Mama anayedai ametumwa na Yesu apambana na sheikh Hassan kariuki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 1,2K

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před 2 lety +6

    Wahadhiri Allah awape Kila la kheir bible wanajuwa Quoran tukufu wanajuwa ............Alhamdullillah Mola kwa Neemah yakuwa mwislam

  • @fridausbakari5163
    @fridausbakari5163 Před 2 lety +52

    Mashaallah ❤️. Alhamdulillah nna miaka sita toka nmeslimu. Naupenda sana uislamu. Allah atuzidishie Imani. Umma wke muhammad.

    • @barnabaabel9522
      @barnabaabel9522 Před 2 lety

      Ndo umeamua kupotea kabisa

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Před 2 lety +6

      @@barnabaabel9522 umepotea wewe pole sanaa mwenzio huyoooo ameachana na upofu na ubishi

    • @sophiahamisi706
      @sophiahamisi706 Před 2 lety +2

      Masha Allah

    • @jacquelinemwakasala9563
      @jacquelinemwakasala9563 Před 2 lety

      VIP mapepo yanavyokuvaa unaotaga ndoto nzuri wewe kwel lazima utakuwa unateseka mi nakwambia

    • @jacquelinemwakasala9563
      @jacquelinemwakasala9563 Před 2 lety

      Yaan huyo dada mkristo ndo hajui hajui hajui anatia aibu tu.unajibishana na hao watu hujui hata maandiko unatakiwa MTU uwe umeshiba vizur ndo unaingia mashindanonj

  • @juliusochieng6947
    @juliusochieng6947 Před 2 lety +11

    Mimi namuamini yesu kristo kam mutetezi wangu na imeandikwa kwa na kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri na hakuna yoyote atakae uona ufalume wa mungu pasipo kupia kwake

  • @tanzaniaunforgettable4401
    @tanzaniaunforgettable4401 Před 2 lety +13

    Mungu akuacha dini kwaio kila mtu na Imani take...kwaio faith yako isiwe faith ya mtu mwingne...amini unachokiamni sio kumuaminisha mwingine....Cha msingi kila mtu aamin anachokiamin.....kwasababu ww shekh Nan ulishawai kumuona amekufa na kurud kwamba kaenda peponi..kwaio don't judge...God ndo anajudge

    • @naturalist9517
      @naturalist9517 Před 2 lety +1

      Ao wako biashara tu kudanganya wananchi wa kawaida.

  • @ladyjamilamohammed2577
    @ladyjamilamohammed2577 Před 2 lety +7

    Assalamu Alykum warhamatullah wabarakatuh....Takbirr!!!!💪🤣Allah akujalie Kheir Sheikh...na akufanyie wepesi ili uendelee kuelimisha Ummah....Akupe mwisho mema

  • @elinapouljensen9244
    @elinapouljensen9244 Před 2 lety +7

    Jibu ni mahali alipo nasi pia tuwepo..yeye yupo mbinguni mahali alipo mungu Mkuu baba na yesu ameketi mkono wa kuume wa mungu baba mwenye enzi wote wanaomfuata yesu apo ndipo watakuwepo, yesu ameshawaandalia iyo sehemu nzuri ya kupumzikia

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 Před 2 lety

      Panaitwaje sasa?? Maana yake kunawez kuwa hata hapahapa Tanzania au burundi sindivyo

    • @elinapouljensen9244
      @elinapouljensen9244 Před 2 lety +1

      @@raffeiystar2870ndio jitahidi ufike mahali pazuri ulipoandaliwa ujionee mwenyewe kama ni mbinguni uko uko au apa apa walipoumbiwa Adam na awa yote yanawezekana, Kwani wenye uamuzi si wao

  • @salmashukuru7627
    @salmashukuru7627 Před 2 lety +47

    Masha allah 🌹 namshukur allah baada ya kusilim nipo vizur naupenda uislam ni miaka minne sasa nimekuwa mwislam 💕💕

  • @ismailali-nd5dp
    @ismailali-nd5dp Před 2 lety +5

    Alhamdulilah I am proud to be among one of the Muslims..

  • @emathumani2901
    @emathumani2901 Před 2 lety +7

    Acha nimpende Yesu ambaye ndie njia ukweli na uzima Wa maishayangu Mimì🙏🙏

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před rokem +1

      Yesu alikuwa mwisilamu kama unampenda lazima umfuate

    • @nathanch7766
      @nathanch7766 Před rokem +1

      @@salimdaawah123 Andiko please...sio maneno kavu

    • @isseamin2017
      @isseamin2017 Před rokem

      ​@@nathanch7766 mkristo Soma bibilia mathayo 26:39

    • @isseamin2017
      @isseamin2017 Před rokem

      ​@@nathanch7766 mkristo Soma bibilia mathayo 26:39

    • @hashim.22kamal27
      @hashim.22kamal27 Před 3 měsíci

      Mariko.12.vs.14

  • @lindatasha3960
    @lindatasha3960 Před 2 lety +3

    Mimi na Yesu damu ata waseme ngapi yeye ndio mkombozi wangu yeye ndio njia na usima wa milele ,,atarudi kujukuwa walio wake walio fwata Sheria za mwenyezi Mungu na kuwaugumu walio zikataa njia za mwenyezi Mungu hallelujah 🙏🙏 ,,wanadamu munabisha na akuna mtu anajuwa siku ya mwisho vile kutakuwa ni vema Kila mtu afwate Imani yake hati siku ya mwisho kwa sababu ni Mungu alituumba sisi wote na akakuweka muislam na Mimi mukristo ,,sisi wote ni watoto wa Mungu na akuna anaye juwa kama ni mkamilifu Amen🙏🙏🙏

