Mkeo akifanya haya muache - Leilah Aboubakar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 86

  • @man4nikaah
    @man4nikaah Před 4 měsíci +4

    Assallam aleiykum warahmatullahi wabarakaatúhu shida pesa sipati mke .... Wamchao Allah mfano wa Mama yetu Khadija RA wakowapi ,,,

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Před 6 měsíci +7

    Nikipata km huyu naoa ndani ya mwezi mmoja tu👏👏👏🙏🙏

  • @diagfinamix1861
    @diagfinamix1861 Před 6 měsíci +20

    Mama una urembo fulani basi kuwa unaweka niqab , miongoni mwa sisi basi wamoja wakiona sura ya kike khaswa ya kupendeza kama ya kwako roho zina dunda na hilo we ni mwalim unalijuwa kilikoni. Allah allam. Wakuli support hili basi weka like hapo chini.

    • @HusseinLimbe
      @HusseinLimbe Před 6 měsíci +4

      Tafuta mke uoe shekhe 😁

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma Před 6 měsíci +1

      Swadakta

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma Před 6 měsíci +3

      ​@@HusseinLimbekwani mtu akiwa na mke hwawezi kutamani mwanamke mwingine?

    • @Switielie
      @Switielie Před 6 měsíci +1

      Khaaaaaa,

    • @neymarsalah2240
      @neymarsalah2240 Před 6 měsíci +1

      Acha upwiru ww😂

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p Před 7 měsíci +12

    Maneno yako yana musingi muzuri saana,, Allah baariq

  • @user-in5cy4ro8h
    @user-in5cy4ro8h Před 5 měsíci +3

    ❤❤❤ Asante sana mama yangu kwaujumbe mzuri sana.

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p Před 7 měsíci +6

    Alhamdulillah,,Niko mbali Sana na familia yangu,, ninapo kusikiza au fatilia mawaidha yako hufarijika saana.

  • @ShudaBakari
    @ShudaBakari Před 5 dny

    Maashaa Allah ukhuty Allah akulipe ziada inshaallah.

  • @PierreFundi-fx8sg
    @PierreFundi-fx8sg Před 4 měsíci +1

    Allah akupe kwa ujira mkubwa. Na akuzidishiye elimu zaidi na akupe nguvu ya kunyoosha jamii.
    Ni mzee wako kutoka Burundi. Nafwatiliya sana kipindi vyako.

  • @Sunplazaduara
    @Sunplazaduara Před 4 měsíci +1

    Asante madam kwa elimu bora inayotoa kwa jamii yetu, Mungu alibariki sana

  • @RamadhanKhamis-oy2tm
    @RamadhanKhamis-oy2tm Před 6 měsíci +3

    Masha allah barakallah fiik, Allah akuhifadhi, akuongoze na akupe umri mrefu wenye khery.

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx Před 7 měsíci +2

    Nakupenda san dada angu una ushauri mzuri naisikia sauti na mama ety kipenz samia na busara zake pia Mungu awe naww dada ang kipenz

  • @omarymlundi5119
    @omarymlundi5119 Před 5 měsíci +1

    Hayo mambo yanatesa watu wengine sana wanawake wengi hawatosheki na waume zao umalaya umewazid akitoka

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 7 měsíci +4

    Mashallah Mungu akuweke dadaangu umenifunza kitu

  • @RashidMpina-bv6iw
    @RashidMpina-bv6iw Před 6 měsíci +3

    Madam mungu akubariki akupe umri mrefu dunian

  • @d15355
    @d15355 Před 6 měsíci +4

    katika wanawake wenye akili na IQ kubwa basi wewe ni mmoja wapo nilikuwa nakuchukulia kirahisi rahisi kumbe wewe ni kichwa haswa,yaani umechambua mada hujabakisha kitu mungu akubariki kwa darsa lako

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 Před 6 měsíci +2

    Dada yupo vizuri kwa ushauri wa kujenga familia.

