Aya sitaki udini wazeee.....Dj Asma anawachora tu. Skia wazee wa Tanzania ebana hili suala nila kihistoria. Kulieleza vyema ujifunze na uwe tayari kupokea...... Mimi naomba wana SNS mkaribisheni Doctor Sulle aongelee huu mgogoro. Kimsingi, Sulle ana udini sana lakini penye ukweli hafichagi..... kimsingi ni msomi pia wa mambo ya dini
Hakina madhara ya hayo makombora, Israel imelipua wiki iliyopita wamelipua naghala ya makombora, mbona hamsemi, Makamanda wa Hezbullah wameuawa zaidi ya 400 mbona hamsemi. Hakuna shambolic la Israel nchini Lebanon ambalo limezuiliwa!! Why mseme uhatati uko pande zile? Mnatafuta visa vidogovidogo kuonesha uhatari wa Hezbullah!! Acheni ushabiki wa ajabu.
Watu wenye akili km nyumbu ni waislamu,, 1 warabu walimshindwa Israel, akiwa na manati na magali ya mkokoteni wa punda na wanajeshi 2000 tu,, uchumi wake kote duniani ulikua zoofu sana,, kwa kumalizwa na adolf hitler,,,, huku warabu wakimiliki vifaru 400, ndege hatari za kivita zaidi ya 300,,idadi ya wanajeshi warabu 2,000,000. Na bado wakashindwa,, leo watamwezea wapi huyu Israel! Anaemiliki technology %70 ya dunia na uchumi wa dunia ameukamata yeye. Hili litakua anguko kubwa kwa mwarabu.
Hongera sana SNS nyinyi ni number 01 in East African ila muwe mnaongelea na habari za Watu waliofariki Burkinafaso , congo na Tanzania msiwe Bias media mna ruhusa kujadili kuhusu Katiba mpya , muungano na Zanzibar , Taswira ya maendeleo yetu mpaka 2030
Cost za Intercepters inategemea na budget ya Jesh, na misaada anayopata. Hezbullah hatumii makombora ya bure. Tatizo kuchangia huku mmeegemea upande mmoja ndo hii
Sky walker tunaipenda GPS lkn inabidi tukuwajibishe mana GPS ni ya kwetu Wana GPS na tumezoeya kuona fact and logic na good projection ya nn kinachoendelea leo story zilikuwa nyingi yaani ni kama story za mitaani na kwa kweli dj smaa haikuwa meza yako leo very embressed sky walker usitukere upo hapo kwa ajili yetu na mlitufunza kuangalia mambo tofauti ama nje ya box leo umetuletea story za vijiweni rudi kabisa utuombe radhi Wana GPS
Nazani nilicho Kiongee sky amefaham sijamtukana Mtu nimetoa maoni yangu kwa hio Sina time ya kukurejeshea matusi inaonekana hujaelewa nilicho kimaanisha @@GeorgeAkasha-zx2rj
Ata nje ya SNS @GPS kunavyanzo vingine vya habari tunafatilia so DJ Sma ni mwongo ata uyo mgeni ameliona ata kina Ali Masubi na Henry nahisi ndo maana hawakuja hawapendi conversation na Dj Sma,andhani yy anajua zaidi
@@abdullahmapesa Kabisa mkuu ila shida ya watu humu hawataki mchambuzi anaeangalia pande zote 2 wao wanataka mtu Kama SMA anaekuwa upande 1 tu mara nyingi.
@@GeorgeAkasha-zx2rj 😂😂😂😂 yeah brother emotion ndo tatizo watu wanapenda yale wanawaza kichwani ndo huongee hukiongea tafauti inakuwa tatizo , usishangae ata na Sisi apa tutakuja kupigwa ma cash sasa ivi 😂😂😂😂😂😂.
Jamaa ni mchambuzi mzuri, ila hili linamshinda kubalance, hivi hao wanaorusha makombora wanayapata bure.? Au hao wanaofadhili wanayapata bure? Ni na wao wanaingia mfukoni. Kama ni kudrain uchumi basi ni wote wanaounga mkopo upended wowote.
Kwa hiyo october 7 ni damu za nguruwe zilimwagwa..... wewe acha hujui unachoongea. Kajifunze dini na history ndio uje utie maneno yenye logic...... Join dote and connect dote za ufahamu kwanza
Ni kuongea kimtazamo binafsi sio kiuhalisia, uhalisia ni kwamba mpaka sasa Lebanon , na misri pia Iran nk hawa ndio wanaoijua vizuri Israeli ndio maana hawawezi kuanzisha vita kichwa kichwa.
