Mashallah asalkum vip hakika leo natoa ushuhuda kwa sala ya mtume s.w hakika ina maajabu makubwa subuhanaallah...mi niliposikia hay mawaidh nilimuhadithia mumewang na tukaaza kuyafanyia kazi hali yetu ilikuwa ngumu kimaisha basi baada ya siku 3 tu ilitokea risk tusioitarajia subuhanaallah Allah alitufanyia wepes na hadi sasa tunaendelea inshallah mpaka mwisho wa maisha yetu.
@@rizikially9535unamsalimia mtume kuna namna tofauti ww utaangalia wepesi wako , Kama hujui hapa hapa CZcams Andika jinsi ya kumswali mtume itakuja alaf utaona.
Sheikh unaniliza!!!! Nampenda Allah na mtume wake wallahi namswalia mtume idadi isiyo na hesabu hadi kufa yangu na kufufuliwa kwangu iwe hivyo mpaka ku uwanja wa hesabu aamin
Maradhi na shida mara 1000 Allahuma swali alaa Muhammad waala ali Muhammad twilb khulb wadhawahia waafiat liabidani washifahiwa wa nuril abusariw wadhwihawia wakhutil aluwahy wadhwihawia@@mkambaselemani-ej7np
Naitekeleza na Nina hamu kuanza namuomba Allah aliyekujibu Shekh namimi anijibu kupitia uradi huu naamini kutokana na unayoyasema na viapo vyako kusisitiza, Yah Allah tukidhie haja zetu na Kama hazina kheri na sisi tubadilishie yenye kheri na turidhike nayo Ameeen
Maa Shaa Allah. Tahadharini ndugu zanguni. Hakika Mwenyeenzi Mngu, yuko karibu sana haswa, katika sujud. Unapokuwa unaomba hazako katika sujud. Usitie mchezo wala fikra zakipuzi. Ilinipita fikra nikaitamka katika dua. Allahu Akbar ! Nitipaliwa vibaya sana hata kukosa pumzi na kububujikwa na machozi. Uchungu mwingi kifuani. Mpaka nilipo staghfir, na sala za mtume ndipo nikapata afwaani. Allahu Akbar.
Mashaallah,,, wallahi napenda kusikiliza mawaidha yako,,, yanatia raha moyoni na hamasa juu ya mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM,,,, kuanzia leo namie nataka nimswalie hadi nione matokeo,,
Shikh Allah akuzidishie ww na ss Allah atupe kama anavyokupa ww Sheikh kwa kuwa dua zako zinapaa na ss tuombee dua kwa. Allah atuwezeshe tufikie kiwango cha kumsala Mtume wetu Muhammad. Saw
Assalam alaykum waramatullah wabarakat shekh othman Mungu akubariki sana tena sana kwa darasa zako tangu nimeanza kusikiliza hizi daras zako kuhusu mtume wetu Muhammad nilianza kuzifanyia kazi hata mwezi mitatu haijaisha na leo usiku nimemuota mtume wetu Muhammad akisoma dua hii allahumma swali alaa saydina na muhammad mara 3 na nikaona noor ya taa moja kali san na mengine nimeyaona kweny ndoto mashallah 🤲
Mie naanza in shaa Allah usiku huu wa kwetu uk 🇬🇧 nataka hii iwenikazi yangu hadi Alfajir ikiingia naanza saa saba hadi Alfajir in shaa Allah mungu atuwezeshe mana shekhe namatatizo mengi ya kifamiliya wallah watoto hadi mume Niombee allah atuwezeshe kwa kila mwenye nia in shaa allah Shukran shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah nafatilia sana vipindi vyako
Mashaallah nikipaji kilioje ulichonacho, Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuinuwa na akupe nguvu na afya na ulinzi katika harakati zako Allahumma Ameen! Nashukuru kwa kwa kuzumzia umuhim wa sala ya mtume Muhammad, na nimefaidika na nimepata mazingatio!
