HISTORIA YA MAJJINI // SHEIKH OTHMAN MAALIM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 05. 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Komentáře • 49

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama1542 Před 27 dny +4

    Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh

  • @PrincessZAmlima-qh1uq
    @PrincessZAmlima-qh1uq Před 22 dny +3

    Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 Před 2 měsíci +13

    Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 dny

    Mimi Kiukweli Uyu Shee Napenda Sana Mawaidha Yake Mana Anajua Kufafanua Kwa Umakini Sana Kwa Mujibu Wa Vitabu Vya Imani

  • @sidesaid4604
    @sidesaid4604 Před měsícem +5

    MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Před měsícem +2

    Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤

  • @abdallahkawambwa6179
    @abdallahkawambwa6179 Před měsícem +3

    😢JAZAKA LLAHU KHEIYRU SHEIK MOLA AKULINDE ZAID NA MAADUI WKO ISHAALLAH

  • @RahimChande
    @RahimChande Před 13 dny

    ALLAH amjaalie Pepo

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 Před měsícem +4

    Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i Před 27 dny

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @MwanlyGogo
    @MwanlyGogo Před 9 dny

    Waisilamu hatuwaogope majini ila tumuogope mwenyez mungu ametakasika subuhanaka

  • @NgarigariOmari
    @NgarigariOmari Před 2 měsíci +2

    Jazaakallahu khair

  • @dokadoka9426
    @dokadoka9426 Před 10 dny

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525 Před měsícem

    Allah akupe afia ma umri sheik Othman

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Před 2 měsíci +3

    AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i Před 27 dny

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai Před 27 dny

    Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 Před měsícem +1

    Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga Před měsícem

    Shukran yaaah shekhe Othman maalim

  • @farris_2549
    @farris_2549 Před 26 dny

    Sheikh wet u Allah akuhifadhi.

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n Před měsícem +1

    ❤❤❤❤❤

  • @azzaaltouqi2323
    @azzaaltouqi2323 Před 2 měsíci

    بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله

  • @IbrahimMambo-l9r
    @IbrahimMambo-l9r Před 19 dny

    ❤Mashaallah

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 Před měsícem +4

    Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.

  • @businesscenterenglishcours9136

    mashaAllah

  • @a.856
    @a.856 Před měsícem

    Jazakallah khayran

  • @IssaSalim-kv4gr
    @IssaSalim-kv4gr Před měsícem

    Jazakallah khaira

  • @alyehemed4477
    @alyehemed4477 Před 2 měsíci

    Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran

  • @WonderfulSeagull-lg1tz
    @WonderfulSeagull-lg1tz Před 2 měsíci +1

    Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 2 měsíci +2

    مشأ الله

  • @OmarOmar-q2q
    @OmarOmar-q2q Před 22 dny

    Duh

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 2 měsíci +1

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před měsícem +1

    MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!

  • @alijuma7674
    @alijuma7674 Před 2 měsíci

    Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l Před měsícem

    Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 Před 22 dny

      Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603 Před 17 dny

    Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s Před 26 dny

    Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i Před 27 dny

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @HeriethMatemba
    @HeriethMatemba Před měsícem

    Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i Před 27 dny

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i Před 27 dny

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