Historia ya MTU mweusi imefichwa sana ila Qur'an nikitabu pekee kilichobaki kilicho beba historia ya MTU mweusi kwa usahihi kabisa wa kristo wachache tunao jielewa tunakiheshimu kitabu icho mungu ukubariki sheikh
Maasha Allah shekh huyu namkubali sana kwa mwa muonaje alivyo tulia na vitu vinazidi poromoka na ukikutana nae utaona akiwa kazungukwa na watu waki sikiza mawaidha na nasaha na amejaaliwa lafuzi nzuri kama shekh wetu Othman maalim wala huwezi choka kumsikiliza allah akupe umri mrefu baraaka allah fikum.
@@othmanmichael4241 Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh.... Niko nivile hupokea Daa'wa from different source;kisha Niko na various online classes. But In sha Allah... Nita compensate time ...
Nasikitika sana kuikosa darsa hii ktk Masjid Billal Kiwalani kwa Gude DSM ni kila Alhamis baada ya swala ya Magharib,inshallah wiki inayokuja ntakuwepo!
Assalam alaykum, afwan sheikh, kutokana na mawaidha yako ni kuwa nabii haletewi wahyi na Jibril {A.S}, lakini kutokana na mawaidha yako ya Ukubwa wa Allah, ni kuwa uliwahi kutaja kuwa Nabii Ibrahim {A.S} alijiwa na Jibril {A.S} kujuzwa kuwa jambo la kumfukuza yule mtu alokuwa anaabudu moto limemkasirisha Allah. naomba ufafanuzi kwa hili. Shukran
Jamani kama mmemkubali shekh alivo tulia na kumuiga othman maalim gonga like yako ili twendee saw
Pia mi nimeona kabsa
@@MohamedHassan-tf3kn shukran sana Mohamed
Mungu akubaliki
Je jua nikatika myoto motoni ??????????
Maa sha Allah... Kweli kabisa anaelezea vilivyo kama Shekh Othman Maalim. ALHAMDULLILLAH.
God bless❤you and all Muslim in the world
Kama umemuona mjusi katulia anasikiliza daawah dodosha like
Mashallahu jazakalaahu kheira Sheick Mwenye Ezi Mungu akuneemeshe inshaallaah twashkuru saana sisi kwa ilmu unayotupa
MashaAlllah
Allah akujalie mwisho mwema
Allah maamin Sheikh. Allah tunamuombea Sheikh wetu maisha marefu yenye afya. Hakika huyu ni zawadi kwa umma.
Historia ya MTU mweusi imefichwa sana ila Qur'an nikitabu pekee kilichobaki kilicho beba historia ya MTU mweusi kwa usahihi kabisa wa kristo wachache tunao jielewa tunakiheshimu kitabu icho mungu ukubariki sheikh
nikweli kabisa mimi nakuombea kwamungu akujaalie ukifuate kitabu cha allah nauwe mwislam inshaa allah
Kwa nn usifuate njia ya kheri
Allah akuzidishie elim sambamba na hekma ulonayo akujuze haki yake na batwili uongoke inshaalla
Hatibu Ahmadi
Aamin
Rashid Khalifa in shaa allah ataingiaa tumuombee
huyu ustadh Michael othman nampenda kwa ajili ya Allah nataka dua zako ustadh
Mashaallah mungu akujalie kila la kher katika kaz yko yakutangaz dini ya Allah insha'Allah
Allah akulinde na Kila lashar
mashaallah sheikh MWENYEZI mungu akupe umri mrefu na afya njema inshaallah
sheikh othman huu mti kwa hapa tanzania unaitwa jina gani?
Mashaallah Sheikh sauti yko kidg ifanane na sheikh Othman Maalim Allah akuzidishie ilmu utupe nass
@Omar Alofi kwli yko ndugu sauti yao yanafanana sana
Lambda ni mwana funzi wake inshallah 🤣
@@jamalraja417 hatuwez kujua ilo km nikweli mwanafunz wake au laah
@@hildababyabdullah5627 Masha Allah, tena yuazungumza kwa utaratibu kama yeye
Maasha Allah shekh huyu namkubali sana kwa mwa muonaje alivyo tulia na vitu vinazidi poromoka na ukikutana nae utaona akiwa kazungukwa na watu waki sikiza mawaidha na nasaha na amejaaliwa lafuzi nzuri kama shekh wetu Othman maalim wala huwezi choka kumsikiliza allah akupe umri mrefu baraaka allah fikum.
Yaani huyu Mpka sauti ni ya Othman Maalim... Mungu hakupe umri Mrefu
Allah anatujaalia Othman wapili alhamdulil llah .mashaallah mashaallah wallahi.
Athman kama humjui utajua ni huyu tu Mashallah
@@eshaabdalla9725 wallah ten.watu dunian wawili wawil
Mashaallah mungu
Waalaikumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
Shukran yaa sheikh othman kwa darsa hii mungu akujazie nuuru kifuani mwako inshaallah nasi atujaalie tuwe na mazingatio allahumma aamiin
Allha huma ajirna mina nar ameen.
Inshallah mungu akujalie afya ili uweze kutupa history kama hiyo na nyingine
armor shalick .
Mungu AKULINDE 🤲 Allah huma Amin
kwa ujumla wengi mnaofanya vizur ktk mawaidha yenye utulivu na kueleweka rollmodel wenu ni OTHMAN MAALIM, jazzakhallahu khaira...
