Subhanallah, Allah akujaalie wewe na familia yako furaha ,elimu na Fahamu na mwisho mwema. Sheikh naphtali kujua mambo ya kheri mengi kwa kuangalia mawaidha yako. Jazakallah
Mm nilifanya shekhe uliposema ktk Crip yako iliyopita wallahi vileulivyotoa matokeo yake basi yalinitokea nivile vile Allah akujaze majazo mema inshallah.
Watu tunamuomba Mungu sana,ila tunafeli kwa kukosa mambo mawili ktk nyoyo zetu: YAQQIINI NA TAWAKKULI. Mungu akitujaalia tukawa nayo mambo haya,hakika tutakuwa watu miongoni mwa watu. Tumuombe ALLAAH aturuzuku mambo hayo na ziada👏 Inshaa ALLAAH. Aamiin.
Alhamdhulillah sheikh, adhkar ii nmajarabu, nilikua cna cha kukila Ramadhan ii, lkn nikafanya adhkar ii ,bc katokea mtu ananambia nikule kwake Ramadhan yte , asante sheikh, nmepanda daraja la imanikwa hili
Mashaallah, tunafuatilia sana vipindi vyako, wewe ni zaidi ya mwalimu maana huachi kitu katika kuelekea kwa utaratibu ambao mwanafunzi anaelewa moja kwa moja na kukosa maswali. Jaazakallah
Aslm alkm ya-ustathi Allah akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio ishaallah. Uzidi kutuelimisha na kutuongo njia iliyo nyoka. Mungu akuepushe na shari za Dunia ❤❤amin 🙏 😊 .
Laila aila anta subhanaka huwa inanivusha kwenye uzazi fasta sana ndio uradi wangu nikienda kujifungua..Asante sana Sheikh kwa ukumbusho na msisitizo sitaiacha .
Ma Sha Allah shekh Othman Allah akujaze Leo mpaka kesho kiayama tunafaidika wengine tuna mithihanii na atujui tutaitatua vip wallah jazzah Yako Iko kwa Allah🤲🤲🤲
Ushauri wangu shekhe andaa kitabu cha dua adhkar utakuwa umesaidia wa kiislam Na bei yake iwe tsh. 20,000 utakuwa umefanya kwa ajili ya uma wa kiislam.
Ushasema kweli ,wengine kukukosoa wenziwao Na hawawafati kuwaelezea makosa Yao ,Bali wao nikusambaza Tu makosa Ooo Sheikh Fulani,Sasa mtu atajirekebisha vipi kama umeenza kumfedhehesha
Mashallah Mashallah..Sheikh Othman Humkuti kubishana na Ma sheikh. Bali mpole mtaratibu kwenye Da3wah Zake, na Zaidi anamsifu Allah na Mtume Wake, kutubidiisha kufanya adhkar na kumswalia mtume.. na namna ya kuwa na maisha mazuri.. kuswali Usiku tahajjud. Mashallah.. nimeona maajabu makubwa kwa kumfwatilia.. naendelea kujifunza na kujikumbusha kwa kuskiliza mawaidha yake.
Shekh othmn mungu akuhifadhi pamojanasisi nataka nitumie hii adhkar inakitu kinanitatiza Sana nasinafuraha lkn mungu anijaalie nitumie hii adhkar naiman kitakaa swa
LAAILAHA ILLA ANTA SUBHANAKA INNI KUNTUMINA DHWALIMIN
Amiin
LAILAHA ILAA ANTAA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMIN.....
LAILAHA ILAALAHU WAHDAHU LAA SHARII KALLAHU LAHUL MULKU WALAHUL HAMDU YUHII WAYUMIITU WAHUWA ALAAKULII SHAYIIN QADIR
SUBHANALLAH WABIHAMDI
Alhamdulillah!
