Sheikh Ali be patient when you are the reader . Let sheikh Salim deal with the talking in sha Allah. This guys will think that we are not organized. Just a personal reflection not a critique. JazakaAllah
Ma asha ALLAH , nawakubali Sana mashekh wng wa Da'awah ALLAH awazidishie palipo pungua na awalindi na mitihani na misuko suko kw kazi umnayo ifanya na awajaze subra kwa yote mnayopitia , na awajalie nyinyi pamoja na waislam wote tukaonane peponi pamoja na MTUME wetu MUHAMMAD ( swalah na salamu zimfikie yeye ) AMIIN
O People of the Scripture, there has come to you Our Messenger making clear to you much of what you used to conceal of the Scripture and overlooking much. There has come to you from Allah a light and a clear Book. [ 5:15 ]
Who is God in Islam? The God of Islam is: The Most compassionate The Most merciful The Most loving The creator of the heavens and the earth He is ONE GOD. He begets not, nor is he begotten. He is UNIQUE. He is OMNIPOTENT. He is beyond HUMAN LIMITATIONS. He is beyond constructs of our imagination. He is EVER ACCESSIBLE through sincere supplication. When you call upon him alone, One God, He is closer to you than your jagular vein us we are told in the Glorious Qur'an. He is known by many names and attributes but his essence is ONE. He is ONE GOD. No human likeness. No partners. No image of him can be constructed. That's the God I worship. I will try to God to give you knowledge of who He is..
Yaani tukiwa tumetulia tuli kwenye miji yetu utadhani kama kote wananeema ya uislam wakati Kuna vijiji Bado wanajuwa kwamba waislam wanaabudu Muhamad Hakika kakaangu unastaili msada Toka kwetu waislam Ili upate urahisi wa kutangazia watu neema hii ya uislam
🥱‼️😂😂😂😂huyo naye katoa mpya, Eti Yesu ni Mungu 100%, Kweli ujinga ukichanganya na Upumbavu. Matokeo yake ni AIBU. Ha, ha, haaaa. Mzee wa Kanisa kawa mpoleeeee.
Wakristo mpaka Leo , hawajatambua kitabu chao, Eti mungu ni mwanadamu. Sisi waislamu ndio walimu wao kila siku tunawafundisha maandiko yao lakini shidaa yao ni ujinga.
@pungopungo swali biblia kitabu gani aw kitabu alicho pewa nabi gani najua inchili amepewa nabi issa huyo unayo sema wewe yesu je biblia kitabu alicho pewa nabi gani
Verse 1. " heri yao wapatanishi , maana wataitwa wana wa mungu " Verse 2. "Mungu ni mmoja na mpatanishi kati ya mungu na wanadamu ni mmoja ,mwanadamu kristo Yesu " HAPO NDIO TUNAKUBALI KUWA NI MWANA WA MUNGU KWANI TAYARI BIBLIA ILITUMIA MWANA WA MUNGU KUMAANISHA MPATANISHI NA WAPATANISHI NI WENGI HATA WEWE UKILINGANIA WATU KUFANYA MEMA NA KUACHA MABAYA UTAITWA MWANA WA MUNGU according to bible.
Hakyamungu kuna wakristo wabish ajabu mm nilikuwa na kwe wangu wa kiume mkiristo walahi kwao wote wameslim lkn yeye hakukubal tena ukimwambia ayo mambo mara mnakosana yaan wakrito wengine mh htr kwa kwel wao wako na dini yao ya pesa 2 lkn uhakika dini ya haki na uislamu peke
Ajabu 💯 binadamu na 💯 Mungu. Even my 6 year old son says it’s impossible to be both unless Jesus was schizophrenic where he had two different personalities which I think Jesus did not. This pastors because of few pennies here and there, they just care about the attributes of the creator of the heavens and the earth who also through his word brought Jesus to the Israelites.