Jamani ee...kama Zionism regime ni mbaya asisemee!!!? Hachukii wayahudi per se anachukia vitendo vya baadhi yao, hasa zionists...wake up men, see the truth! Open your minds guys
Mimi naamini Bundara hawezi kuleta mtu mambae hawezi kutoa uchambuzi mzuri,Hata Ally nilisema asome zaidi ili afanye uchambuzi uko balanced...Kila mchambuzi wa kipindi hiki inabidi apewe nafasi.
@@ibnujumanne4054wataalamu wanadai makombora ya sasa ya nyukria yana uzito mkubwa sana tofauti na yale ya japan ambayo yalihesabika kwa kilo siku hzi yana uzito wa Tani kadhaaa na mlipuko wake ni mkubwa sana unaweza kuipasua dunia au kuleta matetemeko makubwa, inaonekana kama hadithi lkn ktk ulimwengu wa sayansi sio hadithi kila kitu kipo under cal culation,, Na ikitokea ulaya wametwangana na haya mabomu nadhan watakuwa wamejitumbukiza ktk umasikini wa kudumu, watakuja kuomba msaada afrika
@@ZeProDJay mjomba ile hata ukiipangua ni sawa na kutwanga maji kwenu utakuwa hujafanya lolote maana bomu lenyewe lina mionzi ya sumu ambayo unaleta maafa makubwa sana
Netanyahu,is not affraid of being taken from power,but israel cant allow Philadophia corridor to be controlled by Hamasi for smuggling weapons from Egypt
Asma ni muislamu asie penda Israel. Ila ukitaka kujua ukuu wa Israel ka muulize Sheikh Sulle. Au mkaribishe aseme kweli uone..... hakuna Iran wala Hezbollah wala Dj Asma
Sio rahisi kwa muislamu kuipenda Israel zaidi sana akiwa muarabu. Waislamu wanaoipenda Israel ni wale Arab Israel (Waarabu raia wa Israel tu) kwakuwa wao wananufaika na maisha ya pale mpaka wenzao wanawaita wasaliti
Ukiwa chizi lazina upoteze muda kwanza sasa wewe unatupa drones zinatengulia hewani alafu mwezako yeye akutupa zinafukua hadi ardhi defensive yako niwatoto na raia.
😂😂😂Hii ni kauli ya uoga kitendo cha kusema HATUTAFUTI VITA KAMILI - maana Israel inajua kuwa kitendo cha kuingia katika Vita Kamili na Hizbullah hii inaweza kuwa ninhatari kubwa kwa Israel
Hezbollah Ana wanajeshi wa exprience kubwa ya ki vita kutokana vita vya Síria, Sasa myahud anategemea wa toto wasiekua na exprience ya ki vita, hasa vita vya Ardhi awawezi
Israel ni taifa teule lililoteuliwa na MAREKANI na mashetani wa ki illuminati kuwavuruga waarabu na Waislam Ili kuwadumaza kimaendeleo kwa Lengo la kuchukua rasilimali mafuta na gesi na kudumaza ustawi wa Uislamu.
Kwenye jeshi si silaha. Ni 1.Human resource well trained. 2.Intellegence 3.Economy 4.Technology 5.stratigics Hizbollah are army proxy supported by Iran and are like Iran Army in another sovereign state.
Hiyo yote ni vita ya uchumi,waarabu na warusi wanamafuta mengi.Marekani inapata mafuta mengi kupitia Israel na kumekuwa na mvutano mkubwa kweny hili,ndo maana unaona wachina na wamarekani wanataka kubuni gari za kuchaji ili kuzolotesha uchumi wa waarabu na warusi.
Infact Uchumi ni sehemu ndogo tu. Sehemu kubwa ni kidini, Judaism vs Islam. Kinachogombewa zaidi ya Ardhi ni eneo la temple mountain palipo na msikiti wa al aqsa panasadikika ndipo lilipokuwepo hekalu la Wayahudi lililojengwa na Mfalme wao wa zama hizo Sholomon/Solomon/Suleiman. Msikiti upo hapo na ni moja ya sehemu takatifu ya waislam, na kwa wayahudi ndio sehemu takatifu ya kwanza kwao, shida kubwa ipo hapo
@@AGM19697Gaza Kuna mafuta na gesi nyingi sana pale mkuu, Dini ni sehemu ndogo sana ya ugomvi wao ila rasilimali gesi na mafuta ndo kinachogombewa pale ndugu.
