Yesu mgani alikufa msalabani mambo ya chemka wakristo wauliza maswali kwa wingi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 131

  • @isaa_ogutu
    @isaa_ogutu Před 3 měsíci +12

    Salim nakupenda tu bure wallai....I love your teachings and they touch my soul ❤

  • @everlynechepkoech5649
    @everlynechepkoech5649 Před 3 měsíci +13

    Mashallah tabarkala....mimi nisioa watch sina rahaa kabisa kwavile najifunza mengi...born Christian and now am amuslim allahdulliah am learning alot...kazi mzuri maustadh wetu

  • @Idysalim
    @Idysalim Před 3 měsíci +7

    Salim masha-Allah amekujaalia subra na taqwa, your concetration is on another level hata mtu akiongea huko nyuma humsikii mashaAllah

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci +3

      Alhamdulillah Allah atupe subra wote daawah ni ngumu bila subra haiwezi kufika vinzuri

  • @rukiabura8381
    @rukiabura8381 Před 3 měsíci +2

    Mashallah mnafanya kazi nzuri sana mungu akujaaliyeni kheri na baraka kwa kuwaonesha ukweli hao wakiristo

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk Před 3 měsíci +10

    Masheikh wafundisheni wakristo mpk kieleweke,Allah akupeni tawfiq.

  • @samxx411
    @samxx411 Před 3 měsíci +5

    Sheikh Salim hujijuwi kama unajuwa?? Unajuwa sana sana na inshallah Allah akujuze uzidi kujuwa zaidi na zaidi.

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 Před 3 měsíci +3

    MashAllah ÀLLÀH IBAŔIQ

  • @sheemaryam
    @sheemaryam Před 3 měsíci +13

    Asalm aleikum warahma turullahi wabarakatuh nmefika wakwanza
    LIKE
    SHARE &
    SUBSCRIBE ❤❤❤❤
    Bado natafuta kibarua cha kazi in sha Allah

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk Před 3 měsíci +1

      Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Před 3 měsíci +3

    Noma chuo cha mtume Muhammad salalahu alehiwasalamu, ❤. Niko KTK haqi.

  • @huseniyahya9121
    @huseniyahya9121 Před 3 měsíci +2

    😂😂Bahati yenu nlikua natafuta alie comment utumbo nimpe ndizi akapike lakini sijapata Masha Allah watu wanaelewa mungu akuzidishie

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Před 3 měsíci +3

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...darsa imekuwa mazbut.....Allah awahifadhi nyote nawapenda sana na awalipe jannatul firdaus

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @sadickkagoma5297
    @sadickkagoma5297 Před 3 měsíci +2

    Sheikh Ally kuwa na subra, Kazi ya kulingania watu haitaki jazba, ni vizuri ungedili na usomaji tu.

  • @EshaSalim-l3q
    @EshaSalim-l3q Před 3 měsíci +3

    Shekhe ALI kua na subir

  • @isahbarasa
    @isahbarasa Před 3 měsíci +5

    Asalam aleikum waramtulah wabarakatu alhamdulilla ❤️

    • @F.j84
      @F.j84 Před 3 měsíci +1

      وعليكم السلام ورحمة الله وبركاته

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 Před 3 měsíci +1

    Mashallah shekhe salim unawafundisha vizuri sana Mashallah Allah awalipe inshallah

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 3 měsíci +3

    Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh

  • @DelightfulIsoscelesTrian-yz3lk
    @DelightfulIsoscelesTrian-yz3lk Před 3 měsíci +1

    maashaAllah napenda sana mafunzo yko Mwalimu Salim nimejifunza mengi endelea kutufunza.....may Allah bless you give u knowledge and long life to continue teaching us ....

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 3 měsíci +2

    Allah azidi kumpa juhudi walim wangu

  • @abdirizakali6223
    @abdirizakali6223 Před 3 měsíci +8

    Waleykum Salam warahmatuAllah wabarakat
    Leo nimeona hii maajabu kwa group ngine ya Nairobi gossip 😂😂According to Legio Maria Church,They remove 6 lower teeth to help God identify them easily in heaven so as to avoid going to hell.
    They believe they are the only ones who will go to heaven.😕
    🙆🙆🙆😂
    Ma ustad wetu tafuteni moja yao tuskie😂😂

