PALESTINA msimamo wake ISRAEL imevamia eneo lao - YERICKO NYERERE, DJ SMA wajadili KIINI cha MGOGORO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Sky amewakutanisha Yericko Nyerere pamoja na Dj Sma kwaajili ya kuzungumzia mgogoro wa Israel na Palestiana wakiangazia chanzo halisi na vita iliyoibuka baada ya kundi la Hamas kuishambulia kwa kushtukiza Israel October 8, 2023.
    Pia wanazungumzia vita vya Urusi na Ukraine hadi vilipofikia sasa. Ungana nao kujifunza mengi kuhusiana na siasa hizi za dunia
    Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 500

  • @Jmedia_Tv
    @Jmedia_Tv Před 10 měsíci +30

    Kwa mtazamo wangu Dj Sma upo smart sana huo utambulisho uliotanguliza kwamba ni mwanafunzi umeenda kujifunza binafsi nimekuelewa tena nimekuelewa kweli na napenda hiyo mentality.nice,nice,nice,kweli mwanafunzi lakini kila master wa kweli yupo hivyo,big up sana.

    • @EliaMwaijumba
      @EliaMwaijumba Před 10 měsíci +1

      Wana vitu vizuri

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 10 měsíci


      Zaid ya saaan

    • @charlesfrancisthomas4898
      @charlesfrancisthomas4898 Před 10 měsíci

      Jamaa alikua mwanafunzi wa dj tasi Savanah lounge, Sema huyo yericko mashauzi sana mbutu kwetu tumezLiwa leo pamekua uswahilini

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před 10 měsíci

      ​@@charlesfrancisthomas4898sasa kama ni ni uswaihilini asiseme 😂😂😂 we vipi 😂

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 Před 10 měsíci +16

    Dj sma shukran. Mungu azidi kukupa elimu yenye kher na manufaa. Unamadini yakutosha

  • @richardomondi3107
    @richardomondi3107 Před 10 měsíci +12

    Dj sma u really made me proud..u are indeed makes u point in a decent manner

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 Před 10 měsíci +8

    Jamn hawa jamaa ni nomaah nmesubir tangu jana❤❤❤❤dj smaa ni noma pia

  • @jamesnkumbila5937
    @jamesnkumbila5937 Před 10 měsíci +8

    Asante sana sky ,tunakupenda sana vipindi vyenu sns...I started following this Chanel since 2019.i love it 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮

  • @maulidomar9578
    @maulidomar9578 Před 10 měsíci +36

    This is the best discussion I ever had in my life.... From Zanzibar

    • @kevinmary7129
      @kevinmary7129 Před 10 měsíci

      Upuuzi na ujinga wa kidini/ religious foolishness

    • @kevinmary7129
      @kevinmary7129 Před 10 měsíci +1

      waaarabu wanaujinga sanaaanaaa wahame warud makwao kwenye nchi za mababu zao wahame tu waislamu DJ ni mjinga sanaaa religious foolishness

    • @stellalwesya8790
      @stellalwesya8790 Před 10 měsíci

      Kabisaa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 10 měsíci +1

      @@kevinmary7129 NA PALE PALESTAIN NI KWA BABU YAKO??? KONDOO MWEUSI WEWE

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 10 měsíci +1

      @@kevinmary7129 MJINGA WEWE UNAEITWA KONDOO NA UNAKUBALI NA WAKATI WEWE NI BINADAMU SASA VP USHAOLEWA?? AU UNANGOJEA NINI WAJANJA WANATAKA UWOLEWE RASMI NA NDEVU ZAKO KONDOO MWEUSI WEWE.

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 Před 10 měsíci +5

    JAMANI COMBINATION YENU ❤ YA WATU WATATU, SKY, NYERERE NA DJ SMA DUH MTAFUNGUA WATU WENGI KIUFAHAMU MKIWA HIVYO HIVYO NDUGU 👍👍🇹🇿❤️

  • @KuwakuMalumba6895
    @KuwakuMalumba6895 Před 10 měsíci +9

    I like everything guys u say. This is very good show my people's. Dio vipindi tuna taka ivi. Tuna juwa ukweli wa dunia. Sio kila siku mambo ya umbeya atu saidiye kitu shoshote. Mambo niaya sasa. Ukweli kuhusu dini, mambo kuhusu siasa. Very nice🇧🇮🇨🇩🇷🇼🇳🇬🇸🇴🇿🇦🇹🇿🇿🇼🫵🏿👊🏿 let pray for Africa peace and love ❤️

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před 10 měsíci +3

    Hapo amekoseka moja prof jamar April(wasafi tv) ❤ djsma yerico nyerere ingekuwa utatu mtakatifu hongereni kwa kazi nzuri

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara4329 Před 10 měsíci +6

    Great interview ever.! Thanks guys for opening up our minds.! Kaka Sky you are the best, thank you for bringing these guys together.!