Lakini wewe na mtoto wako ,,,mumepotoka,,,,Do not eat or drink with your left hand, because Satan eats and drinks with the left hand. (Hanbal, 2/8, 33)
@@mosesmaina9176 vitabu vya Mungu vyote vimeandikwa kutoka kulia kwenda kushoto,. I injili, zaburi, taurat na qur an. Bible imeandikwa kutoka upande gani
@@Catherine-mh8sw only a confused man ,,(Mohamed ) great confusor than satan can deceive INNOCENT people and tell them that ?bible has not written from RIGHT ,,only book of man QURAN THAT IS FROM LEFT TO RIGHT ,,,EVEN JESUS IS t the right hand side not left ,,Muhammad is the one who started Muslim ,,and before starting Muslim do you know who he was ,,
Utatu siyo imana ya Biblia . Imeingizwa kanisani kama Imani iliyotengenezwa na watu. Biblia inafunza kuna Mungu moja na mwana wake Yesu Kristo. Kumbukumbu la torati 6:4 na yohana 17:3.
Mungu baba Mungu mwana na Mungu roho mt ni umoja ktk utatu mt. Maumbile ya kibinadamu huwezi ijadiri hekima hi baba hakufanya kitu bila mwana na roho hivyo Yesu alipokuja duniani aliuacha umungu wake mbingu na kuuvaa ubinadamu ndio maana akawa anaomba kwa baba si kwamba hakuwa na uwezo Bali alitaka kutuonyesha kuwa njia ya kuungana na Mungu kwasababu aliyajua yote ya Mungu kwavile alitoka kwake. Wewe huulizi maswali Bali unakandamiza ili washindwe. Wewe sio wakuemishana Bali unakuja kueneza dini yako neno la Mungu halitafakariwi hivyo wewe ni mwongo mbona nyie mnasaidia
Yaani Aliuacha Umungu Wake Daah! Hv Logically Maria Kama Mama Wa Yesu aliyepata Uchungu Wakati akijifungua Mwenye Uchungu Na Mwanae Hiv atajiskiaje Siku Ya Hukumu Yesu Anamhukumu Mama Yake au Yesu Amekaa Kwenye Kiti cha Enzi Mama Yake Anaangalia,Mtoto anamtawala.Kama Mama Hawezi Jiskia Vizur Maana Hajamtapika Yesu bali amemzaa Kwa Uchungu.
Unajua Waafrica Wanaweza Kushabikia Jambo Acha tu Utumie Akili Yako , Mungu ananafasi Yake Yesu Anatazamwa , Na Wakristu Katika Mtaza Wa Mjumbe Wa kuja kuwaondoa Watu kwenye Kumtomjua Mungu, Yesu Ni Mtume Wa Kuangalia Na kufuata Kutokana Na Namna arivyokuja Hakuwa na Baba' na Hakuwahi Fanya Ubinadamu Wa zinaa, jitafakalini
Dose imeingia pastor finally amekubali kuna Yesu na kuna Mungu. If there’s two Gods then if there’s any dispute one will ask for handshake and our world out of control.
Mtapeli mwengine tena hâta wakiona kwenye biblia yao wanazidi kukataa mbarikiwe masheli wetu ishallah tuombe mungu yamuokowe huo mfuasi wakanisa mambo Yako wazi kwenye biblia lakini anapiga biblia yake
Kama hujuwi kitu sikiza mafundisho ya vitabu ndipo uwelewe kuwa yesu ni mwanadamu amezaliwa kama wewe ana mama alinyonya na walikula chakula pamoja na mamayake
Kwann wakristo wasiifikirie tena imani yao tena jamani??? ni kweli tunazaliwa alaf tunarithishwa imani tukiwa bado hatujitambui, sasa kwann pale tunapokua na utambuz wa mambo tusikae tukachunguza tena imani zetu kama ziko sawa???
...huwa hiyo imani imemea mizizi kwenye nyoyo zao na huwa si rahisi kukubali kugeuka.ingawa kwa akili zao wanajua kuna hitilafu, nyoyo zao zinakataa.wengine huona uoga au haya kukubali kuwa hiyo dini haiko sawa.big up walimu wetu kwa kuwafahamisha. na ndiposa sisi waisilamu tuchungeni na watoto wetu tuwafundishe dini....
Muislim can't understand kwamba kuna Mungu mwana, Mungu baba na Mungu Roho mtakatifu. Yaan jina Mungu ni sifa ya uungu. Najuwa hamtaelewa Mwanadamu ananafsi, roho na mwili. Lkn kwenye utofauti wa mwili, nafsi na roho bado hatuwezi kuutofautisha kwamba hii ni nafsi au hii ni roho.