    • @F.j84
      @F.j84 Před 3 měsíci +1

      Daah makubwa.. Hawaja learn tu kw shaka Hola

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l Před 3 měsíci +1

      Wamepata wapi ilo andiko la kutoa jino

  • @faridbashuu
    @faridbashuu Před 3 měsíci +1

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh
    Sheikh Ali ashaona Rafiki yetu alikesha buree... 😂😂Mada imeisha mapema.
    Barakallahu Feekum Nyotee

  • @user-cb2rw5ce6b
    @user-cb2rw5ce6b Před 3 měsíci +1

    Mashallah shekh salim❤

  • @jumamsembe1213
    @jumamsembe1213 Před 3 měsíci +1

    Jazakkallahu heri mashallah❤

  • @gakobwaadija7949
    @gakobwaadija7949 Před 3 měsíci +1

    ماشاءالله تبارك الله

  • @samxx411
    @samxx411 Před 3 měsíci +1

    Sheikh salim unafanya kazi kubwa sana, hao watu hawana wanalolijuwa hata moja hadi wanatia huruma.

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 Před 3 měsíci +1

    Ma sha Allah ila napendaga ally anavyo biga back up kwa chini chini au kuzozona na watu wa pembeni 😂 hataki ujinga

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 Před 3 měsíci +1

    Shekh Salim na crew yako Allah awaweke na kuwatunza amiin

  • @user-ro9ch4jf2m
    @user-ro9ch4jf2m Před 3 měsíci +1

    Assalamu Alykum Nafurahi sana na nafatiliza Salim Daawa daima shukran sana

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh karibu sana

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Před 3 měsíci +1

    Assalam aleikum mashallah masheikh Allah awahifadhi

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm
    @SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm Před 3 měsíci +1

    Jazaka llah kheri❤

  • @dibasora6481
    @dibasora6481 Před 3 měsíci +1

    Ma sha Allah

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh Před 3 měsíci +2

    Allah Akbar

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 Před 3 měsíci +2

    36:15 jamaa anampigia makofi mwenzake waliotumwa pamoja na maswali na aya walizoandikiwa. Walimu wao wanajificha kuogopa izara. Hawatoshi kwa sheikh salim.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Kabisa huwa wengine wanatumwa ili kupoteza wakati watu wasione ukweli

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt Před 2 měsíci

      🤣🤣🤣🤣🤣nimechekaEti.eti.wanaogopaIzara.

  • @ibrahimmohd6859
    @ibrahimmohd6859 Před 3 měsíci +14

    Duhh leo nimekua viewer wa tisa ☹️

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 Před 3 měsíci +4

    Assalamu Alaykum sheikh

  • @abdiibrahim9907
    @abdiibrahim9907 Před 3 měsíci +3

    Masha allah ❤❤❤❤

  • @alyumaraos
    @alyumaraos Před 3 měsíci +5

    A.alaikum please, please, please jaman mwalim Aly afanye subra anyamaze amuachie mwalim Salim kaz yake mbona hatuelew au kama anataka kuwa yy mwalim bc apewe maic kinyume chake hatupendezwi na hili jambo lina tuudh kiukwel mbona yule kijana alokuwa akisoma alikuwa kimya kz yake alikuwa akisoma t iweje mwalim Aly afanye hivi please jaman!

    • @aburaasmedia3682
      @aburaasmedia3682 Před 3 měsíci +3

      Ali anasaidia Mwalimu na anongeza point nzuri nzuri. Sheikh Ali ako sawa.

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Před 3 měsíci +2

      unaelewa lakini ? Kama unaelewa inatosha hayo mengine achananayo hatuwez kufanana . ndiomaana hata Mimi sijapenda wewe kucompare watu , ..... Be humble tu mazuri chukuwa mabaya achananayo

    • @F.j84
      @F.j84 Před 3 měsíci +2

      Sheikh Ali tunampemda kwa ajili ya Allah na ako na points anaongezea na wote ni walimu wako sawa.. Wajua mtu ukiwa na roho nyepesi juu ya dini unakua na boiling points.. Hata mm nikiona watu wanaongea vbya lazma uchemke. So haina shida plz elewa. Peace✌️

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 Před 3 měsíci

      ​@@loner_wolfkweli hatufanani!! Leo uko mpole mashallah.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před 3 měsíci +2

      Hivi nyote hapa mumefanya kma huyu kusema sheikh Ali atulie kma hampendi labda nop huo ndio ukweli atulie coz hakuna alie tusi uislam hata achemke ni yy aweka maneno akitupa ndio awatia hao fujo point gani azitia hpo nop nikueka fujo tuu Kwa wakiristo kila mtu amjali ampenda ni.muislam mwenzetu na nisheikh but pia atusikilize na Sisi mbona haezi rekebisha Hilo mbona hajambiwa sheikh Hassan ?