    • @omaar5693
      @omaar5693 Před 2 lety

      Nani amewadanganya yesu atarudi kuwachukuwa, kama rahisi angeondoka na japo mmoja kati ya wale 12

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 Před 6 měsíci

      Dada yesu mwenyewe hawajui mana alisema mwamkubali machoni ndani yenu mwafanya mambo yenu nanyi mwamuabudu bure

  • @zaidanmwalingo5485
    @zaidanmwalingo5485 Před 2 lety +4

    Najivunia kuwa mkristo, namjua Mungu Alie hai anayejibu, anaeponya, huko peponi mnakodhan mtaenda uzuri wote tupo tutashuhudia, wewe tenda mema halafu uone Mungu atakupeleka wapi

    • @halimayusuf3113
      @halimayusuf3113 Před 2 lety

      Thank you Jesus for saving me ,,,I love you Lord

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      Jina Jesus ni fake because Mariamu hakuongea kizungu je alipozaa mtoto wake alimuita aje kwa lugha yake

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      Pili Yesu kwa bibilia hajatumwa kwa wa African ametumwa kwa waisraeli

    • @leahrumona1558
      @leahrumona1558 Před 2 lety +1

      @@halimayusuf3113 Siku ya kihama ndio itatambua pahali mtu ataenda sisi wakristo tuna njia ya kutupeleka mbinguni ambayo ni yesu mwana wa Mungu aliye hai

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 Před 2 lety +22

    Huyo Mama ni Mwanajeshi imara , kwamimi nampa hongera.

    • @twaybachellah914
      @twaybachellah914 Před 2 lety +1

      @@suleymanally4729 si vyema kumtusi wapo katika kuelekezana tu

    • @suleymanally4729
      @suleymanally4729 Před 2 lety

      @@twaybachellah914 saw nashkur kwa nasah zak asante san

    • @hannahwainaina286
      @hannahwainaina286 Před 2 lety

      Kabisaa no matter how many they are she is still in her faith😍😍jstrong

    • @user-fx2qt5mf4e
      @user-fx2qt5mf4e Před 15 dny

      Yesu ndiye njia na uzima hongera mm

  • @virejiangingo288
    @virejiangingo288 Před 2 lety +7

    Yesu Krisho Ndiye njia ya kweli na uzima milele .

  • @rendee267
    @rendee267 Před 2 lety +3

    Sisi sote ni kazi ya mkono wa Mungu ......Mungu ni mmoja, yeye yule Jana ,Leo na hata milele.........na wote siku ya mwisho tutaenda sehemu inayostahiri.

  • @michaelkiuta1979
    @michaelkiuta1979 Před 2 lety +12

    Yesu namba moja, mtu hawezi kufika kwa MUNGU kama hatapitia kwa yesu kwanza amin amin utapona asante...............

  • @analyticalguru5851
    @analyticalguru5851 Před 2 lety +3

    Mashallah see the woman has no way out. Wakristo wabishani sana kama wayahudi waliomkata Isa (Jesus)

  • @sherysuleiman2016
    @sherysuleiman2016 Před 2 lety +8

    Alhamdulillah a'laa niimatil-islaam 🥰

  • @hamissuche6576
    @hamissuche6576 Před 2 lety +4

    Wallah kuzaliwa muislamu ni neema kubwa sana, kwanza muislamu kuelewa kitu huwa ni haraka na rahisi sana c kama hawa wenzetu mabumbumbu wallah,. Yaani uyu mama anaongea kama anatoka usingizini

  • @marywaithera5102
    @marywaithera5102 Před 2 lety +2

    Mungu n moja.. twaenda wote mbinguni . Mbingu ni moja na jehanamu ni moja pia

  • @adeladaudi8780
    @adeladaudi8780 Před 2 lety +8

    Wewe mama umebarikiwa Umemtetea Yesu mbele ya umati wa watu. Andiko linasema atayenionea aibu na Mimi nitamuonea aibu mbele ya baba Yangu! Hakika Mungu azidi kukubariki na kukuinua.

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 Před 2 lety +1

      Ukimuabudu binadamu mwenzako motoniiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 8 měsíci

      Asimame Imara Wakiondoka wanaungua Moto

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 8 měsíci

      ​@@shabansalee4924na wanamwabudu Muhamad

  • @budapest8596
    @budapest8596 Před 2 lety +11

    Allah ndie mungu wa pekee hakuna mungu mwengine isipokuwa yeye tu Allah.

  • @marymrembomrembo7866
    @marymrembomrembo7866 Před 2 lety +9

    Siku za mwisho kila goti litapigwa na kukiri yesu ni Bwana mkatae mkubali hallelujah

    • @lailatuahmadi6525
      @lailatuahmadi6525 Před 2 lety +1

      Ukiwa na maana yesu ndio mngu wako, innalilah wainnallirah rajuun. Naomba tu nkwambie kitu kimoja hapa duniani mngu ni mmoja tu. Na wala yesu sio mngu

    • @suweidkhamis722
      @suweidkhamis722 Před rokem

      Ukifa kafiri ww utajilaumu sana

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 Před 6 měsíci

      Innalilahi wa inaileyhi rajiun ,,pole sana

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d Před 3 měsíci +1

    Poleni sana ma sheikhe zetu mna Kazi kubwa sana kabisa ,,Allah azidi kuwa hifadhi . Ao ku elewa Kwao niku gumu sana kabisaaaa😂😂😂

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 9 měsíci +1

    MashaAllah TabarakahAllah Allah awape umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah

  • @fatumaalisaid9816
    @fatumaalisaid9816 Před 2 lety +23

    Masha Allah,,,,,,I proud to be Muslim 🥰🥰🙌🙌😘😘😘

  • @ceesluichannel2020
    @ceesluichannel2020 Před 2 lety +10

    Im proud to be a Christian but I come to understand it's lack of understanding between Christian and Muslims which is true yesu he was born

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Před 2 lety +1

      Pole sana aisee

    • @pongwebeachhotel2806
      @pongwebeachhotel2806 Před 2 lety

      Please be awakening is still early you are not too late,to get your permanent life in jannah tomorrow akhera.dont be wasted your time.

