Wachungaji waikataa bibilia mbele ya waisilamu eastlegh ajabu sana by sheikh Anwar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 329

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 Před 3 lety +14

    Dinii ya haki mbele ya mwenyezi mungu ni uislam

  • @Ustadhfeisal
    @Ustadhfeisal Před 3 lety +19

    MaashaAllah am happy seeing my people, Allah awabarikie katika kazi zenu.

  • @henrynganga8265
    @henrynganga8265 Před 2 lety +1

    Wakristo wa kenya wanadai wanamjua yesu kuliko jinsi yesu anavyojijua mwenyewe. Yesu anajiita mwanadamu lakini wao wanakataa yesu sio mwanadamu ni mwana wa mungu na ukiwazidi sana wanasema yesu ni Mungu mwenyewe

  • @mohamedomarrajab6335
    @mohamedomarrajab6335 Před 3 lety +4

    Masha Allah Tabaraka Allah,Allah awazidishie na walipe malipo yatakayo zidisha uzani katika mizani ya khairatu zenu in sha Allah.

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398 Před 3 lety +2

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH....kazi safi adhwiim sana

  • @Isack_Leo
    @Isack_Leo Před 3 lety

    Aaahhhhaa waislamu mmebobea kwenye ubishi... Ila kumkataa yesu mwisho wenu ni mbaya sana

  • @yatatusimu2498
    @yatatusimu2498 Před 3 lety +4

    Dawaah hii hapa, maana mwenye kuihitaji yumkini asiulize ... Jaya Salimu Dawaah hii ndugu zanguni ...

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 Před 3 lety +6

    Wallah raha sana kua muislam

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Před 3 lety +6

    Mashallah jazakallah kheir masheikh wetu Allah awajalie janatul firdaus kwa kazi mzuri ya da'waa

  • @jeniphersarah2772
    @jeniphersarah2772 Před 3 lety

    Msihukumu tuachie mungu agukumu.ju wakristo na waislamu wote tulitoka kwa mungu.na mungu ni mmoja yesu ni mwana wa mungu na zote ni wana wa mungu.na mbele ya mungu wote tuko sawa hakuna muisamu wala Mkristo tuko sawasawa.

    • @dawud6065
      @dawud6065 Před 3 lety

      @ Jenipher Sarah
      Hakika sote ni waja wa Mungu lakini utofauti huingia pale munaposema Yesu ni Mungu au ni mtoto wa Mungu.. itikadi hii ni potofu. Yesu ni Mtume (prophet) wa Mwenyezi Mungu na jukumu lake yeye ni kubashiria mema na kukataza Maovu. Mwenyezi Mungu hakuzalisha wala kuzaliwa. Soma dini ndugu tuko na neema ya kuwa juu ya ardhi hii muda huu usijutie baadae kisa na maana ni ignorance. Ujuwe kuhusu uislam hata kwa uchache tu ..zingatia

  • @rallyscosmeticandgasaccess4839

    Ma asha allah❤💜🤲🤲

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 Před 3 lety +6

    Masha Allah daawa mbele mpaka kiama

  • @mohammedsalim7051
    @mohammedsalim7051 Před 3 lety +4

    Mashaallah shehe wetu mimi ni mtanzania nimependa mawaidha yako ALLAH akuongoze na akulinde akuepushe na kila shari

    • @clementcharles9785
      @clementcharles9785 Před 3 lety

      Hakili hamuna ote unaosikiliza

    • @gabrielmataro1525
      @gabrielmataro1525 Před 3 lety

      Ubishi. Wa. Kubishania. Mungu. Nimakosa. Makubwa. Tena. Hutayarisha. Amani. Shetani. Hulete. Vita. Kwakupitia. Hapo. Kama. Niwavumilivu. Kwanini. Mmoja. Akitukana. Munguwake. Hapo. Uone. Jee. Kunaatakaye. Kuanakifua. Cha. Amamani. Shetani. Tayari. Ashakuja. Yukokati. Kwanini. Kila. Mmojaasihubifi. Kanisanikwake. Shehe. Msikitini kwake. Hebu. Atukane. Hapo. Kamahuamini. Kama. Polisihawajajaaa. Hapo. Kama. Shetani. HajawPiga. Bilakutambua. Kwanza. Mahubiri. Hayo. Hayaruhusiwi. Walishapivana. Miakailiopita. Msim himbue. Shetani. Akawapiga. Bilakujua binadamu. Nikama. Ualikaukalon

