MCHUNGAJI MSIGWA AMVAA MBOWE kwa MARA ya KWANZA MKUTANONI kwa CCM - AFICHUA MADUDU YOTE ya CHADEMA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • MCHUNGAJI MSIGWA AMVAA MBOWE kwa MARA ya KWANZA MKUTANONI kwa CCM - AFICHUA MADUDU YOTE ya CHADEMA..
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 406

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před měsícem

      Pimbavu hakuna mchungaji kama wewe tapeli

  • @YangaNews
    @YangaNews Před měsícem +10

    Tanzania tuamke huu upuuzi wakna msigwa usituteke ccm imeharibu nchi yetu

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 Před měsícem +12

    Njaa mbaya sana, Esau akiuza haki yake ya ukubwa wa familia Kwa CHAKULA tu, Hana tofauti na huyu nyumbu

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 Před měsícem +6

    Hii njaa Msigwa juzi tu unaiponda Ccm unatuchanganya ndg Msigwa kweli tusiwaamini wanasiasa

  • @MelkizedekUrio-xl1jp
    @MelkizedekUrio-xl1jp Před měsícem +4

    jamani njaaa inatesa huyu ni msigwa kweli

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe Před měsícem +5

    Loo hakika siasa ni mchezo mchafu hivi msigwa unaikashifu chadma iliyokupa umaarufu namengine kweli? Ccm kuweni makini mtu huyu hana maana kabisa . Mimi si mwanasiasa na sina chama ila hapa msigwa hufai kabisa.Unajitambulisha ati mchungaji mchungaji gani mnafiki wa kiwango hiki? Mwogope Mungu wewe.

  • @reginaruta3249
    @reginaruta3249 Před měsícem +6

    Wachungaji hawatakiwi kuwa wanafiki. Futa ilo jina kabisa.

  • @SolomonKaay-gq3gl
    @SolomonKaay-gq3gl Před měsícem +23

    CCM ulikuwa unaitukana kila ulipo fika,leo unaisema chadema haukuwa mtoto useme ukuijua ccm,waombe radhi watanzania wewe CYO mtu wa kuaminika milele.

    • @mkude
      @mkude Před měsícem +1

      Kama hujui siasa hiyo ndo siasa,siasa hakuna adui wa kudumu Wala rafili wa kudumu,kwahiyo usishangae msigwa kwenda ccm.labda kama utakuwa hujui siasa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před měsícem

      Solomon yamemfika huyo acha ayamwage hiyo ndiyo Siasa mchezo mchafu

    • @polokotomwalusamba1132
      @polokotomwalusamba1132 Před měsícem

      Hafai hata kumpa dakika kumskiliza

  • @oswadrdaniel819
    @oswadrdaniel819 Před měsícem +4

    Njaa inakuua we lipa fazira

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před měsícem +20

    Hahahahaa njaa kweli ni mbaya sana

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před měsícem +2

      Punguza stress kijana wanasiasa sio wenzako, tafta pesa

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Před měsícem +5

    Wa Na siasa Malaya Malaya kama huyu kibaka msigwa mwalimu Nyerere Alisama ni hatali Sana Kwa nchi yetu Hatakiwi kuaminiwa Na mtu mwenye Akili timamu

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Před měsícem +2

    Nasikia ulichukua pesa,Ili ukishinda uenyekiti wa Kanda uibomoe Chadema,Mbowe Hana njaaa amesemwa mengi,Lakini mwamba Yuko imara sana,Utabomoka mwenyewe

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali Před měsícem +3

    Huna maajabu mchungaji mzima ovyo mmbea wewe

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před měsícem +4

    Mtu mzima lakini unaongea Utoporoo tu puuzi kabisa
    kwa hiyo unatuona watanzania hatuna akili, puuzi kabisa msigwa

  • @philliminusmugereza5699
    @philliminusmugereza5699 Před měsícem +1

    Peter Msigwa Kawaombeladhi Wanachama Na Viongozi Wa Chama Kikuu Cha Upinzani CHADEMA. Kinacho Tetea Mwananchi Wa Tanzania. Kabla Haujaokota Makopo, Umewakosea Sana Watanzania. Hasa Wanachadema. Siamini Kama Kweli Ni Mchungaji. Unayejua Miiko Na Maadili Ya Uchungaji. Naomba Nikupe Pole Sana. Kwa Hicho Ulichokifanya Cha Kusaliti Chama Kilichokutoa Tongotongo Machoni Na Kwenye Ubongo Wako.

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Před měsícem +2

    Baada ya kuitukana CCM na kuwadhalilisha viongozi wa CCM, wakiwemo Marais, kwa miaka mingi, wananchi wengi na CCM hawakuamini. Huko utatumiwa kama toilet paper na meisho kutupwa chooni.

