Ajabu sana Mchungaji akataa kusoma bibilia mbele ya wakristo washangaa mbona huwa wanafichwa haya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 124

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Před 7 měsíci +15

    Salim ni Mwalimu tosha. MashaAllah tabarkallah.

  • @Mudi-zk2cy
    @Mudi-zk2cy Před 7 měsíci +22

    ManshaAllah ustadh Salim a reknown Muslim scholar in the field of comparative religions,hii kweli ni nyayo ya mtume na masahaba mungu awape rehma na baraka.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 7 měsíci

      Aamiin amiin amiin

    • @Hi_20206
      @Hi_20206 Před 7 měsíci +2

      Mafunzo yao imenibadilisha saanaa..Alhamdulillah

  • @hodhanmusa7224
    @hodhanmusa7224 Před 7 měsíci +10

    Masha Allah brother salim na Ali Allah awape maisha marefu yenye afya na baraka ili muwafundishe watu wote .

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Před 7 měsíci +4

    Wa aleykum Salam warahmathullah wabaraqathu Masha Allah mafunzo mazur sana sitaki kukosa hatakidogo kuna vitu vingi sana nimejifnza ALLAH awalipe kheri duniani na akhera

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Před 7 měsíci +8

    Alhamdulillah kwa yote..alhamdulillah🤲🤲☝️

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 Před 6 měsíci +1

    Masha Allah shukran jazeelan sheikh Ali, sheikh salim ngugi

  • @yahyaali3951
    @yahyaali3951 Před 7 měsíci +6

    Allahamdullah Leo nimekuwa mtu wa kwanza kuangalia, Allah akulipeni kheri kubwa.

  • @user-sw3qy2pt4n
    @user-sw3qy2pt4n Před 7 měsíci +6

    Nimechelewa lakin nimetazama,,,naomba mtuekee kila siku kwasababu tunajifunza kila siku,na Allah awalipeni mashekhe wetu ujira mkubwa na awajaalieni afya njema

  • @ashaomaromar8624
    @ashaomaromar8624 Před 7 měsíci +1

    Amazing jawabu nzuri sana❤❤❤❤

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Před 7 měsíci +3

    Assalaam Alaykum Warhamatullah Wabarakatuh...Tabaraka Rahman vipenzi vya ALLAH.

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 3 měsíci +2

    Tatizo ya Wakristo, hawajui kama kuna Majini watiifu kwa Mwenyezi Mungu na Majini waasi kwa Mwenyezi Mungu. Ni kama Binadamu walivyo. Watiifu na wasio Watiifu. (Kutomuamini Mungu mmoja tu)

  • @user-sf9ng5dx8y
    @user-sf9ng5dx8y Před 5 měsíci +1

    Mashallah our sheikhs

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 Před 7 měsíci +2

    Masha Allah.

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 Před 7 měsíci +5

    Masjid or Masajid from the arabic root word 'Sajdah' which means to prostrate . Therefore 'Masjid' basically means or translate to " a place of prostration" .
    Kwa Kiswahili tutasema " mahali pa kusujudu" au " mahali kwa kwenda kusujudu"

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042 Před 7 měsíci +3

    TAKBEER ALLAH AKBAR

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Před 7 měsíci +4

    Huyo jacket wa red..msimpee muda mingi tena

  • @Adm9464
    @Adm9464 Před 7 měsíci +6

    Very sad . The truth hurts dada ametoroka when she realized the reality that she is hiding something from her Christian friends

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 7 měsíci

      Yeah she didn't want us to read that verse which prohibit women to preach in church

    • @Hi_20206
      @Hi_20206 Před 7 měsíci

      Next tym akuje na pastor nicholas amsaidie juu amezama kuzama😂😂😂😂

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Před 7 měsíci +3

    Masha Allah wa kwanza leo Alhamdhulillah

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 Před 7 měsíci +3

    Huyo jama wa koti nyekudu yuko.ma matatizo kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😂

  • @jumamsembe1213
    @jumamsembe1213 Před 7 měsíci +4

    Tatizo hawasomi maandiko wanaenda kuimba tu huko kanisani...Hawaezi kufkiria pia na kutafakari maneno..