Subhanallah, Allah akujaalie wewe na familia yako furaha ,elimu na Fahamu na mwisho mwema. Sheikh naphtali kujua mambo ya kheri mengi kwa kuangalia mawaidha yako. Jazakallah
Mashallah Mashallah tabarakaallah sheikh alhamdulillah umenifunza mengi na pia mungu akujalie elimu zaidi ya iyo inshallah 🙏🙏
Allahuma aameen
Mashallah shekh mungunakuhifadhi hapa Duniani kaburini mpaka kesho akhera..kwa jina naitwa mohamed niko kenya watamu naomba dua zako inshallah
Mm nilifanya shekhe uliposema ktk Crip yako iliyopita wallahi vileulivyotoa matokeo yake basi yalinitokea nivile vile Allah akujaze majazo mema inshallah.
Assalamou mwaleykum warahmatullah wabarakatuu, MashaAllah Mwenyezi Mungu akuzidishiye na akupe ulinzi wewe na familiya yako nilipata jibu masaa 24, Alhamdulillah
Allah akubariki nami namtihan naomba mungu anisaidie
Laillahaillallah haillallah annta subhanaka innikuntum minadhwalimina
Alhamdulilah, huyu shekh huyuu,basii tu,Allah ampe kheir
Alhamdulillah mashaallah 🙏🙏🙏🙏🙏yarabb zipokee dua zetu allahumma amiin🤲🤲🤲
Amiin
Mola akujalie Kila lenye kher shekhe
Watu tunamuomba Mungu sana,ila tunafeli kwa kukosa mambo mawili ktk nyoyo zetu:
YAQQIINI NA TAWAKKULI.
Mungu akitujaalia tukawa nayo mambo haya,hakika tutakuwa watu miongoni mwa watu.
Tumuombe ALLAAH aturuzuku mambo hayo na ziada👏 Inshaa ALLAAH.
Aamiin.
Ameen
Ameen
Aamin thumma aamiin
Amin inshallah 🤲🤲🤲❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹
LAAILAHA.. ILLA.. LLAHU.. WAHDAU LA SHARIKALAH...LAHULMULKU WALAHUL... HAMDU.. YUHIYI WAYUMITU... WAHUALAKULLI... SHAIN QADIR
SUBHANA LLAHI WABIHAMDI SUBHANA LLAHI AL ADHIM
Asante
Ndio Mara 110?
Shukraan
Assalamalikum,hasante Sana kwaujumbe wako twakushkuru Sana Mungu atubariki soteni,atujalie muongozo mwema,inshaallah Amin,Amin,yarabbi.
Alhamdhulillah sheikh, adhkar ii nmajarabu, nilikua cna cha kukila Ramadhan ii, lkn nikafanya adhkar ii ,bc katokea mtu ananambia nikule kwake Ramadhan yte , asante sheikh, nmepanda daraja la imanikwa hili
Mashallah
Allahuma Barik ❤🙏🏼
Allah Akujaz kher🎉
Ahsante kaka angu tunajifunza mengi wallah"
Wallah cheikh nakupendaka saaaaana na mawaidha yako na Dawa unazo zitowa Alhamdulillah ninzuri za kisunnah!
Mashaallah, tunafuatilia sana vipindi vyako, wewe ni zaidi ya mwalimu maana huachi kitu katika kuelekea kwa utaratibu ambao mwanafunzi anaelewa moja kwa moja na kukosa maswali. Jaazakallah
Maashaallah maashaallah alhamdulillah hakika nimenufaika na elimu yako Allah akujaze khery nyingi inshaallah uzidi kutuelimisha zaidi na zaidi
Mashaallah Allah aendelee kukupa Afya njema shekhe othuman
Alhamdhulillah
Mie swali Sheikh Nikisoma dhikri napata usingizi na utulivu viungo vyote vinaonyyoka hii ni Moja ninapo soma mbali na mazuri mengi Allahmdulillah
Shekh kama tutasoma aalhhuma swally allah Muhammad ya_rabby swala allyeh waswallim tuttkua tupo pamoja au ❤❤
Allah akupe umri mrefu sheikh wetu maana sina lakuongea zaidi ya alhamdulillah
Aslm alkm ya-ustathi Allah akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio ishaallah. Uzidi kutuelimisha na kutuongo njia iliyo nyoka. Mungu akuepushe na shari za Dunia ❤❤amin 🙏 😊 .
