KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 464

  • @evelynejuvenary2631
    @evelynejuvenary2631 Před 2 lety +54

    Wow ujumbe wa moto huu... Mimi ni mkristu lkn umenikonga moyo wangu Sana.... Mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Před 2 lety +73

    mashaAllah ustadhi wewe ni doctor ., mashaAllah nimepata mume mwema mwenye hizi sifa ulizosema mungu aniwekee mume wangu inshaAllah 🥰

  • @hasnatyoficial6056
    @hasnatyoficial6056 Před 2 lety +33

    Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 2 lety +9

      Pole sana msameh japo hutokua nae karibu Allah nawe atakusameh pengine ni mtihani tu huo ulompitia binadam hatujakamilika inauma sana

    • @rehemasoud7805
      @rehemasoud7805 Před 2 lety +3

      Msamehe sanaa na muombe mungu akuepushie na hilooo

    • @mealisuleiman4020
      @mealisuleiman4020 Před 2 lety +2

      Msamehe mdogo wk ni shetwani amempitia hata yy mwenyewe yuwa juta kutenda hicho kitendo

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 2 lety +1

      @@mealisuleiman4020 kabisa

    • @ismailowino2866
      @ismailowino2866 Před 2 lety +3

      Subhanallah,pole sana ukhty.Mimi naelewa unachopitia ila wasamehe wote kwa maana hii chuki itakuumiza nafsi.

  • @goldenqueen4484
    @goldenqueen4484 Před 2 lety +52

    Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤

  • @kisunaomar3138
    @kisunaomar3138 Před rokem +6

    Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah

  • @taybahnasoro6049
    @taybahnasoro6049 Před 2 lety +9

    Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 Před 2 lety +9

    Hii elimu nzuri nimeipenda sana,hakuna kitu chenye mtihani kama ndoa au mahusiano,yanahitaji subra na msaada wa MUNGU

  • @arafakassela5398
    @arafakassela5398 Před 2 lety +15

    Yani nampenda shekhe Othman kwajiri ya Allah akuweke zaid iliuzid kutuhelimishe

  • @D_beauty1
    @D_beauty1 Před měsícem +1

    Ya Allah nahitaji msamaha wako yarasulallah 😭nifanye niwe miongoni mwa waja wema na wake wema wenye kuifata dini na kuzipenda na kuziheshim ndoa zao inshaallah 🤲🤲Allahumma ameen

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 2 lety +13

    Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii

  • @georgetavalentine4686
    @georgetavalentine4686 Před 2 lety +15

    Mafunzo mazuri 👏👏👏 though am a Roman catholic

  • @alhabsialooshi9315
    @alhabsialooshi9315 Před 2 lety +2

    Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake

  • @salmahanai3601
    @salmahanai3601 Před 2 lety +5

    shekhe umeupamba.moyo wangu kwa maneno mazuri maashaallah

  • @monicawanza9911
    @monicawanza9911 Před 2 lety +43

    Am a Christian but listening to you teaches me alot 👌,am even dating a Muslim soon to funga nikha😊

    • @rahmatahmed1871
      @rahmatahmed1871 Před 2 lety +4

      MashaAllah karibu katika uislam mammy

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 2 lety +2

      MashaAllah!!!

    • @mariamjack9471
      @mariamjack9471 Před 2 lety +3

      Mungu atupe mwisho mwema inshaallah

    • @khadijaangore4408
      @khadijaangore4408 Před 2 lety +1

      Masha Allah tabaraka Allah. karibu kwa dini ya haki.❤❤❤❤💞💞💞💞💞😘😘😘

    • @yussuphsultan1400
      @yussuphsultan1400 Před 2 lety +2

      Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake

  • @sharifaabdi9501
    @sharifaabdi9501 Před 2 lety +12

    Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +19

    Allah Akujaalie umri wenye heri nawe uwwmrefu uzidi kutuelimisha. Allah atujaalie tuwe wasikivu na tusiyoolewa Allah atupe Mumewema lnshallah🤲

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n Před 2 lety +15

    Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin

  • @neemaneema6825
    @neemaneema6825 Před 2 lety +7

    Nimefulahi.sana
    Kumsikiliza.uyu.shee.nampenda.san
    Mungu.amuweke.milele.siku.moja
    Aje.atatuwe.matati.nyagu🙏

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 Před 2 lety +4

    Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen

  • @adamdengu338
    @adamdengu338 Před 2 lety +3

    Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .

  • @aishahamadi9261
    @aishahamadi9261 Před 2 lety +4

    Maashallah umetujeja Sana ustadh ndoa nyingi zinayumba kwasababu ya uzinifu Ila Allah atuongoze katika njia zilizonyooka na ftatilia nikiwa uganda

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Před 2 lety +4

    MASHA ALLAH sheikh wetu Allah Akujalie umri mrefu wenye kheri tuzid kunufaika

  • @hamidaasiimwe4266
    @hamidaasiimwe4266 Před 2 lety +8

    Asalaam Aleykum sheikh Othman
    Asante kwa yote. na utuwombe kwa Allah, tufiko kwako mashalla

  • @SleepyGalaxy-nw5of
    @SleepyGalaxy-nw5of Před 7 měsíci

    Subhanallah shukran sheikh napenda mawaidha yako course yananipa ujasiri na Aman ya moyo wangu mungu akubarik🙏

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před 2 lety +6

    Allah akuhifadhi kwaajili yetu shekhe mchanganyiko ule wamafuta ALHAMDULILAH umenisaidia

  • @khalfansuleiman6206
    @khalfansuleiman6206 Před 2 lety +3

    MAASHAALLAAH SHEIKH WANGU ALLAAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI NA AKUKINGE NA KILA BALAA

  • @irenelaizer4789
    @irenelaizer4789 Před 2 lety +1

    Masha Allah my Allah protect you sheikh nimjifunza kitu pamoja sijaolewa ila Allah anijalie mme wa hivyo hakika nitamjali

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 Před 2 lety +10

    Mashallahu shukuran shehe wetu Allah atuhfadh na maas ya zina

    • @saadahydar7106
      @saadahydar7106 Před 2 lety

      v ýcyuucyyuyyyyyyyyyû cuu7uyy7yu77777uu7u7uu7uuuuuuu7c7777777777777777777777777777777777777777777vvv777777777777777777777777uuu

    • @saadahydar7106
      @saadahydar7106 Před 2 lety

      u
      juuuuvuuuuuuuu u

  • @matikamwagilomwagilo531
    @matikamwagilomwagilo531 Před 2 lety +13

    Shekhee othmani m.mungu akujaalie kila la kherii ameeen

  • @owuorsharon2177
    @owuorsharon2177 Před 2 lety +10

    Nimeguswa sana na mfunzo yako inshallah mungu akujalie

  • @ismailowino2866
    @ismailowino2866 Před 2 lety +8

    Masha'allah, jazakallahu khayr Sheikh.Yaani hii darsa imenigusa mahali duh!

  • @azizadjumadazuu2731
    @azizadjumadazuu2731 Před rokem +1

    Maa shaa Allah sheikh wetu tunanufaika na mafunzo yako!!! Allah akujaze kheri

  • @shabaniomary6235
    @shabaniomary6235 Před 2 lety +1

    Sheikh, alhamdulil laahi, Allaah akujaze zaidi ilmu,nakuomba tuletee kisa cha Dhulqarnaini kwa urefu.

  • @UncleChenShoushan
    @UncleChenShoushan Před 2 lety +2

    Allah aniepushe siwezi uwa mimi sheikh kasema kweli mwenyezi mungu amjaze kheri

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 Před 2 lety +3

    Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka

  • @AMI-ip1lx
    @AMI-ip1lx Před 2 lety +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂Apo Kwenye Honey Honeyy Honeyyyyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂Nimecheka Mie Ila Nimependa Inapendeza

  • @zainamkwizu2942
    @zainamkwizu2942 Před 2 lety +3

    Napenda sana mawaidha yako umenibadilisha sana shekh mungu akupe umri mrefu wenye amali njema

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr Před 2 lety +21

    mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.