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Před 7 měsíci +3

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awazidishie neema yake

  • @RashidAthumani-kt5pf
    @RashidAthumani-kt5pf Před 7 měsíci +3

    Leo moto umewaka subhanallah😅😅

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 7 měsíci

      Mpaka kieleweke

    • @RashidAthumani-kt5pf
      @RashidAthumani-kt5pf Před 7 měsíci

      I wish one day mje ARUSHA TANZANIA coz kuna sehem uislamu ni kama haupo yani unajua maeneo ya arusha yamepakana sana na mpaka wa kenya kwahiyo ukristo ni mkubwa sana ukilinganisha na uislamu so, ningependa daawa ifanyike kwa wingi sana huku kwetu inshallah

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Před 7 měsíci +2

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...leo maandiko yamemfinya na kumkera madam Mbithe...Allah awahifadhi na awalipe...nyinyi ni mujahideen katika kuitangaza Dini ya Allah.

  • @husha6372
    @husha6372 Před 7 měsíci +2

    Assalamu Aleikum warahmatullahi Wabarakatuhu kuhusu KWENDA Makkah kwenye biblia ni Zaburi 84:87

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 7 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh masha Allah kwa ukumbusho huo

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r Před 7 měsíci +1

      Hakuna Zaburi 84:87

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of Před 7 měsíci

      84:6

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r Před 7 měsíci

      @@AlkadoNkundwe-wb3of Baka sio Mecca.Wataka kusema Jews walikua wakipita Mecca kwenda Jerusalem Kwa maombi? How far was Jerusalem to Saudia Arabia? And where were those Jews living in that they will have to pass the valley of Baka going to Jerusalem?

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 7 měsíci +1

    Mashalla Allah ❤❤❤

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 Před 7 měsíci +5

    Dada anafungua fungua tu pages za bible na hajui lolote..infact alisema yeye si mkristo sasa anatumia bible ya kazi gani😂😂

  • @mtotompole1040
    @mtotompole1040 Před 7 měsíci +1

    Asalaam Alaikum Warahmatullahi Wabarakatu Wengine Hatuna bundles Za kutosha Shekh Salim tufungulieni tuweze Ku download please 🙏

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 7 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh sijafunga unaweza ku download

  • @GamingLimbe
    @GamingLimbe Před 7 měsíci +4

    Asalam Aleykum kila Mmoja

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 Před 7 měsíci +1

    Ma sha Allah

  • @mustafahaji2636
    @mustafahaji2636 Před 6 měsíci +2

    Asalaam aleikum waramatullah wabarakatu jamani ndugu na Dada wakristo sindukeni mbona mumelala katika kristo.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 6 měsíci

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 7 měsíci +2

    Ustadh tafadhali Mbithee msimsumbue , mfundisheni polepole kwani anatamani kuelewa isipokuwa kichwa imeshajaa mafundisho ya wanadamu , so pole pole ataelewa alafu akiongoka mimi nakuja kukchukuwa

  • @antonykhamati6387
    @antonykhamati6387 Před 7 měsíci +3

    Mafunzo Bora.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Před 7 měsíci +2

    Hawataki kujua ukweli wame n'gan'gana na uongo

  • @abdifatahabdullahibashir5804
    @abdifatahabdullahibashir5804 Před 7 měsíci +2

    Assalamu aleikum warahmatullah wabarakatuh

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 Před 7 měsíci +2

    Mama unanifurahisha

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Před 7 měsíci

      Yani kama huyu ndiye mchungaji basi wafuasi wako mashakani

  • @user-on6bj9cm5b
    @user-on6bj9cm5b Před 7 měsíci +2

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @faridaalwaily-hk4xf
    @faridaalwaily-hk4xf Před 7 měsíci +2

    Allaah Awazidishieeeni Imani na subrah kwa kuwaeeeeleza nakuwafahamishaaa ukweliii

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk Před 7 měsíci +1

    Allahu Akbar

  • @mustafahaji2636
    @mustafahaji2636 Před 6 měsíci +1

    Huyo kaka yuahepa ukweli mbele ya wenziwe ndio wasielewe ukweli

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před 5 měsíci +1

    Wakristo awana ushaidi na dini yao wakutosha nibora wabadiliketu wapate tiketi ya uisilamu ili wasalimike ili wasiende kuazibiwa adhabu chungu

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt Před měsícem +1

    HawamieWananichekesha.kumbe.wanaendagakwenye.roho..ndyomaanaWanapiga.kelele.roho.inauma

  • @user-gn9tj5su2l
    @user-gn9tj5su2l Před 5 měsíci +1

    Na sio hyo 1.timotheo.1;20. Kuna na 2.wakontho 11;27) pia 😂😂😂

  • @josephinechaildofgod5371
    @josephinechaildofgod5371 Před 7 měsíci +3

    😂😂😂😂😂

  • @mustafahaji2636
    @mustafahaji2636 Před 6 měsíci +1

    Asalaam aleikum waramatullah wabarakatu huyo hataelewa na hayuko tayali kufunzwa ili aelewe.