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 měsíci +1

    Wasabatho bana......sasa haka kajamaa vibe la makelele cjui kanajiona kapo madhabahu 😊😊

  • @fatumaali3338
    @fatumaali3338 Před 3 měsíci +1

    Aslm alkm, MashaAllah maustadh wetu may Allah always bless u,kila siku lazima ni watch video yenu mpya mashaAllah kuna mambo mengi tumejua ambayo hatukua tunajua,Alhmdllh

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh masha Allah

  • @josemu870
    @josemu870 Před 3 měsíci +1

    Allahamdulillah

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 3 měsíci +2

    Huyo anayejiita Mtetezi wa Wakiristo, Alikuja moto na Shauku. Kajibiwa kwa kuelimishwa, hadi amepoa na kunywa maji. (HONGERA MWALIMU SALIM NA WENZAKO)

  • @samxx411
    @samxx411 Před 3 měsíci +1

    Sheikh salim unamfanya ndugu anywe maji sana leo...

  • @saeedisa9798
    @saeedisa9798 Před 3 měsíci +2

    Asante sana bwana Salim na bwana Ali.
    Ali please be easy on those people if they are not being hostile.

  • @dugulemuse4458
    @dugulemuse4458 Před 3 měsíci +1

    MNSHALLAH

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 3 měsíci +1

    ❤❤❤

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 Před 3 měsíci +1

    kkk Ali ni kweli giving false witness can make one be in trouble with the law

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl Před 3 měsíci +1

    asalama alyekumu

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Před 3 měsíci +2

    Mtu aulize swali ama aulizwe, sio kusema uko na swali kisha unaanza kuhubiri

  • @sheemaryam
    @sheemaryam Před 3 měsíci +3

    Hivi hawa watu wanajiskia kweli😂😂
    Kwani wao wakifa ,wanafufuka ama wanafwata Muhammad kaburini 😂😂😂 hawa hawafikiriii

  • @abdkadirahmed4526
    @abdkadirahmed4526 Před 3 měsíci +3

    Hhhhhh 9:59

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 17 dny +1

    Ali apunguze jazba.

  • @samxx411
    @samxx411 Před 3 měsíci +1

    Good sheikh salim time waster ondoa weka mwengine

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci +1

      Kabisa wengine tunadhani wemekuja kujifunza kumbe wapi ni ubishi

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Před 3 měsíci +2

    Sheikh Ali unafurahishaga daily 😂😂😂. Sio kura ni quraan

  • @jefwabaya2637
    @jefwabaya2637 Před 3 měsíci +1

    ASSALAM ALEIKUM SHEKH
    NAOMBA MSAADA WA QURAN NIKO RONGAI KARIBU NA THE LEBON SCHOOL PLACE KAMA KUNA IKO MUNISAIDIE NIENDELEE KUJIFUNZA DINI

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 měsíci +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh nitafute kwa WhatsApp 0727 431 691

  • @ibruzah001
    @ibruzah001 Před 3 měsíci +1

    Allahu Akbar ❤

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 Před 3 měsíci +1

    Sawa

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman8785 Před 3 měsíci +1

    Hata mtu huniamini na dini yake amesema hana dini kumbe ni msabato .

  • @ZamzamMakoto
    @ZamzamMakoto Před 3 měsíci +1

    Dada ana maswali nzuri.❤

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o Před 3 měsíci

    Miaka 600 baadae tunaambiwa na mtu hakua wakati huo kwamba hakusulubiwa.😂

  • @saberaziz1789
    @saberaziz1789 Před 3 měsíci +1

    Ali kuwa na subra kama ustadh salim,hii ni daawah wewe ni kusoma mambo mengine mwachie ustadh

  • @lawrencenamamba6877
    @lawrencenamamba6877 Před 2 měsíci

    Tufuteni watu wanaelewa biblia vizuri,dont just pick on any person kwa street for the sake of content creation.

  • @jumamsembe1213
    @jumamsembe1213 Před 3 měsíci +1

    Jazakkallahu heri mashallah❤