  • @DeusiKasusu-yj9eg
    @DeusiKasusu-yj9eg Před 10 měsíci +5

    Wht a beatful discussion....I love this. Keep it up sky

  • @ernestfelixigonga9726
    @ernestfelixigonga9726 Před 10 měsíci +1

    Very nice discussion , Heko nyingi sana Kaka Bundala huyu Dj yupo vizuri saana

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 Před 10 měsíci +9

    🤣🤣Yeriko angekuwa Muhaya, hakika tungepata taabu sana! Vinginevyo, 🙏👍👏!!!

  • @jumamboga9652
    @jumamboga9652 Před 10 měsíci +22

    Like 10k kwenye comment hii kwa ajili mwana wa SNS❤❤❤

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Před 10 měsíci

      like unazipeleka wapi kenge wewe ?
      content aweke mwingine like upewe wewe ?
      acha ushamba 😏

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před 10 měsíci

      ​@@officialkamdudumbona povu sasa kwan lazima kama huwezi kausha

    • @shenamtukufu1224
      @shenamtukufu1224 Před 10 měsíci +1

      Mpe tu anachotaka huyo si ni Juma Mboga.

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Před 10 měsíci

      @@shenamtukufu1224 😁😁😁 kwa kweli ni juma mboga kenge huyo

  • @michaeljeremiah5364
    @michaeljeremiah5364 Před 10 měsíci +1

    Noma sana aisee..kuna watu wanaijua hii Dunia salute kwenu sns mko levels ya juu sana..

  • @beatricemachota8017
    @beatricemachota8017 Před 10 měsíci +22

    Wow! Marvellous 🙌 Sky, keep this guy, Y Nyerere, Madini yake ni muhimu sana kwenye jamii. Bravo 👍

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 Před 10 měsíci +12

    Dj smaa unanifurahisha sana hasa hapo ulivokutana na huyo jamaa Yericho Nyererw wallah ananikosha mie hasa kwa maandishi yake

  • @msodokidasilva6739
    @msodokidasilva6739 Před 10 měsíci +2

    aya madini yaliyoshushwa apa ata c elew niyaweke wap ii combination ni 433 🔥 dj sma proud of you broo 🙌💯

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 Před 10 měsíci +2

    Nyie vichwa ni noma kinoma Mungu awape maisha marefu,dhahabu sio dhahabu tu,kuna vitu au watu ni zaidi ya dhahabu

  • @parma786
    @parma786 Před 10 měsíci +1

    DJ smaa and mr Nyerere well done thanks very much all the gays around the great story

  • @user-ud1fd6bn5s
    @user-ud1fd6bn5s Před 10 měsíci +8

    Best conversation I never see 🙏 Asante mr nyerere,sky,and DJ Sma.

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před 10 měsíci +26

    Dj sma unaongea kwa fakti, ukweli na haki. Mungu akuzidishie hekma na busara. Halafu napenda uvyojishusha yaani sio mjuaji. Allah akuzidishie elimu yenye manufaa

    • @saidsfaudh4336
      @saidsfaudh4336 Před 10 měsíci

      yani ndugu umeniongerea mawazo yangu .nkweli huyu jamaa anajua sana ila apendi kujikweza

    • @peterdeus6093
      @peterdeus6093 Před 10 měsíci

      Yeah, kwel hata namna anavyo approach hoja yuko smart kama jina lake

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 Před 10 měsíci +2

    Hakika, huu makao umenishibisha! Ninatamani kuendelea kupata chakula kilichoandaliwa na wajumbe wa mkao huu. Hongera sana Sky!

