INASIKITISHA: Rais BIDEN alivyoganda na kuonekana kuchanganyikiwa kwenye hafla ya Juneteenth IKULU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 215

  • @MuniraShughuli-kc7vj

    Afilie mbali dhulma anavyo tesa nchi za watu 😢was kua na hatia

  • @NdovuDentalClinic_

    Angekuwa Raisi WA bongo BBC sasa 😂😂

  • @TrinaRoman345

    Simpatii picha trump anavyochekelea huko aliko utazani Rick Ross akipiga kilevi afu acheze dance😂😂😂😂

  • @ngendakumanajeanmarrie7490

    Huu mzee amechapa😂aache kung'ang'ania kiti umli wake haumruhusu😂

  • @pauldotto7868

    Ukweli tunaweza kuingia vitani na mtu mwenye ungonjwa mkubwa. Maamuzi ya raisi wa marekani ana upungufu wa akili. Namwimba PUTIN. Amvjmilie mwezake ni mgonjwa''

  • @pauldotto7868

    Natamani Raisi wa russia. Aendelee hivihivi .asitumie siraha za moto...

  • @aminmohammed4249

    Dua hizo zinafanya kazi…na atajinyea sana tu😂

  • @pesaspy_tv

    Kwa hiyo alijinyea

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 21 dnem

    Nomaa

  • @sylvestercameo6263

    Akili ya binadamu ni kinyume kabisa na akili ya Mungu, mipango ya mwanadamu ni tofauti kabisa na ya Mungu, vivyo hivyo matashi, mapenzi na maamuzi. Naona dua za waliowengi wakimwombea dua mbaya Rais Biden, wakitaka afe hata leo. Kuna wengi walimwombea Rais Raisi wa Iran aishi milele..... Mapenzi ya Mungu si ya kibinadamu. Huenda ni kweli "dua la kuku halimpati mwewe"!

  • @hassangaddafi2347

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @hijazhija316

    Mafenesi

  • @lisawilliam2491

    Dah uzee ubaya sn

  • @MasterOil-qm6vw

    Urusi wana ujasusi wa hali ya juu na mpaka kwenye ndani serikali ya marekani wapo watumishi ambao ni. Majasusi wa urusi hauwenda wamempiga sumu

  • @donaldmgunda4970

    Mbona mnamsimangaa Sana huyu mzeeer

  • @Gody360

    Aseeee