  • @asmaasmi9019
    @asmaasmi9019 Před 2 lety +9

    MashAllah tabaraka rahman jazaaqa Allah kher

  • @ramlati7646
    @ramlati7646 Před 2 lety

    Mashaallah ,ahsante sheikh nimekua nikiishi na kidonda kubwa moyoni sababu ya mume wangu kunicheat ,mda mwingine nlikua natamani nimchome ata kisu au nimfate yule mwanamke na nimue ama nimnunulie wajambazi walahi maana ilikua tukio la ajabu sana kuongopewa na mume akikukukula pesa na hawara huku wewe unaangaika na watoto walahi,mungu anisamehe ,amekua akiniomba msamaha lakini wapi mimi hufikiria hilo jambo ni kama jana, Thanks for the teachings,nimejifunza kusamehe

  • @Tv-dl4qj
    @Tv-dl4qj Před 2 lety +2

    MashaAllah sheihk wetu Allah akupe umri mrefu

  • @aminataramio8254
    @aminataramio8254 Před 2 lety +3

    Shukran cheikh wangu mungu akulipe kilishikuwa cha kheri kwako

  • @masterlava4131
    @masterlava4131 Před 2 lety +3

    Kaka Ukutane Na Huyo Mwanamke Nae Anaakiba Ya Fikra,Ndio Unaweza Ukamwambia Mpigie Aje Na Akafanya Hivyo, Siku Hizi Utapata Tabu Aise, Mwenye Haki Ndio Anakuwa Mkosaji Na Mkosaji Ndio Anakuwa Mwenye Haki Hadi Serikalini.Ni Mafunzo Mazuri Kwa Wenye Kujaariwa Amiin.

  • @gracealexander1450
    @gracealexander1450 Před rokem

    MUNGU AKUBARIKI SANA SHEKHE KWA UJUMBE HUU NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA MNO AMEEEEEEN

  • @ashafujo3506
    @ashafujo3506 Před 2 lety +2

    Kisa kizur mashallah, mungu atupe subrah na nyoyo za huruma na mapenz ya kwl, mungu atuepushe na Hali hizi

    • @saumkhalifan7700
      @saumkhalifan7700 Před 2 lety

      Assalamualaikum sheikh nnaswali tafadhali je ukiwa umeolewa na umepoteza hisia huna hamu na yule mume unapaswa kufanyaje

  • @mwinyisaumu
    @mwinyisaumu Před 2 lety +1

    Subhana Allah tuombee Sisi mabinti tupate rizki Za ndoa tunusurike Na zinaa

  • @philipsenge2222
    @philipsenge2222 Před 2 lety +3

    Mashauri mazuri kabisa,ila wanawake ni wabaya sana,ni kuishi ishi tu kwa kupitiza muda,ila wao siyo watu wazuri

  • @KadirMamito
    @KadirMamito Před 20 dny +1

    Alhamdhulillah sheikh

  • @twahambonde4095
    @twahambonde4095 Před 2 lety +13

    Shida ya wanaume hawawezi kumsamehe wakisalitiwa ila ndio wanaongoza kwa usaliti......Yarabi tuweke mbali na zinaa

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Před 2 lety

    Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin

  • @saidjumanne6452
    @saidjumanne6452 Před 2 lety

    Asante Sana othuman Michael kwa dawa safi mwenyezi mungu akuzidishie maisha maref ilituendelee kupata dawa nzr amen

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr Před 2 lety +4

    Subhanallah... Allah atunusuru na vizazi vyetu yaarab.. Ameen.