  • @africancurrenciesrevolutio2462
    @africancurrenciesrevolutio2462 Před 10 měsíci +1

    Hapo kwenye kuabudu mizimu itakuponza. Mtafute MUNGU wa kweli kwa njia ya YESU

  • @kleofacejerome
    @kleofacejerome Před 10 měsíci +2

    Alfu Redio fuln za jion zinawachambuzi Kama kina fuln Mungu wangu ona vichwa hv vinavyochambua vzuri hii kitu

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td Před 10 měsíci +1

    Good wanafyuzi wakweli nimependa san iloveyou❤ from 🇧🇮👊❤️

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 10 měsíci +1

    Naam Huyu mr Yeriko yuko vizuri na wengine pia Mungu akubariki

  • @comics3437
    @comics3437 Před 10 měsíci +14

    The Most Awaited Interview

  • @erickericsson3584
    @erickericsson3584 Před 10 měsíci +1

    Asante sana sky Dj sma

  • @margaretnduta4495
    @margaretnduta4495 Před 10 měsíci +2

    Listening to this people I need to go for my memory check up. Memory yao iko juu xnaaaa.

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 10 měsíci +5

    Kama boss kubwa wetu kashasema kaja kujifunza, miee naaani hata nikose kuuelimisha ujinga, #wanafuse1 tupooo bro!.

  • @conradbubex
    @conradbubex Před 10 měsíci +3

    Asee.. You guyz are great💪 Thanks much for yo time, you've really opened our thoughts 💯

  • @pongezimwakyoma5505
    @pongezimwakyoma5505 Před 10 měsíci +1

    imekuwa poa sana kuwakutanisha hao miamba wawili pamoja, it was very smarsh

  • @Shabani-xr2ec
    @Shabani-xr2ec Před 9 měsíci +1

    Nimepata habari vizuri

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 Před 10 měsíci +6

    ...Big up sana Sky unajua kutafuta content..

  • @solomonkingu3837
    @solomonkingu3837 Před 10 měsíci +2

    Asanten Sana Kwa Mafundisho haya mazur

  • @emmanueljustine6754
    @emmanueljustine6754 Před 10 měsíci +1

    Hongereni sn nimejiufunza mengi na fikiri kwenye ubongo wangu nimeingiza kitu kipya ilikua natamani kujua mambo hayo natamani kujua Dunia na nimpenzi wa history " leo nimefurahi mno kujua hivi vitu " nitanunua kitabu na Flash kama mnayo " Tanzania inajivunia nyie " naomba serikali iwatumie hasa kwenye masuala ya kidiplomasia na mikataba " mtasadia sn

  • @gabrielmachotta5193
    @gabrielmachotta5193 Před 7 měsíci

    Nimenufaika sana na maongezi ya Ndugu Yericko Nyerere. Kitabu cha Ujasusi nakihitaji saaana ❤❤

  • @othumanahmad
    @othumanahmad Před 10 měsíci +1

    Dj Sma anasema Leo nimekuja kujifunza uyu jamaa ni mtu smart sana

  • @jumamboga9652
    @jumamboga9652 Před 10 měsíci +5

    Hakika yericko uko vizuri sana natamani kuwa kama ww elimu uliyo kua nayo@ Dj sma huyu msomi kwa nini asifungue chuo

  • @azizichigaga1862
    @azizichigaga1862 Před 10 měsíci

    Sky $ Djsmaa na Nyerere safi sana tume enjoy xana mnatuludisha tarasani wazee kweli dunia pana xana DJ smaa 👍🏾

  • @RACHELJACOB-ym3uh
    @RACHELJACOB-ym3uh Před 10 měsíci +6

    Kudos SnS
    It was worth listening
    Cant wait for next interview

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 Před 10 měsíci +12

    ...sisi wanafuse tunaenjoy sana...hicho kitabu ninacho tangu 2021

    • @solomonnkiggi5019
      @solomonnkiggi5019 Před 10 měsíci

      Kweli kitabu cha Yeriko ntanunua..huyu jamaa ni smart

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před 10 měsíci +1

    interview imenoga balaa...very proffesional

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg Před 10 měsíci +1

    Mungu awabariki nimewaelewa Sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před 10 měsíci +2

    Eliko na dj mnatupa raha sana asanteni sana kwakuweka vitu wazi sana

  • @batuliidrisa2775
    @batuliidrisa2775 Před 10 měsíci +1

    Tupeni part 2 tafadhali......one of the best interview

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Před 10 měsíci +4

    Mtafute na jamaa anaitwa Fredy Nyaluchi na yeye anajua sana haya mambo

  • @johnshija
    @johnshija Před 10 měsíci +2

    Madini yameshushwa sio mchezo. Bravo bro Sky👏🏽👏🏽👏🏽

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 10 měsíci +1

    Wayahudi ni Wayahudi, na wakristo ni wakristo

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 Před 10 měsíci +1

    Nice dj smaaa

  • @sadikiswidik
    @sadikiswidik Před 10 měsíci +3

    Big up sana sky nipo pamoja na wewe

  • @inogelapixels
    @inogelapixels Před 10 měsíci +6

    Sns mmetutendea haki sana sisi tunaopenda kufatilia mambo haya,Tutaendelea kukusupport

