Video není dostupné.
Omlouváme se.

MSIGWA ATANGAZA VITA na MBOWE - LEMA - LISSU - "WAPINZANI WASIPATE KITI HATA KIMOJA - NINA SABABU"..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • MSIGWA ATANGAZA VITA na MBOWE - LEMA - LISSU - "WAPINZANI WASIPATE KITI HATA KIMOJA - NINA SABABU"..
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 538

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 Před měsícem +4

    Kuna waati nikiona viongizi wa dini kama hawa napata mashaka hata kwa mahubiri yao
    Mungu nisaidie nibaki kwenye imani yangu,

  • @juliasmtundu442
    @juliasmtundu442 Před měsícem +10

    Yuda msalt yupo wapi WA yesu

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem +15

    Unaogopesha watu kuusu kuitwa mchungaji kwani umegeuka laana katika kanisa

    • @chezariboy
      @chezariboy Před měsícem

      Kweli, nilaana kuitwa mchungaji

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před měsícem +5

    Mungu akulaani wew povu kibao hamna kitu apo nakuaidi nyota yako umesha zima kitambo saana

  • @user-qn8pb9er6c
    @user-qn8pb9er6c Před měsícem +18

    Nyoka hajawahi kutema maji ni sumu tu. 😂

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před měsícem +1

      tatizo chama ulichokimbilia umeruka mkojo umekanyanga mavi

  • @user-xd1jj8cg2c
    @user-xd1jj8cg2c Před měsícem +20

    Historia inaeleza kuwa ukoo huu ni hatari kwenye usaliti. Kabla wajerumani hawajajua Mkwawa watampataje, kuna mtu ambaye ni ukoo huu wa Msigwa alimsaliti Mkwawa na aliwaelekeza wapite njia ipi ili wampate Mkwawa. Huu ni ukoo hatari sana.

    • @davidchambulila6318
      @davidchambulila6318 Před měsícem

      Msigwa ni mtu wa njombe sio Iringa , wahehe hatuna ukoo unaoitwa msigwa

    • @GaradiGaradi-zq1wf
      @GaradiGaradi-zq1wf Před měsícem +2

      Amekosa kanda ya nyasa

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Před měsícem

      ​@@davidchambulila6318lakini ndio ana asili ya kusaliti hasa njaa inapopamba moto.

  • @sautiyawanyonge2511
    @sautiyawanyonge2511 Před měsícem +3

    Msigwa anahitaji msaada sana hayuko sawa kiakili

  • @mapendomeela7166
    @mapendomeela7166 Před měsícem +3

    Mungu utusaidie huyu ndie msigwa ninae mjua tena mchungaji yuda msaliti

  • @maryhando227
    @maryhando227 Před měsícem +11

    Msingwa jamani mwogope Mungu.

  • @user-ql3xm7ix4r
    @user-ql3xm7ix4r Před měsícem +7

    Umeingia kwenye kumi na 8 za lisu

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Před měsícem +10

    Mna uhakika kuwa uyu ni mchungaji au mchungwaji 😅

  • @danielkanso
    @danielkanso Před měsícem +6

    Baada ya kushindwa uwenyekiti kanda za juu kusini mhhh njaa nenda huko

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Před měsícem +13

    Huna tofauti na mtoto mdogo. Ni aibu Kwa kweli.

  • @yesayaambayuu2240
    @yesayaambayuu2240 Před měsícem +2

    Mungu hawapende watu wa kauli mbili.

  • @pendobruno111
    @pendobruno111 Před měsícem +2

    Hata Mungu siku moja utamsaliti

  • @waweruwaweru3303
    @waweruwaweru3303 Před měsícem

    Mchungaji wa maslahi ya tumbo. Msaliti wa maendeleo ya wananchi. Tamaa mbaya Msigwa. Ogopa Mungu

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 Před měsícem +4

    Unatia huruma wew siochungaji mchungaji gani anae kimbia kondoo pumbavu

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před měsícem +8

    Kweli siku ya mwisho tutachomwa vibaya saaana 😂😂

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před měsícem

      Huyu Msigwa anayekula matapishi yake atakuwa kuni aungue kwanza aliitukana sana CCM kuwa wana akili ndogo sasa yeye nadhani atakuwa na akili isiyoonekana kwa macho mpaka utumie darubini

  • @anthonylusuva6039
    @anthonylusuva6039 Před měsícem +8

    Njaaa wanakuchangia leo😅😅😅😅

  • @user-cf4cs9qp1k
    @user-cf4cs9qp1k Před měsícem +8

    Yeeee!! Hege ipa msaliti mkubwa!!