    • @mohammedsalim7051
      @mohammedsalim7051 Před 3 lety

      @@clementcharles9785 asante sana

    • @mohammedsalim7051
      @mohammedsalim7051 Před 3 lety +1

      @@gabrielmataro1525 kwa mwenye akili hutulia na kutafuta ukweli mjinga ndio atataka kuleta vurugu

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 Před 2 lety +1

    Masha Allah bibilia kitabu cha Paulo kina mapungufu mengi MwenyeziMungu azid kuwajaalia mashekh zetu kw kuwapa dawa wapotevu

  • @khalidmata6942
    @khalidmata6942 Před 3 lety +10

    Masha Allah may God bless you guys keep doing it....

  • @bintibakari1995
    @bintibakari1995 Před 2 lety +2

    Mashallah Tabarakkallah ❤👌🏻👌🏻👌🏻

  • @wvimeal2853
    @wvimeal2853 Před rokem +1

    Mwalimu.aoshikhe.mwenyezimungu akujalieni.wataelewatu

  • @gaddafialjabry
    @gaddafialjabry Před 3 lety +10

    MashaAllah good,,, mhubiri ajifunze from zakir Naik ataweza kujibu kwa hikma zaidi

  • @jazakamuhehe3851
    @jazakamuhehe3851 Před 3 lety +2

    Mungu awatimie nguv masheikhe wenu

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 3 lety +3

    Shekh Allah akupe khair zako

  • @ladyjamilamohammed2577
    @ladyjamilamohammed2577 Před 2 lety +1

    MashaAllah...am proud to a Muslim...Allah tujalie mwisho mwema....

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 Před 3 lety +4

    Mashaallah mashaallah masheikh wetu mungu awajalie heri nyingi hapa duniani na ata akhera inshaallah

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 lety

      Aameen ameen ameen sote May Almighty Allah bless you and your family and everything you're doing May Allah put baraka on it

  • @muktarhussein9807
    @muktarhussein9807 Před 3 lety +8

    Masha Allah munafanya kazi ya mitume daawa Mungu awajalie Firadaus al aclaa

  • @hawoibrahim2432
    @hawoibrahim2432 Před 3 lety +9

    MASHALLAH, may Allah (S.W) grant you jannah masheikh wetu.

  • @biintijirebintijire2133
    @biintijirebintijire2133 Před 3 lety +5

    MASHA ALALLAH sheikh wetu

  • @jumaathman5252
    @jumaathman5252 Před 2 lety +2

    Asalam aleikum warahmatullah wabarakatu
    Ndugu zangu katika uislam inshaAllah Allah awabariki na awazidishie hekima kwani nimependa jinsi munavyo waelimisha wakiristo hadi wanaamuwa kusilimu Allah awasimamie kwa kila zenu hatuwa

  • @bisharibrahim5177
    @bisharibrahim5177 Před 3 lety +5

    Masha Allah hafidaka Allah

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 Před 3 lety +4

    jazakallah kazi nzuri masheikh

  • @maherzain615
    @maherzain615 Před 3 lety +8

    وَمَا يَنۢبَغِى لِلرَّحْمَٰنِ أَن يَتَّخِذَ وَلَدًا
    It is not fitting for the Most Gracious to have a child.
    Quran:Maryam(19:92)

  • @josemu870
    @josemu870 Před 2 měsíci +1

    Mash Alllah

  • @alisaid4649
    @alisaid4649 Před 3 lety +4

    Maa Sha Allah Sheikh Anwar

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y Před 3 lety +5

    MashaAllah kazi nzuri

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 Před 3 lety +1

    Na mungu awazidishie nguvu na uzima ili mzidi kupambana na kuimarisha uislam kwa ajili ya Allah