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 Před měsícem +4

    Ila nja nimbaya sana mwanadamu hata anamkana mungu

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před měsícem +4

    Yaani wamekupa ubunge miaka 10...mwenyekiti wa kanda miaka 5... Leo heti chama hakikufai...
    Kama waliuawa ndugu za watu wa chadema ina maana wauaji ndio hao uliojiunga nao?
    Msigwa mtu mpumbavu sana...

  • @user-jg2dy4kb6j
    @user-jg2dy4kb6j Před měsícem +2

    njaa na kukosa uongozi imemfanya afike apo wakimtema ccm hana pa kwenda ndo mwisho wake

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone Před měsícem +2

    Unajitambulisha mchungaji huna haya hubiri kilichokuhamisha utafutaji pesa huna haya kabisa

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd Před měsícem +1

    Nawahumia sana Watoto wako kuwa .na baba wa namna hii!!! Ingekusaidia kidogo kama NDOA yako na MAFISADI HAO WANGEKUOA kabla hujashindwa uwe nyekiti kanda angalau Wapumbavu wangekupa heshima kidogo,lakini hata wapumbavu hawawezi kukuheshimu kwa sasa!!! HAKUNA ANAYE KUELEWA KABISA KWANZA USO WAKO UMETAHAYARI(AIBU).

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před měsícem +3

    Ata watu huna kitu wewe aibu sana angalia watu hao ndiyo watao kumpigia kura wapo 7 tu msigwa umeisha kabisa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem +12

    lakini msigwa umesahsu mlivyofanya vigisu kwa zuberi zitto kawe?hizo ndizo sera zao

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před měsícem +1

      ZITO HANA LOLOTE ZAIDI YA UDINI NA KUPENDA UKUBWA!!! ANGEPEWA UWENYEKITI TAIFA CHADEMA, ANGEUZA CHADEMA YETU!!! MH. MBOWE SI MALAYA WA KISIASA NI MWAMBA WA SIASA SAFI NCHINI NDIYO MAANA CHADEMA NI IMARA SANA AMEIJENGA KWA HALI NA MALI KWA GHARAMA KUBWA!!!

  • @Anithawilielemi-uh3ww
    @Anithawilielemi-uh3ww Před měsícem +3

    Msigwa anatabia kama ya jamaa moja kwenye Biblia Kwa jina SANBALATI aliyenunuliwa kwa chumvi ya jero akasahau damokrasia aliyowahi kuhapia.

  • @ericksimon3899
    @ericksimon3899 Před měsícem +5

    Huyu sijui ni mchungaji wawap

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před měsícem +3

    Yani hili tahira kweli,kwa hiyo umeona ni bora uungane na wauaji

  • @user-bn4br7qm7r
    @user-bn4br7qm7r Před měsícem +1

    Tahira hili yani ukishakula hela ya ccm unakuwa boya

  • @MarkoFabiano-s5u
    @MarkoFabiano-s5u Před měsícem +6

    Njaa nimbaya

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před měsícem +2

    Simwami mutu kwenye maisha yangu

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Před měsícem +14

    Ila msigwa ni mpumbavu sana tena sana we ni mpumbavu mnoooooooo

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem +5

    Kwani,mkutano huo inanihusu chadema.eleza utakayoliganyis taifa.

    • @JohnKombole
      @JohnKombole Před měsícem

      Huoni aibu kenge wewe Malaya wewe njaa inakusumbua

  • @AbeliIrikaeli
    @AbeliIrikaeli Před měsícem +3

    Madakitari.wa afia.ya.akli.waongezwe jamani
    Apa tunapo elekea wagonjwa wata ongezeka Kwa kasi

  • @LesiJama
    @LesiJama Před měsícem +3

    Acha njaaaa msigwa hakuna mtanzania atakaye kuelewa

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před měsícem +4

    Njaa itawamaliza wanasiasa wa nchi hii.

  • @tumainieverest9928
    @tumainieverest9928 Před měsícem +3

    mSIGWA NJAAA ITAKUUA MAPEMA

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před měsícem +3

    Tamaa mbele mauti nyuma shezi kabisa

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Před měsícem +3

    MaFara katka nchi hiibado wapooo eti ili nalo ni lichungaji

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl Před měsícem +3

    Huyo njaaaaaaa. Msipompa cheo huyo shauri Yenu. Ok

  • @LucyVenant
    @LucyVenant Před měsícem +3

    Msigwa unajipya umechoka ,upati ata ujumbe wa nyumba kumi

  • @DahHodges777
    @DahHodges777 Před měsícem +2

    Bora ungestaafu siasa tu.
    angalau hiyo ingekuletea heshima na utu..ila kwasasa hata namna kuongea umebadilika kwa kifupi unaitesa nafsi..