  • @aishawangui6635
    @aishawangui6635 Před 2 lety +7

    Huyo mama ni mmoja wawale hubadirisha maneno ya Mungu wakijua ..pahari anaona ukweli uabadirisha na maswali ndiyo wafuasi wake wasielewe chochote

  • @silviakahuya4526
    @silviakahuya4526 Před 2 lety +2

    Mkatee mkubali yesu ni mwana wa mungu alikufaa kwa ajili yetu Ili tupate huzima wa milele siku ya mwisho mtashangaa kuona akirudi tutende mema tumuone yesu

  • @halimakalinga7764
    @halimakalinga7764 Před 2 lety +13

    MashaaAllah jazzak la kheri alhamdulilah kuzaliwa kwenye din ya haki

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 Před 2 lety +9

    Katika Biblia maneno ya Yesu yanasema , Mimi ndimi njia ya kweli na uzima mtu hawezi kwenda Mbinguni bila kupitia kwake, kama huja mkiri Yesu kristo kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu huwezi wewe moja kwa moja ni Jehanum ya moto uwe mkristo au mwislam ipo cku mtakuja kujua na mda utakuwa umeisha naitaman sana siku hiyo.

    • @husseinfarhiya469
      @husseinfarhiya469 Před 2 lety +1

      N mm natamani snaaaa ujuwe dini y kweli nia kiislamu walai hakuna mahali bible imesema dini y kweli nia kikristo

    • @mwanashaali4863
      @mwanashaali4863 Před 2 lety +1

      Hii njia ya kweli na uzima ndio imewatia tamaa poleni kashike udhu usujudie Mola wako god of the heaven and earth

    • @mildredkhagali8357
      @mildredkhagali8357 Před 2 lety +1

      @@mwanashaali4863madiko yanasema usihapa kwa mbingu wala aridhi kwa sababu mbingu ni mahali Pake mtakatifu anapo keti na aridhi ni mahali Pake pa kuweka mikuu ikiwa unamkataha yesu hiyo heven and Erth ni baba yake alihumba sikulaum uko kibofu mungu a akufunguhe macho

    • @mildredkhagali8357
      @mildredkhagali8357 Před 2 lety

      @@husseinfarhiya469 somo Yohana 6:35-36 wacha kua kibofu yule aliye umba mbingu na aridhi akakuhumba wewe katika tumbo la mama yako ndiye aliye mtumwa yesu Kristo hapa Duniani ili watu wote wamwamini wawache kutenda maovu na mungu alikua na uwezo wa kuzua asisulupishwe lakini alitaka wanayo pinga haki kama wewe wahamini ndio akafa akafufuka.siku ya tatu

    • @husseinfarhiya469
      @husseinfarhiya469 Před 2 lety

      @@mildredkhagali8357 ww hata hujielewa kabsaaa hakuna chenye umenifunza hapo

  • @musanike3079
    @musanike3079 Před 2 lety +4

    Sheikh Kariuki Mashallah ukona Subra na huyo Mama.. mii hapa wacha tuu

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 Před 2 lety +7

    Sisi wakristo tukifa kama tulimpokea Yesu kristo na kumwamini kuwa bwana na mwokozi wa maisha yetu moja kwa moja tunaingia Mbinguni na kama ulikuwa mkristo na mtenda mabaya moja kwa moja Jehanam

    • @mahatyussuf1074
      @mahatyussuf1074 Před 2 lety +1

      Isaya 51:6
      Inueni macho yenu mbinguni, mkaitazame nchi chini; maana mbingu zitatoweka kama moshi,
      Hakuna mbingu unasema mtaenda itakuwa moshi

    • @mwanashaali4863
      @mwanashaali4863 Před 2 lety

      @@mahatyussuf1074 jibu zuri sana

    • @jamesmgonda
      @jamesmgonda Před 2 lety +1

      Kama ukifa unaenda moja kwa moja ..Yesu atarudi kuchukua akina Nani?? Una Aya kutetea ulichoandika??

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 Před 2 lety

      @@jamesmgonda ww nimchungaji nikupe zawadi ama

  • @jackiewayesu7426
    @jackiewayesu7426 Před 2 lety +35

    “Let not your hearts be troubled. Believe in God; believe also in me. In my Father’s house are many rooms. If it were not so, would I have told you that I go to prepare a place for you? And if I go and prepare a place for you, I will come again and will take you to myself, that where I am you may be also. And you know the way to where I am going.” Thomas said to him, “Lord, we do not know where you are going. How can we know the way?” Jesus said to him, “I am the way, and the truth, and the life. No one comes to the Father except through me. If you had known me, you would have known my Father also. From now on you do know him and have seen him.” Philip said to him, “Lord, show us the Father, and it is enough for us.” Jesus said to him, “Have I been with you so long, and you still do not know me, Philip? Whoever has seen me has seen the Father. How can you say, ‘Show us the Father’? Do you not believe that I am in the Father and the Father is in me? The words that I say to you I do not speak on my own authority, but the Father who dwells in me does his works. Believe me that I am in the Father and the Father is in me, or else believe on account of the works themselves.
    John 14:1‭-‬11 ESV
    bible.com/bible/59/jhn.14.1-11.ESV

    • @husseinfarhiya469
      @husseinfarhiya469 Před 2 lety +4

      Huyu hata hajui anachokiongea nenda ukasoma vzur ndio ucomment hpo

    • @raliaabdi3881
      @raliaabdi3881 Před 2 lety +3

      Ur talking about new testament which is a Mzungu version,use old testament for u to know the whole truth .