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 Před 3 lety +3

    Mashaallah pamja ndgu zetu katika imani

  • @ngokaomary5123
    @ngokaomary5123 Před 3 lety +5

    MashaaAllah tabarakallah

  • @bashirali2385
    @bashirali2385 Před 3 lety +4

    MashaAllah kazi mzuri

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před 3 lety +3

    Mashaallah masheikh wet Allah awaongoze

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu1312 Před 2 lety

    Dini sio uisalaam au ukiristo (Uislaam ni lukha ya kiarabu) na ukiristo ni lukha ya kabira moja wapo ya kiyahudi. Dini ni unyenye kevu mbele ya mungu na kufanya mambo mazuri anayo taka binadamu ayafanye ndani ya maisha yao ya kila siku!!!

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 Před 3 lety +3

    Maa shaa Allah Shukran jazilla

  • @abasmohamud1348
    @abasmohamud1348 Před 3 lety +1

    Jazaakallahu kheiran sheikhana
    Asante sana

  • @davidwalker2144
    @davidwalker2144 Před 3 lety +8

    TEAM ISLAM and TEAM CHRISTIAN will never agree why?
    "And from those who say, "We are Christians" We took their covenant; but they forgot a portion of that of which they were reminded. So We caused among them animosity and hatred until the Day of Resurrection. And Allah is going to inform them about what they used to do."
    (QS. Al-Maaida 5: Verse 14)

  • @osamamustafa1697
    @osamamustafa1697 Před 3 lety +3

    Mashallah Allah Awazidishie

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 Před 3 lety

    Sio kweli ni maneno tu.

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 Před 3 lety +2

    Napendaga mawaidha MashaAllah

  • @seiduachu3700
    @seiduachu3700 Před 3 lety +6

    Islamic ndio dini ya kweli na haki

  • @sarahali5938
    @sarahali5938 Před 3 lety +3

    Alhamdullilah ana Muslimin..

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 3 lety +5

    Masha allah

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf3431 Před 2 lety +1

    Mansha Allah Sheekh
    Christians don’t understand Bible
    May Allah guide them all

  • @swabirattwas6796
    @swabirattwas6796 Před 2 lety +2

    بارك الله لكم🥰

  • @fattmaabdullah8266
    @fattmaabdullah8266 Před 3 lety +5

    Mashaallah

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před 3 lety +3

    Mashallah Sawasawa lzm waelewe Allah awazidishie ilmu zaidi mashekh wetu

  • @saidosmaney1534
    @saidosmaney1534 Před 3 lety +2

    Takbir Allahu Akbar

  • @rabbithare381
    @rabbithare381 Před 3 lety +13

    24:39 Huyo mchungaji haelewi, basi inamaanisha hata Isaq MTOTO wa Abraham ni MTOTO wa Mungu? Nasema hivo kwa sababu Mungu alituma Gabriel kuambiya Abraham na Sara kuhusu mimba atakayo pata Sara.... SASA kwa vile Maryamu pia kupokeya risala vilevle basi vipi Isaq pia asiwe mwana wa Mungu? Jameni hao wachungaji waache kutupoteza.....

    • @AbdiraufAbdirauf
      @AbdiraufAbdirauf Před 3 lety

      Tafadali soma na u wache mambo ya wachungaji usi potezwe kwa muislamu ujue yesu vizuri sana

    • @AbdiraufAbdirauf
      @AbdiraufAbdirauf Před 3 lety

      Ume fahamu sana lkni usome vizuri

  • @rizikiabasshaji6601
    @rizikiabasshaji6601 Před 3 lety +3

    Mashallah

  • @vitufez843
    @vitufez843 Před 3 lety +5

    its not fair to argue with someone who doesn't want you to bring another understanding from another verse,,,,,, instead he`s forcing you to accept what he understands,,,,,,
    and also reading the whole page not a verse will output the intended meaning........

  • @saidomar941
    @saidomar941 Před 2 lety +1

    Mashaallah mungu awabariki sana

  • @yatatusimu2498
    @yatatusimu2498 Před 3 lety

    Mungu akiwaongoza Mashehe watakuwa watulivu halafu wasikilize jibu analotia Mungu Kwa Maswali haya ....

