PUTIN aionya MAREKANI na wenzie! Adai atatoa silaha kwa nchi zingine ziwashambulie, kutumia NYUKLIA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 387

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 Před měsícem +20

    Najua nchi ya urus haikupenda kuchukua watumwa inapenda sana haki kwahiyo natto wanachezea shilingi kwenye tundu la choo

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +2

      Mbona kwa sasa watu wanakufa wakienda ulaya.Hadi sasa tuko utumwani tena tungekuwa tuko chini ya hao wazungu tungekuwa mbali sana kuliko kutawaliwa na hawa wakoloni weusi.

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před měsícem +14

    NA UGANDA NAO WAPEWE HIZO SILAHA😂😂😂 MANA MZEE MUSEVEN NAE HATAKI UPUMBAVU😂😂😂.

    • @heridunia
      @heridunia Před 25 dny

      mapema sana tunaomba mana kenya wanajifanya wao wanawapenda wamagharibi

    • @louangesid
      @louangesid Před 19 dny

      😅😅😂😂

  • @philemonyesaya4353
    @philemonyesaya4353 Před měsícem +12

    Hii sio wala ya kushabikia nani ampige mwenzake, kwa sasa sisi tunaongea tu kua wazichape lakin tuombe mung sana haya yasije yakatokea maana kama kweli wakipgana basi hata sisi tutaifeel ile ladha halisi ya vita ya wakubwa, cha msingi ni kuomba mungu huu mgogoro uishe salama ili maisha mengine yaendelee...

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht Před měsícem +86

    UYU MWAMBAA PUTIN HUWA NAMKUBALI SANA HAPA DUNIANI KUSHINDA RAIS YEYOTE YAANI

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi Před měsícem +6

      Msimpe kichwa vita haina macho uwa inageuka ni kuomba amani tu maisha ya hendere

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem +3

      @@MajutoElliasi USIMFUMBUE MACHO MJINGA 🤣🤣🤣ANAMKUBALI? AU MSHABIKI MAANDAZI TU

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi Před měsícem

      @@atutweve4160 hii dunia wote ni wapitaji tu kushangiria vita sio vizuri ni amanitu na upendo watu wanashingiria kwasababu ayako kwetu yagekuwa ni kwetu asige shagiria mutu

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 Před měsícem +7

      Wewe ndio mjinga
      Kama bado kaka sasahivi hujajua unwell wa Marekani kua ndio anaesababisha vita Finish basi wewe utakua mjinga.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem +1

      @@minicooper9642 udini unasababisha vita sio mmarekani 🙄

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg Před měsícem +27

    Piga hao mashoga marekani ni washenz,dunia bila marekan ni amani mungu awaondoe marekani wanaitesa dunia

    • @itsdvoice.
      @itsdvoice. Před měsícem +3

      😂😂😂😂 kweli Akili una 😅

    • @hafidhyakoub8369
      @hafidhyakoub8369 Před měsícem +3

      Ww dvoice na ww shoga au

    • @Jgjgjggjaieifhfv
      @Jgjgjggjaieifhfv Před měsícem +2

      D pambana n'a muziki achana n'a siasa marekani ni ovyio Sisi wa Congo 🇨🇩 tuna juwa match Zao n'a Rwanda

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem +1

      ​@@Jgjgjggjaieifhfvpoleni ila muda utasema mungu yupo

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 Před měsícem +4

      Hii CZcams ni ya hao Marekani saa wakiondoka sijui utatumia mtandao gani kutukana 😂😂

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 Před měsícem +12

    Alie sikia mbwa akibweka na mtoto akilia, gonga like hapa, ...

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před měsícem +2

      😅😅 nilikuwa natafuta hii comment 😅😅

    • @DjMswati
      @DjMswati Před 25 dny

      @@RamadanPaul kaka unazingua😂😂

    • @afandechanel1507
      @afandechanel1507 Před 25 dny

      😅😅😅😅😅

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +9

    Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili

    • @johnmwangi9231
      @johnmwangi9231 Před měsícem

      Mungu awasaidie kwa gani? ni SAWA atoe hizo silaha,juu Putin Ako na shida na makafiri Hao wazungu dio wanafanya binadamu kumkufuru Muuba,nani analazimisha ushoga
      Gender equality
      Wizi wa mali ya wengine
      Mauaji ya watu bira hatia!