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 Před měsícem +2

    Mchungaji, mh we mjinga kwel kuna mchungaji malaya wa siasa km wewe.

  • @SolomonKaay-gq3gl
    @SolomonKaay-gq3gl Před měsícem +3

    Hauna point kabisaaa.

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 Před měsícem +2

    Wewe ni mchumia tumbo kweli. Lakini pia IQ yako ni chini ya kiwango. Imekuchukua miaka 20 kutambua kuwa ulipotea? Ama kweli hufai, hufai.
    Ongea sera na si chama kingine. Au Huna sera? Hayo ni machungu ya kukosa kura. Pole kaka

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji Před měsícem +6

    Jaman khaaa

  • @mamafaiza1720
    @mamafaiza1720 Před měsícem +7

    Njaaa mbayaaa

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před měsícem +1

    ,😂😂😂😂 Hiii nchi inachekesha
    . kwa kweli

  • @user-fx6zr6ij5y
    @user-fx6zr6ij5y Před měsícem +3

    Huyu mtu naona amechanganyikiwa ata anachoongea akijulikani mpelekeni kwa mwamposa 😂😂

  • @lutembekarodi
    @lutembekarodi Před měsícem +2

    Pole Msigwa nakuona unavyoshindana kuulazimisha moyo wako useme usiyoyaamini. UTATESEKA HIVI MPAKA LINI Msigwa? Kwa vyovyote vile huwezi kupata amani.

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před měsícem +2

    Hasiraaaaaaaaaaa usipopata muda wa kutafakari zitakufanya uwe...........

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Před měsícem +1

    Kwa uchungaji huo, hakika hukawii Kula Kondoo. Mzee unatamaa. Aminia ulikotoka wamekushepu. Usiache kuwashukuru.

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před měsícem +14

    njaa ya madaraka inakusumbua umekula vya sisisem lazima ulipe kwa kuongea utumbo

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem +1

    Nani alimpeleka SA kusoma?

  • @sebastianmakassy8083
    @sebastianmakassy8083 Před měsícem +1

    Mbona umelamba matapishi yako?

  • @tunumigila8995
    @tunumigila8995 Před měsícem +1

    Wamemwaga mboga, amemwaga ugali.😅😂😂😂😂

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před měsícem +2

    Mzeee wa kununuliwa bei cheeeee

  • @rugemalilalucas4533
    @rugemalilalucas4533 Před měsícem +2

    Mavi kiraka unajipya zaidi ya njaa ya asubuhi chooni.

  • @EuniceMadaha
    @EuniceMadaha Před měsícem +1

    Njaa mbaya sana

  • @kelvinmgaya-gp8jk
    @kelvinmgaya-gp8jk Před měsícem +2

    Njaaaa haijawahi mwacha mtu salama

  • @LaurentMpilu-qe6lq
    @LaurentMpilu-qe6lq Před měsícem +1

    Ogopa sana kupingana na moyo wako, yaani unasema Leo ni jumapili mdomoni, lakini akilini inakwambia Leo ni jumanne

  • @user-lx2lo2lp8m
    @user-lx2lo2lp8m Před měsícem +1

    We kima,nilikushauri mapema shirikiana na chama,ila dhambi itakayokumliza ni kumsakama mbowe,huna muda mrefu,amini!...

  • @jescalutahoire8125
    @jescalutahoire8125 Před měsícem +2

    Tunahitaji Siasa za kistaarabu siyo kusemana, haitusaidii wa Tanzania. Tunataka maendeleo siyo maneno

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před měsícem +1

    Kwa kweli siamini masikio yangu mpaka nalia yaani umefikia hatua mpaka unamwita mbowe nkurunzinza? Kweli Dunia mayowe

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      Kumbuka pia huyu alikuwa mjumbe kamati kuu, hiyo huyo anayemsema Nkurunziza ndiye alikuwa akisimamia vikao vya kumpitisha kwenye UONGOZI wa Kanda na Ubunge,
      Watu hatuna shukrani aiseee

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před měsícem +3

    Sera za Mbowe zimekulisha miaka 20 Leo imepoteza dira huna njia ya kutoka ni kulaumu tu ulikuwa wapi!!! Mabinti zako wanajua kuwa baba ni msariti wao watahubiri Nini!!!!