Pia elewa the highest oil revenue companies in the world ni kutoka Uchina na huko huko Marekani ndugu. Kampuni Kama SINOPEC, EXON MOBIL ni one of the examples pia.
Muirani ndo alikuwa anatafutwa Ili aingie king....washirika wake wamemtonya kwamba aache asije akapotezwa maxima..maaña Vinu vyake v6a nyuklia ndo vinatafutwa...Irani kaona amtumiee Lebanon .ilà ni ukweli kwamba Lebanoni itachakaa......uchumi wa Lebanoni umeshashuka.lebanoni ànaingilia vitasio yake
Inatakiwa watu thingies humo kujadili wenye mawazo tofauti. Isiwe tu kwamba kuna watu ambao wanachuki naisrael pekee ndio wanaingia humu. Na ndio naona zaidi kwenye kipindi hiki
Na hapo naomba niwakumbushe kuwa Hizbullah iliipiga Israel makombora 320 sio 312 bhanaa kuna makombora 8 hapo mmeyaminya DjSmaa255 Mimi kama Chair Man wa wana GPS hapa Middle East NAWAKUMBUSHATU
ukiongelea gharama kwani hethbolaa wao makombora yao wanaokota? au ni madongo ya kuchimba tu ardhi ? wakuu israeli imejipanga kwa vita na haijaanza leo vita yeye ndio mkuu wa vita na ni mshindi mara zote ukiona kashindwa usifurahie mtego huo...oya nyie chambueni tu mtupe burudani ila hapo mashariki ya kati mungu anajua mwenyewe
Team hesbo llah naomba like zangu jamn 🎉🎉
tupoo😊
Hatimae tumeipat GPS hongereni sana sns big up brother Sky,Dj smaa,Ali masubi ,Henry pamoja na mgeni wetu Gerard
Dj SMA, my big brother. Nakupenda bure, nipo Mombasa Kenya, nafatilia SnS kwa kila tukio, heko kazi nzuri, mnatupa nondo za kutosha, nafrahia sanaa.
Muongooo kapata bakora mzuriii sanaa haisemi na watu wamekufa wengii Hilo gaidii ila huu ndiyo mwisho wake love Lebanon
Wewe ni bwege kweli😂Amka!unajikojolea 😂
Lebanon ni mtoto mdogo sana kwa Israel. @@benardmakori4012
@@benardmakori4012BWEGEE ni Mama yako mbwaaaa koko wewe Shogaaaaa jeusiiiiii hilooo
Aamke Alfie kwa mashoga?
Aya sitaki udini wazeee.....Dj Asma anawachora tu.
Skia wazee wa Tanzania ebana hili suala nila kihistoria. Kulieleza vyema ujifunze na uwe tayari kupokea...... Mimi naomba wana SNS mkaribisheni Doctor Sulle aongelee huu mgogoro.
Kimsingi, Sulle ana udini sana lakini penye ukweli hafichagi..... kimsingi ni msomi pia wa mambo ya dini
Eeee mwenyezi Mungu tusaidie sisi tunaomba mwisho mwema hasa watoto ndio wanateseka zaidi
Hellow.🎉Nimependa SNS wanasoma comment zetu... Kuna vitu vingi tunashauri tunakuja kuona tyr wapo wanafanyia kazi... Big up SNS.
Henry ni intelligent sana nlikua namuelewa Kwa ufasaha zaidi😊
Djsmaaaa mwambaa kabisaaa ginius tupo pamoja mkuu unajua snaaa mkurugenzi
Je na wew unaamini bila amerika dunia ni amani tuu kama unaamini gonga like hapa. Maana u.s.a dawa yao ipo jikoni
Wazee hapa msidanganyike,Israel inatisha hataree
Ni wazungu wa ulaya sio Wa Isaiel
Ni wazungu kutoka Australia
Bila marekani na Eu hamna kitu
But endelea kuabudu Isaiel
Sawa natacat
Hakina madhara ya hayo makombora, Israel imelipua wiki iliyopita wamelipua naghala ya makombora, mbona hamsemi, Makamanda wa Hezbullah wameuawa zaidi ya 400 mbona hamsemi. Hakuna shambolic la Israel nchini Lebanon ambalo limezuiliwa!! Why mseme uhatati uko pande zile? Mnatafuta visa vidogovidogo kuonesha uhatari wa Hezbullah!! Acheni ushabiki wa ajabu.