  • @josephk90
    @josephk90 Před měsícem +14

    Msigwa anaongea naona aibu mimi😢

  • @allenmoshi5125
    @allenmoshi5125 Před měsícem +12

    Umemuelewa huyu jamaa kweli chizi 😂😂😂😂

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před měsícem +3

    Njaa mbaya Sana

  • @PaulLeo-em5dh
    @PaulLeo-em5dh Před měsícem +15

    Ata kama umekuja ccm watu awatakupenda uliwahi kumtukana magufuli mwehu namba moja wew

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Před měsícem +9

    Kitu nilicho kuja kukigundua hapa kwetu tz. Hakuna upizani niwaganga njaa tu mmh aise. Mwana siasa wa upinzani akikwambia usiku mwema toka njee uangalia niusiku au ni mchana,

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před měsícem

      Acha uzushi, upinzani ni suala la kimaumbil, likichochewa na ñguvu ya akili ya ufahamu, utambuzi, utashi na uamuzi wa kuchagua kupenda (kutenda) au (kukataa (kupinga). Upunzani ulikuwepo tangu Mungu alivyomuumba binadamu na kumpa uhuru utashi wa maamuzi. Upinzani si suala la CHAMA fulani bali ni hulka ya binadamu!

    • @jaanjaan111
      @jaanjaan111 Před měsícem

      Hata katika imani kenge huingia katika msafara

    • @nicodemashaggite8429
      @nicodemashaggite8429 Před měsícem +1

      Kumbuka maneno ya MAKONDA
      Aliwahi kusema hakuna upinzani Bali Kuna watoa taarifa 😂😂😂😂

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Před měsícem

      Kwani we unamwamini msigwa tu au unayako Kumbuka yuda eskaliote nae alimuasi YESU kristo akaanza kunadi Pesa ..ndicho nnachokiona ni msigwa

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 Před měsícem

      Hapana sio hivyo ni baazi tu ndg yangu sio wote na hata ccm ndo kubovu kabisa ndg yangu

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y Před měsícem +7

    Acha kupotosha

  • @FredrickKinyaha
    @FredrickKinyaha Před měsícem +14

    Yuda

  • @maryhando227
    @maryhando227 Před měsícem +12

    Huyo Mungu amsaidie amrudishie ufahamu.

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem +14

    Ameanza kutunzwa kwa kumtukana mbowe kesho atatunzwa kwa kumtukana yesu uyu ni mtumwa wa pesa

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Před měsícem +3

    Wewe ongelea sera za chama cha ccm na si kubwabwaja maneno yasiyo na maana. Hatakisemaje Chadema haifi bora ukafunga domo bro.

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Před měsícem +1

    Arf ata awakushobokei niashara tu kuw ccm pia awakupendi IRA sasa wafanyeje 😊

  • @twahamaulid
    @twahamaulid Před měsícem +1

    CHAMA cha MAPINDUZI huwa kinashinda kwa kukubalika kwake na sio nyinyi WAPINZANI akina MSIGWA na wenzako mnaokuja CCM na kutaka kuyuaminisha kwamba mumekuja kwaajili ya kukiletea ushindi Chama cha MAPINDUZI.
    Nazichukiaga sana Kauli zenu nyinyi WAPINZANI.

  • @khamiskulasha
    @khamiskulasha Před měsícem +1

    Maneno ya Msigwa. Niyakijinga sana anatafuta frusa na huruma kutoka kwa Mh Rais Samia. Ampe uku wa Wilaya nk Ninampá pole sana.