...Say: He is Allah, the One and Only; Allah, the Eternal, Absolute; He begetteth not, nor is He begotten; and there is none like unto Him" (Holly Qur’an, 112: 1-4) The Bible confirms the fact that Allah neither begets nor was he begotten, who cannot change and that none is like unto Him. “…that ye may know and believe me, and understand that I am he; before me, there was no God formed, neither shall there be after me…” Isaiah. 43:10. “…to whom then, will ye liken God? or what likeness will ye compare unto Him...?” Isaiah. 40:18. “…For I am the Lord, I change not…” Malachi. 3:6.8
Kafili ni sheitwani hata umwambie vip hawezi kukubali kuna mama umoja wakikafili aliwahi kusema eti yesu hata angekuja mbelezake amwambie mwenyewe eti yeye sio mungu eti atamwambia wewe nimungu awowatu ninoma
Mjadala unaongozwa na mtu mmoja hakuna balance ya muda kwa pande zote,na hoja zinajengwa kwa kutumia udhaifu wa Upande wa pili,ili mzani ubalance inatakiwa mchungaji huyo awe mwelewa vema wa Bible na kuruani.pia mmiliki wa kunasa sauti ni mmoja hapo akitaka kuongea muda wowote anaongea yaani amedhibiti mjadala wote na kupoteze Maana yote ya mjadala.
Just imagine huyo ni pastor. Kama huyu ndio mwalimu wa wakristo kanisani jiulize hao wakristo hali yao iko vipi. Allah awafungue macho wakristo warejee kwa njia ya sawa.
Maashaallah mchungaji kaelewa.mabrooq ustadh Salim 👍
Uongo ukihubiriwa miaka mingi huonekana kua kweli ndicho kinchowasumbua hao wakristo Allah awaongoze
Well said Abeid Allah akufunyie kheri nyingi kwa kuliona hilo 🎉🎉
Inshallah
Achen kuwapotosha watu wa Mungu
Afu nyie Waislam anayejiweza Kwa Neno la Mungu anitafute mm
MashaAllah kazi mzuri
Sheikh Ali be patient when you are the reader . Let sheikh Salim deal with the talking in sha Allah. This guys will think that we are not organized. Just a personal reflection not a critique. JazakaAllah
Allah wabariki sana masheikhe wetu awazidishieni kila la kheir baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
Wale wot ambao n wapinga Kristo jueni ya kuwa siku ya Hukumu inakuja na haita waacha salama
Ostazi Salim mungu akubalik
Ma asha ALLAH , nawakubali Sana mashekh wng wa Da'awah ALLAH awazidishie palipo pungua na awalindi na mitihani na misuko suko kw kazi umnayo ifanya na awajaze subra kwa yote mnayopitia , na awajalie nyinyi pamoja na waislam wote tukaonane peponi pamoja na MTUME wetu MUHAMMAD ( swalah na salamu zimfikie yeye ) AMIIN
Allah atawalipa kwa kaz ya daawa
O People of the Scripture, there has come to you Our Messenger making clear to you much of what you used to conceal of the Scripture and overlooking much. There has come to you from Allah a light and a clear Book. [ 5:15 ]
Me na prefer wakristo wote wawe waislamu
Manshaallah the listeners were respectful may Allah guide them to islam
Shukran sheikh salim na Ali wapeni mafundisho wakiristo ya kisilamu wataelewa tu
Yesu sio mungu pastor.kwani mungu anaweza kufungwa na kupelekwa mahakamani kuhukumiwa na pilato
Who is God in Islam?
The God of Islam is:
The Most compassionate
The Most merciful
The Most loving
The creator of the heavens and the earth
He is ONE GOD.
He begets not, nor is he begotten.
He is UNIQUE.
He is OMNIPOTENT.
He is beyond HUMAN LIMITATIONS.
He is beyond constructs of our imagination.
He is EVER ACCESSIBLE through sincere supplication.
When you call upon him alone, One God, He is closer to you than your jagular vein us we are told in the Glorious Qur'an.
He is known by many names and attributes but his essence is ONE.
He is ONE GOD.
No human likeness.
No partners.
No image of him can be constructed.
That's the God I worship. I will try to God to give you knowledge of who He is..
