Dada ako na imani eti Mungu ana mtoto maswali yaletwa kama umeme leo kiwanja cha changamka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 55

  • @josemu870
    @josemu870 Před 24 dny +5

    Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran mwenyezi Mungu amulide ampe afya dawa iendelee

  • @aishasalim9546
    @aishasalim9546 Před 23 dny +5

    Huyu dada anasema watoto anapata kupitiya bwana je nahuyu ALIYE na bwana nawatoto hawapati Wana fika paka indya kutefuta watoto naye huyu tumuiteje .jamani wakristo funguweni masikiyo

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 23 dny +1

      Hawa wakristo wengi hawajui Mwenyezi Mungu ndiye hupeana watoto

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r Před 24 dny +4

    MashaAllah Allah awabariki na mzidi kueneza dawaa kwa wote inshaAllah

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu Před 24 dny +1

    Alhamdulillah Ala kulli haal..barak Allahu feek sheikh salim ngugi

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 24 dny +2

    Masha Allah wakenya wanapenda kusikiliza dawa alhamdulillah

  • @aishasalim9546
    @aishasalim9546 Před 23 dny +3

    Yesu simwana wa mungu kwa sababu mungu aliumba viumbe 4 kama mfano wa yesu kama Adam na hawa na zakariya ili mwana damu asijigambe kuwa yeye akilala na bwana ndiyo anapata mtoto

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 23 dny +1

      Hawa hawajui na hawajui kama hawajui Allah awaongoze waione haki na waifuate

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Před 16 dny

      Uko na andiko kwamba sio mwana wa Mungu au ni porojo tupu dada?

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl Před 24 dny +7

    mashehe zetu mnacherewa sana kurusha matangazo yetu ya dawa tz mashaallah

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604 Před 24 dny +1

    Asalam Alykum warhmatullah wabarakat nakupenda sana shekh Salim jinsi unavojua kuwajibi hao wedzetu wa upande wa pili

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 23 dny

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh tunakupenda sana kwa ajili ya Allah

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Před 16 dny

      Kama kawaida alipata watu hawajui Quran na Hadith Lakini alipata wanaojua Quran na Hadith hapo ndio utaelewa

  • @AdamNassor-vt9sg
    @AdamNassor-vt9sg Před 24 dny +2

    Assalamualaikum msomaji anaitaji mazoez saaana❤❤

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 23 dny

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @ahmednasib8465
    @ahmednasib8465 Před 22 dny +1

    Mash'Allah mwalimu wetu
    Mungu akuhifadhi ❤

  • @ibruzah001
    @ibruzah001 Před 24 dny +1

    Allahu Akbar ♥️
    Da'awa tamu sana
    Mashaa Allah

  • @mahmudmugarura2175
    @mahmudmugarura2175 Před 24 dny +1

    Walaikum salam warhmatillah wabarakat

  • @abdiibrahim9907
    @abdiibrahim9907 Před 24 dny +2

    Masha allah ❤❤❤

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z Před 23 dny +1

    😂😂 mashalla mwenyezi Mungu awape maisha marefu shekh ❤❤❤❤

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r Před 24 dny +1

    Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh

    • @ibruzah001
      @ibruzah001 Před 24 dny +1

      Wa alaikum salaam warahmatullahi wabarakatuhu

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 23 dny +1

    مشأ الله تبارك الله

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja Před 8 dny +1

    Masha allah ust salimu uko Sawa kabsaa Allah barik

  • @rahmaali6662
    @rahmaali6662 Před 23 dny +1

    Anaulizia kwanini wana alama ya kusali 😅MaashaAllah ni waja wamsujudiawo Allah subhana wataala

    • @rahmaali6662
      @rahmaali6662 Před 23 dny +1

      MaashaAllah kajibiwa vizuuri na ustadh salim mwanafunzi wa bwana mtume Muhammad sallallaahu Alaihi Wasallam