  • @nassorokambi3561
    @nassorokambi3561 Před 2 lety

    Mazinge

  • @yatatusimu2498
    @yatatusimu2498 Před 3 lety +3

    Majibu nduguzanguni yaop. Pale ambapo mizaha ya kimjadala itakapoachwa na kuingilia mtoa jibu, basi Nuru itaonekana katika maswali. Huyu muuliza swali alikuwa much GA kulusikai jibu. Ameleta ushindani na si kutaka kujua. Yesu ni mwana wa Mungu. Aya nitawapa ... Tena Mungu mwenyewe anamtamka hivyo! Mnataka Aya rafiki zangu Waislamu humu???

  • @williamleshan7423
    @williamleshan7423 Před 3 lety +1

    Mashaaqlx

  • @amaa6353
    @amaa6353 Před 3 lety +3

    Mutabishana lakini Mungu ni mmoja

    • @johniemarsha281
      @johniemarsha281 Před 3 lety

      Thanks

    • @nowtv2107
      @nowtv2107 Před 3 lety

      Ndio ni mmoja hatujakataa lkni kubali hana mtoto na mtoto ni wa Mariam

    • @amaa6353
      @amaa6353 Před 3 lety

      @@nowtv2107 kila mtu na imani Yake cha maana ni matendo mazuri mbele ya Mungu mimi ni mtoto wa MUNGU na siezi jiita Mimì ni mtoto wa shetani hiyo ni imani yangu na ninabaki na imani yangu

    • @dawud6065
      @dawud6065 Před 3 lety

      @@amaa6353 kama ni hivo basi dini haiezi kuwa moja kutokana na logic yako isiyoeleweka.
      Uislamu hatukubali itakidi yenu potofu kuwa Yesu ni mwana wa Mungu au Yesu ni Mungu...
      (Lakum deenekum waliya deen - For you is you religion and for me is my religion)

    • @dawud6065
      @dawud6065 Před 3 lety

      @@amaa6353 wewe sio mtoto wa Mungu ila Mja wa Mwenyezi Mungu

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 3 lety

    Vimeumana aisee

  • @muhidinihomera5922
    @muhidinihomera5922 Před 3 lety +1

    Mashallah allahuakbaru

  • @kasmilyshalom8869
    @kasmilyshalom8869 Před 3 lety

    Haa!haa!kweli hii ni baraghi

  • @ndegeisaac6215
    @ndegeisaac6215 Před 3 lety +1

    JESUS THE WAY TO LIFE

  • @rehemarehema3258
    @rehemarehema3258 Před 2 lety +1

    Asante sana

  • @ramadhanzakaria4282
    @ramadhanzakaria4282 Před 3 lety +2

    Masha'allah

  • @jemedalijames2079
    @jemedalijames2079 Před 3 lety +4

    Hamna kitu Yesu ni mwamba kashinda kifo na mauti mamlaka yote kapewa yeye anabadilisha anafanya upya mtasubiri sana

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 Před 3 lety

      watasubiri sana hao waislamu au

    • @dawud6065
      @dawud6065 Před 3 lety

      @ Jemedali James
      Waongea na Facts au ni fiction una lay out?
      Ndugu lazima uwe factual hakuna personal interpretation kwa dini. Twafuta maandiko.. usiwe mwingi wa kubishana .. Uislamu ndio dini sahihi. Jibidiishe angalau kuutaka kujuwa kidogo kuhusiana na uislamu kabla hujatoa kauli yako.