Dj Sma is a good presenter but anaagenda zake
Yaani DJ sma anaipenda Iran kiasi kwamba hata vitu vingine anavisema ni uongo usio na kifani yaani S-500 imepelekwa Iran dunia isijue yeye ajue 🤣🤣🤣
Umeona eeh,Yani analazimisha tuone kwamba Israel ni mdogo kitu kisicho kweli kabisa Iv Irani angeshambuliwa kiasi hicho kama Israel je angeexist
@@evodiusbahegwa6557mnaosapoti Israel ni mashoga wote😂😂😂
Mandiko huwa hayakosei.
Umefafanua vizuri sana Mr DJ smaa.
Viva muumini didimiza mazayuni InshaAllah
Ndoto
Tangu waneanza mbona wameshindwa 😂
Watu wenye akili km nyumbu ni waislamu,, 1 warabu walimshindwa Israel, akiwa na manati na magali ya mkokoteni wa punda na wanajeshi 2000 tu,, uchumi wake kote duniani ulikua zoofu sana,, kwa kumalizwa na adolf hitler,,,, huku warabu wakimiliki vifaru 400, ndege hatari za kivita zaidi ya 300,,idadi ya wanajeshi warabu 2,000,000. Na bado wakashindwa,, leo watamwezea wapi huyu Israel! Anaemiliki technology %70 ya dunia na uchumi wa dunia ameukamata yeye. Hili litakua anguko kubwa kwa mwarabu.
@@christinewomanoffaith5479wazayuni wengi wateketea sasa wasubir adhabu ya Mungu wafate na weye kama unawapenda kweli 😂
@@christinewomanoffaith5479Israel walitoa muda gani kwa hamasi mpaka kesho wameshindwa kulifuta kundi la hamasi tena kundi sio jesh
@@AwateeSasa inakuwaje wanaolalamika zaidi ni wapalestina
Huyu jamaa mgeni nae yupo smart sana big up sky
Hongera sana SNS nyinyi ni number 01 in East African ila muwe mnaongelea na habari za Watu waliofariki Burkinafaso , congo na Tanzania msiwe Bias media mna ruhusa kujadili kuhusu Katiba mpya , muungano na Zanzibar , Taswira ya maendeleo yetu mpaka 2030
Cost za Intercepters inategemea na budget ya Jesh, na misaada anayopata. Hezbullah hatumii makombora ya bure. Tatizo kuchangia huku mmeegemea upande mmoja ndo hii
Sky walker tunaipenda GPS lkn inabidi tukuwajibishe mana GPS ni ya kwetu Wana GPS na tumezoeya kuona fact and logic na good projection ya nn kinachoendelea leo story zilikuwa nyingi yaani ni kama story za mitaani na kwa kweli dj smaa haikuwa meza yako leo very embressed sky walker usitukere upo hapo kwa ajili yetu na mlitufunza kuangalia mambo tofauti ama nje ya box leo umetuletea story za vijiweni rudi kabisa utuombe radhi Wana GPS
@@fahmanalbulushi2925 Upo sahihi sana.
Kwenye mijadala kama hii facts ndio inaweka heshma zaidi na sio mapenzi ya upande fulani
Ww ulitakaje kwani, mbwa mwenye nyege ww?
Nazani nilicho
Kiongee sky amefaham sijamtukana Mtu nimetoa maoni yangu kwa hio Sina time ya kukurejeshea matusi inaonekana hujaelewa nilicho kimaanisha @@GeorgeAkasha-zx2rj
Ata nje ya SNS @GPS kunavyanzo vingine vya habari tunafatilia so DJ Sma ni mwongo ata uyo mgeni ameliona ata kina Ali Masubi na Henry nahisi ndo maana hawakuja hawapendi conversation na Dj Sma,andhani yy anajua zaidi
@@GeorgeAkasha-zx2rj Weka hoja mezani, matusi ni ushamba wa kizamani sana
Aiseee hii Combination MPYA ya DJ SMA na GERRAD ni nzurii na Makini sana aiseee
Daah aisee sns ni zaidi ya mtazamo 💪💪
Huyu smar nimmshabiki hajuibl reality, acha kuegemea upande be real brother utaharibu kipindi kizuri pls take this advice, I bless you people
Wameshambulia hadi mambanda ya kuku unasema wanashambulia jeshi,
Huyu dj smaa mbona anaongea unyenye mwingi unahisi wote walisoma.balanc kidogo broo
Huyu mchambuzi mgen ana uwezo mkubwa
Akiwa dj smaa peke ake hua siskilizi cz anaegemea upande ila column ikiwa imekamilika mjadala hua mzuri zaidi..