    • @mariaalenge2106
      @mariaalenge2106 Před měsícem

      Swali kwako ndugu Putin ni mwehusi ahu macho yenu aya honi?mimi najuwa ni wao kwa wao akuna mzuri kati yao wote maana wote wana huwa watu wasiyo na atia ingekuwa wana malizana Marausi kwa Maraisi inge kuwa vizuri lakini wanao kufa ni rahiya Putin na wenzake wote vichwa maji tu

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma Před měsícem +31

    M/mungu mlinde putin

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem +1

      HAWEZI HATA MUOMBE DUNIA ZIMA 🤣

    • @melkizedck
      @melkizedck Před měsícem

      Kweli Mungu amlinde putin maan amekaribia kufa.

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 Před měsícem +15

    Huyu jamaa anahisabu rahisi sanaa

    • @user-xl9so6jg1e
      @user-xl9so6jg1e Před 20 dny

      Ni pumbav sema hamjui tu mpaka Leo wazungu washamuona Kama urusi ni dhaifu na Kama wangemsaidia Ukraine moja kwa moja bac Leo hii tungekuwa tunazungumza mengne

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 Před 19 dny

      Sip kweli,,,,,siaha zaNATO zimechakazwa Sana uwanja was vita😂

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 Před 17 dny

      ​@@user-xl9so6jg1embona hawamsadii sasa huyo jamaa anawashirika wengi China, Korea kaskazini, Iran, Vietnam ni washirika wa Urusi huyo jamaa anatumia akili sana huyo hakurupuki kurupuki

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f Před měsícem +4

    Nakupenda sna dj smaa

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před měsícem +6

    Kuna jambo? Nahisi sio kuzuri hata kidogo. Maana najua nuclear sio kitu cha mchezo. Hii silaha mbaya kwelikweli inatisha vibaya!! Usiombe!!

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před měsícem +12

    Apeleke silaha palestine na yemen

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo Před měsícem +15

    Sauti ya dhahabu shukrani mtangazaji

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před měsícem +5

    Absolutely 💯 💯 💯

  • @AbdiBendera
    @AbdiBendera Před měsícem +10

    Nilisubira sana uchambuz wenu juu ya taarifa hii

  • @sharifuahmed8340
    @sharifuahmed8340 Před měsícem +8

    BABA WAPELEKEW HAMAS, HEZBOLLAH MIFUMO YA ULINZ NA SIRAHA KALI NA MAELEMENT NA BULLET PROOF, NA VIFARU ALAFU TUONE KUMANYOKA HAO MASHOGA WANAOJIITA TAIFA LA MUNG YAAN BABA UKIWAPA SIRAH KM WAO WANAVYOWAPA UKRAINE NAKWAMBIA VIBARAK WA MAREKAN WENG MAJI WATAITA MMA KUMANYOKO ZAO

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw Před měsícem

      Yaan ata urusi mwenyewe hathubutu kuanzisha vita ya moja kwa moja na israel maana wale wana uwezo na akili ambayo sio ya kawaida

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Před měsícem +7

    Time wii tell

  • @josephelias7364
    @josephelias7364 Před měsícem +7

    Hii sasa ndo inaitwa COLD WAR

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem +22

    Mwamba Putin namkubali sana

    • @melkizedck
      @melkizedck Před měsícem +1

      Urus wamechoka, vitisho tu.

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 Před měsícem +1

      ​@@melkizedckhivi wewe upo kwenye dunia hii au ndio umeanza kurumia smartphone leo inamaana huoni anavyo itembezea kichapo dunia mpaka wanalia kilio cha kuku😅

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 Před měsícem

      @@stevenlugojeremia2323 watamkoma mwamba

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +6

    Kuna wapumbavu wakati vita vinaanza walaizani urusi atashindwa hawajui kua marekani hana silaha za kuizidi Urusi bali ana maneno na porojo nakutishia vitaifa vidogo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem +1

      Weeeee tusubir tuone 🤣

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +3

      Sasa kwani urusi kashinda?unaota nini ww

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +2

      Urusi bado hajashinda na wenzake washamweka kwenye tageti na akijichanganya tu wanammaliza.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +3

      Urusi hana uwezo wa kupambana na NATO hata kidogo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem

      @@MathewNathan-yb2bz hata hivo 😉

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +1

    Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili vita isitokee kwamana sio powa ujuwe

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm Před měsícem +7

    Mtakatifu Putin wamemwaga mboga,we mwaga ugali.Kama mbwa Wacha iwe mbwa kiumane mpaka kieleweke tata.Bhita ni bhita ntakutemego.Ulabhugabhwi.Marekani ni mrisha TU.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem +1

      ,swedy swedy kama mbwayi na iwe mbwayi 😅😅😅😅😅😅

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před měsícem

      Mtakatifu tena????

