RAIS MPYA WA MAREKANI JOE BIDEN ALIVYOINGIA IKULU KWA MARA YA KWANZA NA MSAFARA WAKE, ULINZI MKALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 85

  • @zabronnkoy4908
    @zabronnkoy4908 Před 3 lety +3

    Hyo miaka 78 ingukuwa huku kwetu ni babu wa kutoa nje kuota jua na kumrudisha ndani 🤣🤣

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 3 lety +8

    Ulinzi mkali upo uganda kwa bobi wine

  • @papafikiri
    @papafikiri Před 3 lety +8

    Haohao waliokuwa wakimlinda Trump ndio haohao leo wanamlinda mwingine tena kwa heshima ileile...madaraka yasituzuzue tupende utu zaidi

  • @40kstore
    @40kstore Před 3 lety +7

    Huyu mtangazaji ni Salim kikeke aliepoa.😕

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 Před 3 lety

    DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
    Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
    1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
    2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
    3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
    4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
    5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
    6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
    7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
    8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
    9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
    🔟 Inarutubisha mayai
    NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
    Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
    Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
    Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248

  • @lovenessmlinda1347
    @lovenessmlinda1347 Před 3 lety +1

    Woooow! The most protected president in the world

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 Před 3 lety +2

    Jaman Leo millard Ayo wamekula MB zangu zoteee... Coz hii msafara umenifurahisha nimaengalia Mara mbili mbili... Na na download ⬇️ niwe nachek nipoteze mawazo

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 Před 3 lety +2

    Jifunzen kuweka appreciation,hii video mmeichukua kwenye mitandao,ni busara japo kuandika kwa hisani ya mtandao Fulani.MAKE IT PROFESSION

    • @danielmathias160
      @danielmathias160 Před 3 lety

      Wajinga hawa afu bila aibu wanaandika AyoTv ilihali wahusika hata hawajaweka lebo yoyote

    • @giftmusa6543
      @giftmusa6543 Před 3 lety

      @@danielmathias160 this is annoying 😒

  • @realhass
    @realhass Před 3 lety +2

    subiri sasa ashambulie nchi nyengine tuone kama mtaendelea kumtukuza.

  • @shahamtindo
    @shahamtindo Před 3 lety +2

    Joe kama Joe

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 Před 3 lety

    Black lives mater iz a power

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 Před 3 lety +15

    Hii inatufundisha kuwa na malengo ya muda mfupi na malengo ya muda mrefu huyu jamaa kautaka urais miaka karibu 30 iliyopita na hakupata kaja kutimiza ndoto yake uzeeni but all in all never lose faith on what you believe twende kazi bro Joe

    • @odinomwofuga9096
      @odinomwofuga9096 Před 3 lety +1

      Very true

    • @masoudali9387
      @masoudali9387 Před 3 lety +1

      Kweli bro

    • @omarmhmammed216
      @omarmhmammed216 Před 3 lety +1

      Kweli broo ...ila yote ni majaaliwa ya mola kama uliandikiwa kupata utapata yu hata iwejee

    • @jassonnelly3445
      @jassonnelly3445 Před 3 lety

      @@omarmhmammed216 yes Mungu kwanza

    • @Mazoea
      @Mazoea Před 3 lety

      Kweli tusikate tamaa alafu jamaa anamiaka 75 Mungu kweli wa ajabu

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 Před 3 lety

    HABARI YAKO, .
    -JE umekuwa ni mtu wa kukosa kabisa hamu ya tendo la ndoa?
    -JE umekuwa ni mtu unaye wahi sana kufika kileleni?
    -JE umekuwa ukishindwa kabisa kurudia tendo baada ya kumaliza round ya kwanza?
    -JE umekuwa ukitoa kiwango kidogo sana cha mbegu kiasi kwamba huna uwezo wa kusababisha ujauzito kwa mwenzi wako n.k?
    SASA SULUHISHO LA MATATIZO YOOTE YANAYO HUSIANA NA MASUALA YA UZAZI NA NGUVU ZA KIUME NI MULTI-MACA.
    KARIBU TUKUHUDUMIE
    BIDHAA ZETU NI SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI.
    CALL/WHATSAPP 0629395655

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 Před 3 lety

    78 yrs and looking fckng strong

  • @mohamedssalarakhia7986

    Beautiful. Very Impressing indeed!!