Assalam Aleikum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤❤❤ Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akulipe kwa Nia yako yarabby
Shukran sheikhe Ahsante sana nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah sheikhe namuomba Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr akujaalie pepo ya fredaus kwa uwezo wake na Rehma zake Allah akujaalie uwe pamoja na Mtume wetu Muhammad s.A.w peponi
@@suweidkhamis722 Mashaallah napenda kufatilia na kuskiliza hawa masheikhe nafaidika na mengi nakujifunza mengi maana sesoma lkn angalau niwe mskilizaji ili nijuwe vyakujirekebisha nakujuwa yalo mzr na mabaya
Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh. Wallahi kwa zawadi hii umetusambaziya . Nikuombee tu Allah Akuzawadiye kheri zote za Waja wema na Akulinde Allah na Alizo walinda Waja wema "Amin "
Mashallah ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa darsa za NNABY MUHAMMAD SAW DAAIMAN ABADAH!!!!! ni hivo hivo sisemi kitu!! But swalatu NNABY ziendelee ndugu zangu utafanikiwa haqiqatan!!!!!!!!!!
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh. Sheikh wangu endelea utupe mambo matamu ya Allah, Allah azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kusaidia ummati Muhammad swalallahu alaihi wa alihi wa salam, kila wapingao mambo unayo fundisha watapinga Allah awe akiwafanya sababu ya kuzidi kupanda daraja, baadhi yetu tunafaidika na ilm yako
Kila nikisikia hii clip nahisi ipo kwa ajili yangu...huyo msomali hajamuona mimi wallah nimemuona mtume s.a w mara mbili ..mara yakwanza nilikua nimekithirisha sana kuswa usiku saa 9 hadi asbh naswali rakaa 11 kila usiki na kumswalia mtume ..nilimuota mtume akiwa mtu mzima nilifurahi sana ...mara ya pili nilioteshwa nikamuona akuwa mdogo kwenye umri wa miaka km 12 au 14 hv ...na hiyo siku asbh nilikua namkatia mume wangu kachumbri nilivyoikata nyanya huyo nyanya ikawa imeandikwa jina la Allah kwa kiarabu naomba niitume humu muione hadi najiogopa ..subhannah llah ...madarasa yako yatukuzwe Allah akulipe pepo na uwe na mwisho mwema amina
ASALAM alaykum,sheikh mi nakuomba unapofahamisha Dua,au uradi bas jaribu kusoma taratibu maana tunaandika Ili tuipate vzr,hata ukiirejea mara mbili mbili itakua vzr sana, bila ya hivyo inatufanya tuirejeshe video Kila wakat kupata kuiandika ,ahsante
Allah shekhe kiukwelli napenda nitoe ushuuda hata Mimi huwezi aminiii hizi wiki na fanya ibada Kwa wingi na kumswalia mtume na kuswali tahajudi nawaona mpakavmaswahaba wananiombea dua isitoshe mtume nae ananiombea msamaha Kwa Allah kiukweli na kuwa sitamani hata kulala nataka mudavwote niwe na fanya ibada mpaka wanangu wanaoba sasa mama mbona kama anachizika tumswalue mtume jamani
Nikichoka nakuwa nasikilizia kipindi chako kiukwelli ni kizuri mno naoneshwa mpaka wanao taka kunuzuru subhanaallah ama kweli muomba mungu akosi fungu lake
❤😂 walahii shekh, natanguliza shuklulani saaan mimi hapa ni muchristo lakini nilifuatilia hiii uladhi wa ko shehk ,mambo ya ukafili nimetupa nilukua na made ni ya kupfa mtu ,kwa week 1 tuuu. Ghali ya Nissan mpya ,deni kwisha kwa siku moja 😊😊 walahi mungu akupatie lehema.
Ila nashindwa kuituma hiyo nyanya iliyoandikwa Allah km kuna mtu anajua jinsi ya kutuma anielekeze niitume hayo yote ni kwa ajili ya swalatu nabii naimani hiyo
Mashallah asalkum vip hakika leo natoa ushuhuda kwa sala ya mtume s.w hakika ina maajabu makubwa subuhanaallah...mi niliposikia hay mawaidh nilimuhadithia mumewang na tukaaza kuyafanyia kazi hali yetu ilikuwa ngumu kimaisha basi baada ya siku 3 tu ilitokea risk tusioitarajia subuhanaallah Allah alitufanyia wepes na hadi sasa tunaendelea inshallah mpaka mwisho wa maisha yetu.
