Akikusaliti Fanya mambo haya matatu - Madam Lailah Aboubakar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 01. 2024
  • USIFUNGUE HII VIDEO KAMA WEWE SIO MWANAMKE ...

Komentáře • 59

  • @user-io4dv1rv4p
    @user-io4dv1rv4p Před 4 měsíci +1

    Mm wawili wamenisaliti wakwanza baba wa Binti wangi mwengi ni WA pili amechaguwa dada angu inauma sana😔💔

  • @user-bt9qc1pt5u
    @user-bt9qc1pt5u Před 6 měsíci +4

    Mashallah madam nimekukubali uko vizuri safii sana
    Allah akubark.

  • @AbimeleckRichard-hy1mw
    @AbimeleckRichard-hy1mw Před 6 měsíci +3

    We wajaze ujinga, wakiufuata 100% watjijua

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p Před 6 měsíci

    Nakupongeza saana mm mukenya, mpwani......

  • @user-tx6xq6fx6y
    @user-tx6xq6fx6y Před 6 měsíci +1

    Waogea maneno ya hekma sanaa

  • @user-zw6vr8dw3s
    @user-zw6vr8dw3s Před 6 měsíci +6

    Kiukweri dada unazungumza vizuri ,lakini jambo la ndoa ni jambo la kihisia na kimwili na sio jambo la kiroho ,na kesi za ndoa sio kesi za kupeleka kwa baba au mama ,muhimu ni wanandoa ni muhimu kwa wanandoa kuelekezwa namna ya kuboresha ndoa zetu ,na bila ya kusahau tukumbuke ktk mahusiano wa kwanza kupeleka kesi nje ndio mkosa ,muhimu mtu akikukosea ww lenga sababu ,kwanini amekusality huenda ww ndio umemfanya mwenzio akusaliti.tukumbuke daima ndoa ni jambo linalotakiwa kuendesha kiakili na kihisia ,tukizingatia hapo tutaishi vizuri ktk mahusiano ya kijamii na ndoa pia ,tukumbuke daima ndoa sio jambo la kiroho.asilimia 99 kesi za ndoa zikipelekwa kwa watu huvunjika.tuwe makini kuishi mtu ni kujitolea muhanga .

  • @user-dw5mq6pr7y
    @user-dw5mq6pr7y Před 5 měsíci +2

    Allah akuhifadhi sana my love 💓

  • @zayshabani5664
    @zayshabani5664 Před 6 měsíci

    Allah akulipe

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 Před 6 měsíci +1

    Asalam alykm warahmtullah wabarakatuh Dada yetu Leyla shukran kwaushauli wako wamesema vibaya mbona hawafundishi kazi yao kutukana

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 Před 6 měsíci +2

    Dini yetu haijaacha kitu, kuhusu maswala y ndoa imeelea kwa kina zaidi.
    Tangu mtu anataka kuposa, hatua zimetajwa mpaka kwenye mifarakano mpaka ikifikia kuachana n baada ya kuachana,
    Utazungumza vipi suala hili kwa kutumia elimi y dunia au akili tu, hapo ndipo tunapo feli
    Baada ya kuelimishana inapelekea kupotezana.

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Před 5 měsíci +1

    Mashaallah tabarakallah

    • @naharhaji639
      @naharhaji639 Před 5 měsíci

      Asante sana madam yaan mm nlijua nikikaa kimya t nd ataelewa lkn kumbe apana ntajitahid nimwambie kwanza ndipo nikae kimya

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z Před 5 měsíci

    Umesema kweli daa

  • @a.856
    @a.856 Před 6 měsíci +1

    Jazakallah khayran

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht Před 6 měsíci +3

    shukran hata mie nmepata kisomo hapa

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci +1

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @user-cd1hr2cx3i
    @user-cd1hr2cx3i Před 6 měsíci

    Shukran sana

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před 6 měsíci +8

    Kuishi na mzinifu ni kutafuta magonjwa

    • @alawimohd
      @alawimohd Před 5 měsíci +5

      Tena magonjwa ya moyo na magonjwa ya ukimwi na kaswende

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 Před 5 měsíci +1

      @@alawimohd
      Sana

  • @swalehsalim5569
    @swalehsalim5569 Před 5 měsíci

    Kwani mwaowana nyinyi twaona wengi wamewekana tuu

  • @user-sn4lf7cj3z
    @user-sn4lf7cj3z Před 6 měsíci

    Jamn kma muislam unazijua hukum z ndoa n sheria zake pamoja n hukum y mzinifu alieoa n ambae hajaoa huwezibi kulumbana juu y hili jambo wasie n elim n hilo jambo wanakuaga nwachambuz wazur n wabishi sana nadhani mwenye elim n haya hawezikua mwenye kupinga zaidi kuelekeza kw busara n hekima mwenye kuelewa falhamndulilah

