Kunasiku nilifika Afrika, alafu nikaenda baarini na marafiki zangu, alafu baadae tuende Restaurant, sasa hao mpaka waende nyumbani wakaoge, lakini mimi nikaenda hivyo na michanga yangu ya baarini. Mimi naenda kuoga kama naenda kulala.
Mashavu mbona yako poa tu ...... mzuri lkn kunavitu tu vinahitajika kwako as councelling especially kufuatilia hizo comments ,likes na vitu kama hzo . Mtu kusema mashavu yamenini haina maana ndivyo kweli , hata wanaokuhoji pia zingatia ....wengine wapumbavu tu .... maswali atayokuhoji ndio yataleta upuuz mwingi kwako.
Akuna mlokole apo mtumishi wa mungu awezi kuzungumza upuuzi kama ou kwenye mitandao
Kunasiku nilifika Afrika, alafu nikaenda baarini na marafiki zangu, alafu baadae tuende Restaurant, sasa hao mpaka waende nyumbani wakaoge, lakini mimi nikaenda hivyo na michanga yangu ya baarini. Mimi naenda kuoga kama naenda kulala.
Kama ni mchaga, abiria chungeni mizigo yenu !😅😅😅😅😂😂😂
Mashavu mbona yako poa tu ...... mzuri lkn kunavitu tu vinahitajika kwako as councelling especially kufuatilia hizo comments ,likes na vitu kama hzo . Mtu kusema mashavu yamenini haina maana ndivyo kweli , hata wanaokuhoji pia zingatia ....wengine wapumbavu tu .... maswali atayokuhoji ndio yataleta upuuz mwingi kwako.
Ah watanzaniaa bhanaa .... Hayaaa sasa hapa story zenu hata hazielewekiiii Yaani ,sasa mambo ya mapenzi mnazungumziaa humu mitandaoni
Mtu kama hana kitu uwa anajitahidi kupendeza, lakini mwenye hela uwa ajali kabisa.
Mbona hajasem kuwa anatafuta mume jmn why muandike hivyo kuwa anatafuta mume? Hiyo sio sawa
Wewe mdada siuje ulaya uandze maischa mazuri.
We mpuuzi sana akakuowe mmbwa
Mimi nipo tayar vp na Yeye pesa anazo maana isiwe me nimejipata yeye akawa hana kitu mimi sitaki mwanamke ambae nae hana kila kity
Pesa zinatafutwa.......utasubir Sana
Tapeli mkubwa! Bikra wa wapi? Hayo matiti yameangushwa na nini?
Mii aje Sina mke je anafanya kazi
Wachaga wanaowanaga wenyewe uyo mtata
Mimi nipo
Amna mke apo
Hana kaz na aje nimpe kazi
Naomba niwe nawe kindoa uko tayari