Mambo 7 ukimfanyia Mkeo atakuwaza muda wote - Madam Leilah Aboubakar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 131

  • @abdallahlugongo4738
    @abdallahlugongo4738 Před 7 měsíci +8

    Dada kweli kabisa Maneno yakoo, unajuwa, Mungu akuongozee vema katika maisha yako yote

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx Před 7 měsíci +7

    Mashallah nimepata mume Asante mungu Kwa hii zawadi

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 7 měsíci +8

    Mash Allah tabarak Allah kheri, Jazzak Allah kheri, madam mola akupe elimu nyingi Zaid, na Afya na umri wenyemanufaa Ili tuendelee kunufaika inshaallah

  • @jumaseifjuma4185
    @jumaseifjuma4185 Před 6 měsíci +1

    Ahsante mama siye wazee tumeyashuhudia hayo. Mungu akuzidishie kwa darsa hizi.

  • @abouansaaraboubakar1376
    @abouansaaraboubakar1376 Před 18 hodinami

    Al'hamdulillah kwa mashauri mazuri sana

  • @user-lp2hg4qm5s
    @user-lp2hg4qm5s Před 5 měsíci

    MashaAllah baraka wah alakulipe jitihada yako katika kufikisha elimu kwa umma.na akuzidishiye elimu nyingi zaidi na busara na au hekiman na ukupenuru zaidi shangazi yangu.

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 7 měsíci +2

    Masha'allah nimepata lafudhi. Yake kama MTANGA ivi.. ahsante kwa darsa.mungu akulipe kheri ❤

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 7 měsíci +4

    Malezi na tabia, umechagua kozi nzuri na yenye kuleta maana. Asante kwa kushea. Mahusiano mengi ya Watanzania yapo kimazoea na wapendanao wengi hawakupata elimu ya kiroho, kimwili na mazingira. Ukosefu huo ndio huleta mizozo na isipopatanishwa na kusuluhishwa, basi mahusiano hufa.

  • @user-lz3vk5yb4d
    @user-lz3vk5yb4d Před 4 měsíci +1

    Shukrani dada❤❤❤ nimepata SoMo nakaribia kuongea kwenye doa🎉🎉

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 Před 7 měsíci +2

    Jazakillahu Khaira Ya Ukhti Kwa Kutupa Elimu Mubasharatan Allah Barik

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před 7 měsíci +24

    Mke wangu mm akiniagiza kitu hata kama hujampa hakasiriki anajibu inshallah rabi atatupa😂ila ikipigwa simu nikipokea akisikia sauty ya kike ugomvi unaanza 😂kumbe mara nyengine ni bimaza wangu ndio naongea nae humpa simu hio akiishika kumbe ni bimaza wangu😂

  • @jmm1840
    @jmm1840 Před 19 dny +1

    Dada ndoa ngumu
    Kawaida mwenye ndoa ni mume.Mke mtunza ndoa.
    Wengi tunaoa,Mnaolewa hamjui maana ya ndoa.
    Kumbu kwenye ndoa mmekutana watoto wawili.Kila mtu anahitaji kubembelezwa kwa wakati wake. Wengi wazee na viongozi wa dini kufungisha tu ndoa,Lakini wanasahau kuwaweka pamoja na kuwaeleza nini maana ya ndoa kwa mapana na marefu.Wanachokumbuka akamvumilie mume kwa shida na raha.Kumbukeni shida zipo.Raha zipo hata kwenu iwe mume au mke.Jee ziada ya hayo huwaambia wanandoa?Wanandoa wengi hawaijui ndoa.Jee! Msipowaelekeza hawatoijua ndoa inataka nini kutoka kwao.Na wao wanataka nini kutoka kwenye ndoa.
    NDOA NGUMU
    JIHESHIMU MKE
    JIHESHIMU MUME
    HESHIMU MAJUKUMU YAKO
    HESHIMU MIPAKA YAKO.
    RIDHIKA NA FUNGU LAKO
    MTAMBUE MUMEO
    NA MUME MTAMBUE MKEO
    MTAISHI MPAKA MTACHOKANA MIILI KWA
    KUZEHEKA PAMOJA.
    فلندعو الله كثيرًا لأن عالم اليوم مليء بالامتحانات.