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw Před měsícem

      Nafurah sana mwislam unavyomsifia mkristo

    • @fahadabdalla8194
      @fahadabdalla8194 Před 18 dny

      ​@@Maxpaul-oi8pw Hamna ajabu kumsifu mkristo kwani ajabu ikiwa utafanya wema basi utasifiwa ili mradi humkashifu mungu au ushawahi kumsikia putini akasema ushoga,freemanson, au shetani ndio mungu wake tulia kijana soma usitafute chokochoko

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 Před 17 dny

      ​@@melanialeonard4031mtakatifu kwasababu hajawahi sapoti ushoga kama wale wengine

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před 16 dny +2

    Safi sana😂😂putin nakukubar mkuu

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn Před měsícem +4

    Safiiiiiiiii

  • @user-km4kb3xj3y
    @user-km4kb3xj3y Před měsícem +9

    Safiii wape

    • @noel3290
      @noel3290 Před měsícem +2

      Hii ni shida kweli, we unasherehekea vita unathani hutaathirika? Fikiria tena

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem +1

      Mbona hamfikirii kuhusu Gaza

    • @festokasongi4537
      @festokasongi4537 Před měsícem

      gaza acha wafe mbona auwazi kongo

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o Před měsícem +2

    Safi sana wachambuzi... Putin ana experience ya vita hakuna wa kumtisha apeleke silaha jule parestina tuongee mengine

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem +7

    Wape na cuba wawanyoshe marekani pale ndo karibu

    • @soudmoshmnyika5813
      @soudmoshmnyika5813 Před měsícem +4

      Ndio maana hakusema Tampa nani ila nchi nyingi zitakuwa za kiarabu

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 Před měsícem

      ​@@soudmoshmnyika5813 Cuba pia ina asilimia kubwa tu

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 19 dny

      Tayali

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 Před měsícem +5

    Huyu ndie kiboko wa marekani

  • @Khalid-oi9qb
    @Khalid-oi9qb Před měsícem +5

    Awape tu

  • @abdullahhilalabdullahalmug3168

    Putin yupo Sahihi kabisa

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před měsícem +8

    Faza watandike hao mashoga wa magharibi

  • @YusuphLiyanga
    @YusuphLiyanga Před měsícem +2

    Sns mnatisha kwa habar

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 Před měsícem +6

    Mwnangu putin usisahau nami kunipa hata bomu moja la nyuklia

  • @koudrashabani1912
    @koudrashabani1912 Před 27 dny

    Ndio
    Na inshallah Atafanye vizuri
    Huu
    Akishindwa Ulimwengu inaharibika
    Sana Sana Sisi wa Afrique Na Asie
    Tutakuwa watumwa wa kwanza

  • @salimwanga
    @salimwanga Před měsícem

    Good hope for Africa.❤🎉🎉

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Před měsícem +2

    Bro sky tupe gps ya hii topic 🙏

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale Před měsícem +2

    Putin anatumia sana akili,,, tuombe mungu tu putin amekataa vita kuanzia mda sana wanamtaka ,,ila mungu is with you

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +7

    Kuna jimbo kule marekani linaitwa alasaka ni mali ya urusi ile na itauchukuliwa wameanza wenyewe putin atamaliza

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před měsícem +1

    The situation is getting worse than ever...

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před měsícem +3

    wapewe au wahipige wingereza napia waige marekani napenda iyo

  • @SalickSuleiman
    @SalickSuleiman Před měsícem +5

    Im warning USA

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Před měsícem +6

    so raia wa urusi ni bora kuliko raia wa Ukraine

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 Před měsícem +1

      Uliza Zelensky kwanini anatumiwa ili kuiandama urusi ,hata kama nini niweke siraha mlangoni kwako utafanyaje.

    • @yusuphmashallah3732
      @yusuphmashallah3732 Před měsícem

      Yeah uko sahihi urusi ni bora zaid ukihitaji shule mm n mwalim

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 Před měsícem

      @@yusuphmashallah3732 sihitaji shule yeyote kwako unae ona mrusi hana haki ya kujilinda dhidi ya wanao taka kuweka missile mlangoni kwake,pili huwezi kua mwalimu wangu labda uniambie baada ya mapinduzi 2014 ukraine kwa nini iliua maelfu ya warusi walioko Donbas na mariupol .