  • @muhammedkaku9972
    @muhammedkaku9972 Před měsícem +5

    Lbd kwa asiye jua msigwa pesa ya ccm ameanza kuila tangu kwa marehemu magufuri tena alitaka kuhama kipindi hicho na siyo msigwa tu kuna mtu maalufu anatoka chadema muda siyo mrefu

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw Před měsícem +9

    Njaambaya😢😢😢

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Před měsícem +12

    Wapumbafu ndo wanaweza kukuelewa wewe umepelekwa tumbo lako wewe njaa mbaya juzi tu ulikuwa siginda ulizungumza nini wewe wapuuzi kweli watakueelewa

  • @AyubuMwambola-j3k
    @AyubuMwambola-j3k Před měsícem +1

    Unatokwa na mapovu,hauna hata haya ulaaniwe msigwa wewe siyo mchungaji, mungu akulaani

  • @charlesmbise2344
    @charlesmbise2344 Před měsícem +2

    Huyu msigwa hana msimamo njaa nyingine kwanini anaisema chadema wakati alikuwa huko ,anatakiwa atoe hoja zake za kuijenga CCM siyo kukisema chama alicho toka nitaishangaa CCM kumpa huyu uongozi

  • @ev.augustinehizza6584
    @ev.augustinehizza6584 Před měsícem +3

    Mhe Msigwa unajidanganya huwezi kitu,chadema ni taasisi sio kikundi Cha wahuni kama chama ulichoingia

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 Před měsícem +2

    Wewe msigwa sema ukweli, ungechaguliwa term hii tena kuwa mwenyekiti wa kanda ya nanda za juu ungekwenda kujiunga na CCM? Ni kwasababu ya uchu wa madaraka. Nani aliyewaua hao kama soyo wanachama wa hicho ulichojiunga.

    • @chezariboy
      @chezariboy Před měsícem

      Ukweli asingeenda fisiemu endapo angechaguliwa.. Muongo mkuu.

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p Před měsícem +5

    Njambayasana imezalilishamsigwa

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella7516 Před měsícem +4

    Ivi izo hela si mngechangia vtuo vya yatima!!

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Před měsícem

    Hatari sana..huyu jamaa si alikuwa yeye na chadema damu damu! Njaa mbaya sana!

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Před měsícem +1

    Pesa Ya Hongo Bwana.. Msigwa Usinye Kwenye Pango Kabla Mvua Haijaisha.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před měsícem +2

    Unapomsifia samia hapo unaharibu maana 90% ya watz hawamtaki ila kwakuwa unatafta uongozi endelea kumsifia

  • @user-rt8lv3jj8l
    @user-rt8lv3jj8l Před měsícem +1

    msigwa mwogope Mungu mchungaji.kuwa na akiba ya maneno

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Před měsícem

    Nchi yangu ongelea ugumu wa maisha ya watu chadema hawajawahi kuongoza nchi kwanini miaka ya sitini ya uhuru watoto wanasoma wamekaa chini,bima za afya watu hawazimudu

  • @danielymbangwa3742
    @danielymbangwa3742 Před měsícem

    Nakuapriciate Mh MSIGWA wewe ni mtu na nusu nafarijika sana kwa weledi na umakini wako katika uwanja wa siasa hakika wewe ni kioo kwa vijana wa taifa hili katika kujifunza siasa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +5

    Kwa kweli Msigwa ni mnafiki mkubwa sana. Kwani ulikuwa huko kama kiongozi. Wewe msigwa wewe ni mchungaji gani anayeshindwa kuwa kama kiongozi mchungaji. Fanya kama mchungaji.

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl Před měsícem

    Sasa Msigwa unatakiwa kuiongoza CCM uwekezaji uende sambamba na kuimarika kwa sailing dhidi ya dola . Mishahara,maisha ireflect uwekezaj

  • @zakeoleonard440
    @zakeoleonard440 Před měsícem +4

    Tanzania hakuna upinzani wote ni waganga njaa tu

  • @NtoraRollsheet
    @NtoraRollsheet Před měsícem +12

    Msigwa kuwa na Akiba ya maneno, Kumbuka siasa haina Adui wa kusumu wala Rafiki wa kudumu.😂😂😂

  • @ojmang6505
    @ojmang6505 Před měsícem

    Umefeli vibaya msigwa hata aibu huoni una laana ya mungu ni heri ungekaa kimya kuliko kukejeli chama kilichokupa umaarufu muogope mungu sijutii kuhsma kwako

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Před měsícem

      Chama kilichompa umaarufu kikigeuka kuwa Mali mtu unaacha unafiki na kukisema ipasavyo ili kujenga vyama imara vya siasa kama CCM ili kuwepo ushindani na nchi ipate maendeleo! Hongera sana Kuna hili na endelea kuelimisha watu ili vyama viendeshwe kitaasisi!