  • @haroubalkharusy9117
    @haroubalkharusy9117 Před 5 měsíci

    Maa shaa Allaah...., nimevutiwa ssna na ww dsdaangu, i wish nipate 2nd wife frm ur young sister......!!!

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Před 7 měsíci +2

    MASHAA Allah tabarakallah

  • @ManPro-ng3op
    @ManPro-ng3op Před 6 měsíci +2

    Mm nakupenda

  • @SeedsDeep
    @SeedsDeep Před 7 měsíci +4

    Huyu Dada nampenda anavyo Ongea.!

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Před 6 měsíci +1

    Maneno yako ni mazuri sana 🙏🏽

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 Před 7 měsíci +1

    Masha-allah anakhekima sana

  • @user-xm4rv6wg6i
    @user-xm4rv6wg6i Před 23 hodinami

    Uko vizur

  • @TwahirAli
    @TwahirAli Před 6 měsíci +1

    Bsrakallahufika jazakalkahir

  • @a.856
    @a.856 Před 7 měsíci +2

    Jazakallah khayran

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 7 měsíci

    Kama ulikuwepo katika maneno uliyoyasema, mashaallah tabaaraka rrahmaan.

  • @user-ct1uj3hn8l
    @user-ct1uj3hn8l Před 7 měsíci

    Allah akuripe unashauri muzuri na omba nambayako

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před 6 měsíci

      Akuripe au akulipe.
      Jinga sana, zingatia amatumizi.ya R n L niwafundushe mpaka lini

  • @jadisaid5993
    @jadisaid5993 Před 6 měsíci

    Allah akubaarik

  • @dungamchafu7605
    @dungamchafu7605 Před 7 měsíci +1

    Mashallah amirat

  • @AbdulkarimAdamsumai
    @AbdulkarimAdamsumai Před 7 měsíci

    Daaah shukran sana madam

  • @DaddySBuda-dp6nq
    @DaddySBuda-dp6nq Před 4 měsíci

    Mm nme mvumilia sana hata mungu anajua na jans nmepata dawa kwa bagi yake na shanga ya niuno nmezichukua ila sija mwambia kitu nimedundua wazi kuna usaliti mana heshima pia imepungua anaondoka bila ruhusa yangu yote nilimwambia kua ntaoa Akanijibu nioe Amekua kisoi

  • @abdulrahimsaid7864
    @abdulrahimsaid7864 Před 7 měsíci +1

    Maashaallah

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6r Před 6 měsíci

    Baaraka llahu fik

  • @yusufkhanna
    @yusufkhanna Před 6 měsíci +2

    Usaliti sio zaidi ya mara moja ndio umuache,ile moja tayari wamwacha palepale hakuna subra hio yakusubiri tenaa

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 6 měsíci

      Wanaume munasaliti kutwa kucha mbona sisi tunavymilia hata mume msaliti

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r Před 6 měsíci

      Unakifaham kisa cha bi Aisha(ra) aliposingiziwa uzinifu,etep alizochukua mtume Muhammad (swa)kabla ya wahyi alikuwa ameshamwambia mkewe maneno flan inamaana alikuwa tayari kusamehe,unaweza kusamehe kabisa wala has haina shida

  • @user-su9we7xj6z
    @user-su9we7xj6z Před 5 měsíci

    Madam leila mimi nashida nawewe nitakupataje ndugu yangu

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je Před 2 měsíci

    Mm nna mwaka wa 6 ss ndoa yng ina migogoro haijawahi kukutanishwa familia 2 mpk ss mkwe wng kanifukuza kwake na sina usaliti wala ushirikina wala cjalfny baba lililo kithir ni malumban ya kawaida t lkn haijawahi kusuluhushwa ss nipo kwet na mwanang mdogo na yy yupo kwao na mwanang wa kike mkubwa

