URUSI, Marekani, UK, nani ana VIFARU bora? Vimeteketea vingapi VITA vya UKRAINE? Ukweli ni huu!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 128

  • @danvannyzawad6452
    @danvannyzawad6452 Před měsícem +6

    My brosk make our brains refresh

  • @Eng2460
    @Eng2460 Před měsícem +3

    big up masubi,makala nzuri sana...
    Endelea kujifunza zaidi na kutuletea vitu vizuri zaidi na zaidi🎉🎉

  • @sakinamketo7502
    @sakinamketo7502 Před měsícem +7

    Unajua bro keep it up,Ally Masubi

  • @onenonetv5469
    @onenonetv5469 Před měsícem +3

    Bro unajua vitu vingi sanaa ila sauti yako haivutii kwenye usomaji wa makala🙏🏼🙏🏼

  • @technicalgearboxenginebysc1360

    Masubi ukimwelewa vizuri ni timu magharibi urusi wanamega maeneo ukrein kama wanalima eti7000 ukrein 3000 dj sma aheshimiwe sns

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      Ally Yuko sahihi, Tatizo unataka kusikia unachokipenda ww na sio uhalisia wa Mambo, punguza mapenzi binafsi zaidi na angalia usahihi wake kwanza hata huyo DJ-SMA mbona ukimtazama naye ni Kama team east.

    • @user-nd5uf6lw4g
      @user-nd5uf6lw4g Před měsícem +1

      Kabisa DJ smaa aheahimiwe❤🎉🎉

  • @danvannyzawad6452
    @danvannyzawad6452 Před měsícem +4

    Your the best

  • @alhusnastudios
    @alhusnastudios Před měsícem +11

    Wapili leo nipeni like

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 Před měsícem +4

    Ally masumbwi 😂😂 unaongea kama mlevi 😂😂

  • @user-mq9im1wd4x
    @user-mq9im1wd4x Před měsícem +1

    Umeelezea kimakini sana kakaaa mungu akubariki kwa kazi zako mkuu🙏🙏

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před měsícem +3

    Bro yan leo umeelezea tofaut na cku zngnge kbs aisee, yn unasoma kbs 2naelewa na sio kama uzoefu

  • @benxonmdeka
    @benxonmdeka Před měsícem +5

    sns huyo hapana kwa kweliii hawezi kuelezea

  • @HassanhaidaryKamana
    @HassanhaidaryKamana Před měsícem +5

    Sauti Yako siyo nzuri unasitasita sana Fanya mazoezi

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před měsícem +4

    Hivyo vifaru bora vya magharibi vimefanya kazi gani Ukraine ikaleta matokeo chanya

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 Před měsícem +4

    Sasa mbona urusi anaonekana kuwazidi magharibi kama kapoteza vifaru zaidi Wakati vifaru na mizinga(artilleries) ndio viungo muhimu sana kwenye medani za kivita???

    • @veraisaria
      @veraisaria Před měsícem

      😂😂😂ndiyo ujinga nliousikia

    • @khalfanmlala5093
      @khalfanmlala5093 Před měsícem

      Mmmmm

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před měsícem

      Russia ana vifaru zaidi ya elfu 50. Ana vifaru vingi kushinda nchi yoyote kwenye hii dunia.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      ​@@user-cw8zn2dn6mwaambie wewe labda watakuelewa kupoteza vifaru elfu 7 kwa urusi sio tatizo.pia wanayatengeneza mengi mno

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před měsícem +4

    Wejama ukovizulisana wekichwa we nimwana farsafa mkubwa kabisa hakrizako nizauzto wajusana huna mahaba unahongea ktu hambacho kipo nanichaukweli nauwakika siyo kuhangalia mashabik nawatazamaj wenu hawana penda nn lakini ww nimekufatria tangu hunahanza kwenye iyo midia nimtu uliyenyoka sana naunasmamia kwenye ukweli siyo chuki na mahaba

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem +1

    Ndugu mchambuzi tafadhali usilete taarifa za mabeneru na manyonyaji na kuwatangazia Watanzania.