Allah Akbar
Yaani tukiwa tumetulia tuli kwenye miji yetu utadhani kama kote wananeema ya uislam wakati Kuna vijiji Bado wanajuwa kwamba waislam wanaabudu Muhamad
Hakika kakaangu unastaili msada Toka kwetu waislam Ili upate urahisi wa kutangazia watu neema hii ya uislam
Nashagaa hadi leo hawamjui nabii.wanasema Mohammad anabudiwa n waislam.Allah awaogoze
Sheikh Ali be patient. Kindly don't interfere the process
A very gud lesson to schools!
Allah huakbar kazi nzuri kaka Salim na team mzima
I love these videos so much 😊
Brother keep uploading more and more
Inn shaa Allah
Allah amfanyie wepesi kw kila jambo lenu n ampe pepo kesho akhera
Mashallah
Kazi nzuli salim masha ALLAH
Asalam alykum www safi sheikh kwamafunzo mazuri mungu ni special siyo binadamu azayi awo azariwi akuna anayo fanana nayeye 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
💯 human being 💯 god kulaha 😂😂
Wazungu waliwadanganya yesu ni mungu..Qul huwa lahu ahad
Eleza hili andiko.John 17:5
Allahu.swamadu
11 9 Hosea good work salim ❤
Masha Allah
🥱‼️😂😂😂😂huyo naye katoa mpya, Eti Yesu ni Mungu 100%, Kweli ujinga ukichanganya na Upumbavu. Matokeo yake ni AIBU. Ha, ha, haaaa. Mzee wa Kanisa kawa mpoleeeee.
Masha Allah Tabarakallah
Mashalla ♥️
MASHA ALLAH USTADH SALIM ALLAH AKUJAZE KILA LA KHEERI WW NA WENZAKO KINA USTADH ALI NA CAMERA MAN WENU KWA KZI ZURI MNAYO IFANYA
Mwana Adam , Tosha gari. ❤
Ukristo bila ujanja ujanja unakufa
TenaUjanja.nauongo...mzito
Masha allh mungu aku ifathi
Huyu mnaemuhuji sio mlevi kweli mbona hajitambui
Maaashaa Allah
Keep going bro
Allah Akbar
Yéyé hataki kubeba madhambi yamashetani wa maframason ambao wanabudu shetani nakupiga mungu
Brother mungu awalpe kazi kubwa sana
Aamiin amiin amiin sote
Wakristo mpaka Leo , hawajatambua kitabu chao, Eti mungu ni mwanadamu. Sisi waislamu ndio walimu wao kila siku tunawafundisha maandiko yao lakini shidaa yao ni ujinga.
Na hawawezi kutambuwa kwa sababu wao hawatapewa maandiko wanaimba na kuhubiriwa tu
Mnatufindisha kumjua Yesu kristo. Au mnaihubili injili bila kujijua?sababu biblia yasema kila ulimi utamkili utamkili yesu kua ni bwana
Mtawapata hao wapumbavu wasiojua neno kwa usahihi
@pungopungo swali biblia kitabu gani aw kitabu alicho pewa nabi gani najua inchili amepewa nabi issa huyo unayo sema wewe yesu je biblia kitabu alicho pewa nabi gani
@@alzawahirabdallah2299akikujibu niko hapa 255 nasubiri jibu
They are confused by the Jews and the Europeans. It’s very sad that even their pastor is not competent enough and not comprehending.
Pastor Yesu anajipendeza mwenyewe aje, na unasema yeye ni Mungu. It doesn’t make sense
uko kutulia uyo pastor natumai dose inaingia tu vzr,.. haki uislamu raha
Hiyo fikra ni upagani wa warumi ulio hubiriwa kwa miaka mingi
Hakuna aliyewahi kuwa NURU, baadae akawa Giza,, Ukiona alikuwa Nuru akageuka kuwa Giza basi ujue hajawahi kuwa NURU HUYO
Waakristo wameaminishwa utatu mtakatifu na wanatakiwa waamini hivyo tu
Kazinzuri waelimisheni
Wenzetu Allah awaongoze maana hata bibilia hawaikubali
Yahn.hawafatiHatakitabuchao
Kwahio Waislamu mnakubali Yesu ni mwana wa Mungu
Verse 1.
" heri yao wapatanishi , maana wataitwa wana wa mungu "
Verse 2.