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 Před 7 měsíci

    Mashaa Allah

  • @abumutwaira4892
    @abumutwaira4892 Před 6 měsíci +1

    Hvi huyu dda anasikilizwa n wanawake wenzie

  • @romanusnjovu6845
    @romanusnjovu6845 Před 6 měsíci

    Haya yote ndio anayo wangu mimi

  • @user-wi1qe7of2g
    @user-wi1qe7of2g Před 5 měsíci

    Vaaaa nikabu mama

  • @hamisichirau4983
    @hamisichirau4983 Před 7 měsíci

    MashaAllah

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 7 měsíci +1

    Upo sawa

  • @marwaanhanief9623
    @marwaanhanief9623 Před 7 měsíci

    Mashaallah

  • @user-ry1rc2pp6k
    @user-ry1rc2pp6k Před 6 měsíci

    Shukrani sana🎉

  • @user-rr7ti7fe6l
    @user-rr7ti7fe6l Před 7 měsíci

    Mashall

  • @saldinthegreat2264
    @saldinthegreat2264 Před 7 měsíci

    @Kalamutz tafiteni utaratibu wa kupata mic tie clip, hii ya kushika mic haiko poa

  • @user-xx7ch6kw2u
    @user-xx7ch6kw2u Před 7 měsíci

    safi kabisa

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 Před 7 měsíci

    ❤❤

  • @MikidadRashid-oj8tf
    @MikidadRashid-oj8tf Před 6 měsíci

    Uje ufunde mwanangu

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Před 7 měsíci

    Mammy ningetaman kukuoa

  • @MikidadRashid-oj8tf
    @MikidadRashid-oj8tf Před 6 měsíci

    Dada anafaa kuwa kungwi

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Před 6 měsíci +2

    Je kwanaume akifanya hayo nisawa au mwanamke pia aombe taraka ? Nisaidie kujua mana hayo yapo pandezote

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Před 6 měsíci +1

      Mwanamke anaweza kuomba talaka na sababu za kuomba talaka ndo izoizo za upande wa mwanamme

    • @user-uc3ud9oq6t
      @user-uc3ud9oq6t Před 6 měsíci

      Kabsa Kwa upande wa mwanaume inakaje apo??

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Před 6 měsíci

      @@user-uc3ud9oq6t kiufupi mwanamke anaweza kudai talaka

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 7 měsíci +1

    Hayo ni mambo ya Tanga jamani ndiko tulikoona story kama hizi, lakini waume wamefinikwa hawayaoni yaliopo.

  • @KarimKombo-xu8he
    @KarimKombo-xu8he Před 6 měsíci +2

    Nenda darasa kama unataka Aya na hadithi

  • @IbrahimuMajengo-tv8ix
    @IbrahimuMajengo-tv8ix Před 6 měsíci +1

    Lafudhi kama ya mama Samia president

  • @niyorHamiss-yv4rm
    @niyorHamiss-yv4rm Před 7 měsíci

    Mallahah

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 6 měsíci +3

    Talaka nani kasema Mbingu zina tetemeka ?? Tupe aya hapa au Hadith Ukhty

    • @user-wl8ng3pj5r
      @user-wl8ng3pj5r Před 6 měsíci +1

      Ushamfahamu lkn unataka ubishani , jibu ni Arshi na Arshi ya Mungu si iko mbinguni

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 Před 6 měsíci

      nadhani ukatafute mwenyewe acha kufanya fitina katika dini

    • @opportunities2767
      @opportunities2767 Před 6 měsíci

      Unajina kubwa Mashaallah ! Tafakari uzito wa jina lako kisha kasome tofauti na hapo badilisha jina.

    • @NurdinTwangeni
      @NurdinTwangeni Před 6 měsíci

      Uwe na inswaaf ndio din na simihemko

    • @LuqmanAndrew-nu9rx
      @LuqmanAndrew-nu9rx Před 4 měsíci

      Kwaio hujaona point yoyote zaid ya Mbingu kutetemeka?
      Kalale

  • @abdallaabdalla4416
    @abdallaabdalla4416 Před 6 měsíci

    Sio niqab bali ni jalbab