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Před 6 měsíci +1

    Shukran my dear sister leyla ❤

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

    • @user-kn5bv3qj8p
      @user-kn5bv3qj8p Před 6 měsíci

      @@TaarabChannel ,kwani unalipi??faida ya Akhera au hasara ya Moto

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci

      @@user-kn5bv3qj8p utayaangalia wewe sabasi mayubu usikucha aibu

  • @muridundhikri
    @muridundhikri Před 6 měsíci +1

    Katika uislamu ukifumania kwa ushahidi jambo linalopewa kipaumbele ni kuacha

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa Před 5 měsíci

    Hapana dada kuomba taraka ni haramu

  • @FatumaMuzamil
    @FatumaMuzamil Před měsícem

    Dada mm nimefumania kiukwel sikufanya kitu niliamua kuondoka na nikawaacha na mambo yao,alipo rud sikumwambia kitu ila dada haluwa na haha

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po Před 6 měsíci +1

    Tatizo la wanawake wengi mnatuhitaji zaidi wanaume kuliko mahitaji ya wanaume huo ndo ukweli

    • @user-lt7kk4ye9c
      @user-lt7kk4ye9c Před 4 měsíci

      😂😂😂😂 wengine wanafikia hatua had kuoa wanaume ndo Kila kitu kwao Yan mtu anaona huyo mwanaume ndo familia ya pekee aliyonayo utafikir alipotoka hakua na familia.. waswahil wanasema anaekulisha ndo huyo huyo atakaekushindisha njaa

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg Před 6 měsíci +4

    Hamnaga heri mtu anajitoa kwakile alichonacho atuelekeze nyie wasomi mpo kimya kukosoa2

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

    • @user-cd1hr2cx3i
      @user-cd1hr2cx3i Před 6 měsíci

      Yaan comments usitegemee chanya tu wengine ni wabishi waasili,,but naamini hazitomyumbisha mfundishaji

  • @charleslupenza3879
    @charleslupenza3879 Před 6 měsíci +1

    Kimsingi sijapaona pahala Laila Alienda TOFAUTI na misingi ya UISLAM.
    LAILA ANAELIMISHI NA KUSHAURI. TUWACHE ATUMIE KIPAJI CHAKE TUSIMKATISHE TAMAA NAFASI HIYO HAIPO.
    BINADAMU NYIE HAPANA NA NIKISEMA ROHO YA HUSUDA HIYO SIKOSEI.
    MWACHENI LAILA

  • @abdullahsaid4072
    @abdullahsaid4072 Před 4 měsíci

    Aslm aleikum dada nmekuelewa ila mm Kama mwanaume hapa umechemka sana na nahisi wanawake wakiiskia hii habari yako bc talaka zitaongezeka
    Sababu mm Kama mwanaume sifuati kupendwa na mwanamke
    Mm nataka mke anaenikubali sana katika maisha hasa katika kua kiongozi wa family kuwa provider kulikubali jasho langu katika utafutaji na kuifurahisha family pia
    Nafuata wema wa mke na ukarimu wake kwangu
    Kuniheshimu pia
    Hayo mengine ya kwako yatazalisha ushindani na yatamfanya aone mm anaweza kunidhibiti kwa adhabu na mwanaume ukishindana nae ndio unamfanya azidishe anachokufanyia
    Na unachomnyima atarudi kwengine atakipata kwa mapana
    So hamna dawa hapa kwa mwanaume tafuta nyengine au tuulize cc jinsi YETU tutakwambia

  • @user-uh9sl8pc2z
    @user-uh9sl8pc2z Před 6 měsíci

    Swadka

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa Před 5 měsíci

    Dada umesimama kama muubili wa kiisilam lakini mamemo yako hayana hata aya wala hadithi yaani unatoa mawaidha kulingana na maono yako na mitazamo yako mmmmmm jamani

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 Před 6 měsíci +2

    Dada yangu nakushauri kasome dini, kwa sababu umeelezea vitu vinaenda kinyume kabisa na dini.
    Km mtu hujui bora nyamaza na jikubalishe kia hujui ili ukajifunze,
    Na sio ukajiona unajua kwa udhoefu wako ukapotosha watu.
    Mwisho
    Tuma muomba Allah atuongoze sote na atujaalie elimu yenye manufaa.