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      Ati baadae akaona kawa Mkurunzinza

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Před měsícem

      @@leokamil6284 ...Ukitaka kuvunja Uaminifu ambao mtu au jamii imekupa wewe vunja tu ila hilo ni deni utalilipa maradufu!!! Dunia huondoki bulee!!!!!

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem +1

      Festo, nawasubiri wale mabinti zake waliopandishwa na mchungwaji Msigwa kuinanga ccm

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      Ameharibu sana future ya WATOTO wake jamaaani, FURAHA yao katika, daaaa, huyu mtekaji sio mchungaji

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange Před měsícem +4

    Unakijenga CCM kwani kina hali gani,je kiko dhoofu hali?Hapo umesema kweli CCM imechoka,jaribu kukijenga,kwani kimechokwa na hakipendwi.

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před měsícem +1

    Huyu ni mchungaji aliasi kazi ya Mungu akaja kwenye siasa.
    Sasa kakosa chadema kakimbilia ccm kutafuta chakula.wa hovyo tuu

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila Před měsícem +1

    Umekubali kuongozwa na akili ndogo,?

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +1

    Kwenda zako msaliti ww hii ni baada ya kukosa uongozi, tuache na chadema yetu,njaa tuu huna jpya

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 Před měsícem +1

    Mm sio mwanasiasa lakin mpaka sasa naona mwisho kwako nmbaya,pia hauna mvuto tena hata huko ccm

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před měsícem +13

    Loooo, msigwa kwa heri umesha kufa kisiasa hutosikia tena kwakweli kama usemi wako akiri ndogo haiwezi kutawala akiri kubwa kwahiyo msigwa unatawaliwa na akiri ndogo ya CCM hakika njaa haijawahi kumuacha mtu salama halafu angaria msigwa hata hotuba unapangiwa ya kusema

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy Před měsícem +1

      Kazi mnayo chadema yaani mtu akitoka chadema kwenda ccm eti njaa akili huna ana njaa gani mtu Kawa mbunge miaka 10

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před měsícem

      @@IkoUwasi-it6qyNdo nashanga Msigwa amewauma sana chadema Msigwa kwenda CCM 🤣🤣🤣 Msigwa ni mtu makini msomi hana haja na pesa amefata ukweli . Sasa chadema badala mjitafakari kwanini amehama mnasema njaa pole sana ufahamu wenu ndo umekwamia hapo

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Před měsícem +2

    Miaka kumi Ulikuwa Mbunge kupitia Chadema,Hapo je?Leo hii unataka kuidhibu Chadema yote?Umekufa kisiasa wewe ni Yuda iskariote,

    • @HatibuSozi
      @HatibuSozi Před měsícem

      Usinge shindwa na sugu tungekuamin ila kwa hili ni njaa tuuuuuumchungaji mzima

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +5

    Njaa mbaya

  • @korogwemandari
    @korogwemandari Před měsícem +6

    Hicho ndicho kimesababisha ukaukosa mwenyekiti wa Kanda?

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 Před měsícem

    Shikamoo siasa

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před měsícem

    Kati ya watu niliowadharau sana tena sana ni wewe Mch. Msigwa. Wewe ulikuwa mpinzani mkubwa sana wa CCM. Leo CCM kuna nini cha pekee kilichofanyika kilichokushawishi kuhamia CCM.
    Mara mia zaidi ungeachana na CHADEMA halafu ukabaki bila chama chochote cha siasa au ungeanzisha chama kipya, na si kujiunga na chama kile kile ulichokinga kwa nguvu zote miaka yote.
    Ni aibu kubwa sana.

  • @davidmachumu3150
    @davidmachumu3150 Před měsícem +3

    Mchungaji haya maneno unayaongea kwa wananchi wa Dar ,vema. Ungeongea huko mikoani kuliko wa Dar waelewa sana, unaonekana hoppless😅

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o Před měsícem +10

    Akili matakoni mwake yaani chadema kimekupa umaharufu leo unaongea utumbo wako

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Před měsícem

    Hata SISI CCM TUNAKUSHANGAA mchungungaji.

  • @SanchoHamisi
    @SanchoHamisi Před měsícem +1

    Hivi ni Msingwa yule wa Chadema?au Mzimu wake?