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu Před měsícem +8

    Usaliti mbaya we msigwa labda mwendawazim ndo atakuelewa

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Před měsícem +1

    Ufai Mzee 😱

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Před měsícem +6

    Jamaa atakufa vibaya huyu
    😢 . Karma itamtafuna tuu
    Usaliri wa yuda ..

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk Před měsícem

    Umejiunga kuhakikisha Mnaiba kama ulivyokua unalalamika kwamba Ccm niwezi.

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 Před měsícem +5

    Njaa mbaya sana

  • @deodatusmugalulamugalula
    @deodatusmugalulamugalula Před měsícem

    Msingwa kuondoka Chadema ni kama mtu kuchota ndoo ya maji ziwa victoria ukitarajia kina kupungua .Chadema ni jeshi kubwa waliondoka watu wengi maarufu kuliko Msingwa cha ajabu chadema ilizidi imalika shida hapo ni njaa ushauri wangu wampe hata Ukuu wa Wilaya atulie na aweze lipa madeni yake.

  • @AdamuIbrahimu-e9m
    @AdamuIbrahimu-e9m Před měsícem +1

    Karibu kwetu Chama kubwa CCM. Lakini nakupa pole sana. Umepitia njia ngumu kumeza.

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před měsícem

      Msigwa katumia haki yake ya kidemokrasi lakini wajinga wengine hawamuelewe nadhani shida ni kuja CCM ndo maana wengi wanamtukana lakini ukweli unabaki palepale Msigwa ni CCM kwa sasa hata mkimtukana Hongera sana Msigwa

  • @muttae2
    @muttae2 Před měsícem

    Usimuamini mtu katika maisha yako. Suspect everything Trust No Body🎉

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 Před měsícem

    Njaa tu uje uku kwetu utashiba! Ila ushauri Jenga hoja za chama uliko sio kukisema vibaya chama ulichotoka maana kilichokutoa ni cheo tu hakuna na Liko wazi na si lingine!

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem +6

    Mwogope sana kigeugeu anae yakataa maneno yake,,

  • @hopefully7090
    @hopefully7090 Před měsícem

    Acha vyama vya siasa viwepo ccm imejisahau sana ulinyamaza bandari zimepewa watu miaka thelathini watanzania wameongezewa mzigo wa watu vitu kupandabei Yuda scarioti.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před měsícem

    Yuko anapewa pesa kajisahau kasema sisi wapinzani 😂😂

  • @noellema9109
    @noellema9109 Před měsícem +1

    Doh? Kunishawishi ni pige kura mtapata tabu Sana, kwani siwaelewi nyie wanasiasa kwani msigwa tulikuamini Sana leo, umesahau kauli zako tata, ambazo mtu mzima apaswi kusema, kunasiku ulisema ukihamia ccm magari nyumba zako zichomwe, na leo uko ccm, unajua sisi ni watanzania, tunaipenda nchi yetu tunaipenda Sana amani, kwaiyo kwa kauli ile nakusihi utubu kwa mungu na kwa watanzania wote, na pia atu kuamini kabisa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      Usipopiga kura maana yake ndio hasa umemchagua usiyempenda.

  • @lelomushikimboka9938
    @lelomushikimboka9938 Před měsícem +2

    mbona kama analialia, nasikitika tu kwamba amekuwa kiongozi wa miaka 20 kumbe na yeye alipewa hakushinda kwa haki.. Kuna shida mahali watanzania kuhusu UADILIFU. Kuna contradictions nyingi sana katika hotuba yake. Tuseme hakutosheka miaka aliyopewa kuwa kiongozi sasa imemuuma kupewa Sugu na hasira za mwenye kukosa kusema hata ambayo hayakuwepo. Akitulia tutamsikiliza na kumwelewa ila kwa sasa ana hasira sana anachoongea kinakosa mantiki. DON'T JUDGE OTHERS WHILE YOU HAVE SOME PERSONAL ISSUES. Tujifunze kuchambua ukweli na kuutenganisha na ushabiki.

