Rais Ruto akosolewa kwa kumpa pole TRUMP

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 136

  • @AllyRocky01
    @AllyRocky01 Před měsícem +10

    SnS much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @eve3894
    @eve3894 Před měsícem +9

    Asante sana SKY kwa habari nzuri kabisa. Love from London ❤

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Před měsícem +1

    Ruto hajakosea ila Wana hasira naye tuu

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před měsícem +7

    Ruto mpumbavu sana. Wakenya hawana rais .kuacha kuwapa pole Wakenya family zako walizofiwa yy ampongeza bwanake

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před měsícem +2

    Ruto must go 🚶‍♂️ anajifanya mwema Dado yeye sasa?

  • @FredChaki-jb8zj
    @FredChaki-jb8zj Před měsícem +2

    Ruto anapenda sana kujipendekeza😄😄😄

  • @OscarMmbando
    @OscarMmbando Před měsícem +2

    Ruto ni Mpumbavu Pro Max, lishenzi la Mwisho.

  • @johnmwirigi3836
    @johnmwirigi3836 Před měsícem

    Kama angempea pole ya mamilioni hapo ndio mngelalamika kabisaa...hakuna kosa kwa pole ya mdomo bana 😂😂😂

  • @btsanime6138
    @btsanime6138 Před měsícem +2

    Ruto hana akili nikujipendekeza tu.

  • @user-qz3zl4xt1r
    @user-qz3zl4xt1r Před měsícem +2

    Ruto ajiuzulu ameshindwa na kazi alio aminiwa na wa kenya

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 Před měsícem

    Ruto ni mjinga sana

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 Před měsícem +2

    Anajipendekeza sanaaa duuu

  • @djafro8729
    @djafro8729 Před měsícem +2

    Kosa sana kwa muuaji kama ruto kushtumu jaribio la trump kuawa

  • @mbajimargarette7146
    @mbajimargarette7146 Před měsícem +4

    Angenyamaza tu

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 Před měsícem +8

    Huyu sio Rais nikichatu😂😂😅

  • @matalo0551
    @matalo0551 Před měsícem +3

    Hello Kenyans, stop from blaming at your president, don't you know what really international relation mean and deplomacy? Stop from misjudgements....Ruto is the democratic presidents he deserves to give condolences to his fella former president.....
    Am imbalanced with you Gen Z, you have to tolerate some basic issues, no matter what it means......
    Build your country, stop from killing international deplomacy.....
    Ni mimi Kijana Mtanzania ndugu yenu...sifurahishwi na ukosoaji wa kila kitu kinachofanywa na Ruto, jueni hakuna aliyekamilika na hamptapata kiongozi atakaetekeleza mahitaji yenu yote.

    • @user-td3xz9ej7r
      @user-td3xz9ej7r Před měsícem

      Hawa watu wako brainwashed na demokrasia uchwala baada ya kuangalia chanzo cha tatizo wao wanajadili tatizo. Gen z kila zama wataandamana if we dont leave this trash so called democracy

    • @James-Jabari
      @James-Jabari Před měsícem

      This is not even about international relations or anything like that. Wakenya wanachosema ni kwamba huyu nyani na puppet wa wazungu hana nyota ya uongozi; ananyota ya kukenulia meno wazungu, he must go immediately! Hakuna aliye kamili sawa, lakini kwa huyu ni tofauti. He has shown failure in every single aspect - too bad he’s unapologetic. Uhuru hakuwa mkamilifu na hakufanya maendeleo sana, sawa. Lakni kwa miaka 10 yake pamoja na kwamba alipenda tupombe, watu hawakulia kama miaka mingapi tu hii ambayo grinning Ruto amekuwepo. Njaa haivumiliki. Huwezi kuweka wananchi kwa maisha magumu ilihali wewe unasafiri kwa starehe zote kama mfalme wa dunia halafu ukategemea kuwa wananchi watakuelewa

  • @AdamAmos-rr6fg
    @AdamAmos-rr6fg Před měsícem +2

    Wazungu wot ata wakiuwawa siwez huzunika atakidog

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 Před měsícem

    Ruto ni mjinga sana mpuuzi sana🤣🤣🤣

  • @HeriDunia-i7m
    @HeriDunia-i7m Před měsícem +1

    luto ajitaidi kupunguza shobo kwanza anashobo sana

  • @fistonmakasi3803
    @fistonmakasi3803 Před měsícem +1

    Hajafanya poa inchi iko kwenye machafuko ila ana endelea kujipendekeza kwawamagaribi

  • @rizikimwero1767
    @rizikimwero1767 Před měsícem +3

    Yeye mwenyewe nimuaji anauwa wakenya kama kuku mpuzi sana ruto

    • @mariamkassim9925
      @mariamkassim9925 Před měsícem

      Umemona huko wewe umbwa

    • @rizikimwero1767
      @rizikimwero1767 Před měsícem

      @@mariamkassim9925 wasubiri umuone ndio ujue niyeye umbwa wewe alipo pelekwa icc alionekana anakukula nini katako sana