Big up nasikiliza nikuwa Jakarta indonesia pamoja sana❤
Smaa is back GPS is back
Team ezzzzzzzzzzzzzzzzz Z mpaka mpaka Tel Aviv
Taifa gani la Mungu linaua watu,wanaifundisha nini Dunia
Miungu ipo mingi ata firaun alijita mungu
Kumbe huoni Hamas wakiuwa watoto wa kiisrael
What a dull mind ....Hizbollar can't stand with Israel when it comes to convension war fare....
@@Clever-l8vWulizia Hamasi kama mungu wawo anawalinda
Kwenye vita ....Israel na Iran....wakipigana all out war....Ayatollah ni mwisho wawo
Dj smaa... Akili Kubwah🎉
Daaah bwana Gerard nae yuko fresh kbs big sana sns ✌
Jamaa anajua sana tena sana.
@@GeorgeAkasha-zx2rj ndio ndio nipenda kwa sababu yuko na tizama mambo kwa pande mbili tafauti safi kabisa ⭐✌
@@abdullahmapesa Kabisa mkuu ila shida ya watu humu hawataki mchambuzi anaeangalia pande zote 2 wao wanataka mtu Kama SMA anaekuwa upande 1 tu mara nyingi.
@@GeorgeAkasha-zx2rj 😂😂😂😂 yeah brother emotion ndo tatizo watu wanapenda yale wanawaza kichwani ndo huongee hukiongea tafauti inakuwa tatizo , usishangae ata na Sisi apa tutakuja kupigwa ma cash sasa ivi 😂😂😂😂😂😂.
Good stuff SnS credit to Frank Bundala & the team
Big up SNS kwa GPS
Mm ndiye monita wa gps wapili kwangu alaiki
Hezbullah hajawahi kushinda Israel. Hakuna record hiyo
Ilikua 2006 Israel walipigwa wakakimbia Lebanon fuatilia utajua
Jamaa ni mchambuzi mzuri, ila hili linamshinda kubalance, hivi hao wanaorusha makombora wanayapata bure.? Au hao wanaofadhili wanayapata bure? Ni na wao wanaingia mfukoni. Kama ni kudrain uchumi basi ni wote wanaounga mkopo upended wowote.
Yes ni mchambuzi mzuri sana japo anaupande wake anaoushabikia kwa siri sana. Kwa mliosoma Cuba tu ndio mtaelewa😂😂
Ni kweli hawapati bure ila kombora la kushambulia linakuwa ni rahisi kuliko linalo linda
Na tatizo ujue ni kwamba wanao shambulia wameongezeka na watakuja wengine wataongezeka kwaiyo uchumi wa israil utayumba sana
Kama ulivo kuwa wewe mshabiki wa upande flani usimkataze mtu kuwa na ushabiki na anacho kiamini😂@@AGM19697
@@salumabdallah2990hakika
Ninyi makatuni et munababadua hapo et na unyenye mwingi wale ambao walikimbia shule wataisoma namba matako yenu
Israel shall never be defeated......by any one in thus world...
Unahaki kuongea kile unachozikia iyivita ingekua nchii kwenu hungeshabikia ujinga kwawatu wanamuasi mungu kumwaga damu zabinadamu , 😂😂😂😂😂
@@uwimana6533mbona akipigwa Israel wewe unashamgilia, peleka matako yako huko. Shangwe ni shangwe hata kama ni machukizo kwa mwengine.
Israel ni taifa la Mashoga
Mutumwa huyu israel is a world of hooligans
Kwa hiyo october 7 ni damu za nguruwe zilimwagwa..... wewe acha hujui unachoongea. Kajifunze dini na history ndio uje utie maneno yenye logic......
Join dote and connect dote za ufahamu kwanza
Sma nakubali Kwa kuchambua russia
Ni kuongea kimtazamo binafsi sio kiuhalisia, uhalisia ni kwamba mpaka sasa Lebanon , na misri pia Iran nk hawa ndio wanaoijua vizuri Israeli ndio maana hawawezi kuanzisha vita kichwa kichwa.
Always namskiliza Dj Sma,hayuko balanced,anaegamia uoande mmoja,afu anafisi wote waamini anachokiamini,siyo mchanbuzi mzuri
Dj cma mandiko yanakosea sana
Ni vijana hatari sana Kwa uwezo wenu katika mchanganuo wenu wa kimkakati wa kiinteligencea,tunawapenda wote
Iran imefanya vyema kutokujibu sababu kile kikao cha netanyahu USA kilikuwa na Jambo kimelipanga kureact mapema ni kujiingiza katika mtego wao.