  • @newtonmwewa6220
    @newtonmwewa6220 Před měsícem

    The greatest of all time

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před měsícem +5

    Vita uwanjani imeshindana inakua tena zenlekys kushambulia urusi 😂😂😂😂

  • @yuvencepatrice792
    @yuvencepatrice792 Před 12 dny

    Si awashe 🔥 tu! Kwann anasem iv na kutokutekeleza

  • @Jgjgjggjaieifhfv
    @Jgjgjggjaieifhfv Před měsícem +2

    Congo 🇨🇩 ❤️atupe sisi hata sasa ivi tuh sisi na Rwanda tu malizane mara moja

  • @MnyongeMuganza
    @MnyongeMuganza Před 7 dny

    💯

  • @Dr.O-md1hy
    @Dr.O-md1hy Před měsícem +1

    Tunaomba na makala kuhusiana na silaha maaana tunaziskia tu
    Lakini tunawakubali sana

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Před měsícem +1

    MWAMBA XNA PUTIN Namkubali xna VIVA RUSIA

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Před měsícem +6

    Putin ni mtu asiyekiwa na masihara

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 Před 21 dnem

      Amefanya nini toka vita ianze mbona ni maneno tu

  • @fredymushy9674
    @fredymushy9674 Před měsícem +1

    Marekani kubwa sana akuna wakuwasumbua

  • @user-rq8zq1mf7u
    @user-rq8zq1mf7u Před měsícem +3

    Maneno mengi vitendo ziro hakuna wakumshinda us

    • @academicsite8524
      @academicsite8524 Před měsícem +1

      US alishamchunguza Putin na hakuna nchi inapigana kwa akili na tafiti kama USA

    • @meckmussa1840
      @meckmussa1840 Před 27 dny

      Kabisa aisee

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c Před měsícem +9

    Mungu mlinde puttin

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 Před měsícem +2

    Apewe hizo siraha kwanza Iran Cuba na Syria

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c Před měsícem +3

    Poga hao wafe manyangau

  • @elvira9325
    @elvira9325 Před měsícem +1

    Sauti ya sns inanikosha unajua kusimulia hadi kero, msukuma watu piga kaz

  • @adamfungamwango4640
    @adamfungamwango4640 Před 14 dny

    Hivi hii vita haijaisha tu!! Kila siku jamaa anaonya tu!!!

  • @AshaDany
    @AshaDany Před měsícem +3

    Vita ya dunia inakuja

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 Před měsícem +3

    Kiufupi mmarekani safari hii ameyakanyaga

  • @almasbakari5359
    @almasbakari5359 Před měsícem +1

    Fredrick bundala🔥🔥🔥

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před měsícem +2

    Asichelewe sasa maña ulaya tyr washampa ukrein na yy asichelewe

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 Před měsícem +1

    Hizo ni mbwembwe hana lolote huyu...huyu na harmonize hawana tofauti kabisaaa

    • @meckmussa1840
      @meckmussa1840 Před 27 dny

      Kana mikwara tu aka

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Před 24 dny

      Mwambie huyo mume wako mmarekan aguse apo unazani maneno hayo angeongea rais wa inch nyengine marekan angekuwa asha shambulia lkn marekan mwenyewe katulia kimya anaogopa anagawa siraha kila siku lkn wapi Putin siyo mchezo huyo bro

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 Před 21 dnem

      @@Saidkhel huyo putin mme wenu ni muoga saana saanaa ni mtu wa kiki nyingi
      Swala la siraha za nyuklia nchi nyingi wanazo ila wapo kimyaaa hawapendi tu maisha ya kiki kama ya korea kaskazini ni urusi
      Nchi zenye nyuklia ila hazina kiki hizo ni Mbabe mwenyew USA, GERMANY,CHINA, UK, CANADA,FRANCE,SPAIN,SOUTH KOREA,ITALY hadi South Africa wanategeneza, je wajua nchi yenye vinu vingi vya nyulia ni ipi??