"Mungu ni mmoja na mpatanishi kati ya mungu na wanadamu ni mmoja ,mwanadamu kristo Yesu "
HAPO NDIO TUNAKUBALI KUWA NI MWANA WA MUNGU KWANI TAYARI BIBLIA ILITUMIA MWANA WA MUNGU KUMAANISHA MPATANISHI NA WAPATANISHI NI WENGI HATA WEWE UKILINGANIA WATU KUFANYA MEMA NA KUACHA MABAYA UTAITWA MWANA WA MUNGU according to bible.
Tunamuamini.kuwanimtumeWamungu.tenakatumwaWawanaIzrael
Utata wa Mungu au utatu wa Mungu?
Shekh ujumbe umefika
Huyu mpelekea sheikh Ibrahim please
Waislamu wata wachanganya weee just Murefeeee 🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Kwani akisoma kwa kizungu yesu atabadilika yawe mungu ???
😂😂😂😂😂😂😂
Pastor went to the library to do research. Give chance to others since the pastor is stuck.?
Kwani Jesus (asw) alipokua tumboni mwa Mama yake. NI nani alikua akiendesha Dunia?
Wakristo wamekaa kuchanganyikiwa tu ndomaana wamebebwa ufala na wazungu sahii wanatuletea ushoga
Kabisa
Wataelewa tu
Wewe ndugu hujui kitu kwa sababu mungu hazaliwi na mwanadamu na yesu sio mungu na kama yesu ni mungu mamake ni Nani?
Sasa yuastuka yeye badili wafuasi ndio wastuke kwani biblia anayoifunza nigani😂
😂😂😂😂hyu amenifurahisha
Walahi ningekua hapo ningemzaba Kofi huyo mzee😂😂 manake haelewi kabsaaa
Subra muhimu wataelewa tu inn shaa Allah
😅🙄
@@salimdaawah123 sheikh una subra sana na Allah ameahidi pepo kwa wenye subra
hapana hupaswi kufanya ivo... kazi yetu sisi ni kufikisha tu lakini anaeongoa ni Allah pekee
@@samxx411 Pepo yenu inaandaliwa pamoj na Jao Mashetan na Majin mnayoyafuga
Hakyamungu kuna wakristo wabish ajabu mm nilikuwa na kwe wangu wa kiume mkiristo walahi kwao wote wameslim lkn yeye hakukubal tena ukimwambia ayo mambo mara mnakosana yaan wakrito wengine mh htr kwa kwel wao wako na dini yao ya pesa 2 lkn uhakika dini ya haki na uislamu peke
Tatizo Len hamuelew
Ili mjue Yesu ni nani, yafaa kwanza mjue neno Mungu ni nini
kwahiyo nyinyi mnasemaga wakristo mungu wao yesu
Sio tunasemaga sisi bali nyinyi wenyenu ndo mnasemaga
wachafuzi wa dini
Andika are funny creatures
Shaikh Salim Fanya bidii ufike Mombasa ukasaidie maandamano ya kukataa ushoga .....
Inn shaa Allah
Mbane kwa maswali mpka anye huyo mana hawana dini bali ni biashara tu
Ajabu 💯 binadamu na 💯 Mungu. Even my 6 year old son says it’s impossible to be both unless Jesus was schizophrenic where he had two different personalities which I think Jesus did not. This pastors because of few pennies here and there, they just care about the attributes of the creator of the heavens and the earth who also through his word brought Jesus to the Israelites.
Lakini wewe na mtoto wako ,,,mumepotoka,,,,Do not eat or drink with your left hand, because Satan eats and drinks with the left hand. (Hanbal, 2/8, 33)
@@mosesmaina9176 vitabu vya Mungu vyote vimeandikwa kutoka kulia kwenda kushoto,. I injili, zaburi, taurat na qur an. Bible imeandikwa kutoka upande gani
@@Catherine-mh8sw only a confused man ,,(Mohamed ) great confusor than satan can deceive INNOCENT people and tell them that ?bible has not written from RIGHT ,,only book of man QURAN THAT IS FROM LEFT TO RIGHT ,,,EVEN JESUS IS t the right hand side not left
,,Muhammad is the one who started Muslim ,,and before starting Muslim do you know who he was ,,
@@Catherine-mh8sw Qur'an is not God word is stories of muhammad ok ,,I can't read a novel but bible
@@mosesmaina9176 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 you just lie to yourself
Utatu siyo imana ya Biblia . Imeingizwa kanisani kama Imani iliyotengenezwa na watu.