    • @annettevuseletse2964
      @annettevuseletse2964 Před 2 lety +2

      Let's believe in whom we trust and put first no one can take away what u have hold on it

    • @ladyshazshow3296
      @ladyshazshow3296 Před 2 lety +1

      @@raliaabdi3881 why do you want him to read old testament hes making point

    • @jackiewayesu7426
      @jackiewayesu7426 Před 2 lety +1

      @@raliaabdi3881 Jesus answered them, “I told you, and you do not believe. The works that I do in my Father’s name bear witness about me, but you do not believe because you are not among my sheep. My sheep hear my voice, and I know them, and they follow me. I give them eternal life, and they will never perish, and no one will snatch them out of my hand. My Father, who has given them to me,is greater than all, and no one is able to snatch them out of the Father’s hand. I and the Father are one.”
      John 10:25‭-‬30 ESV
      bible.com/bible/59/jhn.10.25-30.ESV

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 Před 2 lety +6

    MashaAllah Mashelhk yetu Asante kwa kazi nzuri lnalila wainalilai rajiuni

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety +2

      Ni msiba sana Allah awaongoze hawa wakristo

    • @stellah3844
      @stellah3844 Před 2 lety

      @@salimdaawah123 Siyo wote na si kila mtu anaijua bible au Quruan vnzur,,,,,,, Mungu wetu ni mmoja mbona mnasema wakristo hawajielewi kwasababu ya mtu mmoja au watu wachache? Achen hizo bhana.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      @@stellah3844 sawa

  • @mugabekashindi4111
    @mugabekashindi4111 Před 11 měsíci

    Tumufate yesu jamani alie kufa msalabani kwajili yaku ondoa Zambi zetu Sisi wana adam mimi na kufata yesu wangu nakupenda❤ sana Amen

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 Před 2 lety +1

    Nyie mashehe mnajuaa bibliaa vizuri sana NA MNAJUA YESU NDIO ATAKAESHUKA DUNIANI SIKU YA MWISHO NA NYIE MNAMUAMINI.KWA NNI HAMUWAFUNDISHI WEZENU .

  • @japhetthabit9428
    @japhetthabit9428 Před 2 lety +23

    Dada yangu hatukutumwa tumuaibishe yesu bali tuwaubiri mataifa habari njema kila aaminie ataokoka na kubatizwa na asie amini ataukumiwa, usibishane na walio laaniwa tayari, we ubili injili usishindane na mtu bila ya sababu ikiwa akudhuru Kwa neno lolote.

    • @mwanashagladys4581
      @mwanashagladys4581 Před 2 lety +2

      Amen

    • @japhetthabit9428
      @japhetthabit9428 Před 2 lety +2

      @@fadhilaongezaongeza226 amen ubarikiwe pia

    • @salomemzungu6388
      @salomemzungu6388 Před 2 lety +1

      Ooh! yes asiyekubali kushindwa cmshindani.that why hawananga miujiza they just depending from witchcraft if their have problems or troubles,but the thing that i know is i will receive the miracles through my faith na kitu chakushangaza ni wakati kunamashindano ya Christian and Muslim,Muslim hupenda ubishi without the word of God or they Allah.

    • @japhetthabit9428
      @japhetthabit9428 Před 2 lety +3

      @@salomemzungu6388 hatukutumwa kushindana bali muhubiri injili,
      Mathayo 28:19-20

    • @fatumamnyenze9696
      @fatumamnyenze9696 Před 2 lety +3

      Wacha kutukana usilamu ww shoga pia ss tunatembeza dini ww ndea ulilaaniwa 👹😡

  • @marymrembomrembo7866
    @marymrembomrembo7866 Před 2 lety +4

    Kwa jina la yesu wagonjwa upona Amen

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      Hahaaaa mbona wakati wa coronavirus hawakupona mpaka kanisa zikafungwa

  • @lynnkyra4101
    @lynnkyra4101 Před 2 lety +2

    Mtashindana lkn siku inakuja,kila ulimi utamkiri Yesu kuwa bwana na mwokozi wetu.nampenda Yesu wangu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety +1

      Na usishahau Yesu ni mwisilamu hakuwa mkristo

    • @lynnkyra4101
      @lynnkyra4101 Před 2 lety

      @@salimdaawah123 Jesus was a jew not a muslim

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      @@lynnkyra4101 Jew tribe or a religion please any evidence

    • @lynnkyra4101
      @lynnkyra4101 Před 2 lety

      @@salimdaawah123 Jesus was raised as a Jew and remained Jewish and he never intended to create a new religion,,,,, He was neither a Muslim nor a Christian bcoz Islamic religion was introduced in the 7th century by Prophet Muhammad while Jesus came in the 1st century. Christianity was introduced after his death and resurrection.

    • @lynnkyra4101
      @lynnkyra4101 Před 2 lety +1

      Kila mtu amini kile anachoamini bible inatufundisha mtu haji kwa baba bila mwana so sisi tunamini kuwa hatuwez kwenda mbinguni bila kumkiri Yesu kristo na kutenda yaliyo mema.na siku ya mwisho Yesu anarudi

  • @janethedward5381
    @janethedward5381 Před 2 lety +2

    Mungu ni mmoja na kila mtu ana muamini ilimradi tusiabudu sanamu ila imani ya mtu ndie inae mponya na akuna alie kufa akarudi akasema kwa Mungu pakoje ila imani ya mtu ndie inae mponya Mungu ni mmoja