  • @SalimHumud
    @SalimHumud Před 3 měsíci +1

    Hao ni kichwa ngumu

  • @omaar5693
    @omaar5693 Před 7 měsíci +1

    49:20
    Come listen to this
    😂😂😂😂😂😂😂

  • @kennedymanyonge6170
    @kennedymanyonge6170 Před 7 měsíci +2

    Heri kuwa kuslim kuliko kufuata watu wabishi bila kutoa maandiko......

  • @sheemaryam
    @sheemaryam Před 7 měsíci +2

    Àsalam aleikum warahmaturullahi wabarakatuh sheikh leo wakileta topic ya yesu mwana wa MUNGU waulize
    Kwa nini
    Ni sababu aliumbwa bila baba? Wakisema ndio basi
    Waambie adamu na Hawa ndio wanasatahiri kuitwa mwana wa MUNGU sababu waliumbwa bila mama na bila baba uone majibu yao

  • @nelsonochieng5216
    @nelsonochieng5216 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂😂huyo mwanamke

  • @laotzu4210
    @laotzu4210 Před 5 měsíci +1

    huyo jamaa wa kusoma bibilia/Quran awache kuongeza maneno zake kwa maandishi...wacha ustadh afunze. maoni yangu tu!

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 7 měsíci

    Wambua atakuwa muinjilist na atakuwa mwenzie na Mbithee . cause maswali yke ya hovyo na Mbithee alikuwa anashiriki japo hakutaka aonekana yupo na wasaidizi , kisha kaja mwishoooni kbsa hakuwa kabaki na kitu vyoote Wambua alikuwa kamaliza

  • @finiasezra7072
    @finiasezra7072 Před 7 měsíci

    Mayaidi na manasara ndio nini? Mbona mimi sitajwi na hiyo koroani, mbona sisikii uyo mungu akiongea?

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r Před 7 měsíci +1

    Ni kweli kabisa sheikh Muslims and Christians don't worship the same God.Jesus revealed to us that God Almighty is our heavenly Father and you Muslims worship Allah who doesn't have a son because he doesn't have a companion.Ni kweli hamfati mafundisho ya Yesu mnafata mafundisho ya mohamed.Poleni

    • @F.j84
      @F.j84 Před 7 měsíci

      Manabii wote walopewa vitabu akina yesu wote wametumwa na Allah. Yesu anasujudu anafunga so jiulizeni je munasujudu km yesu? Yesu hakupiga ndombolo wala wanafunzi wake hawakufanya ibada km zenu ila nyinyi wakristo. Manabii wote wamepewa amri na Allah kufunza watu amri za mungu.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před 7 měsíci

      Sisi tunafata mafundisho ya Mtume Muhammad kwasababu ndie mtume alietumwa kwa ajili ya Dunia nzma,Yesu alitumwa kwa wana wa Izrail tu sisi hatuhusu.

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r Před 7 měsíci

      @@dulividuli5237 soma Quran 14:4 uelewe yasemaje.
      Hatukutuma mtume ila Kwa ulimi wake......
      Kwa hiyo wewe kama sio mwarabu, Mohamed alitumwa Kwa waarabu pekee

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r Před 7 měsíci

      @@dulividuli5237 soma Quran 14:4 uelewe yasemaje.
      Hatukutuma mtume ila Kwa ulimi wake......
      Kwa hiyo wewe kama sio mwarabu, Mohamed alitumwa Kwa waarabu pekee

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před 7 měsíci

      @@user-hy5zd5rn6r mtume ni muarabu na watu wa mwanzo kuamrishwa kuwalingania dini hii ya kiislamu ni hao hao waarabu wenzake Sasa atawezaje Kuwalingania lugha Tofauti na lugha yao wangemuelewa vp tumia akili.

  • @nazbeib1639
    @nazbeib1639 Před 7 měsíci +2

    ❤❤❤❤

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 Před 7 měsíci +2

    ❤❤❤