  • @duniekere7612
    @duniekere7612 Před 10 měsíci

    Asante Sana Kaka zangu kwanielewacha 💯👌👌🇨🇩🇿🇦

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před 10 měsíci +2

    Nilichogundua Nyerere ni mzuri kiuandishi lakini kuelezea hapana....Huyo jamaa mweupe huyo mzuri kuelezea apewe sikio ana vitu....... Nyerere aendelee kutuandikia Fr Bundala aendelee kutusomea sie tuendelee kusikiliza SNS

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 10 měsíci

    Wow one of the best interviews. Kwakweli nimetoa matongotongo😢. Watching from America 🇺🇸

  • @jamesmbanga1831
    @jamesmbanga1831 Před 10 měsíci +1

    Nyie watu ni wakubwa sana MUNGU Awabariki sana.

  • @farahanimninga
    @farahanimninga Před 10 měsíci

    One of the best best interview since mwaka umeanza.. Big up Sana SNS..

  • @TheKijambazi
    @TheKijambazi Před 10 měsíci +4

    this was brilliant interview, thank you guys for educating the mass

  • @lucasalbertomseti1578
    @lucasalbertomseti1578 Před 10 měsíci +2

    Nashukuru sana Sky pamoja na Dj Smaa hakika nimeenjoy sana kuwasikiliza kutoboa masaa mawili sio kazi rahisi, pia operesheni Ukraine inabidi mrudi mezani bado hatujashiba nayo kabisa hongereni sana

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 Před 10 měsíci +1

    Hii ni combination kali sana ya vichwa vitatu hivi irudiwe✊ila msimsahau mwnangu #jimmy_chansa

  • @OmaryLiku
    @OmaryLiku Před 10 měsíci +2

    DJ smaa mashaALLAH

  • @jameschitumbi5852
    @jameschitumbi5852 Před 10 měsíci +1

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau3397 Před 10 měsíci +1

    Sns Leo mnatisha sana.

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Před 9 měsíci

    Kama unamkubali uyu dj sma gonga like hapa,,
    Maana kichwa chako ni kimejaa mavi

  • @Sweatsculptorr
    @Sweatsculptorr Před 10 měsíci +2

    Mbutu block E,kwa mchawi yericko ,Fredrick bundala,na master djsma

  • @salimmadafa4840
    @salimmadafa4840 Před 10 měsíci +2

    Haya mambo ya ndoto ni uongo
    Mungu gani anakuahidi kukupa sehem ambayo tayari ina watu wengine.inamaana mungu hakuwapenda hao waliokuwepo akaigawa ardhi kwa watu wengine kwa njia ya ndoto??
    Both parestina na islael wakae chini wakubaliane,watu wanapoteza maisha.

  • @AbrahamuKimlungu
    @AbrahamuKimlungu Před 10 měsíci +1

    Mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imekuja msujudieni Yeye Aliye zifanya Mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji👉 Ufunuo 14:7 yote hayo nidalili zakuja kwa Yesu mara ya pili hivyo niwakati Wa kumwelewa Mungu katika alama yake ya Uumbaji nakujianda kumpokea Kristo Yesu ajapo mara ya pili Hebu tusikubali kubaki bila kuchukulia hatuwa kama maandiko yasemavyo Mungu anatutaka wote tuokolewe Hebu tumwendee🙏

  • @DENDEGOABDUL
    @DENDEGOABDUL Před 10 měsíci +3

    Forensic Investigation ni sawa na kusema uchunguzi wa kisayansi kwenye masuala ya kisheria, mara nyingi hutumika ktk maswala ya upelelezi, na hata ktk kuthibitisha uhalifu jinsi ulivyotendeka, ama kubaini nini na nani na wapi na kwa nini tukio la kialifu lilivyotendeka.