  • @gestinakuya8117
    @gestinakuya8117 Před 2 lety +3

    Ushirikina na unganga ndoo vilivyoijaza mioyo yenu hamna Lolote na hakuna muislamu atakayemuona Mungu asipookoka na kumkiri Yesu kristo kuwa ndiye bwana na mwokozi wa maisha yake nawambieni

  • @theshafiqs256
    @theshafiqs256 Před 2 lety +4

    Alhamdhulillah,uislam ndo njia

  • @melisahakatu2512
    @melisahakatu2512 Před 2 lety +1

    Amina amina wewe shekhe kilichokuleda hapo nini kama hukuchamwa na mwoto wa yesu

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 9 měsíci +1

    MashaAllah TabarakahAllah Allah awape umri muzidi kueneza qalima ya lailaha ila Allah😅

  • @josephndungu6805
    @josephndungu6805 Před 2 lety +3

    Waaaaooow,,, kazi zuri Sheeehe wangu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 lety +7

    mm nafutilia sana wakrsto hawana hoja n dhahir shaakir kuwa ukrsto n mıpango mıpango tu ya mwanadam na cıo din ya mungu

  • @rahmamkali2895
    @rahmamkali2895 Před 2 lety +5

    Alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu 🥰

  • @marthajovin5905
    @marthajovin5905 Před 2 lety +1

    Hakuna anaejua anaenda wapi acheni ujinga na hakuna anaejua huko peponi , mnapotosha watu mungu ni mmoja. Tenda wema na ishi katika kweli

  • @kabaleracho1785
    @kabaleracho1785 Před 2 lety +24

    Alhamdullilah am am proud to be a Muslim

  • @suzanaamisi
    @suzanaamisi Před 2 lety +10

    Kbs 🙏 sisi wa kristo tuna henda mbinguni amen mama ubarikiwe

  • @celinemollel766
    @celinemollel766 Před 2 lety

    Namshkuru Mwenyez Mungu kwa lman niliyonayo ktk vitu vya dunia usiwah jaribu kushindana na maandiko

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      Ukweli lazima watu waambie hakuna anayeshindana ila ukweli unauma

    • @celinemollel766
      @celinemollel766 Před 2 lety +1

      @@salimdaawah123 lakin siku ya mwisho utajisemea pekeako

    • @jastinisalonimolelijastini7587
      @jastinisalonimolelijastini7587 Před 2 lety +1

      @@salimdaawah123 nyie waislam mnataka sisi wakristo tukuje upande wenu Lakin mtazubiri sana mungu Atabaki kuwa mungu bwana yesu Asifiwe

  • @gestinakuya8117
    @gestinakuya8117 Před 2 lety +1

    Jamani mimi nawapeni Pole waislamu wote mnabahati mbaya kuzaliwa waislamu ukweli nawambieni

    • @user-nf1ms4ke5k
      @user-nf1ms4ke5k Před 4 měsíci

      Tukupe pole wewe uliezaliwa mkiristo, na mnaona WAz kuwa ukristo sio dini.

  • @jilloabdul8098
    @jilloabdul8098 Před 2 lety +20

    MashaAllah may Allah bless you more and give knowledge to spread Islam.

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 Před 2 lety +3

    Mama hajielewi! We unasikia au kuona maandishi na bado unajilazimisha ili tu ubaki kukaa na upotofu wako wa kusema Yesu ni Mungu! Khaaa wakristo wabishi jamani loh

    • @ladyjamilamohammed2577
      @ladyjamilamohammed2577 Před 2 lety

      Hataa...Allah atufundie..wasiyo mwamini Kwa Yy ndo Mungu mmoja...basi ataendelea kuwapoteza Hadi siku ya mwisho ..so yy hajielewi

  • @alunasozi5676
    @alunasozi5676 Před 2 lety

    Yn hata iwejeeee mm ntabaki kuwa mkristo Im proud to be christian ,,,

  • @eunicenthenya9125
    @eunicenthenya9125 Před 2 lety

    Well done beautiful lady.Heko👌these fellows need alot.They only criticize the word as a group what of an individual.

  • @shababygirlshambuwa8388
    @shababygirlshambuwa8388 Před 2 lety +5

    Takbirrrrrrr waisilamu wenzangu hahahahaha mashallah shekhe

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Před 2 lety +18

    MashaAllah masheikhe wetu Allah awabariki kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu muzidi kupigania dini ya haki mbele ya Allah inshaAllah Amiin

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety +1

      Aameen ameen ameen sote

    • @hezronkipkazi9933
      @hezronkipkazi9933 Před 2 lety +3

      Mimi ni mkristo lakini huyu mama hajijui

    • @hezronkipkazi9933
      @hezronkipkazi9933 Před 2 lety +4

      naomba kujifunza Quran

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety +2

      Amiin yaraby

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety +2

      @@hezronkipkazi9933 Inshallah ALLAH akuongoze ingia you tube sikiliza tafsir ya Qur aan inshallah utapata uongofu

  • @theclan9951
    @theclan9951 Před 2 lety +11

    God I'm your daughter! , I'll never betray you... And I want you to know that am proud to be a Christian 💒

    • @analyticalguru5851
      @analyticalguru5851 Před 2 lety +1

      No one needs to know that

    • @analyticalguru5851
      @analyticalguru5851 Před 2 lety +1

      God doesn't have children he has only servants if he had children hell would not be existing ok you can't burn your children ok

    • @Zsdaughter
      @Zsdaughter Před rokem

      czcams.com/video/uGhSl_9UMQI/video.html

    • @nancymoraa8480
      @nancymoraa8480 Před 8 měsíci

      Amen

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 Před 2 lety +1

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Před 2 lety +7

    Huyo mama ako na shida ya ufahamu lugha, Allah amuongoze aijue dini yaki uisilamu

