Ni nzuri sana hii ikulu ya Russia, Moscow Kremlin. Ni pazuri kushinda ikulu zote duniani. Ni dhahabu tupu kule ndani. Ni fahari ya Russia. Ahsante sana!!
Yani sky ukisimulia ishu fulani unakomesha kinoma, eti " cheza hovyo ukione chamtema kuni, ukiwa ndani ya ukumbi huu", 😂😂😂, yote kwa yote unajua sana sky big up.
Inapendeza kama anaenda kanisani kusari🙏🙏 Mimi siyo muhumini wa proud to nyokonyoko😂😂 mwamba Yuko siruas sana na uhakika kunadini moja2 urusi ndo maana Amna ugaidi kabsa💪
Hakuna sehem hakuna waislam kwass dunian urusi mbona waislam wapo na hakuna sehem dunian kwass hakuna msikit fatilia vzr broo ila wanakuwa waislam kidogo tu
@@mussaabobakar7537 Sasa wakishakuwa kidogo wana kuwa hawazingatiwi kabsa🤔🤔 kiufupi wana kuwa hawana sauti, serikali Ina wachukulia kama taasisi ndogondogo🦴💀 wazungu 90% duniani kote huwa hawa hawaikubali dini ya uislam coz wanajua wakisha kuwa weng hawachelewi kuibadirisha nch kuwa kama dini🥱🥱baada ya hapo mnakuwa under contro chini ya waarabu k2 ambacho putini Kim jong UN,Xl jinping Biden nawababe wengine duniani kote huona ni upuuzi kabsa 🖤🔥ni amini Mimi nch za wazungu hiyo dini haiji kuota mizizi kabsa itaendelea kuendeshwa kama taasisi changa🙏🙏labda huku afrika kwenyewe watachipua wawezavyo coz m Africa yeye yeyote atakaye mpa chakula huyo atamtii🧷💀
Fata dunia inapoelekea ujifunze kitu kupitia urkain wenye akili kama zako leo wanajutia nafsizao wamekua wakimbizi wanaenyanyasika kwasasa akili zakuambiwa changanya nazako 😂😂😂😂
Sisi Binaadamu.wa Afrika tumechoka na Ubabe wa Taifa La Marekani tunaitaji Mbabe Mwingine nae tuangalie atatupeleka wapi Maana Marekani imetupeleka kwenye Ushoga na Usagaji tu
Sky ikulu ya Dodoma ndio ina balaa n ya kifahari kweli kweli 😂😂😂ina kumbi sita za kifahar...Magufuli hall, Jk hall,Mwinyi hall, Nyerere hall, Kizimkazi hall
Nilifikir ntakua wa kwanza kweny hii makala ila daaah Kuna watu wapo macho zaid yangu naomba hata like bas😂😂❤ ndugu zangu.
Taifa kam hili ndio linasifa zote za kuitwa taifa la mungu
Sky unatupatia habari safi na makini🎉🎉🎉
Asante hili jengo hakuna lakulifananisha duniani
Sns the best simulizi platform in Africa
Huyo ndio kiongozi Bora duniani
Brother sky you're my rolmodel 🔥
Naomba like 10 kwa watakao kuja nyuma yangu
ona hao wanajeshi wanavyomuangalia PUTIN
Kwa nje ikulu ya marekani ina muonekano mzuri ila kw ndani ya marekani itasubiri sana.
Ni nzuri sana hii ikulu ya Russia, Moscow Kremlin. Ni pazuri kushinda ikulu zote duniani. Ni dhahabu tupu kule ndani. Ni fahari ya Russia. Ahsante sana!!
Kujenga Dodoma ila kuishi Dar
Ndo hapo, ndomaana viongozi wa urusi walihamua wapendezeshe mji uho na ikulu iyo ili wakae hapo hapo
Daaa ikululu ya urusi ni hatar
Jamaa ukovzr saana kaka p1 saana
Huyu mzee ana miaka 71 lakini bado yoko strong
Ni kwasababu ni mhitimu wa sanaa za mapigano Karate mwenye kumiliki mkanda wa (black belt)
Nomah sana Sky
huu mjengo ni hatari sana
Mimi najiuliza inawezekana hawa hawaendi hata chooni
Siku utuonyeshe uyo Frank Ranchman
❤
Sky story umeifanya ndogo kwel😢😢😢😢 mm hua natamn mda wote niwe nasikiliza hbr za urusi kwa kiswahili
Na mm pia naikubali Russia si mchezo
Yani sky ukisimulia ishu fulani unakomesha kinoma, eti " cheza hovyo ukione chamtema kuni, ukiwa ndani ya ukumbi huu", 😂😂😂, yote kwa yote unajua sana sky big up.
This is best take👊 sky
Hii nzuri sana @ sky
Wakwanza
71 Yuko fiti hivo
Mimi leo nimekua mtazamaji wa 850😂😂😂watu hamlali
Unaelezea vizuri kwakweli
Ikuru ya urusi ni nzuri tangu mwaka 1022
Mwambaaa putin
Sky tunamba utembelee mosko ili uje utusimulie mna sasa umewachoka wamarikani
Nimekubali
Uraaaaaaaaaaaa
Kifahari inje na ndani.
Huyu Frank Rachman ni nan aisee..?? na anausika na nn kngne hapa SNS?
❤❤
Hatar sana
Namuomba Mungu amlinde sana Puti amjaze nguvu nyingi sana natamani aya mahgaribi yafe yote, mafiraji,aya
🇹🇿🤝🇷🇺
🇷🇺💪👍
back to back mzee wangu, hongera kwa kutokulaza damu.