Mashaallah
Unasemaje hayo maneno naomba niandikie hapa
Maashallah
Maasha Allah
@@rizikially9535unamsalimia mtume kuna namna tofauti ww utaangalia wepesi wako , Kama hujui hapa hapa CZcams Andika jinsi ya kumswali mtume itakuja alaf utaona.
Sheikh unaniliza!!!! Nampenda Allah na mtume wake wallahi namswalia mtume idadi isiyo na hesabu hadi kufa yangu na kufufuliwa kwangu iwe hivyo mpaka ku uwanja wa hesabu aamin
Sgeh naomba uniandukue Sala ya maradhi ya mtune hii qibrikunubi nijisaidue
Allaahumma aamin yaa rabby
Assalam alekum vp hali zanu naomba kuandikiwa swala ya mtume iyo ya mwisho tafadhalini
Maradhi na shida mara 1000
Allahuma swali alaa Muhammad waala ali Muhammad twilb khulb wadhawahia waafiat liabidani washifahiwa wa nuril abusariw wadhwihawia wakhutil aluwahy wadhwihawia@@mkambaselemani-ej7np
Sheikh Othuman Allah akuhifadhi akupe umri wenye manufaa kwako na kwa Uislamu wetu
Naitekeleza na Nina hamu kuanza namuomba Allah aliyekujibu Shekh namimi anijibu kupitia uradi huu naamini kutokana na unayoyasema na viapo vyako kusisitiza, Yah Allah tukidhie haja zetu na Kama hazina kheri na sisi tubadilishie yenye kheri na turidhike nayo Ameeen
Maa Shaa Allah. Tahadharini ndugu zanguni. Hakika Mwenyeenzi Mngu, yuko karibu sana haswa, katika sujud. Unapokuwa unaomba hazako katika sujud. Usitie mchezo wala fikra zakipuzi.
Ilinipita fikra nikaitamka katika dua. Allahu Akbar ! Nitipaliwa vibaya sana hata kukosa pumzi na kububujikwa na machozi. Uchungu mwingi kifuani. Mpaka nilipo staghfir, na sala za mtume ndipo nikapata afwaani. Allahu Akbar.
ah hatari sana Allah yupo karibu mnoooo ni kweli kabisa wala sikupingi mana na mimi nishafanya
Mashaallah,,, wallahi napenda kusikiliza mawaidha yako,,, yanatia raha moyoni na hamasa juu ya mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM,,,, kuanzia leo namie nataka nimswalie hadi nione matokeo,,
Mashalah... Walah sheikh othman Allah akuzidishie hekma mawaidha yako haki yaniweka Sawa.
Shikh Allah akuzidishie ww na ss Allah atupe kama anavyokupa ww
Sheikh kwa kuwa dua zako zinapaa na ss tuombee dua kwa. Allah atuwezeshe tufikie kiwango cha kumsala Mtume wetu Muhammad. Saw
😀
Tunaomba atufundishe jinsi ya kuoga hedhi mashekh wengi Wanatuchanganya
Assalam alaykum waramatullah wabarakat shekh othman Mungu akubariki sana tena sana kwa darasa zako tangu nimeanza kusikiliza hizi daras zako kuhusu mtume wetu Muhammad nilianza kuzifanyia kazi hata mwezi mitatu haijaisha na leo usiku nimemuota mtume wetu Muhammad akisoma dua hii allahumma swali alaa saydina na muhammad mara 3 na nikaona noor ya taa moja kali san na mengine nimeyaona kweny ndoto mashallah 🤲
Mie naanza in shaa Allah usiku huu wa kwetu uk 🇬🇧 nataka hii iwenikazi yangu hadi Alfajir ikiingia naanza saa saba hadi Alfajir in shaa Allah mungu atuwezeshe mana shekhe namatatizo mengi ya kifamiliya wallah watoto hadi mume Niombee allah atuwezeshe kwa kila mwenye nia in shaa allah Shukran shekh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah nafatilia sana vipindi vyako
Assalaamu alaikum .
Naomba makarama uloyaona baada ya kusoma nipate hamasa
Allahumma swali alaa saydina MUHAMMAD waalihi waas habihi wasalam❤️❤️❤️
Asante Salma alkyumi umepatia
Hapa bado zinanichanganya, ni hiyo alosema da salma,au allahumaswal alamuhamad yalabswal alaih wasalim,?