  • @maryamemmanuel1880
    @maryamemmanuel1880 Před 2 lety +5

    Mashaallah mashaallah hakika hakuna dini ya haki na kweli ispokua uislam

  • @Bntv-4928
    @Bntv-4928 Před 2 lety +1

    Tatizo Huyo Mama Hana uelewa mpaka na Dini husika anayeipambania ,,, huwezi weka hoja ktk masuala ya Dini endapo huna uelewa Mpana.... Uje uulize wap tunapelekwa kwa wale wenye uelewa Mpana....... Ipo hivi ndg zangu waisilam.. sote tulioishi ktk Imani njema na kufuata Yale Mungu anayohitaji tufuate.... Basi tutaenda Peponi/ kwenye mji wa uzima wa milele huko hapana Magonjwa wala taabu ya aina yeyote .... Ndo maana hata hua mnaona wachungaji wanapokua wanafanya mazishi ya mkristo mwenzao ... Nanukuu..... Mungu ametoa na Mungu ametwaa Jina lake lihimidiwe,,,, Mungu na ailaze Roho ya marehemu Mahala pema Peponi....
    Kwahyo tutaenda Peponi ... Huyo ndg yetu mama. Kdg hajajibu ilivotakiwa

    • @anitamwende8329
      @anitamwende8329 Před 2 lety

      Indeed it's the end of the world,wanangu mumekosa maandili,how can you compare the power of God forgetting we are all created by one supreme God, religion will not take you to heaven nor "peponi" may God forgive you ,

  • @johnmwangi9943
    @johnmwangi9943 Před 2 lety +1

    I didn't want to comment but I will. We Africans are here urging about foreign religions which even those who brought it are now concentrating on development and well being of their people. I was a Christian but I'm no longer religious, I'm concentrating on doing the right and respecting the law!!

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 2 lety +5

    Bora nimezaliwa ndani ya uislam,maana mkristo huwa anaujua ukweli ila kwakua kajazwa Imani potofu Basi hahami kwenda ktk ukweli

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 Před 2 lety

      Maana wewe ndo uliyewaumba ...wewe mtakatifu sana..kumbuka hamna aliyemkamilivu humu duniani unless quaran yakwambia wote ni wakamilivu.

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo40 Před 2 lety +14

    Yohana 14:6 - Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

    • @promyomari3192
      @promyomari3192 Před 2 lety

      kweli dungu yangu

    • @andreaotaigo40
      @andreaotaigo40 Před 2 lety

      @@promyomari3192 ubarikiwe

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Před 2 lety +2

      @@promyomari3192 Tatizo hamfuati matendo yote ya Yesu, badala yake mnachagua ya kufuata na ya kuacha!

    • @stephenstevo5799
      @stephenstevo5799 Před 2 lety

      @@fatmazullu4933 kwahivyo unamaanisha nyinyi mnafuata yote na you guys you are perfect that you never sin

    • @jannyrose5367
      @jannyrose5367 Před 2 lety +1

      Hakuna njia nyingine asema Alfa na Omega?

  • @claudemofi465
    @claudemofi465 Před 2 lety +1

    Wewe tafuta mwalim Dashi akufunze neno la Mungu achana nauyu mama tafuta kidume mwenzio.

  • @samikadar
    @samikadar Před 2 lety +1

    Sheikh Ngugi. Strong bro InshAllah. Allah SWT Awazidishie nguvu jamaa mko jihad hapo.

    • @puritynaima7000
      @puritynaima7000 Před 2 lety

      Ss munavunza amri za mung;unahukumu mwenzako kabil ww hujahukumiw;

  • @rehemamjasambu9933
    @rehemamjasambu9933 Před 2 lety +3

    Mshukuru Allah kwa kukuumba na kuwa muislam maana amekupendelea tumshukuru Kwa kutenda mema

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo40 Před 2 lety +17

    Yesu ndie njia kweli na uzima njooni kwake nyote mpate kuokolewa

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +2

    Allhamdulillah kuwa Muislam. Allah awaripe pepo mashehe zetu kwa kuwaringania wasiyojua

  • @shohritahodhan-ui1rk
    @shohritahodhan-ui1rk Před rokem +1

    Umejibu vizuri mungu ya wahindi kaibiwa

  • @husseinfarhiya469
    @husseinfarhiya469 Před 2 lety +10

    Alhamdulillah am proud to be Muslim walai dini y haki (ukweli)

  • @husseinsheikh6123
    @husseinsheikh6123 Před 2 lety +13

    Mashaallah jazakallah kheir Sheikh Salim and Sheikh Hassan may Allah gives you good health and long life ❤

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031 Před 2 lety +1

    John 8 verse 12 inasema Mimi ndimi njia kweli na uzima. kando na yesu hamna uzima.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      Sijaona mahali inasema kando na Yesu hakuna njia mbona unaongesha bibilia

  • @imammwangauri9326
    @imammwangauri9326 Před rokem

    Walimu wangu mungu awajazie kila la heri kwa juhudi mnayo ifanya na malipo yenu mtayapata siku ya malipo

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 Před 2 lety +14

    Alhamdulillah kuona Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala amenitowa katika giza 🤲🏻

    • @yohanaazaeli3862
      @yohanaazaeli3862 Před 2 lety +1

      Weunaenda motoni kasome Vizuri anawadanganya Huyo jamaa na manenoyake

    • @sifajacky7779
      @sifajacky7779 Před 2 lety +2

      @@yohanaazaeli3862Usijali kaka. Mwenye kuwa na funguo ya mbingu ao moto ni Allah Subhanah wataala Ya Hayy Ya Qayyum Ya Malik Ya Jabbar.