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 Před 6 dny

    Mungu waajabu sana huyu pia saingine ana mkera mume wake madamu uko poa sana

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 Před 6 měsíci +1

    Maashallah Baarakallahu fiik
    Jazaakllahu khaira
    Katk darasa la leo
    Kitu kimoja umekisahau darsa hii ingetimia
    Wanaume tunatamani na sisi kuombwa kitandani
    Mara nyingi tunaomba sisi au mpaka tulazimishe kama kuku vile wanavofukuzana.

    • @cheka480
      @cheka480 Před 6 měsíci

      Hahahahaha nimecheka sana Allah awapatie maelewano naomba muongee na mkeo atajirekebisha

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Před 7 měsíci +5

    Maadam Leyla kwanza napenda vile tu unaongea kwa upole na utaratibu ukichanganya na kiswahili chako kizuri,hongera sana.Mm nimekuwa nikikufuatilia sana mafundisho /ushauri wako mzr na nimejaribu uufanyia kz na kupata matokeo,MUNGU akubariki sana kwani kila nikikusikiliza napata faida na nimekuwa wa kujirekebisha kwa kupitia mafundisho yako,Ahsante nakushukuru.Naomba no.yako

  • @MuhamdJuma-ix3uu
    @MuhamdJuma-ix3uu Před 7 měsíci +6

    Kwa hali tuliyonayo sasa hivi kuna haja masomo kama haya kusomeshwa vijana wetu kama elimu ya lazima ili kuokoa ndoa zoa wakati watakapoingia kwenye ndoa.

  • @jumajuma8263
    @jumajuma8263 Před 7 měsíci +2

    Mashaallah Allah akupe umr mrefu dada

  • @erickmachalo-ol6mg
    @erickmachalo-ol6mg Před 6 měsíci

    Dr uko vzr, nimekusoma sana tena umenifanya nijue namna kuka na mke wangu

  • @user-xd9fl6hr2k
    @user-xd9fl6hr2k Před 7 měsíci +1

    maahaallah .maudhui straight to the points.allah akubariki

  • @rajabupetekwa5210
    @rajabupetekwa5210 Před 4 měsíci +1

    Mashallah mashallah akhsante sn nimepata SoMo alhamdullialh

  • @ayubujuma8346
    @ayubujuma8346 Před 7 měsíci +2

    Mashallah, hongera sana

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 7 měsíci

    Dr Leila Aboubakary, Mwenyezi Mungu akuondolee mabalaa.Akujaalie MWISHO mwema.Utafiti Wangu si rasmi,ila zipo ndoa NYINGI Wanaume angalau wanasali sala tano ila WANAWAKE Wallah WANAWAKE sala hawataki kuisikia.Mada kuu Utii kwa MUME nimekusoma sasa hili limekaaje lo saikilojia

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Před 7 měsíci

      Wanaume wako pia wabishi wa swala...Allah Atuongoze Yarrab

  • @saadasaid1764
    @saadasaid1764 Před 7 měsíci +1

    💞💞💞 allah akulipe kheri yaan masha allah

  • @erickmachalo-ol6mg
    @erickmachalo-ol6mg Před 6 měsíci

    Dr mungu akujalie nimepata daraza nzr sana

  • @alifaki5043
    @alifaki5043 Před 6 měsíci +3

    Ata ukipiga kwa madam lela kutaka ushauri ashakupigia kukufokea 😂😂😂

  • @user-vr2uj9cn7o
    @user-vr2uj9cn7o Před 6 měsíci +1

    Masha Allah mafundisho mazuri

  • @ZandaKingfujo-tx5gb
    @ZandaKingfujo-tx5gb Před 6 měsíci +1

    Mashaallah dada ipo haja hata walimu wetu wa dini wafundishe sana mambo hayo maana hali ilivyo kwa Sasa kila mmoja ywajua hakuna kuambiana😂

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 Před 7 měsíci

    Mim nahukuru nipo kwa bahari naogerea mpaka nakalibia kuzama na utam alhamdullilah ila mie tu ndio bado nqzingua allah aniongoze niwe mume bora zaidi inshallah