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před měsícem

    Ruto ya kwake yana mshinda kwenye inchi yake anakalia kuingilia maisha ya inchi nzingine😂😂

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po Před měsícem +3

    Shenz kabisa

  • @user-xo4qc2hk4j
    @user-xo4qc2hk4j Před měsícem

    Huyo zakayo na angoje risasi kwa moyo

  • @rizyonebatuli1851
    @rizyonebatuli1851 Před měsícem

    😮

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 Před měsícem

    RUTO NI UMBWA WA WAMAREKANI

  • @amotvtz1302
    @amotvtz1302 Před měsícem +7

    Tatizo ya hii media ni Moja haitoi taarifa za nchi ya Tanzania.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před měsícem

      Kabisa samia yupo uko mikoan katangaza bei ya mahindi ameongea vitu vingi makonda hapoi uko arusha watu wanakatwa mapanga wengine wanapotea mara watu wasiojulikana vitu ni vingi sana.kushabikia vya wengine vya kwao aaaah

    • @SWAGA_BOYS
      @SWAGA_BOYS Před měsícem +1

      AMO TV 📺 zitowe wewe hizo taarifa nao wako subscribers wawili

    • @Munchkins77
      @Munchkins77 Před měsícem

      @@melanialeonard4031 Kuna TBC, ITV, Azam TV, Mwananchi, Global TV, Ayo TV, TBC na media kibao zifuate huko, wote wanaripoti, na tayari inaonekana kuwa unafahamu kinachoendelea, hapa unatafuta nini? Kila media ina angle yake, hawa wameamua kudeal na habari za kimataifa, local news wameamua kudeal na burudani, lifestyle zaidi. Unadhani wamefikisha watu 1.3m kwa bahati mbaya?

    • @user-us4tg2it5q
      @user-us4tg2it5q Před měsícem

      ,,,,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂​@@SWAGA_BOYS

    • @piusrweyemamu3900
      @piusrweyemamu3900 Před měsícem +2

      Labda wanaogopa
      Sheria yamakosa ya mtandao au...

  • @Moseskoome-l1t
    @Moseskoome-l1t Před měsícem +1

    wakenya kilakitu wanapinga bora to wapinge ruto anajitahindi sana

  • @rizyonebatuli1851
    @rizyonebatuli1851 Před měsícem

    Htar😅

  • @user-jo5ig8ww1b
    @user-jo5ig8ww1b Před měsícem

    Ruto Ana pupa hawezi kufika kwa style hii

  • @widebrainclassic
    @widebrainclassic Před měsícem

    Anakosa utu ju kama nchi yake inaungua na hasemi kitu anaongea ya marekani

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před měsícem

    Ruto yuko sahihi anakwenda na upepo kwani next election Trump anauwezekano wa kushinda kwa hiyo anajiandalia mazingira ya kupata misaada hasa ukizingatia hali ya Kenya kwa sasa kiuchumi

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Před měsícem

    Hajafanya vizuri

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 Před měsícem

    Ruto you not crc about your people you buys about America president yohh this is so bad 😞😞😞

  • @okoyostephen6335
    @okoyostephen6335 Před měsícem

    It's disheartening to listen to,or read rutos comments showing affection with what happens not within our country but without even as his Mafias continue with Extra judicial killings.Quite saddening.

  • @erickomyboy
    @erickomyboy Před měsícem

    Yaani huwezi kusoma ujumbe jinsi ulivyo kwa kingereza....?

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem +2

    Mbona Gen z ,,,wanataka kila jambo walipinge tu hata kama ni zuri ,,,,kwahyo wanataka kila siku waongelewe wao tu,,,,,yaaani mnaandaman wnyewe alafu mnalalamka lalamika,,,,,,,mnataka kila muda kuongelewe nyinyi tu

    • @Moseskoome-l1t
      @Moseskoome-l1t Před měsícem

      hata hao genz wamekuja sana

    • @Chaliwachuga-ns4hh
      @Chaliwachuga-ns4hh Před měsícem

      Tulia wewe ungekua Kenya ndio ujue Chenye Una comment

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 Před měsícem

      @@Chaliwachuga-ns4hh 😁😁😁😁 basi tuendelee , tuone itakuwaje ,,,,tuendelee but tusibweke bweke ,,,na tusipinge matokeo yake

    • @daprince7545
      @daprince7545 Před měsícem

      ​@@jeremiahcharles6027tena unajua kinacho endelea Kenya, bila shaka ujui maisha ya Kenya mahali yamefika na utawala wa ruto

  • @AtmuthoniMsoo
    @AtmuthoniMsoo Před měsícem

    Hikes on Extra judicial killing in Kenya sasa watu wanakatwakatwa in😢😢😢 am just done

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před měsícem

    Aaah kwani kutoa pole ni kosaa???