Gerald anajua sana kiuchambuzi.Kaka sky GPS ijayo jamaa muite tena maana ana balance sana habari zake.
Israeli mbwa tu acheni kukaririshwa na wazungu eti taifa La mungu hili taifa la wezi, mafedhuli ,mashoga
Pia hezballah walitakiwa wadai eneo lao la west bank waliyoichukua miaka ya nyuma
Dj sma kibaraka wa magaidi anachuki binafsi na wayahudi.
Shoga ww
@@MzeeKigogo_ ni ukweli ni mkimbizi kutoka yemeni
@@benardmakori4012 huyo jamaa nimemshtukia kitambo
Jamani ee...kama Zionism regime ni mbaya asisemee!!!? Hachukii wayahudi per se anachukia vitendo vya baadhi yao, hasa zionists...wake up men, see the truth! Open your minds guys
Choko wewe
Uyo jamaa anajua sana yani anachambua aegemei upande afu elimu ipo sio uyo kipara mjinga
Wewe mwenyew ni mjiga vilevile mpumbavu mavuzi wewe😂
@@Njiwamichael-km1dm8et9x Shida wengine wapo kushabikia upande fulani
Tuachie kipara wetu mbwa wewe
Wewe ndo raisi wa wajinga dunian nyaruwambo mkubwa wewe
Dj asma 16:26 usiwe bias kwenye kuchambua is like unaonekana uko upande wa hesbolah
Nikama wewe Unavyo Onekana Upo upande wa Israel Upo na Mashoga wenzio😷
Nikama wewe Unavyo Onekana Upo upande wa Israel Upo na Mashoga wenzio😷
Dj sma NI Muislam kwaiyo haikuhitaji nguvu kubwa kumuelewa
Sma. I see u🧐🧐
Ukiona hezbola yazaman nasasa nitofaut bas ujue iran ya ya sasa na zama pia tofaut sana
Haniyeh (RIP)
Mimi naamini Bundara hawezi kuleta mtu mambae hawezi kutoa uchambuzi mzuri,Hata Ally nilisema asome zaidi ili afanye uchambuzi uko balanced...Kila mchambuzi wa kipindi hiki inabidi apewe nafasi.
Uchambuzi wenye viwango vya juu
Mwana SNS lazima uelewe serikali za Palestine na Lebanon zmewekwa na na USA ndio maana hukaa kimya kwenye hizo vita za hamas na Hezbollah
Ivi nyiklia inaziwiliwa?
Kile kitendo cha kuizuia Tu Ni shabaha tosha achana kabisa na hizo silaha
@@ibnujumanne4054wataalamu wanadai makombora ya sasa ya nyukria yana uzito mkubwa sana tofauti na yale ya japan ambayo yalihesabika kwa kilo siku hzi yana uzito wa Tani kadhaaa na mlipuko wake ni mkubwa sana unaweza kuipasua dunia au kuleta matetemeko makubwa, inaonekana kama hadithi lkn ktk ulimwengu wa sayansi sio hadithi kila kitu kipo under cal culation,,
Na ikitokea ulaya wametwangana na haya mabomu nadhan watakuwa wamejitumbukiza ktk umasikini wa kudumu, watakuja kuomba msaada afrika
Yes
Nyuklia inazuilika ila ni too expensive technology ya kuizuia na ni risk kubwa mno hasa mission ya kuzui ikienda wrong side ni maafa makubwa sana...
@@ZeProDJay mjomba ile hata ukiipangua ni sawa na kutwanga maji kwenu utakuwa hujafanya lolote maana bomu lenyewe lina mionzi ya sumu ambayo unaleta maafa makubwa sana
Uzuri wa Israel anapiga na kuua kuanzia Iran, Palestine na Lebanon. Hezebora kaziyao nikurushatu makombora😅😅😅
Mbona Mazayuni nao wanauwawa ila wanaficha sana taarifa kama hizo.
Kwani hisbola hawajatumia gharama au? Hayo makombora wamepewa bure?
Inzi nondo sopowa katamti panda mti gd
Tamaa itawaponza wa zayuni kama ilivyo mponza Firaun Laana tnllah
Kauli ya netanyau wanautuzulu na sis tunawazulu.israel wanapigwa.kama alivyo wazili mkuu wa israel awapendi wanchi wa israel.