  • @alakhy1-yi2pn
    @alakhy1-yi2pn Před 7 měsíci +2

    Mashallah namkubali sanaaaa huyu ❤❤❤❤

  • @a.856
    @a.856 Před 7 měsíci +2

    Jazakallah khayran

  • @amanitoza
    @amanitoza Před 7 měsíci +1

    Ma Shaa Allah

  • @RamadhaniMaarifa
    @RamadhaniMaarifa Před 7 měsíci

    Really tunapenda kweli kuwapelekesha mkitufuatilia

  • @user-sq1jf5ik4c
    @user-sq1jf5ik4c Před 6 měsíci

    Somo zuri dada mashallah ila wanaume wanachipuka sn ndio tukaangalia cm zao

  • @highhigh7476
    @highhigh7476 Před 7 měsíci

    Mashallah sister it's good advice

  • @user-rt5yn9qq3i
    @user-rt5yn9qq3i Před 7 měsíci

    Asante sana madam leila

  • @thureajuma9055
    @thureajuma9055 Před 7 měsíci +4

    Madam umenishushia gunia la misumari kichwani apa kwenye kupekua simu hatari asante madam

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z Před 6 měsíci

    Nkweli dadaa ubarikiwe sana kwasomo

  • @AllySalum-ce3ix
    @AllySalum-ce3ix Před 7 měsíci +3

    Umeongea ukweli Ukhty, Lakni Sizani Kama Wake zetu wanayajua haya. Alla awaongoze Wake zetu wawe wenye kuyaelewa Haya. Na sisi wanaume Tujitahid kutambua majukumu yetu

    • @sein.208
      @sein.208 Před 7 měsíci +1

      Amiyn yaa Rabby

  • @user-th8tz9xv3z
    @user-th8tz9xv3z Před 6 měsíci +1

    Mashaallah ❤

  • @Lucybalele9419
    @Lucybalele9419 Před 7 měsíci

    Umebarikiwa sana mashaalaah

  • @abdallahsalim1318
    @abdallahsalim1318 Před 6 měsíci

    Madam leilah changa moto katika ndoaa nikawaida lkn tunapitia mitihani sana

  • @moanaali525
    @moanaali525 Před 7 měsíci

    MashaAllah uko na mawaidha mazuri

  • @idrissabakari8879
    @idrissabakari8879 Před 6 měsíci

    Nikiridhia anachojali mkewe wangu(yeye Ni darasa kwangu zaidi ya mwalimu),namjali kwa kujifunza kwa uchanya/uhasi-simu ikiita siulizi kwa zuri ama baya Lina makusudi(nafsini mwake)mie Ninaangalia usalama zaidi ya maono ya amani yake kuliko( yetu)

  • @EshaSalimAlly
    @EshaSalimAlly Před 4 měsíci

    Wanaume wanapenda kufanyiwa vizur lkn wao kuwajali wake zao ni moja kwa kumi, mwanamke akiwa na kipato mwanaume hajikusi kumpa mke mahitaji

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 Před 7 měsíci

    Asaante madam wangu Leyla nakupenda Sana.

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Před 7 měsíci

    Masha Allah

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x Před 6 měsíci

    Ubarikiwe

  • @rashidamashaallahnyimbohio1664

    Mashaallah mawaidha mazuri sana

  • @user-of8gi7uz4o
    @user-of8gi7uz4o Před měsícem

    😂😂😂😂 ashaowa😂😂 kazi kwel

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 Před 7 měsíci

    Hakika ukhti leilah.maneno yako kuntu..ila mwanamke au mwaume.akiwa nakushuku shuku sana.basi ujue nisaliti.no.1.huo ndio ukweli

  • @theresareed8537
    @theresareed8537 Před 7 měsíci

    Jambo tuko pamoja Mimi Michael kutoka America Arizona

  • @abdallahlugongo4738
    @abdallahlugongo4738 Před 7 měsíci

    Hongera sana dada

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 Před 7 měsíci

    Mamboooooooo7 Ni mengiiii punguzaa iwe 3 hayooo Ni mengi😢

  • @Mosalarmosalar
    @Mosalarmosalar Před 4 měsíci

    Hupo vizuli kwa kutoa elim

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr Před 6 měsíci

    Tatizo Nyinyi wanawake mnataka mufanyiwe kila ki2 kuliko Nyinyi amuwafanyii wanaume

