Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe
Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤
Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah
Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu
Ya Allah nahitaji msamaha wako yarasulallah 😭nifanye niwe miongoni mwa waja wema na wake wema wenye kuifata dini na kuzipenda na kuziheshim ndoa zao inshaallah 🤲🤲Allahumma ameen
Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii
Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake
Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake
Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin
Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen
Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .
Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka
mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.
Mashaallah ,ahsante sheikh nimekua nikiishi na kidonda kubwa moyoni sababu ya mume wangu kunicheat ,mda mwingine nlikua natamani nimchome ata kisu au nimfate yule mwanamke na nimue ama nimnunulie wajambazi walahi maana ilikua tukio la ajabu sana kuongopewa na mume akikukukula pesa na hawara huku wewe unaangaika na watoto walahi,mungu anisamehe ,amekua akiniomba msamaha lakini wapi mimi hufikiria hilo jambo ni kama jana, Thanks for the teachings,nimejifunza kusamehe
Kaka Ukutane Na Huyo Mwanamke Nae Anaakiba Ya Fikra,Ndio Unaweza Ukamwambia Mpigie Aje Na Akafanya Hivyo, Siku Hizi Utapata Tabu Aise, Mwenye Haki Ndio Anakuwa Mkosaji Na Mkosaji Ndio Anakuwa Mwenye Haki Hadi Serikalini.Ni Mafunzo Mazuri Kwa Wenye Kujaariwa Amiin.
Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin
Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza
🥰🥰🥰nimeipendah osters mungu akubariki ila cyo kwa wanaume wa sikuizii yaan toka nimeolewa cjui zawad yake yaan yote uliyoyaongea hajawah hata kuyafanya🥰🥰🥰nicheke tuu ila n shidah
Mimi mume wangu anachat na binty yake wa kufikia Kwa mke mkubwaa mesej Kwa Siri n wanafuta na wanatoana aut wanaenda kula chakula mjini ilaaa sijawah kuwakuta ilaaa anambembeleza kuliko Mimi mkewe wanapanga mengi San yani ndoa zinamitihan sana Allah atupe subraaa na atutilie wepes inshallah
Wanaume hawa wako wapi 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️ Subhanallah... mwanaume siku akikupa wallahy paka unashangaa badala ya kufurahi maana si kawaida yake. ht pocket money hupewi.. upo tu walete wa ration upike ule una pakulala.. yani wajib hakuna zile extra za kufanya mwanamke akakupendaa kweli kweli yani. watu waishi tu.. sjui sababu ya watoto? 🤦♀️💔
Wow ujumbe wa moto huu... Mimi ni mkristu lkn umenikonga moyo wangu Sana.... Mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏
Swadakta Allah akulinde kwakilajambo
mashaAllah ustadhi wewe ni doctor ., mashaAllah nimepata mume mwema mwenye hizi sifa ulizosema mungu aniwekee mume wangu inshaAllah 🥰
Maashallah Allah awadumishe
Amina Yarab alamin
Mashallah hungera mama
Mashaallah habbity Allah awadumishe kwenye ndoa yenu🤲🤲
Amiin Allah atuekee waume zetu na atulinde na hasad, amiin.
Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe
Pole sana msameh japo hutokua nae karibu Allah nawe atakusameh pengine ni mtihani tu huo ulompitia binadam hatujakamilika inauma sana
Msamehe sanaa na muombe mungu akuepushie na hilooo
Msamehe mdogo wk ni shetwani amempitia hata yy mwenyewe yuwa juta kutenda hicho kitendo
@@mealisuleiman4020 kabisa
Subhanallah,pole sana ukhty.Mimi naelewa unachopitia ila wasamehe wote kwa maana hii chuki itakuumiza nafsi.
Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤
Yaani Kwa audio nashindwa kuwatofautisha
@@sitiabubakar2892 umeonaeee 🥰
Mashaa Allah kabisa sana tena
Jmn naomba no yake sh othmn
Sana tena
Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah
Asante
Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu
Hii elimu nzuri nimeipenda sana,hakuna kitu chenye mtihani kama ndoa au mahusiano,yanahitaji subra na msaada wa MUNGU
Nkweli kaka
Yani nampenda shekhe Othman kwajiri ya Allah akuweke zaid iliuzid kutuhelimishe
Kabisa Amin
Ya Allah nahitaji msamaha wako yarasulallah 😭nifanye niwe miongoni mwa waja wema na wake wema wenye kuifata dini na kuzipenda na kuziheshim ndoa zao inshaallah 🤲🤲Allahumma ameen
Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii
Pora ata ange mpiga tuu asira ziishe
Inshallah mola akujalie
Mafunzo mazuri 👏👏👏 though am a Roman catholic
Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake
shekhe umeupamba.moyo wangu kwa maneno mazuri maashaallah
Am a Christian but listening to you teaches me alot 👌,am even dating a Muslim soon to funga nikha😊
MashaAllah karibu katika uislam mammy
MashaAllah!!!
Mungu atupe mwisho mwema inshaallah
Masha Allah tabaraka Allah. karibu kwa dini ya haki.❤❤❤❤💞💞💞💞💞😘😘😘
Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake
Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah
🙏🙏🙏🙏🙏
Allah Akujaalie umri wenye heri nawe uwwmrefu uzidi kutuelimisha. Allah atujaalie tuwe wasikivu na tusiyoolewa Allah atupe Mumewema lnshallah🤲
Amin yarab
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin
Waaleykum ssalam warahmatullahi wabarakatuh AAmin 🤲
@@adijarashidi1426 Amiin ya Rabbil Allamin
Waleikum Msalam warahmatullah wabarakatu habibty
Nimefulahi.sana
Kumsikiliza.uyu.shee.nampenda.san
Mungu.amuweke.milele.siku.moja
Aje.atatuwe.matati.nyagu🙏
Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen
Allah akujalie kher
Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .
Amin
Maashallah umetujeja Sana ustadh ndoa nyingi zinayumba kwasababu ya uzinifu Ila Allah atuongoze katika njia zilizonyooka na ftatilia nikiwa uganda
Nikweli kabisa uwoga hawana watu wala imani
MASHA ALLAH sheikh wetu Allah Akujalie umri mrefu wenye kheri tuzid kunufaika
Asalaam Aleykum sheikh Othman
Asante kwa yote. na utuwombe kwa Allah, tufiko kwako mashalla
Subhanallah shukran sheikh napenda mawaidha yako course yananipa ujasiri na Aman ya moyo wangu mungu akubarik🙏
Allah akuhifadhi kwaajili yetu shekhe mchanganyiko ule wamafuta ALHAMDULILAH umenisaidia
Nambie namie huo mchanyiko dawa ya nini
MAASHAALLAAH SHEIKH WANGU ALLAAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI NA AKUKINGE NA KILA BALAA
Inshallah
Masha Allah my Allah protect you sheikh nimjifunza kitu pamoja sijaolewa ila Allah anijalie mme wa hivyo hakika nitamjali
Mashallahu shukuran shehe wetu Allah atuhfadh na maas ya zina
v ýcyuucyyuyyyyyyyyyû cuu7uyy7yu77777uu7u7uu7uuuuuuu7c7777777777777777777777777777777777777777777vvv777777777777777777777777uuu
u
juuuuvuuuuuuuu u
Shekhee othmani m.mungu akujaalie kila la kherii ameeen
Amiin
Nimeguswa sana na mfunzo yako inshallah mungu akujalie
Masha'allah, jazakallahu khayr Sheikh.Yaani hii darsa imenigusa mahali duh!
Maa shaa Allah sheikh wetu tunanufaika na mafunzo yako!!! Allah akujaze kheri
Sheikh, alhamdulil laahi, Allaah akujaze zaidi ilmu,nakuomba tuletee kisa cha Dhulqarnaini kwa urefu.
Allah aniepushe siwezi uwa mimi sheikh kasema kweli mwenyezi mungu amjaze kheri
Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka
😂😂😂😂😂😂😂😂Apo Kwenye Honey Honeyy Honeyyyyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂Nimecheka Mie Ila Nimependa Inapendeza
Napenda sana mawaidha yako umenibadilisha sana shekh mungu akupe umri mrefu wenye amali njema
mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.
