Mdahalo: Utatu na Uunga kati ya Pr. Henry Kang'entu na Pr. Francis Ndacha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 41

  • @petersulle1937
    @petersulle1937 Před 10 měsíci +3

    Pastor Henry Kang'etu Mungu akubariki sana, kama kuna siku Ndacha amejibiwa vizuri ni hii majibu ya Kang'etu,
    Asiyetaka ukweli ataendelea kubishana na kusifu Ndacha,
    Lakini Roho amefunua ukweli kupitia mtumishi wake Pr Kang'etu
    Ndacha mara nyingi anafundisha kwamba Roho siyo nafsi, maandiko imewela wazi Roho ni nafsi, kama amejua Roho ni nafsi na bado anabishana hakuna njia ya kumsaidia,
    Watu wa Mungu tuache ushabiki tukubali ukweli, tufuate maandiko tusifuate mtu.

    • @greatwaymarksministry
      @greatwaymarksministry  Před 9 měsíci

      Usishuhudie uongo. Hakuna mahali Ndacha amesema Roho mtakatifu si nafsi

    • @petersulle1937
      @petersulle1937 Před 9 měsíci

      @@greatwaymarksministry Sijashuhudia uongo usinisimgizie.
      Ukitaka kujua ukweli fuatilia mafundisho ya Ndacha kuhusu Roho na linganisha na kile Pr. Kang'etu amefafanua.

    • @greatwaymarksministry
      @greatwaymarksministry  Před 9 měsíci

      @@petersulle1937 Mimi nilikuwa Kwa hiyo mkutano brother. Kitu Ndacha anakataa na hata Mimi nakataa ni kusema kwamba Roho mtakatifu ni Mungu mwingine wa tatu anaitwa Mungu Roho

    • @tridaxprocumbens6079
      @tridaxprocumbens6079 Před 8 měsíci

      Kukataa utatu ni sawa na kumkufuru Roho mtakatifu. Jirekebisheni kabla hamjachelewa

    • @antonyochieng6741
      @antonyochieng6741 Před 4 měsíci

      ​@@greatwaymarksministry
      Lakini kuna mahali maandiko yamesema roho ni nafsi?..ni tufuate maandiko sio kenye ndacha anasema ..yeye sio nabii

  • @ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op
    @ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op Před 11 měsíci +2

    Amina ukweli uhubiriwe BIBILIA ISEME .

  • @stephanomaduhu5426
    @stephanomaduhu5426 Před 11 měsíci +2

    Barikiwa Ndacha

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc Před měsícem

    Dacha haeleweki akiwa anahojiana na WAISILAMU anasema yesu ndiye Mungu mwenyewe !!! Akiwa anahojiana na wakatoloki anapinga yesu siye Mungu!!! Mm simuelewi kabisa hata kidogo

  • @millereliteendtimeministry6621
    @millereliteendtimeministry6621 Před 9 měsíci +1

    Good work Mwalimu Ndacha!

  • @pisgatv5863
    @pisgatv5863 Před 11 měsíci +2

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @linusmoris8497
    @linusmoris8497 Před 11 měsíci +1

    Our almighty God bless you Mr Ndacha

  • @hezronmbati96
    @hezronmbati96 Před 3 měsíci

    Kama ni wakati ndacha haeleweki ni Leo.. Mungu ni roho.. Lakini roho si mungu..

  • @elicknyega7317
    @elicknyega7317 Před 11 měsíci +1

    Amina

  • @DeogratiasMollel
    @DeogratiasMollel Před 3 měsíci

    Injiili gani hiya bila kujua mungo na yesu

  • @McharoMshana-lc8zr
    @McharoMshana-lc8zr Před 10 měsíci +1

    Amina sana

  • @EzekielMwamba
    @EzekielMwamba Před 10 měsíci +3

    Yaani elimu ya theology ni mshipa mkubwa.

  • @johnkimani-vm8vn
    @johnkimani-vm8vn Před 6 měsíci

    Pastor Ndacha I love your preaching na yeyote Ako na number ya Ndacha anisaidie nayo

  • @EzekielMwamba
    @EzekielMwamba Před 10 měsíci +1

    Mr. Kan'getia you need to understand the personality of the Holy Spirit and this is the major problem for all trinitarian.

    • @antonyochieng6741
      @antonyochieng6741 Před 4 měsíci

      Do you want want him to understand away from what the scripturer says?...ndacha has his own private interpretation of the holy spirit..ety anabebwa na malaika!!!!!!!!!!

  • @user-ld7oc2pz7p
    @user-ld7oc2pz7p Před 11 měsíci +1

    Kang'etu soma biblia vizuri

  • @Aggreymbugano
    @Aggreymbugano Před 3 měsíci

    ndacha anakosea hakuna mahali kunaitwa na la na la hayo kaongeza yeye

  • @elijahnyangeri770
    @elijahnyangeri770 Před 7 měsíci

    Ningewaomba muache kuchunguza sana mambo na roho mtakatifu. Hubiria watu injili ya yesu. Mambo na roho mtakatifu ni nan na yesu alitola wapi Sio injili italeteta watu kwa Yesu

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Před 11 měsíci

    Kang'etu ameshindwa hii mada

  • @mrjgrey100
    @mrjgrey100 Před 11 měsíci +1

    Je?mmewahi sikia mkanganyiko kama huu katika mijadala yote ya utatu Dunia hii kama hii.mtu mzima ambaye anajidai kujua bibilia anaropokwa tu eti roho ni kiumbe,mungu ni kiumbe,yesu ni kiumbe😅😅.waliumbwa na nani? Na je kiumbe anaeza kua mungu? Hapana kuja na vituko hapa ukitoka tu vitisho vitisho bila kusingatia bibilia hata kidogo.please you advocates of trinity are really disgracing yourselves

  • @bensonkivuzi1028
    @bensonkivuzi1028 Před 9 měsíci

    Ndacha kwenda kanisa Sunday sio tatizo acha kuchanganya watu tunafwata kristo yesu ambaye yeye ndio sabato,(rest)

    • @greatwaymarksministry
      @greatwaymarksministry  Před 9 měsíci

      Andiko kwambo Yesu ndiye Sabato?!

    • @bensonkivuzi1028
      @bensonkivuzi1028 Před 9 měsíci

      Luke 6:5

    • @bensonkivuzi1028
      @bensonkivuzi1028 Před 9 měsíci

      Mathew 12:6_8

    • @greatwaymarksministry
      @greatwaymarksministry  Před 9 měsíci

      @@bensonkivuzi1028 Luke 6:5
      [5]And he said unto them, That the Son of man is Lord also of the sabbath.
      Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
      Hii 👆 inasema Yesu ndiye Sabato?! Ama inasema Yesu ndiye Bwana wa Sabato?! Wewe ukiwa Bwana wa mke wako unangeuka kuwa mke?!!!

    • @greatwaymarksministry
      @greatwaymarksministry  Před 9 měsíci +1

      @@bensonkivuzi1028
      Matthew 12:8
      [8]For the Son of man is Lord even of the sabbath day.
      Kwa maana MWANA WA ADAMU ndiye BWANA WA SABATO.
      Hii 👆 inasema Yesu ndiye Sabato?! Ama inasema Yesu ndiye Bwana wa Sabato?! Wewe ukiwa Bwana wa mke wako unangeuka kuwa mke?