@@user-zz5ng1yb8dni hiyo ya salima
Allahu akbar sheikh othmani tunashukuru kwa darsa zako
Mimi sikupingi Sheikh langu Sala ya mtume imenipa chochote nikitakacho I love Muhammad ❤️💞💞 s.w.m
mashaAllah thanks bro, which salawat were you reciting? please share with me.
Allahumma swali wasalim alaa sayyidaa Muhammad (SAW)
Mashaallah nikipaji kilioje ulichonacho, Sheikh Allah akuhifadhi na azidi kukuinuwa na akupe nguvu na afya na ulinzi katika harakati zako Allahumma Ameen!
Nashukuru kwa kwa kuzumzia umuhim wa sala ya mtume Muhammad, na nimefaidika na nimepata mazingatio!
Mashaallah Mungu awaongezee duniani na kesho akhera nakependa kwaajili ya ALLAH mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja tuingie peponi kesho
Shukran Ustadh, tutalifanyia kazi BibIdhniLlAh, Allah akuweke akuhifadhi na kila baya 🤲🏻
Alhamdulillah nimemswalia mtume SAW nimepona gas ulecers
Assalam Aleikum warahmatullah wabarakatu
ALLAAHUMMA SALII WA SALIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤❤❤
Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akulipe kwa Nia yako yarabby
Asante Rahmat Ahmed
Jazzaka llah kheyri shukran sana sheikh Allah atuwafikishe kwa rehma zake
Shukran sheikhe Ahsante sana nakupenda sana sheikhe kwa ajili ya Allah sheikhe namuomba Allah akuzidishie umri wenye afya njema na siha mzr akujaalie pepo ya fredaus kwa uwezo wake na Rehma zake Allah akujaalie uwe pamoja na Mtume wetu Muhammad s.A.w peponi
Swala zausikuu
Kila comment nakuona mashaallah
@@suweidkhamis722 Mashaallah napenda kufatilia na kuskiliza hawa masheikhe nafaidika na mengi nakujifunza mengi maana sesoma lkn angalau niwe mskilizaji ili nijuwe vyakujirekebisha nakujuwa yalo mzr na mabaya
Aamin yaarabbi
Sh.umenifurahisha sana, Allah pekee atakushindia kila jema unalokusudia kutusaidia walimwengu.Nakukubali mtu wa Mungu.InshaAllah tuombeane uzima.
Masha Allah,mm sala ya mtume imeniondolea tatizo ambalo nilikuwa sijui nitafanya Nini?, wallahi haikufika hata masaa mawili nilipata nilichokuwa nakiomba, Alhamdullah,
Aslm alkm shekhe Othman mm napenda sanaaa kusikiliza mawaidha yko wallahi , Allah akuhifadhi
Masha allah ❤ sheikh nakupenda sana❤❤❤❤❤❤
Assalam alaikum wa rahmatullahi wa barakaatuh.
Wallahi kwa zawadi hii umetusambaziya . Nikuombee tu Allah Akuzawadiye kheri zote za Waja wema na Akulinde Allah na Alizo walinda Waja wema "Amin "
Akulinde na Shari Alizo Walinda Waja wema "Amin "
Shukran kwa kutujuza mambo ya kheri ALLAH akuhifadhi akuzidie kheri barak kwa ulivo navo
Alhamdulilah kwahíi neema kubwa cna
Masha Allah awesome lecture..BarakAllah feek sheikh
😢😢
Mashallah ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa darsa za NNABY MUHAMMAD SAW DAAIMAN ABADAH!!!!! ni hivo hivo sisemi kitu!! But swalatu NNABY ziendelee ndugu zangu utafanikiwa haqiqatan!!!!!!!!!!
Shukran saana ALLAH akulipe ujira mkubwa BiidhnLLAH 🤲
Maashaallah allah akulipe pepo ya firdaus
Shukran sheik Jazakka Allahu kher 🙏Allah akulipe kher hpa leo duniani hdi kesho akhera.Allahu Akbar,Alhamdhulillahi 🤝
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Jazaka allah khaira
Masha Allah aturuzuqu mapenzi yakumpenda Mtume wetu na kumsalia yeye .