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před 10 měsíci

    Asante sana nimejifunza mengi na yenye faida kubwa sana

  • @jackiemsupa2740
    @jackiemsupa2740 Před 10 měsíci +8

    Wakwanza ku watch I love your content broh much love from Germany 🇩🇪 kenya girl loves your channel

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation Před 10 měsíci +1

    Leo nime enjoy sana

  • @jawadimwalim3634
    @jawadimwalim3634 Před 10 měsíci

    Duuuh Hawa Jama nawakubali wanajuwa Historia, SALUT kwao

  • @fanuelkasunzu5582
    @fanuelkasunzu5582 Před 10 měsíci +1

    Mwenyezi Mungu awabariki

  • @maulidrehani
    @maulidrehani Před 10 měsíci +1

    Dj sma im your number one fun

  • @user-zw8zs5ik5k
    @user-zw8zs5ik5k Před 10 měsíci

    Safi sana ...

  • @EliyaUhaula-ck3pu
    @EliyaUhaula-ck3pu Před 10 měsíci +2

    Hengereni Sana sky Nyerere DJ Sma ila neno langu siku nyingine video kama hii muweke part 1 na 2 na 3 hata 5.itakuwa poa sana mkipost kama hivi watu wengi wana kimbia kusikiliza sababu ni ndefu Sana.

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 Před 7 měsíci

    Eriko big up brothers 💪

  • @user-qh9jz5db4z
    @user-qh9jz5db4z Před 10 měsíci

    Dj sma upo vizuri, Shukran sana.

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 Před 10 měsíci

    Ii channel ni number 1 tz inawatamaji smart sana sio umbea ujinga.

  • @eliudkazoba5170
    @eliudkazoba5170 Před 10 měsíci +1

    Nipe kwanza kitabu cha operation Moscow. Ongera sana Yelico, nimekupata vizuri ndani ya DJ smart

  • @onenonetv5469
    @onenonetv5469 Před 10 měsíci +1

    the best ever,based onTRUE STORY!!

  • @user-oj1zv8in7p
    @user-oj1zv8in7p Před 10 měsíci +4

    kaka nyerere dj sma mue pamoja Sam time kwenye uchambuzi

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Před 10 měsíci +1

    Pamoja sana wana Fuse na Sns

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Před 10 měsíci

    Dj sma,nakupenda sana kwa sababu unapenda kujishusha

  • @user-hr3jl3om4v
    @user-hr3jl3om4v Před 10 měsíci +1

    waooooh,VIZURI SAAANA?HESHIMA YENU.FRUITFUL INTERVIEW

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 2 měsíci

    Ndugu zangu na wapenda wote nyie muko vizuri sana

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 10 měsíci

    Ur right, nchi za wenzetu ni kawaida, ukimaliza form six, ukienda Uni, college, unasoma

  • @biasharamtandaoni2023
    @biasharamtandaoni2023 Před 10 měsíci

    Maongezi mazuri sana, Nyerere anazungumzia chanzo kwa uelewa kabisa, Dj Sma anazungumzia kinachoendelea kwa mifano halisi.

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 Před 10 měsíci +1

    Dj smaa👍👍👍

  • @vincent9132
    @vincent9132 Před 10 měsíci +3

    I love this story god bless you all

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 Před 10 měsíci +5

    Yeriko nimeelewa Sasa history na napongeza mjadala wenu na kutuelimisha

  • @rebeccampeta6650
    @rebeccampeta6650 Před 10 měsíci +1

    Hapa sasa nimeelewa kwa nn sunday law itatangazwa Marekani nahisi na Rumi pia vibaraka wa USA wamekita mizizi, mwisho u karibu, asomaye na afahamu

  • @abuubuza6866
    @abuubuza6866 Před 10 měsíci +1

    Safi

  • @kamole3
    @kamole3 Před 10 měsíci

    @Sky, keep these guys closer, wana madini adimu

  • @wonanjijabongah1906
    @wonanjijabongah1906 Před 10 měsíci +1

    Kuna madini mengi sana kwenye hii interview n una mengi yameguswa juu juu tu

  • @user-nn7uf1mr7x
    @user-nn7uf1mr7x Před 10 měsíci +1

    We kaka mungu akuweke

  • @benardmakori4012
    @benardmakori4012 Před 10 měsíci

    Hongera sana mwana sns ktk kangemi,kenya.Hakika nimejifunza mengi na Dj sma kwa kweli uwa nafuatilia makala yake sana,haswa mwana fuse.

  • @maalimzakariyya5770
    @maalimzakariyya5770 Před 10 měsíci +1

    DJ sma hatare Saana

  • @patricialuande9540
    @patricialuande9540 Před 10 měsíci

    Was worth listerning...really educating.will search from amazon...