  • @user-du4nh1ts5e
    @user-du4nh1ts5e Před měsícem +1

    Urusi ndo ana vifaru bora zaidi kuliko wengine wote

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 Před měsícem

    Very very nice

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před měsícem

    Kazi nzur bro Sema walau Kuna namna naona ya kuboresha kdg kwenye makala zako mfano kama ukiweka sound track kdg ilete mvuto zaid.. kama anazotengeneza sma hv inakaa pw zaid

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti Před měsícem +1

    Unamjua mbaka raha atakayo kupinga ana matatizo

  • @veraisaria
    @veraisaria Před měsícem +1

    😂😂😂😂 eti urusi imepoteza vifaru 7000 Ukraine 3000 ni vichekesho yaani urusi wapoteze vifaru vingi zaidi ya Ukraine halafu wachukue robo nchi ali masubi bro hiyo inahitaji uchambuzi au ntakuita sasa chawa wa wamagharibi

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Kupoteza vifaru elfu saba kwa urusi sio tatizo wanavyo vingi sana lakini nlitangulia kusema kuwa taarifa za casualties hazinaga uhakika sana.ila kupoteza alipoteza sana hasa siku za kwanza wakati vita vinaanza alipobadili mbinu maafa yakapungua.

  • @MohamedAhmada-ie7ke
    @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem +1

    Sjaona upuuzi kama huu yani urusi ipoteze vifaru elfu 7 wao Ukraine ipoteze elf3 alafu mrusi ndio awe anasonga mbele tu

    • @frosttgp1510
      @frosttgp1510 Před měsícem

      Hapo sasa

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b Před měsícem

      Murusi anasonga mbele kwajili ya mabomu na vifa vingine. Ila hasongi mbele kwa sababu ya vifaro

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      @@user-ig3qn9zw6b nendeni uko sie sio watoto wadogo

  • @browndee205
    @browndee205 Před měsícem

    Ongea kawaida bro

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před měsícem

    Watashinda marekani wataingia kazini

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly Před měsícem

    Elezea kawaida free style, unasoma kama habari khaaa!...

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem

    Kwa sasa ni Jeshi la Nato na silaha zake na mamluki kutoka nchi takribani 50 china ya komando ya Nato ndio zinazo pigana Ukraina zidi ya Mrashia na vema Watanzania kutambua hilo na siyo vinginevyo.

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem

    Ndugu umechagua kazi ya uchambuzi wa taarifa mbalimbali za habari za ndani na nje ya nchi na ni vema utambue wapo Watanzania nje ya nchi wanafuatilia kwa umakini sana taarifa za mapigano kati nchi za Nato apo Ukraina na Rashia.

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Před měsícem

    Ally ame develop saana jinsi ya kusimulia hongera saaana

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před měsícem

    Vifaru sio siraha tishio tena

  • @khamsjabdullah691
    @khamsjabdullah691 Před měsícem

    Uzito wa tani 50 ni sawa na kg ngapi?

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před měsícem

    Nakupenda sana kjana unajua hadi umeptrza na nimkweli kwa kiasi kikubwa siyo wenye mihemko na mahaba wanatoa uchambuz kama wanalpa kisasi bongo ii ukoww na Ibrahim rabi basi wengine wote niwavuta tumbakutu

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      Ally watu wanamchukia bure sababu Hana upande yeye Yuko balanced.Na huo ndio uchambuzi sasa

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem

      ​@@GeorgeAkasha-zx2rjchambuz la mashoga

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 Před měsícem +3

    Marekani ina siraha kali na tishio kwa dunia na taifa lenye nguvu dunian 100%

    • @josephkostans9128
      @josephkostans9128 Před měsícem

      Utopolo habari za magazetini hizo uharisia marekani jipya

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před měsícem

      ​@@josephkostans9128 ulitaka baba ako akupe tasmini ya uwongo, kuifurahisha nafsi yako.