Biblia inafunza kuna Mungu moja na mwana wake Yesu Kristo. Kumbukumbu la torati 6:4 na yohana 17:3.
Basi hata haoni na pua anayo?
Harufu pia hapati na sikio analo...lugha inaeleweka kinachobaki ni mazowea
Mungu baba Mungu mwana na Mungu roho mt ni umoja ktk utatu mt. Maumbile ya kibinadamu huwezi ijadiri hekima hi baba hakufanya kitu bila mwana na roho hivyo Yesu alipokuja duniani aliuacha umungu wake mbingu na kuuvaa ubinadamu ndio maana akawa anaomba kwa baba si kwamba hakuwa na uwezo Bali alitaka kutuonyesha kuwa njia ya kuungana na Mungu kwasababu aliyajua yote ya Mungu kwavile alitoka kwake. Wewe huulizi maswali Bali unakandamiza ili washindwe. Wewe sio wakuemishana Bali unakuja kueneza dini yako neno la Mungu halitafakariwi hivyo wewe ni mwongo mbona nyie mnasaidia
Ndio akili yako ilipo ishia apo dah hatar kubwa hii
Yaani Aliuacha Umungu Wake Daah!
Hv Logically Maria Kama Mama Wa Yesu aliyepata Uchungu Wakati akijifungua Mwenye Uchungu Na Mwanae Hiv atajiskiaje Siku Ya Hukumu Yesu Anamhukumu Mama Yake au Yesu Amekaa Kwenye Kiti cha Enzi Mama Yake Anaangalia,Mtoto anamtawala.Kama Mama Hawezi Jiskia Vizur Maana Hajamtapika Yesu bali amemzaa Kwa Uchungu.
Unajua Waafrica Wanaweza Kushabikia Jambo Acha tu Utumie Akili Yako , Mungu ananafasi Yake Yesu Anatazamwa , Na Wakristu Katika Mtaza Wa Mjumbe Wa kuja kuwaondoa Watu kwenye Kumtomjua Mungu, Yesu Ni Mtume Wa Kuangalia Na kufuata Kutokana Na Namna arivyokuja Hakuwa na Baba' na Hakuwahi Fanya Ubinadamu Wa zinaa, jitafakalini
Adam hakuwa na baba wala mama. Hao katokana na Adam
Dose imeingia pastor finally amekubali kuna Yesu na kuna Mungu. If there’s two Gods then if there’s any dispute one will ask for handshake and our world out of control.
Mtapeli mwengine tena hâta wakiona kwenye biblia yao wanazidi kukataa mbarikiwe masheli wetu ishallah tuombe mungu yamuokowe huo mfuasi wakanisa mambo Yako wazi kwenye biblia lakini anapiga biblia yake
Takbir💪💪😂
Allahu Akbar
God is one in three because He wanted He divided because He wanted some work to be done here in the world with Jesus and the hole spirit
Maneno meengi!
Kama hujuwi kitu sikiza mafundisho ya vitabu ndipo uwelewe kuwa yesu ni mwanadamu amezaliwa kama wewe ana mama alinyonya na walikula chakula pamoja na mamayake
Babake Yesu ni nani? Najua wewe uko na baba
Baba Ake Adam Rehema za Mungu ziwe juu yake Ni Nani?@@user-hy5zd5rn6r
@@user-hy5zd5rn6rhataBabaEtuAdM.hHawa.hawanababaWalamama.mwenyeezn.mungu.nimjuzi..anaweza.akisemakuwa.linaKuwa.hacha..uchizi
Elewa Imani ya Kikristo.
Alitoka mbinguni, akatwaa mwilini kwake Bikira Mariamu akawa mwanadamu.
Humu ndio empty kabisa
Alipokuwa msalabani baba gani aliyekuwa anamwita 🤔
We Katherine uko vizuri
Kwann wakristo wasiifikirie tena imani yao tena jamani??? ni kweli tunazaliwa alaf tunarithishwa imani tukiwa bado hatujitambui, sasa kwann pale tunapokua na utambuz wa mambo tusikae tukachunguza tena imani zetu kama ziko sawa???