Shukran sheikh,baaraka Allah fiik
JazzakAllah kheir sheikh
Allah akujaz khery
mashaa Allah jazak Allah khair
Thank you sheikh I got you clearly, keep it up . Allah bless you /us inshaAllah
Allahumma swalli alaa muhammadin waali sayyidna muhammad (saw)
ALLAH AKULIPE KWA HILI , MASHALLAH
daaaah mashallah tarikh nzuri sana
Kusema kweli shekhe napenda sanaa visa vya mitume na manabii nikiskiliza najikuta mara nyingi machozi yanilemba lemba
Sauti yake kama.sheikh othman Maalim Mashallah
Allah akuzidishie elimu Nasisi utuelimishe. Inshaalla
Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh. Maa sha Allah. Qur'an Inaelezea yote. Alhamdullillah.
Umetukimbia wapi
@@othmanmichael4241 Assalamualykum warahmatullahi wabarakatuh.... Niko nivile hupokea Daa'wa from different source;kisha Niko na various online classes. But In sha Allah... Nita compensate time ...
Cndoo wewe ulikua klnikufahamuye au
@@othmanmichael4241 sijaivuta twaswira...Sinaga kumbukumbu!
Mashallah shukran
Mashallah...jazakallah
Mashalah tabarak Allah daa ka malim
Ma shaa allah ya sheikh allah baarik in shaa allah
Mashallah
Masha Allah
*Masha Allah Tabarrakhllah
Allah akuhifadhi na akuzidishie Uelewa utupe Elimu yake kupitia wewe mja wake
Shekhe umetisha sana yaani nakubali vitu unavyovitowa
ALLAH AKBAR
Masha allah
Maashallah. Faida ilioje hii
BarakaAllahu feekum
feek
Mashaallah tabarakhah
Mashallaab ya sheikh
Allah akupe umri na hekima . inshaàllah !!!
M.mungu Akupe Siha nzuri ya Afya Sheikh uzidi kutuelimisha.Allahuma Amin🙏🙏
Mungu akuzidishie shekh mawaiza safi sana kila la kher.
MashaAllah
Maa shaa Allah
MashAllah sheikh wangu
Jazzak Allahu khairan Sheikh Othman.
MASH Allah
Naam hakika Allah(sw) akufanyie wepesi zaaid katika kufikisha elimu yake inshaallah nimefaidika
Mashallah Asante kwa Mawaidha mazuri
Jazzakah llahu khairan
Mashallah
Shukran sheikh wetu barraka allahu feek wajazzaka allahu khery
God bless and all Muslim
Allah amuhifadhi pamoja na mashekh wote.
Mungu aku zidishie
Nasikitika sana kuikosa darsa hii ktk Masjid Billal Kiwalani kwa Gude DSM ni kila Alhamis baada ya swala ya Magharib,inshallah wiki inayokuja ntakuwepo!
mashaallah
weusi
mpoo
Mwanaasha Nuru
Tupo kumbe tuna thaman kubwa
kisachanabiiadam
@@mwanaashanuru6977 0ppppppppppp
Jaamaa anafuata nyayo za shekh othmani maalimu
mashaalah, jazaaka lahu khyra
Masha Allah Sheikh
Othmani wa pili baada ya yule maalim wa kwanza Masha Allah
Amin
Mashaaallah tabarakallah shukrani sana shekh kwa ukumbusho Allah akujaalie kheri
Shukrya
Shekh mzuri. Mashallah Mungu akubarik
Mash Allah jazaka Allah shukran sheikh kwa mafundisho
Shukran
Assalam alaykum, afwan sheikh, kutokana na mawaidha yako ni kuwa nabii haletewi wahyi na Jibril {A.S}, lakini kutokana na mawaidha yako ya Ukubwa wa Allah, ni kuwa uliwahi kutaja kuwa Nabii Ibrahim {A.S} alijiwa na Jibril {A.S} kujuzwa kuwa jambo la kumfukuza yule mtu alokuwa anaabudu moto limemkasirisha Allah. naomba ufafanuzi kwa hili. Shukran
MaashaAllah
shukran sheikh
jJazza kAllahu khayri.maidha mazuli saana.Allahu akupe mwisho mwema cheh wetu
Mashallah Allah akujaze kheir
Napenda sanah mawaidha na hadidhi za maswahaba wa mtume
Jazak Allah heri
Swadakta ya ust
Masha allah tabarak Allah
Masha Allah... Allah bless
Awahuma amin
Ninapenda mawaidha yako sheikh othmank michel
Mwanafunzi wa fundi Othman Maalim
Mashallah sheikh kwa ufasaha
Asante sheikh
Mashallah. From kenya
Inshaallaah ALLAAH akujaalie
Sheikh jina limekuka balabal nikifumba macho no aisikia sauti ya Sheikh Othuman Maalim Mashaallah.
MashAllah tabarak rahman
Sheikh mbna hawa waarabu wanasema nàbii swaleh alikua iraq
jazaak Allah kher,,
Naam Sheikh Mmungu kakujaalia khutba zako ni Pana na utulivu. Kabisa raha kukusikiliza na kusoma kwako. Tuifahamu quraan tupate elimu ya maana
Mashaallah
Shukrn
Shukran sanaaa Sheikh Othman.
Mashaaallah
Ta
Alhamdulillah
Manshallah shekh Allah akulipe kila rakheri
Mashallah shukurani
Shukran