Laila aila anta subhanaka huwa inanivusha kwenye uzazi fasta sana ndio uradi wangu nikienda kujifungua..Asante sana Sheikh kwa ukumbusho na msisitizo sitaiacha .
Ma Sha Allah shekh Othman Allah akujaze Leo mpaka kesho kiayama tunafaidika wengine tuna mithihanii na atujui tutaitatua vip wallah jazzah Yako Iko kwa Allah🤲🤲🤲
Alhamndulillah ,Dua nzuri Amiina Kumdhukulu Allah na swala ya Mtume Muhammad S A W A miina.Namuomba Allah Akupe Mambo Mema Unayoomba.Amiina.
Mashaallah naenda kufanya hivyo usiku huu bi idhni llah ALLAH ni mwing wa rehma
Mashaallah shekhe othman ahsnte kwa ujumbe huu Allah atutaqabalie dua zetu kupitia nyiradi hzi inshaallah
Ammin Allahuma Ammin 🙏
Amin 🕊🙏
Ya Allah muhifadhi kaka yetu uyu Umupe Afya Umujalie pepo ya firdaus
Shukran, Allah Akujaze killa lakheri.Na mashekhe wengine nao wachukue mfano wako.Wasiwe wachoyo.
MAA SHAA LLAH ALLAH AKULIPE MEMA NA AKUZIDISHIE KATIKA MIZANI YAKO YA KHERI NA AIFANYE KUWA NZITO
Ihbn
LAILAH ILLAH ANTA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMIN🙏🙏 LAILLAH ILLAHU WAHDAHU LASHARIKALLAHU LAHULMULKI WALAHULHAMDU YUHII WAYUMIITUWAHUWA ALLAH KULII SHAIIIN QADIRU 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼ALLAH atufanyie wepesi kwenye dua zetu ishaALLAH🙏🏼🙏🏼
Allah atufanyie wepc mamb yet
MashaAllah,jazakAllahu Kheir
Maashallah, Tabarakallah , Jazak Allah Khair
MashaAllah mwenyezi mungu akubariki akujalie kila la heri kwa kutuelimisha
Maashaallah shekh Allah akuzidishie kwa elim unayotupatia
Mashaallah shehe unanifurahisha wallah
Subhanallah, ma Shaa Allah
Mashaallah Allah akulipe kwa darasa hizi. Binasfi Alhamdul lah na nufaika kwazo.
Ushauri wangu shekhe andaa kitabu cha dua adhkar utakuwa umesaidia wa kiislam
Na bei yake iwe tsh. 20,000 utakuwa umefanya kwa ajili ya uma wa kiislam.
onload zero moja 2000 i mean
Mashaallah tabarak allah
Barakallahu fiika....
Shekhe Allah akulipe kheri akutenge na adhabu za kabri na moto wa Jahannamu akupe afya njema na mwisho mwema Amiin
Alhamndulillah, Namuomba Mungu ALLAH Akujalie Kupata Malengo Uliyokudia.Allahuma Amiina.
Ustaaz.shukran.mpaka.sasa.nimeitwa.kazini.
Allah akulipe kila kheri dunia na akhera na akupe mwisho mwema
Alhamdullah Maa shaa allah
Mashallah shukran wajazKallahul kheyr
Shukran saana sheikh wetu, kupitia mawaidha yako tunafaidika na mambo meeengi , Allah azidi kukulipa kheri na akujaalie mwisho mwema ❤
Mashallah tabaraka Allah
Maansha Allah Aĺah akuhifadhi shek osmaan❤❤❤❤
Alihamdulila shekhe osman mungu azidi kukubariki we simchoyo
JAZAQALLAHU KHAIR
AHSANTE SHEIKH
ALLAH AKULINDE
Allah akutunze sana baba yangu,, yah Allah mpe maisha malefu
SHEHE HUYU HUMKUTI KATIKA CLIP UKAMUONA ANABISHANA NA MAMBO YA HILAAF KATIKA DINI WALA SIASA.