    • @user-xl9so6jg1e
      @user-xl9so6jg1e Před 20 dny

      ​@@Saidkhelvita ni akil siyo kupigana Kama vibaka huyo Putin siku ukija sikia kafa hamtakaa muamn kabsa marekani ni taifa kubwa sana na lenye teknolojia kubwa sana na Kama wangeamua kumsaidia Ukraine waziwazi bac mpaka Leo hii tungezungmzia Mambo mengne mpaka sasa urusi kashaonekana dhaif kwa kushindwa kumalza vita na nchi dogo ile

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 Před měsícem +1

    Awape silaha yemeni na houth uone watakavyo choma dunia

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před měsícem +1

    Kiduku km namuona anavosubiri kifurushi chake cha gawio

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +2

    Urusi anatapatapa.sasa ukiwapa hizo silaha hao wa nchi nyingine si nao wataangamizwa.Acha kuwasababishia wenzako matatizo,pambana na hali yako.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před měsícem

      Anawaingiza mkenge wachachatwe anataka kujua kama ni mtiti au hawajiwezi

    • @YustaMfugale
      @YustaMfugale Před měsícem

      Hvi unamfuatilia Putin vizuri, hapendi vita cuz anajua madhara ya vita hata kama atashinda vita,kwa uwezo wa kijeshi Putin peke ake ,bila washirika wake anawazid NATO,sembuse aungane na mkorea

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      @@YustaMfugale putin hana uwezo wa kuipiga NATO hata kidogo.Hata yeye mwenyewe Putin anajua uwezo wa kuipiga nato hana.

    • @YustaMfugale
      @YustaMfugale Před měsícem

      @@MathewNathan-yb2bz hvi unajua nchi inayoongoza kwa kumiliki silaha za nyuklia ni nchi gan ,, okay not only Putin Kam Putin anamiliki vifaru vya kivita 12000, while NATO wote wanamiliki vifaa 8000 ,Yan 12000 hyo bado anapika vingine,Putin anachohofia sana ni matokeo ya vita uhakika wa kushinda anao 100% kama angekuwa anawaogopa nadhan hata vita ya Ukraine asingeanzisha ila ni mstaarabu wa kufikria mbali,, NATO wanaona Putin anakwenda kuwaangusha vibaya kiuchumi ndio maana wanamtafutia sababu Putin namna ya kumuangamiza ili watimize Yao Kam utawala wa Dola,,na neo colonialism

    • @user-sl8bu3we1m
      @user-sl8bu3we1m Před měsícem

      ​@@MathewNathan-yb2bzwewe subili uone vita itakavyo malizika . Hivi wewe mpaka sasa huoni na hata husikii ? Urusi kwanza anapigana na mataifa mangapi uvyo jua wewe ?

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před měsícem +6

    Putin 🎉🎉🎉

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Před měsícem +4

    Ikitokea siku nikapata walau mwaka mmoja tu nika iongoza tz dunia inatalia mara 10 yakilio walicho lia kipindi cha magufuli 🤦🏻‍♀️

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem +1

      Jombaa agiza juice 🥤 akuja kulipa penda sana point yako 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @akbarkisamo8392
    @akbarkisamo8392 Před měsícem +1

    Uyo mbwa vipi😂😂 nae anajambo lake asikilizwe

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před měsícem +4

    Pige mashoga hao

  • @HansChuma
    @HansChuma Před měsícem

    Toa baba we are already Tired with America marekan niwashenz navibaraka wake

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před 22 dny

    ili kumfahamisha tu mchambuzi kuwa, silaha zote zikiwemo vifaru vya Abrahams wamepewa ukraine lakini wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa vifaru hivyo vilitengenezwa kwa ajili ya kupigana na watu wenye silaha ndogo ndogo vifaru hivi kwa kweli havina maana nyingi sasa hivi vinawasilishwa moscow kwa ajili ya watu.

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 Před měsícem +1

    Hisabati

  • @kiatu
    @kiatu Před měsícem +1

    Aimalize kwanza Ukraine ndio ashindane na Marekani. Kuvimba tu.

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 Před 27 dny

      Sa anashindwa we unavyoona kweli???😂

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Před 24 dny

      Tatzo hujui Ukrein yuko vipi na urusi iko kama Zanzibar na tanganyika kwaiyo huwez piga nchi nzima maana Zanzibar kua wabongo na wazanzibar na urusi na Ukrein ndivyo ilivyo

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem +2

    🇹🇿❣️🇷🇺

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x Před měsícem +1

    Smaa mwongo yani leo unsema hamas ni wa iran si ulitudanganya ni wa izlael

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Před 27 dny

    .. "pumba tupu!..." Hahaaa

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem +4

    Baba Putin. Wape hamasi , na isbora , na wahusi wawapige mashoga wa teravivi, wakimwaga mboga wewe mwaga ugari, kama wanawapa Ukraine wakupige nawewe isbora na hamasi, wawashone mashoga wa teravivi