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman8785 Před 23 dny +1

    Astaghfirullah eti mwanaume ndio anayepeana watoto!!! Hivi wakristo wanajua kama kuna watu wanafanya hilo tendo tena kwa ufasaha wa hali ya juu na mtoto hawapati? Na hata wakienda kwa daktari vipimo vinaonyesha wako sawa tu. Ama kweli sheikh kazi unayo.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 23 dny

      Wachungaji wao hawawafunzi so hawa wakristo wengi ni innocent sana

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r Před 24 dny +1

    Leo wa.kwanza Alhamdulilah

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 24 dny +1

    Kesho mapema 😅😅

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 24 dny +1

    Alhamdulillah

  • @munirabdi5827
    @munirabdi5827 Před 24 dny +1

    Ustadh Salim, Yuko Wapi Msomaji Wetu Ali? Mlete Kesho Inshaallah

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 24 dny +1

    Dada kaja na hasira anauliza maswali huku amekuja na majibu yake mfukoni .😂😂😂😂

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 23 dny

      Ndio hivyo Allah amuongoze aione haki na waifuate

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 24 dny +2

    Sheikh, wakumbushe na kutahiri, manake, *Dume kama ana hilo lipochi lake la uji, (Govi)😂😂😂, hiyo ni najisi(uchafu)*. Hasa "Wajaluo na Wahaya, wasio Waislamu, kutahiri labda afungwe kamba miguu na mikono, ni waoga mno🤣🤣🤣"

  • @skmtotowamama6797
    @skmtotowamama6797 Před 23 dny +1

    Assalam alaikum, mimi langu ni ombi tu kwa ustadh Salim, waambie wakristo watumie lugha ya taifa yani kiswahili ili kila mmoja apate faida ya daawa na pia uhuru tushapata tika 1963 hii kizungu ya kufikiria fikiria yote yaletwa na nini mbona hatuna uzalendo

    • @skmtotowamama6797
      @skmtotowamama6797 Před 23 dny +1

      Mahali naishi hawatumii hata kiengereza wanatumia lugha yao tu ya inchi yao alafu inchi zote za ulaya zinatumia lugha za inchi yao sisi mbona????

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Před 23 dny

      Wewe mwenyewe Sala zako ni kiarabu.Nyani haoni kundule😂

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před 23 dny

      ​@@NathanielNathan-m4oKiarabu ndio lugha inayotumik ktk Swala kwnye Ummati huu wa Mtume Muhammad

  • @user-cb2vg1kd7u
    @user-cb2vg1kd7u Před 23 dny +1

    Mujadala munzu leo

  • @Sal.0
    @Sal.0 Před 24 dny +4

    Ai, huyu Rafhael ni WASTE of Time!
    Tena Kichwa Nyundo sana!.
    WaKristo wako na 'Hear Say' nyingi sana!
    Halafu hawa WaKristo wata REALISE lini, huyu jama Mswahili 'yesu', ni a FICTIOUS Guy, created by the TZ Bishops walio TENGENEZA the Swahili bible, tena in 1952!
    Na hawa SWAHILI Bishops wali weza UFISADI na UWONGO mwingi sana kwenye the Swahili bible!
    For example. wali Tafsiei ENGLISH Word GOSPEL, i6wa ni NENO lingine la itwao 'INJEEL', ambao ime TAJWA kwenye QURAN, Pekee YAKE!
    Na ENGLISH word GOSPEL ni Proper NOUN, na HAU WEXI ku TAFSIRIWA kuwa neno LENGINE!
    TabarakAllah Team.

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Před 23 dny

      Kwani umesahau chain of naration Kwa hadith?

    • @Sal.0
      @Sal.0 Před 23 dny +2

      @@NathanielNathan-m4o
      Ai, Wa SDA, wanaji fanyaga Wa JUAAAAAAJI kweli!
      Lakini Ni NuGUu Brains tuu!
      Kama HAUJUI maana ya 'Hear Say', usi anze kui LINGANISHA na kitu totally un related!