SnS🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Noma sana 💪💪💰💰💰👊👊💪
Iyo sauti tu ndo unifanya niwe makini kukusikiliza kaka #SKY
Hakika IPO vizur
Habari za urusi huwa hazichoshi, unataman kusikia muda wote!! Nachaoipenda Russia si watu wa sifa au kuanika vitu vyao...
🔥🔥🔥🔥
Neti imerudu mubashara
Sasa ngoja tuendelee kushangaa😮😮😮
Putin 🙏🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤
Wow,thanx alot bro kwa news 📰
Asante ❤
Nipazuri kabisa
From Nairobi . Sky tunatamani Sana Uwe mtangazaji Wa crown media
Yani atoke kwenye media yake akaajiriwe ha mtu kweli jmn 😱
@@allymatilda7519 millad ayo ana media . Mbona kaajiriwa clouds media . Jiongese
Wewe razima uikosoe marekani nina wasiwasi unaupendeleo wote wana nguvu marekani urusi na china na nguvu zao zinashamili zinafanana
Inapendeza kama anaenda kanisani kusari🙏🙏 Mimi siyo muhumini wa proud to nyokonyoko😂😂 mwamba Yuko siruas sana na uhakika kunadini moja2 urusi ndo maana Amna ugaidi kabsa💪
Hakuna sehem hakuna waislam kwass dunian urusi mbona waislam wapo na hakuna sehem dunian kwass hakuna msikit fatilia vzr broo ila wanakuwa waislam kidogo tu
@@mussaabobakar7537 Sasa wakishakuwa kidogo wana kuwa hawazingatiwi kabsa🤔🤔 kiufupi wana kuwa hawana sauti, serikali Ina wachukulia kama taasisi ndogondogo🦴💀 wazungu 90% duniani kote huwa hawa hawaikubali dini ya uislam coz wanajua wakisha kuwa weng hawachelewi kuibadirisha nch kuwa kama dini🥱🥱baada ya hapo mnakuwa under contro chini ya waarabu k2 ambacho putini Kim jong UN,Xl jinping Biden nawababe wengine duniani kote huona ni upuuzi kabsa 🖤🔥ni amini Mimi nch za wazungu hiyo dini haiji kuota mizizi kabsa itaendelea kuendeshwa kama taasisi changa🙏🙏labda huku afrika kwenyewe watachipua wawezavyo coz m Africa yeye yeyote atakaye mpa chakula huyo atamtii🧷💀
Makala ziwe kila week. Umekua unapotea Kaka.
🎉🎉🎉❤❤❤
Viva Putin
Awesome information!
Tulimis makala 360😊
Mimi ni wa 12784
Laki na sisi tungeijenga dodoma kama nia ya mkuu ilivyo kuwag
Hapo kwenye vloloskai.. 😂 sky ngoja tukuchunguze
Tulimis makala 360
Viva Russia 🙏🙏
Angalau wao wamefanya huo Uchaguzi lkn Ukrain-Zelensky muda wke wa Urais unaishia 21/05/024 na tyr wameghairisha uchaguz huo
🤌🤌🤌
White House looks amazing,, I love it
👊👍✌️。
Hapo nadhani hakuna hata inzi😅
Ukraine watashindwaje kumtambua Putin, kua ndiye rais wa Russia na kwa sasa ni miaka miwili anae wakosesha amani?
Russia 🇷🇺 🔥🔥
Mbona ilishambuliwa na drone
Kashambulie na leo
Joe biden could not walk for that long distance by himself like putin
Sasa ilikuwaje kale kadrone ka Ukraine kakaipiga Kremlin
Fata dunia inapoelekea ujifunze kitu kupitia urkain wenye akili kama zako leo wanajutia nafsizao wamekua wakimbizi wanaenyanyasika kwasasa akili zakuambiwa changanya nazako 😂😂😂😂
Iliachiwa makusudi ili waone je kale ka drone kama itafikia jengo la Kremlin. Haikugonga jengo, ilisambaratishwa na ulinzi wa jengo hilo. Upo.
Nipo nyonyo
@@lameckraphael3743 hahahahaha acha dharau bana
@@user-cw8zn2dn6m 🤣🤣 nisameh
Sisi Binaadamu.wa Afrika tumechoka na Ubabe wa Taifa La Marekani tunaitaji Mbabe Mwingine nae tuangalie atatupeleka wapi Maana Marekani imetupeleka kwenye Ushoga na Usagaji tu
Kwel kabisa
MTIGA ABDALLAH YUKO WAPI?? NA ANAFANYA NINI??
Hakuna drone ilishapigaga clemlin ilipanguliwa umbali mrefu hapo hata sindano haipenyi
Hicho kijengo ni cha kawaida acha story mtu akitaka kupiga anapiga
Wasiomtambua wote watakuwa mashoga
Sky ikulu ya Dodoma ndio ina balaa n ya kifahari kweli kweli 😂😂😂ina kumbi sita za kifahar...Magufuli hall, Jk hall,Mwinyi hall, Nyerere hall, Kizimkazi hall
Umerongwa
@@MauaLucas-st6be Tutakua wote tumerogwa😂
@@MauaLucas-st6be Tutakua wote tumerogwa😂
Lakin mbona mashoga walipeleka dron
ila zilidunguliwa kabla ya kufanya madhara
❤