    • @user-up6zl1ck3j
      @user-up6zl1ck3j Před měsícem

      Ziko wapi,au kazificha, propaganda

    • @user-go3xe4mk4w
      @user-go3xe4mk4w Před měsícem

      Asante kaka,wamarekan ndio wakali wa hv vi2

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před měsícem

      Bac angemweza Urusi pale ukrein. Lkn ameshindwa mpaka leo hii.

  • @user-bl4vy5bo4f
    @user-bl4vy5bo4f Před měsícem +3

    Kwa tathmini hiyo mrusi hatoboi vita hii. Atashindwa bc

    • @paschaljuma3312
      @paschaljuma3312 Před měsícem

      Yani kaharibu vifaru 3000 vya adau yeye vyake 7 vimeharibiwa sasa ana hofu gani

    • @user-bl4vy5bo4f
      @user-bl4vy5bo4f Před měsícem

      @@paschaljuma3312 7 au 7000? Vimeharibiwa

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před měsícem +1

    Mwisho wa vita, uta amua nani ana siraha kali! Na uzoefu wa vita. Atae shinda ndie atakua m'babe wa dunia. Maana Ukraine, ni uwanja wa mapambano tu! kati ya ulaya magharibi na mshirika wao marekani, na ulaya mashariki na kiongozi wao mrusi, ngoja tuone,, hii logo ya Israel isiwatishe,, maana wengine waki- iona tu , hunichukia.

    • @zahorhemed1045
      @zahorhemed1045 Před měsícem

      Unajishuku nini ndo wale wale unafik tuuu

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před měsícem

      @@zahorhemed1045 nilijua tu, siku zote muislamu na Israel= na nguruwe na msikiti.. ni kweli hii Logo, inawakera sana hasa waislamu,, hii ni nyota 1 ya yusufu dhidi ya 11 ndugu za yusufu wana wa Israel, msomi na mchambuzi mkuu! Wa BIBILIA anajua maana yake. Si kama wale wajinga wanao amini kua ni alama ya freemason.

  • @richwase6550
    @richwase6550 Před měsícem +3

    Eti urusi kapoteza vifaru 7000 Ukraine 3000😂 mbn Ukraine haendi mbele ss ya counter offensive ya urusi no logic.
    Akili ndogo haitawali akili kubwa.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před měsícem

    Vya urusi Ving ad ana viwekea mabati

  • @karolialex5734
    @karolialex5734 Před 28 dny

    SHIDA SAUTI KAMA UNASOMA LISARA

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 Před měsícem +1

    Urusi ameisha choka miaka 2 kaisha sasa wanaanza kumpasua kwake walimutegea achoke na ukrane anampiga ndan

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Před měsícem

    Mbon kama unasoma broo

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 Před měsícem

    Yaaani ukrain ni muongo sana😂😂😂 eti vifaru 7000 vya mrusi vimeripuliwa wakati hatujaona matokeo ya ukrain 😂

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv Před měsícem

    Vyanzo vyako vya habari vimekudanganya masubi urusi wametaka hadi Abrahamu sasa unaswmaje urus vifaru afu 7000 Ukraine vifaru 3000

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem

    Ndugu mchambuzi naomba nikupe siri moja labda ulikuwa ufahamu hilo. Mrashia alikwisha maliza jeshi lote la Ukraina lilo pata mafunzo na Nato takribani myaka 10 iliyo pita na silaha zake zote.

  • @AbelsonGidion-vo1uj
    @AbelsonGidion-vo1uj Před měsícem

    Vifaru vyaa IDF vikoo vizurii

  • @blackjack3356
    @blackjack3356 Před měsícem +1

    Wew bodo kidogo ujachangamuka

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před měsícem

    Marekani atashinda

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem +1

    🇷🇺🇹🇿🇷🇺🇹🇿👏👏

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před měsícem

    7000 😂 iyo info ni uongo

  • @Williamstozzo
    @Williamstozzo Před měsícem

    Merkava

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Ipo israel haipo ukraine.hii ni kuhusu vifaru vya huko ukraine.