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 Před 3 lety +2

    Angalie mikono ya walinzi mmoja ni fake , kwasababu mkono wa kweli mmoja umeshika silaha ndani

  • @user-je1id1tx1u
    @user-je1id1tx1u Před 3 lety +2

    Hizo koti zinazuia risasi au ? 🤔🤔

  • @japhrystar2597
    @japhrystar2597 Před 3 lety +1

    Yn misafara ya marais wa mbele huon raia wakishangilia mana wana take easily ila bongo duuuh wat watashangaa

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 3 lety +3

      Hakuna cha kutake easily wala nini bali wametangaziwa na kuambiwa wasitoke kwenda kwenye kuapishwa rais wao kwa sababu mbili tu nazo (1) usalama na (2) corona. Fuatilia kwanza kabla ya kudharau wabongo.

    • @wilsonkaseha2034
      @wilsonkaseha2034 Před 3 lety

      Nafikiri hauna ufahamu wa kutosha kuhusu hilo ndugu!

    • @wilsonkaseha2034
      @wilsonkaseha2034 Před 3 lety

      @@aminasittusaid3830 sahihi kabisa

    • @japhrystar2597
      @japhrystar2597 Před 3 lety

      @@wilsonkaseha2034 ww akil zako czan kama zpo sawa

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 Před 3 lety +1

      @@japhrystar2597 😂😂😂😂

  • @MBEYA24MEDIA
    @MBEYA24MEDIA Před 3 lety +2

    Wenye herufi zetu za J
    😆

  • @hazelscheid3376
    @hazelscheid3376 Před 3 lety +1

    Nimecheka mikoti kama yote lol

    • @janetsemahimbo8083
      @janetsemahimbo8083 Před 3 lety +1

      Ni mwezi wa baridi huu. Bila koti utaumwa. Baridi ya muda huu ni hatari

    • @TheMandela21
      @TheMandela21 Před 3 lety

      Ni winter kuna baridi sana Washington DC

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před 3 lety +5

    My future wife, jiandae kua first lady siku moja!

  • @frankfrancis2195
    @frankfrancis2195 Před 3 lety

    Nakubari sana

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 Před 3 lety +1

    Joe biden and Obama fireeee

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Před 3 lety +2

    Biden please help Ugandans anza na dicteta museven

    • @japhrystar2597
      @japhrystar2597 Před 3 lety

      Enhe baada ya hapo aend wap🤔

    • @liesharehema5193
      @liesharehema5193 Před 3 lety +1

      @@japhrystar2597 mimi nimesema aanze na museven baada yahapo naweza akaingia zimbabwe au kokote madictetor yamejaa Africa

    • @Mazoea
      @Mazoea Před 3 lety

      Hahahahahaha nimecheka kama mazuri

    • @liesharehema5193
      @liesharehema5193 Před 3 lety

      @@Mazoea we cheka tuuu wenzio wanalia kila siku

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 Před 3 lety

      Mazuri ya afrika yatafanywa na waafrica wenyewe, ko endelea kusubiri

  • @el-gibbortv5564
    @el-gibbortv5564 Před 3 lety

    Mabarakoa sasa yaani kama mabubu tu!

  • @ramadhanimahongole8764

    taifa teule mmungu hilo

  • @jumakiatu.628
    @jumakiatu.628 Před 3 lety

    sA.si.nDiO. amiShAkUa.LaiSi.jAmAni. si.nDiO.aLafU.niMioNa.kAmA.LoLi.LA.mUcHAnGa.na.KuNi.wAtU.wAmiPaNdA.pOLiSi.eTi.wAnZeTu.wApo.siMPo.tU.hAtA.hAwAnA.mAmBo.mAkUu.gALi.LoLotE.wAmiTuMiA.tU.

  • @nicksonclinton5842
    @nicksonclinton5842 Před 3 lety

    uyu jamaa icho kiti kinamfaa

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 Před 3 lety

    Tusubilie vita tu ni muda Dunia kwenda kushuhudia nchi zinazojikwamuwa kimaendeleo kwenda kuvamiwa huku akija na kigezo cha dictate au nyukiria
    Save hii coment haya niliyoyasema kama hayata tokea kwenye utawala wake