Allah akubaarik sheikh. Masha Allah
Mashaa Allah tabaraka Allah, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, Akupe mema duniani na Akhera.
Ma sha Allah....nimeanza usiku wa Leo...ninamatattizo mengi in shaa Allah mwenyezi Mungu atanifanyia wepesi
Allah akbar leo nimekesha kwa ajiri yakusikiliza darsa lako mashaallah Mashaallah tabaraak rahman Allah akueke kwa ajiri yetu
MashaAllah. Saw❤
Shukran Allah akupe Afya
Maaa Shaa Allah Shukran Wajazaukum llah khayra
Mimi natoa shuhuda jamani ninauza biashara yangu alhamdulillah na ninaamini Allah atazidhisha
Unasoma ngap Kila siku na wakat gan?
Masha Allah shukran jazzakallah khairan
Salam alaikum warahmtulillah wabarakatuh shukhuran ya sheikh Othman Michael Allah akuraishishiye duniani na akheran Allah Huma amin
Shukran sheikh na jikuta machoz inadondoka Mwez Mungu akulipe kila laheri🤲
Kwakwel Allah akujaze kheri
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh.
Sheikh wangu endelea utupe mambo matamu ya Allah, Allah azidi kukupa nguvu na uwezo wa kuendelea kusaidia ummati Muhammad swalallahu alaihi wa alihi wa salam, kila wapingao mambo unayo fundisha watapinga Allah awe akiwafanya sababu ya kuzidi kupanda daraja, baadhi yetu tunafaidika na ilm yako
masha Allah , mwenyezi mungu akuzidishie zaidi
Shekhe umenenepa maa shaa llah
MashaAllah ustadh na shukran kwa mawaidha yako mazuri yenye kutupatia manufaa jazaa yako kwa Allah.Allah akuhifadhi
Maashaallah Allah akulinde uzidi kutupatia elimu hizi Inshaalaah
Shukran sheikh, nafaidika sana n darsa zako, alakujazie kheir ameen
MAA SHAA ALLAHU
Aslm alkm ww.... Masha Allah!!! Nikweli kabisaa hata mimi nikimaliza kumswalia nabii Muhammad S. A .w. mimi hucheuka. Allahu maswali wasalim aleyh.. Jazakallah kheir 🙏 Nikweli hilo bilashaka Masha Allah 🌹
Allah akulipe kila laheli
Naamini bi idhini llahi ntapata majibu shekh nmeanza kumswalia mtume kwa speed kubwa sana 🙏🙏
Mashallah jazakawallah Allah hakuzidishie
Mashallah Allah akuhifadhi shekh na ss pia atujalie mwisho mwema
Allah akupe mwisho mwema yaa sheikh atukutanishe sote sisi na ww pamoja na bwana mtume s.a.w
Masha Allah Allah akupe unalo stahili
mashaallah my shekh
Jazaka lwaah kheir mungu akuzidishie ilmu uzidi kutufundisha tumepata faida nyingi alhamdulilaah
Kila nikisikia hii clip nahisi ipo kwa ajili yangu...huyo msomali hajamuona mimi wallah nimemuona mtume s.a w mara mbili ..mara yakwanza nilikua nimekithirisha sana kuswa usiku saa 9 hadi asbh naswali rakaa 11 kila usiki na kumswalia mtume ..nilimuota mtume akiwa mtu mzima nilifurahi sana ...mara ya pili nilioteshwa nikamuona akuwa mdogo kwenye umri wa miaka km 12 au 14 hv ...na hiyo siku asbh nilikua namkatia mume wangu kachumbri nilivyoikata nyanya huyo nyanya ikawa imeandikwa jina la Allah kwa kiarabu naomba niitume humu muione hadi najiogopa ..subhannah llah ...madarasa yako yatukuzwe Allah akulipe pepo na uwe na mwisho mwema amina
ALLAHUMA SWALI ALLASAIDINA MUHAMMAD WAALIHI WASWAHBIHI WASALAM❤
MANSHAALLAH tabaraka RAHMAN nakupenda kwa ajili ya ALLAH ALHAMDULILLAH
Mashallah shekh wetu shukran shekh
Mashallah sheikh tunakupenda kwani unatupa faida nyingi katika darsa zako mwenyez mungu akulipe kheri