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 Před měsícem

    Ukraine Ina onesha kama yao ndo ime mpiga mrusi eti wame piga fifaru vya urusi elfu7 wao wame poteza elf3 😅😅😅

  • @ramakirita4758
    @ramakirita4758 Před měsícem

    Tatizo la masud huchambui sana vzr uhalisia na hua nafatilia uboreshe kidogo unaelezea bila maelezo ambayo tunahitaji uchambuzi wakina kutokana na uhalisia endelea kuongeza bidii mfano mzur mamakala za dj sma zinakuaga nzr sana unaweza ongeza elim apo😊😊

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Tumeumbwa kuwa tofauti kaka hii ni style yangu mm.haiwezi fanana na yoyote.na wala mm sitaki fanana na yeyote nafanya reseach ya kutosha kabla cjaweka makala na haya unayoyasikia ndo hali halisi uwanja wa kivita.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      ​@@thefactbook...1607Kaka Ally Hawa watu wanataka kusikia habari za upande 1 wakati hawajui ww uko well balanced sana na habari zako na taarifa unazotoa.Vumilia tu ndugu sababu watu Wana mahaba na mapenzi ya kitu Fulani hivo unavyowapa facts and logic wasizozitaka basi wanaumia sana.All in all kongole sana broo.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      @@GeorgeAkasha-zx2rj pamoja my bro.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      @@thefactbook...1607 Utafika mbali sana kaka, huu ndo uchambuzi halisi na sio kuchagua upande.Urusi kupoteza elfu Saba kati ya elfu 50 alivyonavyo si kitu(mfano) ila mfano Ukraine kupoteza elfu 3 kati ya labda elfu tano alivyonavyo ni kitu(mfano).Sasa hapa ndo watu hawaelewi na ni Kama wanapigwa shoti, sisi ndo wabongo wavumilie tu ila naona kabisa utafika mbali sana kiuchambuzi.West wanachukiwa sana sababu ya matendo Yao kwa wanyonge ila kiuhalisia wale ndo wanaendesha Dunia kwa sasa labda Mambo yabadilike.

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem

    Inasemekana Urusi kupoteza Vifaru takibani 800 taarifa hizo umepata kupitia chanzo gani cha habari? Jee unafahamu idadi ya Vifaru alivyo kuwa navyo mu Ukraina kabla ya nchi za Nato kuanza kutuma vifaru vyao Ukrania. Ndio maana napinga uchambuzi wako na kusema ni uchambuzi feki ndugu

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před měsícem

    Sasa Ally kama kweli mrusi amepotesa sana vifaru mbona amepga hatua kubwa sana kuliko ucrein

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Kwa sababu vita havipiganwi na vifaru tu,kuna howitzers(mizinga),combat experience ya wanajeshi,ndege vita,makombora ya ufanisi. Kwahyo kazi yangu leo ilikuwa kukujuza kuhusu upande wa vifaru.mdogo mdogo tutazidi kucover vitu mbali mbali.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      ​@@thefactbook...1607Good sana kaka Ally, ww ni mchambuzi ambae uko well balanced na connected akifuatiwa na Henry mwinuke na DJ-SMA anajua pia na ana facts sema Kuna wakati anakuwa upande 1 sana.

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem

    Wewe siyo mchambuzi na huelewi chochote unachukua habari za Ukraina ndio unatangazia Watanzania. Uchambuzi wako ni feki

  • @user-up6zl1ck3j
    @user-up6zl1ck3j Před měsícem

    Zelensky mbona anaomba yaishe ?