    • @jackiewayesu7426
      @jackiewayesu7426 Před 2 lety

      @@sifajacky7779 wewe sio mwarabu dada usiongee lugha ambayo huijui yasemaje Soma Biblia utapata ukweli

    • @sifajacky7779
      @sifajacky7779 Před 2 lety +5

      @@jackiewayesu7426 Asante kwa ushauri ila usisahau kuwa na wewe sio mu Israel wala mu Roman. dini zote ziko na walio zianzisha na sisi tukachukuwa uamuzi wa kuchaguwa dini tunayo rizika nayo. na mimi Alhamdulillah nimerizishwa na kuwa Muislam.

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 Před 2 lety +2

      @@sifajacky7779 Allah asimamie.imani yako mpka kufa kwako inshallah

  • @saumukazungu565
    @saumukazungu565 Před 2 lety +3

    Ukweli nikwamba kati ya hii Dunia tunaomba mungu mmoja tu ispokua vitabu ndo vinakoroga watu

    • @monaishm9445
      @monaishm9445 Před 2 lety

      Kabsa Mungu moja Mungu ndo anajua achen kuba nanga maneno anae kufa anajua

  • @wanjirubens
    @wanjirubens Před 2 lety +2

    i just love how east african coexist with their Difference in Religion without war Not like some Westafrica or middle east countries

  • @rashidchaulamngubibalikism7486

    Dada hawawezi kuelewa wao ni WA mwilin mtabishana Hadi kesho hiyo ni Imani nyingine

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 Před 2 lety +15

    Masha Allah, mashekh wetu Allah awape afya njema

  • @nailejilejimollel7762
    @nailejilejimollel7762 Před 2 lety +8

    Mungu yupo na anatutetea wakristo amen

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety +1

      Mungu mgani???

    • @damas5665
      @damas5665 Před 2 lety +3

      AMEN

    • @jannyrose5367
      @jannyrose5367 Před 2 lety

      @@salimdaawah123 WA Abraham, Issac na Jacob,Wala soo Mungu WA Muhammad WA kuslimisha shetani na majini 😭

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 Před 6 měsíci +1

    MashaAllah am proud to be Muslim 😂😂😂

  • @rukiaismail2569
    @rukiaismail2569 Před rokem +2

    The best thing we need to do is to listen and understand.this can guide us

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Před 2 lety +22

    Masha allah.watching from Boston USA

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      Masha Allah May Almighty Allah bless you and your family and everything you're doing May Almighty Allah put baraka on it

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Před 2 lety +3

      Chicago Illinois! Asalam walaykum warahmatulahi wabarakatuh kaka!

  • @asiathoya7660
    @asiathoya7660 Před 2 lety +6

    Yesu wangu ananitosha. Only Jesus is the way to heaven

    • @sophiamakani6133
      @sophiamakani6133 Před 2 lety

      YESU ANAWEZA YOTE APEWE SIFA

    • @analyticalguru5851
      @analyticalguru5851 Před 2 lety +1

      Hawezi bila Mungu na yy ndiye kustahiki sifa ona maneno ya bibilia inawaponza wapi mmeona Quran na makosa hukumu ni ya Allah soma dini ya Uislamu na ukristo bila kiburi kwani Hawa wachungaji ni maumbwa Isiah 56: 10 sawa si mm nasema ni bibilia yako unayoamini ok

    • @mshihiliramadhani9088
      @mshihiliramadhani9088 Před 2 lety

      @@analyticalguru5851 waambie hawaeleweki na wamepotea

    • @janugabu8099
      @janugabu8099 Před 2 lety

      Nyie wote waisilamu acheni kucheza na Mungu aloe hai mtakufa huo mda ni Bora mkatubu kuliko kupotezza muda hapo kwa kumkebehi Yesu sasa hivi ni mda wakujitakasa hiyo mnaemkebehi atarudi muda so mrefu wanafki nyinyi

    • @lailatuahmadi6525
      @lailatuahmadi6525 Před 2 lety

      Yan mnachokosea nyie ni ile kumfanya sjui yesu ndio mngu yesu sio mngu ata iweje. Mngu ni mmoja na wala hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika ata mmoja. Ndo mana kwa sisi waisalm tunasema hapana mollah apasae kuabudiwa kwa haki ispo allah na hakika mtume mhammad ni mtume wake.

  • @salma-fc4xc
    @salma-fc4xc Před 2 lety +1

    Mama anajichanganya😅🙌anaulizwa swali hajibu ipasavyo🤝🇹🇿

  • @marygatiji5576
    @marygatiji5576 Před 2 lety

    Wakristu turaenda parandiso tujae pamoja na mungu cz alituma mwanae akuje kutukomboa kutoka dhambini

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 2 lety +4

    Mat11:28.Njooni kwangu ninyi nyoote yani pamoja na ninyi mnaobishana hapo, msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.mnabishania imani ninyi mna Mbingu? huo ubishani ni mzigo utueni kwa Yesu mkae na amani ya Bwana.kubishana huko ni kokosa uhakika wa Imani yako.badilikeni na mjue mnamkosea Mungu.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety +1

      Hahaaaaa yani mkristo akikosa hoja anaanza hizo

  • @mamumiyaskitchenvlogs5858

    Maskini Allah awatowe katika kiza. Mswiba wallahi

  • @user-lq6dd9pt7k
    @user-lq6dd9pt7k Před měsícem

    Yesu ndie njia ukweli na uzima,.dada acha kubishana na waislamu,fanya kazi uliyo itiwa

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před měsícem

      Elimu ndio shinda kwako hii inaitwa mjadala au debate

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 Před 2 lety +1

    Alhamdulillah to be a muslim.sheikh m Allah akulipe PEPO ile ya darja ya juu kwa rehma za Allah s.w.t

  • @yusrayushau641
    @yusrayushau641 Před 2 lety +4

    Mkorogolization! Mungu akuongoze mama

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před 2 lety +4

    Waislamu ni wapinga Kristo. Daima na siku zote muislamu ni mpinga Kristo. Heb soma kitabu cha 1Yohana4:1-3, 1Yohana5:1. Matendo4:12. Utajua kuwa YESU NI MUNGU. Haya sasa wa kubisha aendelee kubisha.