☑️☑️☑️☑️☑️☑️
Ni kweli
Umegusa panapotakiwa kabsaaa
MashAllah tabaraka rahman jazaaqa Allah kher
Mashaallah ,ahsante sheikh nimekua nikiishi na kidonda kubwa moyoni sababu ya mume wangu kunicheat ,mda mwingine nlikua natamani nimchome ata kisu au nimfate yule mwanamke na nimue ama nimnunulie wajambazi walahi maana ilikua tukio la ajabu sana kuongopewa na mume akikukukula pesa na hawara huku wewe unaangaika na watoto walahi,mungu anisamehe ,amekua akiniomba msamaha lakini wapi mimi hufikiria hilo jambo ni kama jana, Thanks for the teachings,nimejifunza kusamehe
Pole, Mungu akupe neema ya kusamehe
@@janethkibambo3613 Inshallah, ahsante daa
MashaAllah sheihk wetu Allah akupe umri mrefu
Shukran cheikh wangu mungu akulipe kilishikuwa cha kheri kwako
Kaka Ukutane Na Huyo Mwanamke Nae Anaakiba Ya Fikra,Ndio Unaweza Ukamwambia Mpigie Aje Na Akafanya Hivyo, Siku Hizi Utapata Tabu Aise, Mwenye Haki Ndio Anakuwa Mkosaji Na Mkosaji Ndio Anakuwa Mwenye Haki Hadi Serikalini.Ni Mafunzo Mazuri Kwa Wenye Kujaariwa Amiin.
Uko sahihi ndugu
MUNGU AKUBARIKI SANA SHEKHE KWA UJUMBE HUU NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA MNO AMEEEEEEN
Kisa kizur mashallah, mungu atupe subrah na nyoyo za huruma na mapenz ya kwl, mungu atuepushe na Hali hizi
Assalamualaikum sheikh nnaswali tafadhali je ukiwa umeolewa na umepoteza hisia huna hamu na yule mume unapaswa kufanyaje
Subhana Allah tuombee Sisi mabinti tupate rizki Za ndoa tunusurike Na zinaa
Mashauri mazuri kabisa,ila wanawake ni wabaya sana,ni kuishi ishi tu kwa kupitiza muda,ila wao siyo watu wazuri
Alhamdhulillah sheikh
Shida ya wanaume hawawezi kumsamehe wakisalitiwa ila ndio wanaongoza kwa usaliti......Yarabi tuweke mbali na zinaa
Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin
Asante Sana othuman Michael kwa dawa safi mwenyezi mungu akuzidishie maisha maref ilituendelee kupata dawa nzr amen
Subhanallah... Allah atunusuru na vizazi vyetu yaarab.. Ameen.
Amin yarab Amin thuma Amin
Nimejifunza Mambo makubwa na muhim usiku huu Asante sana
Mashaallah.
Mashaallah
Allah akupe umri na uzidi kutufundisha. In sha Allah.