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      😢hahahaaaaaaa, ametekwa, let's go and save him, hasira zimemponza vibaya, negative zero impact

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem +1

    Kuna mafataki wakiona mke amefiwa na mume wao kazi ya nikuvizia kuwatongoza wajane
    Huyu mjane alishindwa kuvumilia hisia Kila la kheri ww mjane upate mapenzi moto

  • @AishaNdinadyo
    @AishaNdinadyo Před měsícem +1

    Na ww ulikuwa ulikuwa kiongozi ulifanya nini ww

  • @planetbrand
    @planetbrand Před měsícem +1

    Hata unavyo ongea sera huna!!Hayo ndo umeyaona leo baada ya kukaa miaka 20?😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +1

    Hasira zina kusumbua huna lolote

  • @richardjafu7404
    @richardjafu7404 Před měsícem

    Unajidhalilisha sana, na Kwa kweli hata uchungaji wako una mashaka sana. Njaa imekuzidi.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +5

    Unanglea Chadema Kwanini, ongelea mambo ya chama chako. Hakuna ajira wa Afya. Actually upuuzi

  • @polokotomwalusamba1132
    @polokotomwalusamba1132 Před měsícem

    Huyu alitoka ccm akaja nccr mageuzi akaenda tlp akaja chadema sasa amerudi kwenye jeneza lake ili aendelee na safari yake ya kutibu njaa huyu sio mwanasiasa wa kumuamini anaangalia upepo wa kupata pesa hana lolote alichokimbia chadema kaenda kukitafuta ccm njaa ni mbaya sana uenyekiti wa kanda alioshinda sugu ndio ulipelekea yote hana hoja zaidi ya unafiki huyu mtu sio strong kabisa ni dhaifu hakubali matokeo huko alikoenda anasubiri V8 apeperushe bendera ya ukuu wa mkoa wowote atakao pewa watanganyika tusidanganyike na wahuni wa aina hii.

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 Před měsícem

    Mh Msigwa umepoteza ubora wako, hakika Mwanasiasa akikutakia usiku mwema, hakuna namna Toka nje ukajiridhishe kuwa ni usiku au la!!
    CCM ndo baba lao,

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo Před měsícem +1

    Kwisha abari yako boraungeamia act wazalendo

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před měsícem

    MCHAWI MKUBWA WEWE UNAYETAKA KUFANYA WATANZANIA TUENDELEE KUWA MASKINI KWAAJILI YA CCM WAONGO KABISA.

  • @-hm8mn637
    @-hm8mn637 Před měsícem +2

    Huyu Msigwa fala sana, Hana mpya anatoa ushuzi tu mdomoni mwake. Kuna haja gani ya kumwita mwenzake majina ya kijnga jinga

    • @JofreyMsigwa
      @JofreyMsigwa Před měsícem

      Nindugu yangu lakin kwa Hilo amefeli baada ya uchaguzi hatapewa cheo atalud chadema kwa kutambaa

  • @shedrackpallangyo4004
    @shedrackpallangyo4004 Před měsícem

    Kama chama hakufai ilikuawaje utumikie miaka 10 ya ubunge na miaka5 ya m/kiti je ungepata nafasi m/kiti ungetoka kwenye chama weka akiba ya maneno

  • @emanuelmsangi6686
    @emanuelmsangi6686 Před měsícem

    MTU anasema watu waliuwawa kwwnye uchaguzi badala ya kuhoji ni nani aliwauwa anaishia kutukana upinzani..sasa apo hoja yake ni IPI?

  • @user-yo7sj8fs4h
    @user-yo7sj8fs4h Před měsícem

    Njaa inatumaliza sanaa

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 Před měsícem +1

    Duh jamaa karogwa vibaya

  • @JofuAmuko
    @JofuAmuko Před měsícem

    YAANI KUKOSA CHEO TU !!!!!! UNAHAMA CHADEMA !!!!! NA HUKO WASIPOKUPA CHEO ITAKUWAJE ???? TAMAA ZIMEKUPONZA, UMEMSHINDWA KWA POINT CHACHE TU,, ETI UMEHAMA, UMEKWISHA HABARI YAKO !!!!!

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem +1

    Aka kachungaji ni kakicheche sana akajatulia,,kumbe lissu alikaamini bule,,

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před měsícem

    Guud

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před měsícem +2

    Tunauhakika huyu anawajuwa waliompiga rusasi Tundu lisu...maana kuna Siri kubwa sana kwenya shamburio lile...🤣🤣

  • @hashimsalum7025
    @hashimsalum7025 Před měsícem +1

    Umefisilika msigwa tafuta kazi nyingine, hamna cha maana unachoongea, hizo ni chuki binafsi

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem

      Ila kawahi mno kufirisika, amesahau KUWA amewaacha kondoo porini

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 Před měsícem

    Inasikitisha hata ccm wenyewe hawajamchangamkia kwasababu wanajua anachoongea hapo sio yeye ni njaa tu

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem

    Huyo ndio msigwa bwana niliwaambia chadema wamejimalize wenyewe.acheni matusi msigwa amefuata demokrasia alipoiona inafaa