...huwa hiyo imani imemea mizizi kwenye nyoyo zao na huwa si rahisi kukubali kugeuka.ingawa kwa akili zao wanajua kuna hitilafu, nyoyo zao zinakataa.wengine huona uoga au haya kukubali kuwa hiyo dini haiko sawa.big up walimu wetu kwa kuwafahamisha. na ndiposa sisi waisilamu tuchungeni na watoto wetu tuwafundishe dini....
Hapo kwa mimi na baba tu umoja mbona mmeparuka?
Hivi wakristo mnasomaga kitabu gani mbona mmefundishwa utatu pekeyake
Muislim can't understand kwamba kuna Mungu mwana, Mungu baba na Mungu Roho mtakatifu. Yaan jina Mungu ni sifa ya uungu. Najuwa hamtaelewa
Mwanadamu ananafsi, roho na mwili. Lkn kwenye utofauti wa mwili, nafsi na roho bado hatuwezi kuutofautisha kwamba hii ni nafsi au hii ni roho.
Nafsi ni nini kwanza
rei hi I'm
Jesus christ is the son of HE.
Then he isn't God
Inategemea uelewa wa huyumnaemuhoji
Hhhe kumekucha😅 Christians
Yesu ako mbinguni..tukimwabudu hakuna ubaya
Yuko mbinguni pembeni mwa baba yake
Unamini kwanini unamwabudu yesu
Kwaiyo kila kilichopo mbinguni kinapaswa kuabudiwa?
Mbona malaika hauabudu?
Yesu alisema muabuduni Mungu mja tu,Mungu ngu ndie Mungu wenu
Ukiona mimi umeona baba
Kwahiyo Kuna baba na yesu
...Say: He is Allah, the One and Only; Allah, the Eternal, Absolute; He begetteth not, nor is He begotten; and there is none like unto Him" (Holly Qur’an, 112: 1-4)
The Bible confirms the fact that Allah neither begets nor was he begotten, who cannot change and that none is like unto Him.
“…that ye may know and believe me, and understand that I am he; before me, there was no God formed, neither shall there be after me…” Isaiah. 43:10.
“…to whom then, will ye liken God? or what likeness will ye compare unto Him...?” Isaiah. 40:18.
“…For I am the Lord, I change not…” Malachi. 3:6.8
Wewe usilazimishe kwa logistics za kibinaadamu. Yesu alisema yeye ni Mungu sasa kwa nini msifuatilie maneno yake mwrnyewe.
Wapi Yesu alisema yeye ni Mungu????
Ata nashagaa wapi alisema?
😂😂😂😂 yes n mungu jmn wakristo mna shida gan mbona hamuelew
Contradiction tupu
Mchungaji amechanganyikiwa mpka amenyanyua shingo juu huku akishika koti
Akionajoto
Kachanganyikiwa.eti.mnaabudu.muhammad..anaonajoto.anatakakukimbia
SubhanaAllah.ushogatena.yailah.toba.subhana.Allah
Kafili ni sheitwani hata umwambie vip hawezi kukubali kuna mama umoja wakikafili aliwahi kusema eti yesu hata angekuja mbelezake amwambie mwenyewe eti yeye sio mungu eti atamwambia wewe nimungu awowatu ninoma
Tuwa ombee Dua roho zao zifunguke zipate haki na Nuru ya uislamu.
Amiin
Mjadala unaongozwa na mtu mmoja hakuna balance ya muda kwa pande zote,na hoja zinajengwa kwa kutumia udhaifu wa Upande wa pili,ili mzani ubalance inatakiwa mchungaji huyo awe mwelewa vema wa Bible na kuruani.pia mmiliki wa kunasa sauti ni mmoja hapo akitaka kuongea muda wowote anaongea yaani amedhibiti mjadala wote na kupoteze Maana yote ya mjadala.
Hii inaitwa street daawah inatofauti na debate mbona hata kuelewa kwaenu ni vigumu
Wote hamuijui biblia.
Na jambo ambalo hamlijui ni vyema mliache vinginevyo mtakufuru.
Ukweli unauma
Just imagine huyo ni pastor. Kama huyu ndio mwalimu wa wakristo kanisani jiulize hao wakristo hali yao iko vipi. Allah awafungue macho wakristo warejee kwa njia ya sawa.
But he has said all isrealites will be saved because its the first born of the God..
Adam ...is he a last born? Acha ujinga Mungu hazai anaumba.