GARI LINALOTEMBEA NA SAMPULI ZA DAMU YA RAIS WA MAREKANI 🇺🇸..
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- GARI LINALOTEMBEA NA SAMPULI ZA DAMU YA RAIS WA MAREKANI 🇺🇸..
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Tunakupenda sana official #ZUNGU, tumemiss usichukulie poa
Sihitaji hiyo gari nahitaji kujua kwanini Marais wetu wa Afrika wamepandishwa basi kwani hao abilia wa kawaida au ni umwinyi, ukoloni, ubwenyenye, na ukabaila?🤣😂
Mmmmh tutafte hela jmn haya nikwel yapo duniani kbxa mmmh mzungu katuacha mbal sana
Jamaani nuclear vp hapo itadunda pia au? 😄😄😄
MaKn ✊🏽✊🏽
Zungu hapo kwenye kilo umekosea kidogo,ni kilo 8,000 sawa na tani 8
Ila zunguuu baan
Ya rais inaitwa Cadillac One. Ya Mond ni Cadillac custom.
Ukute wanatupanga kutisha Tisha wahuni wasifanye yao, ukute halina lolote hahaaa haaa
🤭
Bomu la urusi je?
Afrika ndo kutumbukzwa kwenye mtumbwi wa wavuvi kweli?!??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna cha gar wala nn jamaa washazingua Marais wa Africa tayar kuwapandisha daladala wenzao
Hahahaha
Sasa wa Tz mbona kapanda basi
Sio kwamba hakuna bomu lolote lisiloweza kuilupua.yapo mabomu mfano bomu la nyuklia linaiangamiza kabisa
Wajinga hawa kila Bom na kazi yake kuna Bom Special za ku destroy vitu kama hivyo tena Bom ni dogo tu
Sasa nyuklia at ww unayecoment ingekuwa ushasarambatika
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
Uongo hakuna bomu lolote linaloweza shambulia
Atakuafu tu