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw Před měsícem +1

      Vita ya hamasi haiusiki na ukraine

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 Před měsícem +1

      😅😅😅Akili zako

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      Kwani hamasi badowapo wanakimbia kimbia kwenye taifalao kama mmbwa kicha aliyekulaganja

    • @Puppet666Master
      @Puppet666Master Před měsícem +1

      ​@@user-tq4lx9si1n Ukiwa wapi ume pakatwa Nakupakwa Mafuta Matakoni kwako wewe 😋 😋

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      @@Puppet666Master wahulize hamasi kulegaza mbaka wanabakwa

  • @amantuyininahaze7794
    @amantuyininahaze7794 Před 25 dny

    Sawa tunaelewa, na huyo mbwa anaebweka, je??? 😐

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂amna kila kitu si afanye kama anajikubali

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 Před měsícem

      Anatoa tahadhari ,, msije kusema hajaonya

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před měsícem +1

    Hili swali la mwamba Lina zaidi ya utata.

  • @GregoryModaha
    @GregoryModaha Před 15 dny

    Naanzaje kumpinga kuhusu Hilo nawakati anawashuulikia mashoga yaan kwa Vladimir Putin watakunywa maji kwenye karai, namtegemea sana uyu mwamba kwa usalama wa vizazi vyetu

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před měsícem +1

    Fanya hivyo urusi dawa ya moto ni moto

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem +1

    Ujinga donda la kichwa shahidi mkono,nashangaa binadamu Tena maskini mwenye kg 10 za unga ndani unashabikia vita kama sio kulaaniwa ni nini?ombeni Mungu anusuru Hali hii

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Před 21 dnem

    Maneno tu amna kitu hapo huyu urusi hii vita awezi kushinda

  • @ErickMwashambo
    @ErickMwashambo Před měsícem +1

    Alie skia mbwa akibwe weka comment

  • @assateke7199
    @assateke7199 Před 29 dny

    Ila Putin ni kichwa sn...😂
    Western na hela zao na silaha zao na Kila kitu chao lkn huyu jamaa amewazidi...😂😂😂

  • @babumrisha
    @babumrisha Před 28 dny

    Inatakiwa awape Alqaeda au Al shababu hizo zilaha, tuuone huo mtanange...

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar5329 Před 29 dny

    Oya huyu jamaa kwanni tusimpe uraisi wa mataifa yote huyu jamaa anajuwa hesabu

  • @chirezaasende4247
    @chirezaasende4247 Před měsícem

    Huyu dj small hapendi inchi za mangaribi kbs

    • @djsma255
      @djsma255 Před měsícem

      Ukizipenda wewe inatosha

  • @khamisomar889
    @khamisomar889 Před měsícem

    Hapa kwa smaaa ndo nakubali, habari inachangamka

  • @waynejoseph8856
    @waynejoseph8856 Před měsícem

    8:12

  • @colmanlesulie250
    @colmanlesulie250 Před měsícem

    Hivi ni Vita so Ukraine naye anahaki ya kushambulia, Why Putin anatumia Silaa kutoka China, North Korea, Iran sasa na yeye akae mkao wa kula.

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před měsícem +1

    Bora walikoroge tu kwani vp watu waowane potelea kwete

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 Před měsícem

    🤒

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 Před měsícem

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @MankoWeitala-pe7mi
    @MankoWeitala-pe7mi Před měsícem +1

    Putini❤❤❤

  • @computerjoshua96
    @computerjoshua96 Před měsícem

    Sasa ashambulie yeye kwanini awape wengine

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 19 dny

    Piga nuklia mzee time Time befor

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před měsícem

    Mpe sitaha Yemen 😅 uone jivu

  • @user-lv1ki7nn7t
    @user-lv1ki7nn7t Před měsícem

    Msijidanganye hata siku moja kuwa urusi kaishiwa silaha uyo mkuu wa nato mwenyewe juzi amekiri kuwa urusi anazalisha silaha za kutosha mara tatu ya nato na nchi zote za ulaya wewe ni shoga wa wapi unaedanganywa kua urusi kaishiwa silaha acheni upuuzi huo russia anapigana kwa akili sana uku anapandisha uchumi wake na kuharibu uchumi wa nchi za magharibi kama haujui kaaa kimyaaaa au kaolewe marekani kwa mbwa wenzio uko