, ANAMTANGAZA MUNGU NA MTUME TU
Ushasema kweli ,wengine kukukosoa wenziwao Na hawawafati kuwaelezea makosa Yao ,Bali wao nikusambaza Tu makosa Ooo Sheikh Fulani,Sasa mtu atajirekebisha vipi kama umeenza kumfedhehesha
Sheikh Othman unatupa vitu vizuri sana mashaaallah wengi tunafaidika,shukran na Allah akujaalie kheri
Mashaa Allah, Allah akupe kher sheikh
Mashaallah Mwenyezi Mungu akuzidishiye
Jazakallah kheyran sheikh.
MashaAllah Allah akujaalie umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha zaid
Mashaallah allahu bariq
Shukran sana shekh kwa dua nzuri sana huwezi kutuandikia ili tujifunze zaidi pls
Mashallah allah ndo mjuz wa yot najitahid kuomb shekh namuomb allah anifanyie weprc
Assalamualaikum ntajaribu inshallah nifaulu mtihani wangu wa form two inshallah naomba na dua zako pia
Ukitak ufaulu achana na mitandao kwa Deal namasono kwanz
Allah AKUJALIE KILA LA KHERI HAPA DUNIANI NA AKHERA
Barakallah fiku
Mashaallah . Shukran sana shekh wetu. Allah akujalie kila la kheri
Mashallah Mashallah..Sheikh Othman Humkuti kubishana na Ma sheikh. Bali mpole mtaratibu kwenye Da3wah Zake, na Zaidi anamsifu Allah na Mtume Wake, kutubidiisha kufanya adhkar na kumswalia mtume.. na namna ya kuwa na maisha mazuri.. kuswali Usiku tahajjud. Mashallah.. nimeona maajabu makubwa kwa kumfwatilia.. naendelea kujifunza na kujikumbusha kwa kuskiliza mawaidha yake.
Allah Akupe Pepo ya daraja ya juu wewe na Family yako .
Wallah wabillah Allh nishahid kwa hili unayo yasema nikweli ukimswalia mtume kwa yaqin unafanikiwa mm mwenyewe ninakili Allh akulipe kher zaid
Allahu Akbar.
Mashaa Allah bismillahi Mashaa Allah Sheikh ❤
Shukran sheikh allh atutakabalie dua zetu amiin
Mashaallah mungu azidi kukuongoza uzidi kutufunza inshaallah
Subhana Allah Allahu Akbar ❤
Shukran kwa darsa zako nzuri zenye manufaa Allah akujaalie kila lakheri
Maashallah mungu akutangulie katika maisha yako yoote inshallah
جزاك الله خيرا يا شيخ.
Mashallah
Maashaallah
Masha Allah Hakika wewe ni sheikh mwema sana
Jaazakallahu lkheri. Allah wazidishie kheri❤️
Aman iwe juu yako shekhe dua ili ya kupata wepesi wa ujauzito .kutoka zanzibar
Allah atujaalie tuwe na yaqini
Allah akuzidie wingi was kukumbusha
Allah atosha mashaallah
Ma sha allah nimepata faida .Allah akumiminie rehma zake na akuzidishie elimu na hekima.
Shukran sana sheikh
TAABARAKA LLAHU
ماشاء الله وجزاك الله خيرا
Shekh othmn mungu akuhifadhi pamojanasisi nataka nitumie hii adhkar inakitu kinanitatiza Sana nasinafuraha lkn mungu anijaalie nitumie hii adhkar naiman kitakaa swa
سبحان الله، الله أكبر
Malengo Uliyokusudia Ufanikiwe.Allahuma Amiina.
Shukran ustadh kwa kutufunza adhkaar vile tutaisoma
mashallah mwenyezi mungu anifanyie wepesi niwe mwenye kudumu nazo adhkar
M/Mungu akufanyie wepesi insha'allah
Mashallah.allah akujaliiee🙏🙏
Mashaallah shukrani Allah akujaalie umri mrefu na wenye baraka
Shehe mungu akuweke
Mancha'allah Allah akuzidishiye ilmu
Asante shekh Alhah akubariki
Mashallllllah ❤❤ kweli kabisa