  • @mwanasitisalim3606
    @mwanasitisalim3606 Před 2 lety +1

    Nimejifunza Mambo makubwa na muhim usiku huu Asante sana

  • @aishamunga6667
    @aishamunga6667 Před 2 lety

    Mashaallah.
    Mashaallah
    Allah akupe umri na uzidi kutufundisha. In sha Allah.
    Shukran

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +1

    Jazzaka llahu kher shekhe Mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila hasad nakupenda shemela wangu

  • @MubaASaguth
    @MubaASaguth Před 7 měsíci

    mashanlaa sheykh mola azidi kukuweka akupe umri mrefu namuomba anllaa anipe Subra

  • @nurazain6616
    @nurazain6616 Před 2 lety

    Shkhe othman napenda sana mawaidha yako nishkhe mwenye hakma sana allha akuhifadhi

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety

    Shukran sana ustadhi Allah tuepushe na mitihani hio yarrab

  • @khmysnassry8733
    @khmysnassry8733 Před 2 lety +4

    Kweli kbx ustadh

    • @azizatimimi7147
      @azizatimimi7147 Před 2 lety +1

      Allah Akupe afya na umri uzidi kutuelemisha kwa mawaidha

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr Před 2 lety +7

    Choka mimi na hawa wanaume.. 🤦‍♀️

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 Před 2 lety +1

      Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza

  • @janethmushi5359
    @janethmushi5359 Před 2 lety +2

    Walah umenigusa moyo wangu shehe barikiwa

  • @yanaclaudine8066
    @yanaclaudine8066 Před 2 lety +3

    I'm Christian but u make me cry. May God akupe maisha malefu

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 Před 2 lety +2

    Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....JazakAllahu kheri yaa sheikh

  • @aminaabas2435
    @aminaabas2435 Před 2 lety +2

    Masha Allah tabaraka Allah mungu akupe kila LA kheir

  • @mwanatumusalim5602
    @mwanatumusalim5602 Před 2 lety +2

    asantee usitadh maneno yako matamu kweli unikumbusha zama zangu lkn haikua rizk 😭😭😭😭🙏🙏

  • @omaryramdhani9823
    @omaryramdhani9823 Před 2 lety +1

    ماشاءالله حياك الله أحسن الحياة وطول العمر

  • @rehemamkumbo6746
    @rehemamkumbo6746 Před 2 lety +1

    Safi sana shekh barikiwa kwa mafundisho mazuri mwenyezi mungu akujalie kheri

  • @aishaselemani6574
    @aishaselemani6574 Před 2 lety

    Shukran ya sheikh Allah atukinge na uzinifu

  • @alhajjngoliomahmud6657
    @alhajjngoliomahmud6657 Před 2 lety +1

    Jazakallahu khair kwa mafunzo. Mzuri Sanaa

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n Před 2 lety +6

    Amiin ya Rabbil Allamin sheikh

  • @zainabusingirankabo7487
    @zainabusingirankabo7487 Před 2 lety +1

    Ma sha ALLAH tabarakallah asante sana Muheshimiwa

  • @saidesalimo9032
    @saidesalimo9032 Před rokem +1

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿não dormo bem ate ouvir sua voz em mawaidha

  • @yassirhamed9905
    @yassirhamed9905 Před 2 lety

    Allahu barick sheikh wetu uzidi kutupa elimu

  • @bas2823
    @bas2823 Před 2 lety +3

    Now u know how to talk sweet issues for both of the males n females.👌

  • @user-mi9bz5gy2u
    @user-mi9bz5gy2u Před měsícem

    Aki naskia nmeguzwa mahali,mungu akuongoze uzima uzidi kutuelemisha

  • @rukialugenja1183
    @rukialugenja1183 Před 2 lety

    Masha allah nimejifunza meng allah akiuzidishie kher insha allah

  • @ashajuma1822
    @ashajuma1822 Před 2 lety

    Shukran jazakallahu kheir.. Allah akuhifadhi sheikh

  • @lorraineatieno6544
    @lorraineatieno6544 Před 2 lety +2

    Masomo ya kiislamu👌mashallah..licha ya mimi kuwa mkristo. Nafaidi maana naishi karibu na msikiti. Mafunzo mazuri.