  • @YeseMoses-l4v
    @YeseMoses-l4v Před měsícem

    Daah Nenge Mbaya sana

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před měsícem

    Kama naweza kufanya Kama msigwa anavyo fanya hata kufirwa Sinto ona aibu , Kama nikiwa na sura mbili Kama msigwa hata kufirwa ni sawa tu,

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Před měsícem +2

    Njaaa mbaya sana

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem +5

    Maraya wewe muchungaji wa ccm

  • @chezariboy
    @chezariboy Před měsícem

    Huyu jamaa huyu kesha kufa kiroho kabisaaa ni aibu moyoni mwake.

  • @laupetpet7779
    @laupetpet7779 Před měsícem

    Acha ujinga kwahiyo CCM Kuna uhuru?? Kuna haki?? Au unasaka tonge usife

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před měsícem

    Msigwa kwa kauli hiyo amesahau utumishi wake Methali 18:18 kura hukomesha mashindano hukata maneno ya wakuu sasa Nape kathibitisha wizi wa kura kwa CCM naye Msigwa anaungana na uovu huu sijui kama anafaa kuitwa mchungaji

  • @AsifiweChaula-sq8bw
    @AsifiweChaula-sq8bw Před měsícem

    Toboa Mzee wapinzani wanadanganya,zaidi ya kuleta utengano Kwa taifa, Wana hubili UPENDO lakini hawaufuti huo UPENDO zaidi ya kusema usiongee na Wana CCM, huo ni ubaguzi,wewe SEMA tu

  • @eliastlaghasinaaly-wx4jo
    @eliastlaghasinaaly-wx4jo Před měsícem

    Umeshindwa uchaguzi wa kanda ndio unatapatapa Leo, wewe umefanya nini Iringa, hapo umepokea nini kama sio mnafiki.

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Před měsícem

    Ungestaf siasa umuhubir kristo tu acha. Tamaaa

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Před měsícem

    Ndugu zangu Haina Hana ya matusi nyarandu alipokelewa mwanza CCM walitulia. Mzee wetu. Luwasa Mzee kigunge
    Alichumuliwa. Wengi Leo msingwa mnatoa maneno hivyo nawatania tuuu

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 27 dny

    Yudaiskariot huyoo ebutulejee matapishi yake tuone kamakweli Huyu yudaiskariot atayamezaje,njaa ningumu kabisa,je CCM imebadrika lini tz kunawatu wapumbavu sana inashangazwa huu niubinafsi

  • @user-rs2oi1gg5p
    @user-rs2oi1gg5p Před měsícem

    Njaa imekukong'oli umejirusha chubwii
    Unafanya siasa ya biashara Ila kwa tumbo lako litakuhangaisha sana

  • @rinasmart5123
    @rinasmart5123 Před měsícem

    Of all the people!!
    Msigwa unafungua kinywa kuongea upupu huu dhidi ya Chadema.
    Kwamba unadhani utakuwa bora ktk CCM??
    Kwa huo ubongo mdogo ulionao,
    Unaongea kabisa kama upae!!
    Mbowe, bado anabaki kuwa mwenyekiti wa Chadema. Na ataendelea kuwa. Wafuasi wake tuko mamilioni.
    Wewe ni kirusi, tunashukuru umetoka, tutapumua sasa. Nenda,
    Wewe tapatapa tu.

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou Před měsícem

    Hii comment zote zinamlaani msigwa ,,,msigwa rudi kwa mungu usaliti ni mbaya umeenda kwenye uovu hii ni hatari

  • @lwitikomusa1712
    @lwitikomusa1712 Před měsícem

    Izo changamoto urzozikuta ww kama mchungaji urifanyann , daaa njambaya sana🤣🤣

  • @hamadsaid2232
    @hamadsaid2232 Před měsícem

    Watu WA aina hii wapo katika vyama vyote. Mwanadamu ni kiumbe Cha hatari. Kaa uwasome tu. Yote haya ni kwa sababu hatujifunzi
    ipasavyo. Siasa si kivutio Tena ni balaaa la wanaadamu aridhini.