    • @jacklinejoseph2729
      @jacklinejoseph2729 Před 2 lety +1

      100%

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 Před 2 lety

      50:6 isaya ezekieli 4:9

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 Před 2 lety

      Yesu sio mungu wara mtoto wa mungu acha kukalili ww mungu anatailiwaga wakati nuu ana miaka miatano yesu sindio alianza mambo yake ya kutangaza neno na yy mwenyewe alikuwa na miaka 30 Sasa embu twambie ni mungu gani ana miaka midogo kuliko binadamu Alie muumba mtu nuu mwenye miaka 500 yakobo 1:17 soma acha kujiita umesoma peke yako soma Sasa

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Před 2 lety

      @@shabansalee4924 na mimi nakupa hii andiko!! Yohana8:51-58. Utaona Yesu alikuwepo tangia mwanzo wa dunia. Kumbe Yesu ni jina la Mungu, Wafilipi2:5-11. Ni Mungu. Bisha tu!!

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 Před 2 lety

      @@micamathew2595 jibu kwanza arafu acha uongo yesu awepo adamu nae kamuumba yesu

  • @innocentboykid2442
    @innocentboykid2442 Před 2 lety +1

    Katika Dini sio vyema Kubishania madhehebu sababu wanaadam woote Ni wake Mungu na wote wametoka kwake Dini Ni Dini tu zilizokuja na matabaka ikiwa matabaka yadini yapo ndo Kama haya ukristo na uislam So Mbigu haipo kwaajili ya mkristo or muislam Bali mbingu IPO kwa ajili ya walio wake mungu

  • @hellendiana625
    @hellendiana625 Před 2 lety +1

    Waislamu!!! Poleni sana nawasikitikia maana jehanamu inashangilia nafsi zenu kwa maana bila Yesu hakuna peponi yyote mtakayo ingia,Yesu ndie njia kweli na uzima, hakuna mtu atakaye ingia mbinguni isipokua kupitia yeye, Ole wenu!!!

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 Před 2 lety +16

    Mama usiogope uko kwa njia ya kweli

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah7242 Před 2 lety +12

    Masha'allah tabaraka rahmani ..najivunia kua muslim..alhmdulillah

  • @annettevuseletse2964
    @annettevuseletse2964 Před 2 lety

    Najivunia kuwa mkristo na hata cjawaijutia kuwa mkristo namwamini mungu kupitia Yesu kristo ...

    • @selemohd9060
      @selemohd9060 Před 2 lety

      Jiandae na moto

    • @annettevuseletse2964
      @annettevuseletse2964 Před 2 lety

      @@selemohd9060 ww c mungu wa kutoa hukumu let's wait till the end of edges. God is the judge of all deeds

  • @josepherjosephpaul1138
    @josepherjosephpaul1138 Před 2 lety +2

    Alleluia@ Sisi wakristo tukifa tutaingia Mbinguni. Anayempinga Kristo sijui ataingia wapi. Tubuni na kuiamini injili

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety

      Wapi andiko inasema hayo maneno eti wakristo wakikufa wataingia mbinguni wapi imeandikwa hayo?????

    • @josepherjosephpaul1138
      @josepherjosephpaul1138 Před 2 lety +4

      @@salimdaawah123 . Soma Bibilia yote utalipata. Si KAZI yangu kukuchambulia. Pia hakuna haja ya mabishano, kwani ukweli ni ukweli Tu, uongo ni uongo Tu. Yesu ni mwana wa Mungu, ni MUNGU KWELI NA MTU KWELI. SOMA INJILI YA yohani utaelewa. Yesu ni Masia, Emanuele Mungu yu pamoja nasi. Naamini hivyo mpaka siku ya Kiana, hata nikitishiwa kukatwa shingo Niko tayari kuliko kumkufuru Kristo, ila si laxima wewe uamini hivyo. Niache huru kuiamini Imani yangu nawe upo huru kuiamini Imani yako. Amani iwe nasi daima. Amen

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 2 lety +1

      Hahaaaaa nimekuelewa kukuuliza hayo maneno ulitoa wapi au yameandikwa wapi hiyo imekuwa ni ubishi hahaaaa uongo una mwisho hauwezi kusema maneno bila kuleta ushahidi

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Před 2 lety

      @@salimdaawah123 Ukitaka kuhoji maandiko kwa muumini wakati unajua sio Mwalimu wa neno la Mungu, kuna maandiko yapo kwenye Quran Mtume mwenyewe amekiri kwamba hajui siku ya Mwisho nae atapata adhabu au ataingia Motoni siku ya Ufufuo ambao mnakiri Yesu ndio atakuja kutoa hiyo ukumu,sasa mnapinga nini kwamba Yesu ni alama ya kiama na Mpinga Kristo Dunia nzima tunajua ni Shetani sasa kama na nyie mnampinga Yesu mtakua kundi moja na Shetani sasa mtaendaje peponi? Wakati Yesu amesema Mimi ndio njia ya kweli na uzima Mtu hafiki kwa Baba bila kupitia kwangu woote wamwaminio watapata uzima wa Milele katika kiti cha Enzi, sasa Mtume amewaambia mtaingia Peponi kupitia njia gani? Kwani bila Yesu hamchomoki.

    • @josepherjosephpaul1138
      @josepherjosephpaul1138 Před 2 lety +2

      @@charlesmapunda5905 utacheka sana, Ila ukweli utabaki kuwa ukweli. NB.Yesu ni Bwana na Mwokozi