  • @anetiarsen7061
    @anetiarsen7061 Před 2 lety

    A aleykum Asante kwa maneno yako matam

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Před rokem

    Am christian bat I like the wey you talk god blessed you shehe

  • @zaza8625
    @zaza8625 Před 2 lety

    Asante cheikh wetu umetufunza mengi

  • @user-zj8ul2tp4t
    @user-zj8ul2tp4t Před 2 měsíci

    Assante shehe ujumbe umenipendezeya🎉 mashallah

  • @user-tq4fi6lg9z
    @user-tq4fi6lg9z Před 4 měsíci

    Mashaalah somo zur allah akupe kher shekh

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali1136 Před 2 lety

    Asante sheikh kwa kutuzinduwa!

  • @victornzembi3472
    @victornzembi3472 Před 2 lety +7

    Am fridah a Christian nimeipenda mafunzo yako barikiwa sana

  • @gloryarcard3144
    @gloryarcard3144 Před 2 lety

    🥰🥰🥰nimeipendah osters mungu akubariki ila cyo kwa wanaume wa sikuizii yaan toka nimeolewa cjui zawad yake yaan yote uliyoyaongea hajawah hata kuyafanya🥰🥰🥰nicheke tuu ila n shidah

  • @maindamohammed2851
    @maindamohammed2851 Před 2 lety +3

    Allah!akufungue akili mume wangu uone kabisa unachokifanya sio sahihi😢

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 2 lety +2

    Itakua huyo mume alikua hamridhishi. Ka oa wake wawili kwa tamaa wakati nguvu zakutosha hana

  • @muawiyakawere394
    @muawiyakawere394 Před 2 lety

    Mola akubariki sheikh!

  • @aichasaifoufal469
    @aichasaifoufal469 Před 2 lety +6

    Sheihk namuomba Mwenyezi mungu akujifazhi amin ♥️♥️♥️🙏

  • @marymsenye6145
    @marymsenye6145 Před 2 lety

    Hakika una mafunzo mazuri sn shekhe Mungu akuaalie maisha marefu

  • @AsmaAlly-nr4wt
    @AsmaAlly-nr4wt Před rokem

    Mimi mume wangu anachat na binty yake wa kufikia Kwa mke mkubwaa mesej Kwa Siri n wanafuta na wanatoana aut wanaenda kula chakula mjini ilaaa sijawah kuwakuta ilaaa anambembeleza kuliko Mimi mkewe wanapanga mengi San yani ndoa zinamitihan sana Allah atupe subraaa na atutilie wepes inshallah

  • @fibiangle3325
    @fibiangle3325 Před rokem

    Shukran kwa mafunzo yako nimejifunza mambo mengi ya muhimu na yenye busara

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr Před 2 lety +6

    Wanaume hawa wako wapi 🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️ Subhanallah... mwanaume siku akikupa wallahy paka unashangaa badala ya kufurahi maana si kawaida yake. ht pocket money hupewi.. upo tu walete wa ration upike ule una pakulala.. yani wajib hakuna zile extra za kufanya mwanamke akakupendaa kweli kweli yani. watu waishi tu.. sjui sababu ya watoto? 🤦‍♀️💔

  • @fatmainahemed2783
    @fatmainahemed2783 Před 2 lety +2

    Wanaume wote wangekuwa hivyo kusingekuwa na talaka coz ukifanya hivyo hata mwanamke anaona haya kufanya maovu

  • @zuhuranassoro791
    @zuhuranassoro791 Před 2 lety +1

    Arwahu aqbar. Hatar sana jamani. Katika nyumba ya mume na kitanda mnacho lala wew na mumeo/mkeo. 😭😭😭

  • @carolinenakirutimana1559

    Unasema kweli kabsaaaaaaaaaaaa. Mama hufulahiya mme we kuwajili watu wafamiliya bila hivo unamuona siye yule alikua anakucumbia kwenye ujana wenu

  • @ndibwamiahmed8742
    @ndibwamiahmed8742 Před 2 lety

    Shukran yaa Ustadhi kwa Darasa lako.

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Před 2 lety +1

    Allah atusamehe kwa makosa yetu
    Allahuma Amin

  • @user-pq7yb8fp6d
    @user-pq7yb8fp6d Před 9 měsíci

    Mwenyezimungu akujalie Kila Lilo la kher uzid kutufunza