Ukweli tunaweza kuingia vitani na mtu mwenye ungonjwa mkubwa. Maamuzi ya raisi wa marekani ana upungufu wa akili. Namwimba PUTIN. Amvjmilie mwezake ni mgonjwa''
Akili ya binadamu ni kinyume kabisa na akili ya Mungu, mipango ya mwanadamu ni tofauti kabisa na ya Mungu, vivyo hivyo matashi, mapenzi na maamuzi. Naona dua za waliowengi wakimwombea dua mbaya Rais Biden, wakitaka afe hata leo. Kuna wengi walimwombea Rais Raisi wa Iran aishi milele..... Mapenzi ya Mungu si ya kibinadamu. Huenda ni kweli "dua la kuku halimpati mwewe"!
Afilie mbali dhulma anavyo tesa nchi za watu 😢was kua na hatia
Angekuwa Raisi WA bongo BBC sasa 😂😂
Simpatii picha trump anavyochekelea huko aliko utazani Rick Ross akipiga kilevi afu acheze dance😂😂😂😂
Huu mzee amechapa😂aache kung'ang'ania kiti umli wake haumruhusu😂
Ukweli tunaweza kuingia vitani na mtu mwenye ungonjwa mkubwa. Maamuzi ya raisi wa marekani ana upungufu wa akili. Namwimba PUTIN. Amvjmilie mwezake ni mgonjwa''
Natamani Raisi wa russia. Aendelee hivihivi .asitumie siraha za moto...
Duh
Dua hizo zinafanya kazi…na atajinyea sana tu😂
Kwa hiyo alijinyea
Nomaa
Akili ya binadamu ni kinyume kabisa na akili ya Mungu, mipango ya mwanadamu ni tofauti kabisa na ya Mungu, vivyo hivyo matashi, mapenzi na maamuzi. Naona dua za waliowengi wakimwombea dua mbaya Rais Biden, wakitaka afe hata leo. Kuna wengi walimwombea Rais Raisi wa Iran aishi milele..... Mapenzi ya Mungu si ya kibinadamu. Huenda ni kweli "dua la kuku halimpati mwewe"!
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Mafenesi
Atariiii
Dah uzee ubaya sn
Amezeeka
Urusi wana ujasusi wa hali ya juu na mpaka kwenye ndani serikali ya marekani wapo watumishi ambao ni. Majasusi wa urusi hauwenda wamempiga sumu
Mbona mnamsimangaa Sana huyu mzeeer
Aseeee
Atoke