabi wanatembea sana kwa miguu

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 Před 2 měsíci

    Mashallah ❤❤

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Před 2 měsíci

    MashaAllah na shule ya likoni

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 2 měsíci

    Nimefurahi sana

  • @user-fh8gh5ws5g
    @user-fh8gh5ws5g Před 2 měsíci

    😢😢

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 Před 2 měsíci +1

    Yaan huyu wakiume kafanana na bibi yake balaa

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Před 2 měsíci

    Huyo kaka akumpa lodi ya miezi minne ampe na ushaidi binadamu atuaminiki na pia watangazaji lazima muwepo ata kumlikodi kinyemela ili ushaidi

  • @yusraahmed4414
    @yusraahmed4414 Před 2 měsíci

    Kaa fabi Kwa Sisi watu wa Kenya mchango wetu twatumana vipi?tafadhali naomba kujuwa

  • @fatumamasudi4963
    @fatumamasudi4963 Před 2 měsíci

    Mashallah kaka feiba na kampunu yako, Allah atawalioa kila lakhery