Nawasikiliza nikiwa Maputo Mocambique
Leo ndo umemkumbuka smaa 4:41
Netanyahu,is not affraid of being taken from power,but israel cant allow Philadophia corridor to be controlled by Hamasi for smuggling weapons from Egypt
Wanaegemea upande mmoja ila vita ni vita, Herzbolah wamepigwa San tu
⭐⭐⭐⭐⭐
uyu kaka hasipende kutumia sana lugha ya kigen hatumie kiswahil ili tuelewe vizur
Asma ni muislamu asie penda Israel. Ila ukitaka kujua ukuu wa Israel ka muulize Sheikh Sulle. Au mkaribishe aseme kweli uone..... hakuna Iran wala Hezbollah wala Dj Asma
Mbona unapenda kumuandama mwenzio?? Kwani lazima kila mtu aipende Israel?? We ukiipenda si inatosha... acha maisha ki analog tupo kwenye 5G babu
DJ smaa ni mwarabu kutoka yemen😂bila kupiga ni mkimbizi
Sio rahisi kwa muislamu kuipenda Israel zaidi sana akiwa muarabu.
Waislamu wanaoipenda Israel ni wale Arab Israel (Waarabu raia wa Israel tu) kwakuwa wao wananufaika na maisha ya pale mpaka wenzao wanawaita wasaliti
@@benardmakori4012 we mwenyewe mkimbizi
@@AGM19697 kumbe we jamaa mjinga wa mwisho! Kma unajua hilo kwa nn uanze kuleta vimaneno vya kike hapa
hamna mchambuzi humu kuna mdini flani kwendaaaa
@@solomonsaitabau4461 Umeona eeeh. Sana sana usimba na yanga imeanza humu
Nakubali wewe ni muona mbali.... binafsi nilitamani aweke udini mbali kisha akazie ukweli na teckonolojia tu
@@anthonylaban4943 Hakika
Hapa kwenye hii channel wote NI waarabu weusi unategemea nini?
Mmekutana mashoga flan Hiv wote akil moja achen Unafik machoko nyie
Maswali mazuri na majibu mazuri kwa wote hakuna upandande
IDF.....Jeshi imalaaaaa
Idf sio imara marekani ndio imara.
Kajifunze kuandika kwanza eti imalaaa😂
Ukiwa chizi lazina upoteze muda kwanza sasa wewe unatupa drones zinatengulia hewani alafu mwezako yeye akutupa zinafukua hadi ardhi defensive yako niwatoto na raia.
Wa yahudi....since in millitary history,IDF has been so smart
Israel ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yes yes
Shoga katika Moja na mbili
Lile tukio la kufa kwa. Haneymakamanda Karibuni kumi na mbili walikamatwa wa iran
😂😂😂Hii ni kauli ya uoga kitendo cha kusema HATUTAFUTI VITA KAMILI - maana Israel inajua kuwa kitendo cha kuingia katika Vita Kamili na Hizbullah hii inaweza kuwa ninhatari kubwa kwa Israel
Iran alishaanza kujibu katika njia iliyosahihi. Ngoja Israel amalizwe nguvu na marekani aondoe destroyer Kisha utaona mziki wake, lazima pachomeke.
Siorahisi tatizo mambumbumbu wengi,ivimnaijua Israel,ngojauone
Huyu mchambuzi mpya anaakili nyingi sn
wote mmeskia alitaka kusema ufirauni wa israel,akaja kusema ufanisi wa israel...hamna mchambuzi apa😂😂 kama ni refa bas kala hela
Pga hao mashoga 😂
Hezbollah Ana wanajeshi wa exprience kubwa ya ki vita kutokana vita vya Síria, Sasa myahud anategemea wa toto wasiekua na exprience ya ki vita, hasa vita vya Ardhi awawezi
Vita ni umaskini
Kwa Israeli maadui watapigwa mpaka watajuta kama ni taifa teule mngoje mpk Mungu awakatae ndio washindwe
Israel ni taifa teule lililoteuliwa na MAREKANI na mashetani wa ki illuminati kuwavuruga waarabu na Waislam Ili kuwadumaza kimaendeleo kwa Lengo la kuchukua rasilimali mafuta na gesi na kudumaza ustawi wa Uislamu.
kabsa
Islael ni taifa la kishetani na pia ni taifa la mashoga wapigwe nukria tu
Sasa mmekazana taifa teule halaf mji mkuu wa taifa n taifa la mashoga dunian sasa hapo unajisifia nn au ushoga tu ndo umewajaa
Kwenye jeshi si silaha.