  • @user-hr4bh4nf6w
    @user-hr4bh4nf6w Před měsícem

    Kwani hapo nako kakosea??

  • @fathers19991
    @fathers19991 Před měsícem +2

    Wakenya wanatumwa na nani

  • @Uwezohussein-me2gp
    @Uwezohussein-me2gp Před měsícem

    Ruto kazi anayo

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Kujipendekeza kwa mashoga ni moja ya makosa ambayo Ruto anayafanya.

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Před měsícem

    Jaribio la kutaka kuuawa sio kuuawa😂😂😂

  • @djafro8729
    @djafro8729 Před měsícem

    Ambia sma yeye hamjui shetani Ruto. 2007 aliua watoto kanisani kiambaa

  • @user-jb3cy3mw3rgn
    @user-jb3cy3mw3rgn Před měsícem

    Kinachoonekana Waafrica wamechoka ukandamizwaji wa utawala wa magharibi, Ruto amejiunga sana na Magharibi akajionyesha hafai kwa watu wake.

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo5515 Před měsícem

    Nikuhelewa hali huyo nikibaraka alio wekwa

  • @Tsbz9154
    @Tsbz9154 Před měsícem

    Hafai kutowa kitu hio

  • @user-qz3zl4xt1r
    @user-qz3zl4xt1r Před měsícem

    Nikosa kubwa kuweza jirani na kwako pako matokeyo mabaya ya mauwazi makubwa ya vijana wanaoteteya hakizao hana habari na raiyawake wanauwawa anajipendekeza kumabebero wakubwa zake

  • @ShafiiDauda-mh9ju
    @ShafiiDauda-mh9ju Před měsícem

    🤔🤔🇰🇪🇹🇿🤔🤔🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před měsícem

    Huyo ruto ni shoga mwenye nyota mbovu..

  • @jacobeliufoo7635
    @jacobeliufoo7635 Před měsícem

    Hyo account yako ya x weka dark themes itakuwa poa sana

  • @AbubakariBausi-zd6xf
    @AbubakariBausi-zd6xf Před měsícem

    Na ruto wangekuuwa tuu gen Z nije niwape ak47 Hahahahaha

  • @user-wf7em3yl8z
    @user-wf7em3yl8z Před měsícem

    Nimakosa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    NI KOSA KUBWA UKIANZA KUFAGIA UNANZIA CHINI YA MIGUUNI MWAKO KWENDA MBELENI 😂😂😅😅

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před měsícem

    Kukolonewa kifikra ni hatari sana, Ruto hana uchungu wa watu wake wanao uawa Katika maandamano bali anauchungu na watu wa Marekani. Kweli huyu jamaa ni mateka wa nchi za Magharibi pole sana Wakenya mnasafari ndefu ya utumwa.

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před měsícem

    G zege ng'oa hiyo Rutobwe🤮🤮

  • @Benjaminkakamasha662
    @Benjaminkakamasha662 Před měsícem

    Huyo mzungu trump apendi wafrica hata kidogo hata iyo risasi ingepigwa nyingi afe kabisa shenzi mkubwa yy

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Před měsícem

    Adui wa kenya sio ruto adui wa kenya ni wakenya wenyewe wanakubali kutumika kisiasa na kuharibu nchi yao

  • @Latifah-hf6fu
    @Latifah-hf6fu Před měsícem

    Lazima alambe matako ya wabeberu

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Před měsícem

    Yalitumgwa

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Před měsícem

    Ni watu wangapi kenya wameuliwa kwa kupigwa risasi na kukatwa katwa na kutupwa kwa mito na hajawapa pole?

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem

      Walikuwa wanataka wenyewe umehambiwa usfanye ivi ukahamua ww kukaid utapgwatu

    • @AbuuAli-nf4fb
      @AbuuAli-nf4fb Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n wameambiwa na mungu ama ni majambazi wauwaji ?

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem

      @@AbuuAli-nf4fb kwaiyo ww hapo ulipo unafata shelia yamungu au ya taifa

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem

      @@AbuuAli-nf4fb mungu hana shelia nawala hanahamli kwa mtu

  • @joezeno8
    @joezeno8 Před měsícem

    Huyu KIBARAKA anangaika saana 😂

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 Před měsícem

    Hupitwi wewe baba!!! Khaaa!!! Tunataka utoke hiyo kujipendekeza kwako ukapewe uraia uko marekani

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem

      Kama inauma chomoa

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n wewe ndie imekuuma ndio umejileta kwenye comment yangu, hau nimasima haikuumi ushakua shimo? Maana naona kwako inachomoka yenyewe ata aingoji kuchomolewa!

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n wewe ushachomoa? Au kwako imechomoka yenyewe ?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n wewe umeshachomoa? Au yako inachomoka yenyewe?

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n wewe inachomoka yenyewe

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před měsícem

    Ruto ata inzii n vidudu vingine havitaki ata kumsikia anaboa vyakutosha