  • @user-sz3hn7zz8c
    @user-sz3hn7zz8c Před 7 měsíci

    Nimejifunza Allah akulipe

  • @sharifafatawy9874
    @sharifafatawy9874 Před 7 měsíci

    Mashallah ❤

  • @al-aminbaruan6167
    @al-aminbaruan6167 Před 6 měsíci

    Sawa, kutoa ushauri unaolenga kujenga mahusiano baina ya wanandoa sio jambo baya kama itachungwa misingi ya kisheria kwa kuzingatia MZUNGUMZAJI, PAHALA ANAPO ZUNGUMZIA, WALE ANAO ZUNGUMZA NAO na WAKATI ANAO ZUNGUMZA.
    Lakini pamoja na hivyo, 'SASA MAPICHA YANINI????!!
    MCHENI ALLAAH.

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 Před 7 měsíci

    ❤❤nikikaribia kuolewa nitakuita unipe somo kwaza

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před 7 měsíci

    mashallah dada

  • @TunzaHilal-ok2zg
    @TunzaHilal-ok2zg Před 7 měsíci

    Jazaqallahu kher

  • @user-ff7bh7vq3y
    @user-ff7bh7vq3y Před 6 měsíci

    Fact ❤

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 6 měsíci

    Upo sawa

  • @user-gf2tg6vo3q
    @user-gf2tg6vo3q Před 6 měsíci +1

  • @gharibaltiwany8165
    @gharibaltiwany8165 Před 7 měsíci +1

    Hamna lolote bin Adam hata umfanyie nini hashukuru

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 Před 7 měsíci

    mi napenda sana ulivyo mstafi una stara na staha

  • @user-mr7sb3wd9g
    @user-mr7sb3wd9g Před 7 měsíci +2

    Wajifia😂😂

  • @AMUUNEWVISSION
    @AMUUNEWVISSION Před 6 měsíci

    Mash Allah Dada Leila unajua

  • @user-qs2ug9px2c
    @user-qs2ug9px2c Před 7 měsíci

    Maashanlla dada hongere sana

  • @ahmedosman7698
    @ahmedosman7698 Před 7 měsíci

    Eee ni ukweli madam leila tuko na tamaa sana na iyo ni mbaya sana tamaa ya fisi ata mimi huwa na iyo ugonjwa ya tamaa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 4 měsíci

    Mzee baba kwenye Heshima,+cm ,ndoo balaaa,babaangu,,ucpime balaalake,

  • @mediization
    @mediization Před 7 měsíci

    Mashaallah

  • @ahmedsalehe9489
    @ahmedsalehe9489 Před 6 měsíci

    Dada angu nisaidie mimi nahitaji mke mwema mwenye tabia nzuri na dini

  • @andrewbanda3287
    @andrewbanda3287 Před 5 měsíci

    Nikweli dada mambo yote nikweli

  • @bakariathmanathman2187
    @bakariathmanathman2187 Před 7 měsíci +5

    Mm ndio niko kwenye shimo lamoto lenyewe maana hasikizi hizi mada kabisa 😢

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  Před 7 měsíci +1

      usiache muombea Dua

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 Před 7 měsíci

      Sio fungu lako hilo ila unajipa moyo kuamini kuwa ata badilika. Kumbuka ngozi ya futi kujikunja ni maumbile yake

    • @jumahamisi9328
      @jumahamisi9328 Před 6 měsíci

      😂😂😂

    • @jumahamisi9328
      @jumahamisi9328 Před 6 měsíci +1

      unapigwa kaka

  • @hassanaliamin1104
    @hassanaliamin1104 Před 2 měsíci

    Madam Leilya naomba namba yako ya simu tafadhali

  • @nassoromwakwandika6293
    @nassoromwakwandika6293 Před 7 měsíci

    Madam Leyla. Leo ndoo awali,kukuskiza,umenigusa n ningependa nipate contacts zako kwa msaada w kibinafsi.nitashuru

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Před 5 měsíci +1

    🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤

  • @kateranyahussein5385
    @kateranyahussein5385 Před 6 měsíci

    Nimefuatilia saanaa mada zako hakika wewe mwenyezimungu akulipe pepo kwani unaongea ukweli na uhalisia WA maisha ya wanandoa Kwa mujibu wa misingi ya dini.