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před měsícem

    Masoud upo mangharib,Ww sio mchambuzi bora upo ukreine na kule upo israel.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Unataka niseme uongo..?. Tatizo ni kwamba masikio yako yanataka kusikia unachotaka kusikia na kuona unachotaka kuona kwangu mm nakupa uhalisia wa hali halisi ya kivita.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před měsícem

    Afadhali umeamuachia Ali masubi hii mada ungemuachia dj smaaa angetwambia Putin amepoteza vifaru vitatu tu na vyenyewe vilikua vibovu ila marekani amepoteza vifaru 2600

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 Před měsícem

    Sauti lako baya hata halishawishi kusikiliza

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před měsícem +1

    Mazoezi muhimu sana kwani mtu kukuelewa kwa unavyosoma ni ngumu kidogo. But nice try

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem

      Kamlete mamahako ujeumwelewe

    • @Shafikimanga7
      @Shafikimanga7 Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n hivi punde utamsikia kiongozi, usijali

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Před měsícem +1

    i sallute you mwasubi

  • @AliMwingwa
    @AliMwingwa Před měsícem

    T-90 ndio kifaru bora

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Inakuja T-14 armata hyo itakuwa bora sana kuliko T-90 kwa sasa ziko protoype zake.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před měsícem

    👁️👁️🇫🇮🤝

  • @swalehemusa4546
    @swalehemusa4546 Před měsícem

    Habar za aly masoud anachukulia kwenye habar za magharibi

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b Před měsícem

      Na habari za dj sma hua anazitoa urusi

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      ​@@user-ig3qn9zw6b😂😂😂😂😂 umempa jibu Moja konki sana.

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před měsícem

    Uyujama hana hakrisana na nikichwa hanaukweli ulionyokasana na nimtu mwenye msmamo katika wachambuz wote wamabo yakivta nasiasa za kimataifa kwa hapa tanzania ukimtoa Ibrahim rabi uyondo hanajua zaidi nanimkweli zaid kuliko wengine wana lopoka lopokatu kisa mahaba naupenz lakin Ibrahim raɓi na uyobwana ally masubi nawakweli kupta kias mapenzi namahaba wanaweka pembeni nakuongea ktu hambacho kipo sio chakukria

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      Ally Yuko balanced sana na habari zake, ila watu wengi wanataka kusikia habari wanazozipenda na si uhalisia wa Mambo.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před měsícem

    Unavyoelezea bac Urusi ameshindwa vita. Russia kapoteza vifaru 7000 afu ukrein kapoteza vifaru 3000, lkn tunaona Russia inasonga mbele pale ukrein. Je hapa nani kapoteza nyingi? Utata hapo. Bado sikuamini!!

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Hamna utata maana yake ni kwamba anavyo vingi na anauwezo wa kufidia hasara zake kwa wakati.

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před měsícem

      @@thefactbook...1607 kwamaelezo yake bac kuna utata.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      @@user-cw8zn2dn6m hayo ndo maelezo yaliyoko hata kwenye video.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      @@user-cw8zn2dn6m yasikilize vzuri ndyo maelezo yalivyo.

    • @isayacharles2850
      @isayacharles2850 Před měsícem

      Masod ! Eleza nani anaendelea kuifanya vizuri, anauwa askari wengi wa mamruki na wapinzani wake, kateketeza magari mengi, silaha nyingi na kuziteka, anasonga mbele na kuteka maeneo mengi. :-lakini ichi unakisema sasa si mshiko sana. 🤔

  • @MerlinEspoir
    @MerlinEspoir Před měsícem

    Bro Ally tatizo akiliyako ni yakimagharibi huwaga na wasikiliza kwenye GPS huwa unaegemeya upande wa western, you are very stupid guy in short urusi ameshachukuwa maeneo mengi Ukraine maybe soon wanaweza kuichukuwa Ukraine nzima licha ya U.S.A na western kumsapoti kwa kilakitu. Hivi vitu muachiye Dj sma usiwe unaleta mambo ya uwongo na upumbafu

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      Huna akili hata 1 Tena huna akili kabisaa mjinga mkubwa ww, Ally Yuko well balanced na Hana upande, Tatizo unataka kusikia habari za upande 1 tu na sio za pande zote.Mjinga mkubwa ww

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem

      ​@@GeorgeAkasha-zx2rjww choko

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 Před měsícem

    Ujinga huu waeleze wajinga wenzio

  • @ArsenPaul
    @ArsenPaul Před 9 dny

    Mpumbafu wewe

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf Před měsícem

    😂ao wadudu wa magharibi si kwa kuongopa ivyo