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 Před 3 lety

      @@dawud6065 thanx mabroo kwa kuongea neno

  • @nasaaimluheta
    @nasaaimluheta Před 2 lety +2

    Maaaashalllaaah

  • @deksbaba3516
    @deksbaba3516 Před 3 lety

    M. A

  • @mbarakahmed3305
    @mbarakahmed3305 Před 3 lety +1

    Mbona imeisha mapema

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před 3 lety +1

    MashaAllah,,wislamu raha

    • @hudsonolianah5535
      @hudsonolianah5535 Před 3 lety

      Waislamu ni wale walimsaliti Yesu. Muhammad alikufa akaliwa na mbwaa. Muna abudu mufu

    • @hawaathumani6948
      @hawaathumani6948 Před 3 lety

      @@hudsonolianah5535 wewe ndo ulikufa ukaliwa na mbwa na sio mtume wetu Muhammad swalallahu aleyhi wasalam

  • @musanike3079
    @musanike3079 Před 3 lety +1

    MABRUK

  • @user-hw7fw6to6z
    @user-hw7fw6to6z Před rokem +2

    Eeh waislamu mpaka wamehifadhi bible overhead. Uuui hawa watu ni waajabu😮

  • @husseinally231
    @husseinally231 Před 2 lety +2

    MashaaaAllah

  • @josephmaina8239
    @josephmaina8239 Před 2 lety

    Siyo dini itaenda mbinguni ni matendo Yako mungu ataona kama ulikuwa unafwata hapa duniani so mko capagn ya Mohamed na yesu ATI nani Ako na wafuasi wengi

  • @rabiba
    @rabiba Před rokem +1

    Shaikh Anwar..PLZ GO SLOW...ww ni Shaikh mzuri but be calm

  • @mohamedhussein7997
    @mohamedhussein7997 Před 2 lety +1

    Please sheikh compare notes with other sheiks too like Prophesser Othman Mazinge how to tackle like mwana wa kipekee in the bible is found in many other verses to neutralize John 3:16

  • @ocroafff5527
    @ocroafff5527 Před 3 lety +2

    Mashallah is this in eastlight?

  • @deqoyusuf2741
    @deqoyusuf2741 Před 3 lety +1

    Mimi sijui ndomaana

  • @nuhchannel4851
    @nuhchannel4851 Před 3 lety +1

    M.a sheikh

  • @mirajirajabu3250
    @mirajirajabu3250 Před 3 lety +2

    Allah awabariki sana

  • @ahmedabdirahman8611
    @ahmedabdirahman8611 Před 3 lety +1

    Sheikh mm ungemjibu ya kuwa. Sheria zikebadilika ilipokuja quruani sheria za manabi wa nyuma zimepotea twafuata quruani kwa quruani ndo kitabu CHA mwisho ndo inayo fuatwa ..🇹🇷🇰🇪🇹🇷

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 3 lety +1

      Masha Allah ukweli tumekupata vinzuri shukuran brother

  • @wilberchannel5346
    @wilberchannel5346 Před 3 lety +11

    Don;t contradict the bible No word should be added nor substracted

    • @abdullahomar5339
      @abdullahomar5339 Před 3 lety +2

      The bible is contradictory

    • @abdullahomar5339
      @abdullahomar5339 Před 3 lety +2

      The bible is contradictory

    • @ahmedabdirahman8611
      @ahmedabdirahman8611 Před 3 lety

      Your people are the one subtracting by Denying the. Bible

    • @musanike3079
      @musanike3079 Před 3 lety

      SOMA MAANDIKO KAKA

    • @vitufez843
      @vitufez843 Před 3 lety

      he just decide to like muslims comment only, i see no need of watching his videos, coz he mean he posted it for muslims

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 Před 2 lety

    Mwache asome maana ya SINAGOGI nyuma ya bibilia, Sheikh Anwar hao hawana lolote,unapoteza Mda sheikh

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 Před 3 lety

    Shekhe mbabaishaji, yohana17:1 utaona habari za mwana shuka mstari 3 anatajwa kwa kwa jina yesu Kristo,njooni mbatizwe acheni kusumbua watu kwa kuwa hawajui maandiko

    • @hassansumera7818
      @hassansumera7818 Před 3 lety

      Ndugu yangu katika Adam, Kama unaona Kuna ubabaishaji watafute kwa namba ya wat'sup 0727431691

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 Před 3 lety

      @@hassansumera7818YOJANA 17; 3 YESU Anasema tutamjua MUNGU Wa kweli na YESU KRISTO Uliyemtuma

    • @essaumpuma2981
      @essaumpuma2981 Před 3 lety

      @@shabbymakapaneshabby5000 Somakwanza 17:1 unaona maneno hayo aliyasema yesu akiinua macho yake akielekea mbinguni,akasema baba, saa imekwisha kufikia mtukuze mwanao

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 Před 3 lety

      @@essaumpuma2981 sijakuelewa

  • @ariseblessedafrica1607

    If heaven will be for Islam and wakristo only heaven must be very small.
    Be spiritual , connect with God
    Asha Religions yote. Connect with God.