  • @bisamwansakanile7219
    @bisamwansakanile7219 Před měsícem

    Wewe Peter Msigwa unaongea nini kama wewe ulikuwa kiongozi ndani ya chadema kwa muda wa miaka 10 je uliyaishi uliyokuwa unayasema? Umevuruga chama na kutengeneza makundi ndani ya chadema asante kwa kuhamia ccm mtupokee huo mzigo, Msigwa umejaa visasi

  • @boaztimoth6044
    @boaztimoth6044 Před měsícem

    Kumbe uongozi wa kanda ulihitaji kwa nguvu udumu milele weee

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 27 dny

    Msigwa amegeuka kuwa shetani kumbe hatambinguni ilikuwa kamanilivyoshuhudia Leo yaani msigwa ameaibikampakanguo ya ndani eemungu tusaidiye utujariye roho ya utu,

  • @MonayLai
    @MonayLai Před měsícem

    Alishindwa na sugu kwa kura moja akalalamika weeeeeeeee! sasa huko kama amefata cheo basi Mungu atamlipua tuu tusubiri muda

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Před měsícem

    Tuwe wakweli hapa Chadema imekula kwao jamaa atawasumbua sana 🤣🤣

  • @user-xc5ie8cp7o
    @user-xc5ie8cp7o Před měsícem

    Chadema hamta fika nchi ya ahadi kwa sababu manuniko

  • @boaztimoth6044
    @boaztimoth6044 Před měsícem

    Nilikuamini sasa hapana kumbe unapenda sifa na maneno iko siku utatoa Sili za askofu wako na huduma hata mimi ni mchungaji siwezi fanya hivyo uwe na moyo wa kushukulu

  • @user-ep2cm5xo3k
    @user-ep2cm5xo3k Před měsícem

    Nakushangaa Sana msigwa kwa kauli zako,muongo mkubwa,kama ni kweli maneno unayosema juu ya chadema usingepewa ubunge kwa miaka kumi pamoja na nafas za uongoz ulizopewa,kwaiyo muongo ujulikana katika njian zake.

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Před měsícem

      Hajasema miaka kumi chama kilikuwa hivyo Bali Sasa chama ni Mali ya mtu!!!

  • @nicholasgeho3357
    @nicholasgeho3357 Před měsícem +5

    Una tofauti na Yuda Iskaliote, hizo njaa tuu, akili ndogo kuongozwa na akili kubwa

  • @saimonmsigwa1093
    @saimonmsigwa1093 Před měsícem

    Chadema mjibuni msigwa kwa kumnyang’anya uwenyekiti huyo mkurunzinza acheni porojo huu ndio ukweli

  • @deodatusmugalulamugalula
    @deodatusmugalulamugalula Před měsícem

    Kwanini hajachoma nyumba yake hadi sasa akumbuke ahadi yake na atekeleze kweli kama yeye ni mchungaji. Jamaa nasikia ndie mwanasiasa anaye ongoza kuhama vyama duniani sio Tanzania tu hicho ni chama cha tanoila CCM ni mara ya pili hatari

  • @florangido202
    @florangido202 Před měsícem

    Njaa inakusumbua.
    Umekosa Cheo, Kapewa Sugu Mdiyo Umehama
    Ovyo kabisa wewe 😂😂😂😂

  • @jeremiahmagau8623
    @jeremiahmagau8623 Před měsícem +2

    Integrity unaizungumzia CCM hahaha.

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 Před měsícem

    Msigwa katimkia ccm Sasa chadema Kuna sheikh kadogo ni Bora kuliko huyo msigwa

  • @OsamaOmary-b6r
    @OsamaOmary-b6r Před měsícem

    Sisi kama chadema tunajuwa ulicho kifuata uko ni uongoz unakula mdomo tuu ata atukujui unacho ongeya ww kwanza ilo jina mchungaji alikufai ww ni mchungaji wa masilai tuu