Shukran
Jazzaka llahu kher shekhe Mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila hasad nakupenda shemela wangu
mashanlaa sheykh mola azidi kukuweka akupe umri mrefu namuomba anllaa anipe Subra
Shkhe othman napenda sana mawaidha yako nishkhe mwenye hakma sana allha akuhifadhi
Shukran sana ustadhi Allah tuepushe na mitihani hio yarrab
Kweli kbx ustadh
Allah Akupe afya na umri uzidi kutuelemisha kwa mawaidha
Choka mimi na hawa wanaume.. 🤦♀️
Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza
Walah umenigusa moyo wangu shehe barikiwa
I'm Christian but u make me cry. May God akupe maisha malefu
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....JazakAllahu kheri yaa sheikh
Masha Allah tabaraka Allah mungu akupe kila LA kheir
asantee usitadh maneno yako matamu kweli unikumbusha zama zangu lkn haikua rizk 😭😭😭😭🙏🙏
ماشاءالله حياك الله أحسن الحياة وطول العمر
Safi sana shekh barikiwa kwa mafundisho mazuri mwenyezi mungu akujalie kheri
Shukran ya sheikh Allah atukinge na uzinifu
Jazakallahu khair kwa mafunzo. Mzuri Sanaa
Amiin ya Rabbil Allamin sheikh
Ma sha ALLAH tabarakallah asante sana Muheshimiwa
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿não dormo bem ate ouvir sua voz em mawaidha
Allahu barick sheikh wetu uzidi kutupa elimu
Now u know how to talk sweet issues for both of the males n females.👌
True
Aki naskia nmeguzwa mahali,mungu akuongoze uzima uzidi kutuelemisha
Masha allah nimejifunza meng allah akiuzidishie kher insha allah
Shukran jazakallahu kheir.. Allah akuhifadhi sheikh
Masomo ya kiislamu👌mashallah..licha ya mimi kuwa mkristo. Nafaidi maana naishi karibu na msikiti. Mafunzo mazuri.
A aleykum Asante kwa maneno yako matam
Am christian bat I like the wey you talk god blessed you shehe
Asante cheikh wetu umetufunza mengi
Assante shehe ujumbe umenipendezeya🎉 mashallah
Mashaalah somo zur allah akupe kher shekh
Asante sheikh kwa kutuzinduwa!
Am fridah a Christian nimeipenda mafunzo yako barikiwa sana
Shehe nimekuelewa unafundisha vizuri sana ubarikiwe mno
karbu katika uislam frida
🥰🥰🥰nimeipendah osters mungu akubariki ila cyo kwa wanaume wa sikuizii yaan toka nimeolewa cjui zawad yake yaan yote uliyoyaongea hajawah hata kuyafanya🥰🥰🥰nicheke tuu ila n shidah
Allah!akufungue akili mume wangu uone kabisa unachokifanya sio sahihi😢
Hawaonag mumy mpaka wapatwe na balaa
@@amadkweka2190
Na wakipatwa na balaa huruma kwa unyenyekevu kama kondoo
😢
Itakua huyo mume alikua hamridhishi. Ka oa wake wawili kwa tamaa wakati nguvu zakutosha hana
Mola akubariki sheikh!
Sheihk namuomba Mwenyezi mungu akujifazhi amin ♥️♥️♥️🙏
Amiin
shukran shekh
Hakika una mafunzo mazuri sn shekhe Mungu akuaalie maisha marefu
Mimi mume wangu anachat na binty yake wa kufikia Kwa mke mkubwaa mesej Kwa Siri n wanafuta na wanatoana aut wanaenda kula chakula mjini ilaaa sijawah kuwakuta ilaaa anambembeleza kuliko Mimi mkewe wanapanga mengi San yani ndoa zinamitihan sana Allah atupe subraaa na atutilie wepes inshallah
Shukran kwa mafunzo yako nimejifunza mambo mengi ya muhimu na yenye busara
Wanaume hawa wako wapi 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️ Subhanallah... mwanaume siku akikupa wallahy paka unashangaa badala ya kufurahi maana si kawaida yake. ht pocket money hupewi.. upo tu walete wa ration upike ule una pakulala.. yani wajib hakuna zile extra za kufanya mwanamke akakupendaa kweli kweli yani. watu waishi tu.. sjui sababu ya watoto? 🤦♀️💔
Wanaume wote wangekuwa hivyo kusingekuwa na talaka coz ukifanya hivyo hata mwanamke anaona haya kufanya maovu
Arwahu aqbar. Hatar sana jamani. Katika nyumba ya mume na kitanda mnacho lala wew na mumeo/mkeo. 😭😭😭
Unasema kweli kabsaaaaaaaaaaaa. Mama hufulahiya mme we kuwajili watu wafamiliya bila hivo unamuona siye yule alikua anakucumbia kwenye ujana wenu
Shukran yaa Ustadhi kwa Darasa lako.
Allah atusamehe kwa makosa yetu
Allahuma Amin
Mwenyezimungu akujalie Kila Lilo la kher uzid kutufunza