    • @nuruhassan9707
      @nuruhassan9707 Před 6 měsíci +4

      Naomba unukuu point moja aloieleza inayoenda kinyume na Dini?Niko pale nasubiri jibu lako

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 Před 6 měsíci +1

      @@nuruhassan9707
      Mwanamke haruhusiwi kumnyima mumewe tendo la ndoa,
      Mtume swalallahu alyhi wassalm
      Amesema mwamke atakae itwa n mumewe kitandani kumtakata kufanya nae tendo la ndoa halafu mke akamkatalia, basi hulaaniwa na malaika usika mzima.

    • @nuruhassan9707
      @nuruhassan9707 Před 6 měsíci +1

      @@zulekhaa6817 Soma uelewe,usikariri,unajua moja ya mambo yanayoweza Fanya mwanamke ajivue Ndoa?Jibu hilo afu ntakuelewesha namna alichosema madam kinavyooana na sheria ya kiislam

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 Před 5 měsíci

      @@nuruhassan9707
      Mtu akisema kweli anambiwa anakariri.
      Mm sishindani, na mlengwa sio ww,
      Ww unataka kuongea yako ungea
      Ila usihalalishe lililo haramu.
      ,

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 Před 6 měsíci

    Mtu unatakiwa usome kwanza kwamza ndio usomeshe, usiingilie mambo ya dini km hukujui, dini inapatikanwa kwa kusoma n sio kutumia akili.
    Tudikurupuke tu haswa sisi wanawake, tunatakiwa tujistiri n tusijianike, m
    Mfano himu mitandaoni

  • @user-xx1rj2pb5j
    @user-xx1rj2pb5j Před 6 měsíci +1

    Yawesekana wanawake ndio vichaa ndio wanaharibu familia mara nyingi undani wamambo yamejificha je mwanamke kimfumania inakuwaje sema unajaribu kusema wanaostahiki ninani nanini cha kuomua hadisi katika ndoa sio kweli wanawake ndio waharibifu wafamilia

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Před 6 měsíci +1

    Lakini hapa unataja usaliti na pia unataja uoaji hii imekaaje? Na pia dini imeruhusu wake mpaka wanne

    • @EgallSamsam
      @EgallSamsam Před 6 měsíci +1

      Mi naona bora nikimfumania naenda muita Imamu namfungia ndoa kwani sitaki usinzi iliakome kuzini

    • @mamii7935
      @mamii7935 Před 6 měsíci +1

      Msaliti ni mume au mke alie kwenye ndoa Kisha akachepuka ndo "usaliti"

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci

      Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

    • @TaarabChannel
      @TaarabChannel Před 6 měsíci

      ​@@EgallSamsamPitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤

  • @user-zw6vr8dw3s
    @user-zw6vr8dw3s Před 6 měsíci

    Ndoa ni jambo la kimwili na akili ni muhimu zaidi kuwapelekea wataalam ndoa mean wanasaikolojia lakin sio kuwapelekea watu wa kiroho ,hapo kuferi lazima.twaambiwa hivi kuishi na mtu inabidi uishi nae alivyo ,ila kumpenda mtu inabidi umpende ulivyo.so hauwezi kumpenda mtu alivyo utaferi ,maana watu huwa tunabadilika utamkataa,so ndoa ni jambo la akili ,tuwe makini na mafundisho munayo tupa

  • @user-vj9zx2yv5k
    @user-vj9zx2yv5k Před 6 měsíci

    Huyu mwnamke hajielewi anaongea kufuru kumbe mtume wake ni kichaa ipi hukumu hii mpaka muumba wake anamtoa akili

    • @user-kn5bv3qj8p
      @user-kn5bv3qj8p Před 6 měsíci

      Wapi kakufuru eleza ,,kwani kichaaa si niugonjwa tuu,,, au kamunasbisha wapi na muumba wetu. Una FAA upelekwe muhimbili.

    • @nuruhassan9707
      @nuruhassan9707 Před 6 měsíci

      ​@@user-kn5bv3qj8pAmekariri uyu mjinga,ulicho muuliza Hawezi kukujibu

    • @ibrahimmalabeja3692
      @ibrahimmalabeja3692 Před 5 měsíci

      Mie naona Madam Leila yupo vizuri tu. Kwa kuwa anachotoa ni Ushauri Kwa jamii nzima (waisramu na wasio waisramu) M/Mungu akubariki Sister. Japo muda mfupi tangu nimeanza kukufatilia lakini naona manufaa makubwa Kwa jamii itakayochua Ushauri wako.