Shekh othman michle.....unanikosha sana.....ukitaka kuongeza mke wa tatu tuwasiliane mimi ni mpemba....itabid uelekee uku bi.idhnillah
ASALAM alaykum,sheikh mi nakuomba unapofahamisha Dua,au uradi bas jaribu kusoma taratibu maana tunaandika Ili tuipate vzr,hata ukiirejea mara mbili mbili itakua vzr sana, bila ya hivyo inatufanya tuirejeshe video Kila wakat kupata kuiandika ,ahsante
Shekhe Mimi napenda Sana mawadha yao yemenipa elimu Alhamdulilah arwah akujaliie umli mlefu uzidi kutupa faida sisi navitukuu vyetu
MA Sha ALLAH tabaraka Allah kwa somo lako Allah akujaze umri WA faida na kwa thikri yako
Jazaka llahu khayra allah akufikishe mbali
Allah.akufanyie.wepesi.kwakila.jambo
alah akbar, mtume ninuru fanyeni hili linaukweli asilimia mia hakika
Masha Allha
MashaAllah sheikh wetu Allah akuweke
Hii swala ya mtume naiyamini asilimia 100
Mashallah sheikh wangu Allah akujaalie kheri ishallah
Mashaallah.mashaallah.shekhe.Allah.akuhifadhi
Shukran Allah atujalie miongoni mwao tutekeleze
mashaalah allah akulipe ishaalah
Mashaallah from Mozambique
Jazakallah
Masha allah
Allah shekhe kiukwelli napenda nitoe ushuuda hata Mimi huwezi aminiii hizi wiki na fanya ibada Kwa wingi na kumswalia mtume na kuswali tahajudi nawaona mpakavmaswahaba wananiombea dua isitoshe mtume nae ananiombea msamaha Kwa Allah kiukweli na kuwa sitamani hata kulala nataka mudavwote niwe na fanya ibada mpaka wanangu wanaoba sasa mama mbona kama anachizika tumswalue mtume jamani
Nikichoka nakuwa nasikilizia kipindi chako kiukwelli ni kizuri mno naoneshwa mpaka wanao taka kunuzuru subhanaallah ama kweli muomba mungu akosi fungu lake
اللهم صل على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم
Mashaallah tabarak Allah
بارك الله فيك
Wallahi sheikh umesema kweli ,mimi wakati fulani ,baba yangu alifungwaka,alafu nikamswalia mtume "slw"kwa namnahii alafu alitoka hapohapo Kabla sijamaliza..."alaumaswalati kamilatu wa Salim sakaman taaman anla saidina Muhammad..."
Allahumma swalli alamuhammadi
Mashaalh ustad mm pia nitaanza inshaalh mungu atupe kheri
❤😂 walahii shekh, natanguliza shuklulani saaan mimi hapa ni muchristo lakini nilifuatilia hiii uladhi wa ko shehk ,mambo ya ukafili nimetupa nilukua na made ni ya kupfa mtu ,kwa week 1 tuuu. Ghali ya Nissan mpya ,deni kwisha kwa siku moja 😊😊 walahi mungu akupatie lehema.
Karibu katika uislam.
AllahuAkbar
Allahuakbar
Maasha llah
Mashallah Allah kujaalie umri mrefu wenye uchamungu ndani yake
Shukran sheikh
Allah akufanyie wepes utufundishe na mengine
Shukrani sheikh
Masha'Allah
Kwa nini shekhe huwa anasema Mtume bila kumalizia s.a.w?? Sipendezewi kwa kweli
Masikio yako yana shida KDG
Pole mwaya,,ila sikiliza vzr.
Shukran san sheikh 🙏
Mashallah.shukurani.shekhe
Allah akupe umri mrefu inshaallah
Asslam aleyikum jmn mswalieni mtume kunamaajabu makumbwa xn siwezi kusema
Inshallah mimi nitajitayidi sana inshallah nitakupeeni jibu
Sheikh othman mungu akuzidishie kila la kheri
Ila nashindwa kuituma hiyo nyanya iliyoandikwa Allah km kuna mtu anajua jinsi ya kutuma anielekeze niitume hayo yote ni kwa ajili ya swalatu nabii naimani hiyo