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 Před 6 měsíci

    Hawa wajuwaji ndo wanatesa sana wanaume

  • @user-qe7yk2xr8y
    @user-qe7yk2xr8y Před 7 měsíci

    Maa Shaa Allah. Allah akubarik. Namba yako please

  • @wilohassan863
    @wilohassan863 Před 5 měsíci

    Nakama hakushukulikii jamani utafanya aje

  • @user-ty3mq3qm4k
    @user-ty3mq3qm4k Před 6 měsíci

    Mafundisho mazuri

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 7 měsíci

    Tunakuwa tamaa kwa chakula cha nje kutokana na mapishi ufundi na mikao tafauti kitandani usafi na umbo limejaa.sio mlalo mmoja Tu ukiambiwa ubadilishe hamuwezi ukiweza hayo mume haendi kula nje

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 Před 6 měsíci

      Utamaliza dunia nzima kwa hilo ndugu yangu bado wanazaliwa na wanaendelea kuzaliwa. Ningekushauri bora hata usiowe.

  • @mrishofaraji6100
    @mrishofaraji6100 Před 6 měsíci

    Kwani we Bi Layla umeolewa.? 🙈

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 Před 6 měsíci +1

    Mm nimeowa lkn kiukweli mm huwa sipende kelele kabisa, yani nikitoka kazini natamani akili yangu ipoe, lkn mmh utulivu haupo, bora nirudi jioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooni

    • @arjanjunior1452
      @arjanjunior1452 Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂 kwamba jioooooooooni

  • @mariamswalehe3312
    @mariamswalehe3312 Před 7 měsíci

    Natamani sana nipate mawasiliano yako tuongee unisaidie

  • @user-su4xb7ml3w
    @user-su4xb7ml3w Před 7 měsíci

    Ni mm mwanakombo kalefu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před 7 měsíci +2

    Dada layla katika picha zako ulizotuwekea ni watu weupe tu za mahaba. Lakin watu wesi hatupo au hatuna mahaba kazi yetu ni mapigo tu hahaha

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 Před 7 měsíci +1

    Hakuna mambo ya kufanya mkadumu daima hapo utatudanganya tu,ndoa inadumu kwa kuvumiliana tu mengine blah blah blah tu.

    • @jumaseifjuma4185
      @jumaseifjuma4185 Před 6 měsíci

      Si kweli hizo ni fikra zako finyu na bado hujaijua maana ya kuvumiliana.

    • @nasirmohamed1589
      @nasirmohamed1589 Před 6 měsíci

      @@jumaseifjuma4185 matusi hayatakusaidia kitu jibu hoja mm sijatusi

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa Před 7 měsíci +1

    Mtu una wake wanne utaweza wapi kufanya hayo,labda usiwe shughuli nyingine Zaidi ya hayo mnayoita mapenzi

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 Před 7 měsíci

    Assalamu alaykum naomba namba za madam leyla nnahitaji kujifunza zaid masomo yake insha allah

  • @davidkisinini8855
    @davidkisinini8855 Před 6 měsíci

    Dada zuri kweli hili sijui kaoelewa ama?

  • @ahmedmagoma8831
    @ahmedmagoma8831 Před 7 měsíci +1

    Naomba namba yako madam leilla

  • @abdallasarai6327
    @abdallasarai6327 Před 7 měsíci

    Kuna watu wana bahati kupata wakwe kama wewe, how i wish.

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Před 6 měsíci

    Amani iwe nawe bi leilah

  • @daudymbukwa5495
    @daudymbukwa5495 Před 7 měsíci

    Nmip

  • @user-su4xb7ml3w
    @user-su4xb7ml3w Před 7 měsíci

    Dada nikweli hapo wanaume hawapendi hiyo hali

  • @shafiisaidi3611
    @shafiisaidi3611 Před 7 měsíci

    Well,naweza pataje namba za dada etu mtoa mada?

  • @AbdallahMuya-bu4xo
    @AbdallahMuya-bu4xo Před 7 měsíci +1

    Unakituchako mbinguni

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 7 měsíci

      BINGUNI TENA KITI GANI ICHO?