Ni
1.Human resource well trained.
2.Intellegence
3.Economy
4.Technology
5.stratigics
Hizbollah are army proxy supported by Iran and are like Iran Army in another sovereign state.
Mjadala mkali kabisa.
Hiyo yote ni vita ya uchumi,waarabu na warusi wanamafuta mengi.Marekani inapata mafuta mengi kupitia Israel na kumekuwa na mvutano mkubwa kweny hili,ndo maana unaona wachina na wamarekani wanataka kubuni gari za kuchaji ili kuzolotesha uchumi wa waarabu na warusi.
Infact Uchumi ni sehemu ndogo tu. Sehemu kubwa ni kidini, Judaism vs Islam.
Kinachogombewa zaidi ya Ardhi ni eneo la temple mountain palipo na msikiti wa al aqsa panasadikika ndipo lilipokuwepo hekalu la Wayahudi lililojengwa na Mfalme wao wa zama hizo Sholomon/Solomon/Suleiman.
Msikiti upo hapo na ni moja ya sehemu takatifu ya waislam, na kwa wayahudi ndio sehemu takatifu ya kwanza kwao, shida kubwa ipo hapo
Huna unachiijuwa, unataka uonekane,km nimzungumzani, na unachangia comment
@@AGM19697 ndani ya ardhi Kuna mali
@@AGM19697Gaza Kuna mafuta na gesi nyingi sana pale mkuu, Dini ni sehemu ndogo sana ya ugomvi wao ila rasilimali gesi na mafuta ndo kinachogombewa pale ndugu.
Pia elewa the highest oil revenue companies in the world ni kutoka Uchina na huko huko Marekani ndugu. Kampuni Kama SINOPEC, EXON MOBIL ni one of the examples pia.
Muirani ndo alikuwa anatafutwa Ili aingie king....washirika wake wamemtonya kwamba aache asije akapotezwa maxima..maaña Vinu vyake v6a nyuklia ndo vinatafutwa...Irani kaona amtumiee Lebanon .ilà ni ukweli kwamba Lebanoni itachakaa......uchumi wa Lebanoni umeshashuka.lebanoni ànaingilia vitasio yake
Inatakiwa watu thingies humo kujadili wenye mawazo tofauti. Isiwe tu kwamba kuna watu ambao wanachuki naisrael pekee ndio wanaingia humu. Na ndio naona zaidi kwenye kipindi hiki
Uyu Gerad amna kitu aisee
We una kitu gani hebu chambua
Wewe ndo bure kabisa
Kuzungumzia kabila kuwa na jeshi hata africa ilikuwa ivo mfano wamasai mpaka leo wana huo utaratibu ingawa hawana bunduki,
Na hapo naomba niwakumbushe kuwa Hizbullah iliipiga Israel makombora 320 sio 312 bhanaa kuna makombora 8 hapo mmeyaminya DjSmaa255
Mimi kama Chair Man wa wana GPS hapa Middle East NAWAKUMBUSHATU
@@nassoroshakiru7094 😊😊
Je rocket moja ni beigan moja
@@zakariaabdalla-uo3nk Unataka kununua utulipue?
Ally masubi alishawah kusema drone Moja ya Iran inathaman ya 20000 dollar
Irana atapigana na israel kupitia hizbollaaa
Muhajemi mjanja kapata waarabu wajinga 😊
Hamnakitu hayo magaidi yote tutayaangamiza Asema bwana wa majeshi,
Israel 🇮🇱 forever❤
Nacho weza kusema khs vp lebanon ilan hawana pesa vita pesa nacho juwa nyetayau itashinda tazama urus ana haha now
Mbona na galama ya kombora 1 hamjatuambia galama yake
Rocket ya lebanoon nibeigan moja
Tatzo ni kwamba endapo itakuwa vita kamili MAREKANI ATA CHUKUWA IRANI YOOOTE
ukiongelea gharama kwani hethbolaa wao makombora yao wanaokota? au ni madongo ya kuchimba tu ardhi ? wakuu israeli imejipanga kwa vita na haijaanza leo vita yeye ndio mkuu wa vita na ni mshindi mara zote ukiona kashindwa usifurahie mtego huo...oya nyie chambueni tu mtupe burudani ila hapo mashariki ya kati mungu anajua mwenyewe
Tumieni lugha ya kiswahili wanokufuatilieni si wasomi