  • @omarabdi9376
    @omarabdi9376 Před 3 lety +1

    Yeye anajiita nabii na hajui biblia.

  • @juniorabdi3305
    @juniorabdi3305 Před 3 lety +4

    ManshaAllah

  • @jontecaros3194
    @jontecaros3194 Před 3 lety

    Just do good , final

  • @gazzowamikazo6987
    @gazzowamikazo6987 Před 3 lety

    Waeslam mnaabudu majiini nani ajuiiiii alafu mnaloho ngumu

  • @wilberchannel5346
    @wilberchannel5346 Před 3 lety +1

    Mnaamini eti siku ya mwisho wanaume watapewa mabikira kwanza Mbinguni hakuna kuoana bali ni kumsifu Mungu milele na milele

    • @aishaaby7531
      @aishaaby7531 Před 3 lety +2

      Wewe umevulugwa

    • @asadmuhaji2734
      @asadmuhaji2734 Před 3 lety +1

      Hujielewii wewe, Allah akuongoze

    • @jirmomohamed7595
      @jirmomohamed7595 Před 3 lety +1

      don't provoke just anyhowly coz u ignore wat you knw en if u don't knw just sit down en listen utaambiwa... Islam is the true and pure religion

    • @wilberchannel5346
      @wilberchannel5346 Před 3 lety

      @@jirmomohamed7595 Christianity is a very true religion am proud of being a follower of Jesus christ

    • @jirmomohamed7595
      @jirmomohamed7595 Před 3 lety

      @@wilberchannel5346 u will come by yourself

  • @joelgodia4000
    @joelgodia4000 Před 3 lety

    Wamkanao Yesu kristo pia yeye atawakana bele ya malaika na bele ya mwezi MUNGU

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 Před 3 lety +1

      Nenda uko

    • @hafidhhemed1514
      @hafidhhemed1514 Před 3 lety +2

      Uislam haumkani Yesu, hauwi muislamu kama haumuamini Yesu kama ni mtume miongoni mwa mitume wenye status ya juu kabisa na sio Mungu wala mtoto wake..

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 Před 3 lety +2

      @@hafidhhemed1514 mpe elim uyo

  • @mosesgikongo5307
    @mosesgikongo5307 Před 3 lety

    Msibishane na wasiomjua mwana yaani wampinga kristo,hao wote ni waislamu ni game wanacheza wachananeni na wao,kwanza wamwamini YESU,YESU ndiye njia na uzima wa milele

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 Před 3 lety +1

    Allahu Akbr jamanini Mashiekh wetu Ustadh Yahya yupo wapi skuizi

  • @johniemarsha281
    @johniemarsha281 Před 3 lety

    Kila mtu na Imani yake na kanisa yake ,as long as umamwamini mungu ,usiitikie mtu asushe Imani yako.na usiwai bishania neno LA mungu

  • @wilberchannel5346
    @wilberchannel5346 Před 3 lety +5

    Y do you always talk negative about Jesus you don't want to believe He is the son of Most high God but the day is coming you will bore down before him.

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 Před 3 lety +1

    Kamwe msitumie vpawa vyenu kumkufuru mungu,

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před 2 lety +1

    wskristo wanasema bibilia maneno ya mungu,andiko linasema yesu mwana wa mariam 😂😂wakristo wanasema hayo ni maneno ya watu ndo wanasema yani ni msiba mtupu

  • @tonnyanthonys2159
    @tonnyanthonys2159 Před 3 lety

    Jesus is lord and HE IS the only way.