GPS: AFYA ya BIDEN yawa GUMZO! Kuna wakati DATA zinaonekana kupotea! Atamuweza TRUMP?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 144

  • @BakarAlshiraziy
    @BakarAlshiraziy Před 2 měsíci +18

    Hii ni CNN ya Africa hongereni Sana SNS kwa uchambuzi wa kina kwa kweli unastahili pongezi na kupewa tunzo 😊😊😊😊😊❤❤❤❤

    • @magzeeee
      @magzeeee Před 2 měsíci

      Cnn ni tusi asee...wale jamaa wapo biased sana

    • @aminaali792
      @aminaali792 Před 2 měsíci

      Yaani tuna enjoy sana kuskiliza SNS Asanteni sana Allah awabarik muko juu Love from UK 🤍🤍🤍

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +19

    Hizi mbiringe zote ni mungu anaonyesha kuwa hakuna mtu mwenye uwezo wakushindana na uwezo wake,na hayo ni matokeo ya damu za watu na dhulma walizofanya kama NCHI Kabla na baada ya uraisi wake

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Před 2 měsíci +9

    Afe tu akalipwe alichokivuna mana anahusika umwagaji wa damu za wa watu, Laana ya Allah ( sw) amshukie

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před 2 měsíci +10

    Mwinyi wetu kafa na tisini na kidogo tuu iwe mia ila kafa anakumbukumbu. Mungu walinde viongozi wetu

  • @swalehejuma6611
    @swalehejuma6611 Před 2 měsíci +10

    Damu za watu haziendi bure

  • @juliusnyerere5393
    @juliusnyerere5393 Před 2 měsíci +4

    Nakuwaminini Sana kuliko online TV yoyote ile hapo Tanzania bug up brothers. Mtafika Kileleni tu inshallah

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART Před 2 měsíci +6

    Ukafika mda wake na yeye ataondoka kama anavoshadidia wenzake wafe kwa kuchochea vita kila pahali

  • @EliaPastori
    @EliaPastori Před 2 měsíci +4

    Kweli kabisa kazeeka cn

  • @patienceamuri3588
    @patienceamuri3588 Před 2 měsíci +3

    From USA huo nawapata vizuri Kila siku

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před 2 měsíci +2

    Uchambuzi mzuri sana

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 Před 2 měsíci +8

    Huyo mzee amechapa aende kulea wajukuu mambo yakugombea urais hawezi atakufia madhalakani😂😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 2 měsíci +1

    Wazee wakirangi wapo Good mno babu yangu 10 nazaidi ana tebea anaona kwaza liishe yao original hakuna poobe Dj sumaa penda tena hapo unapogusea dini wallah allah akusemamie one

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před 2 měsíci +1

    Na bado Shenzi kabisa Mungu atamlipa kwa uovu wake dhidi ya viumbe wadhaifu

  • @KuwakuMalumba6895
    @KuwakuMalumba6895 Před 2 měsíci +2

    Sisi kwetu Burundi 🇧🇮 tuna hishi mwaka mingi😊 kila Sunday warundi wengi tuna kimbiya kufaya exercise😊 asilimiya kubwa tuko ivo! Naki gine Sugar kwetu Burundi 🇧🇮 ni big deal now😊 Sukari sio zuri ata kidogo😊 labuda beers 🍻 na beers 🍺 nita tizo la Africa kama yote😊 mwili ni lifestyle kwaza 😊 na mengine family una toka ndani😊👊🏿🫵🏿🇧🇮🇨🇩🇹🇿

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 2 měsíci +2

    Amejinyea kila mtu amesema😂😂😂😂😂😂😢

    • @user-pg2tw8yt4l
      @user-pg2tw8yt4l Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 2 měsíci

      Baby aziza🙈🙈hawa democratic hawajitaki yaani mzee hata hajiwezi eti wamemuweka agombee minne tena,wanampa njia nyeupe trump kwenda ikulu

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Před 2 měsíci +2

    Kubwa sana

  • @saimonifredi4653
    @saimonifredi4653 Před 2 měsíci +3

    Mwaisa achana nae.....wazee wa ndizi parachichi na maziwa mgando

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Před 2 měsíci +4

    Baba kazeeka kuliko babu yangu.
    Baba ana miaka 86 na babu yangu ana miaka zaidi ya 110.

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 Před 2 měsíci +6

    😂😂😂kama robot flan la kidudu

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q Před 2 měsíci +4

    Ngoja apite uchaguzi ujao ndio mtaona akijikojolea kwenye mikutano live 😂😂😂

  • @hirsirashid3741
    @hirsirashid3741 Před 2 měsíci +1

    ni mzee sana

  • @allykwaya
    @allykwaya Před 2 měsíci +4

    Ally masubi umesema kweli. Warangi Mti mkavu.

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 Před 2 měsíci +2

    Uku Kenya wakamba Na wataita hawazeeki

  • @GonaNzaro
    @GonaNzaro Před 2 měsíci +1

    Robot la marekani

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 2 měsíci +1

    Robot itakua marekan hamna Rais

  • @musashaban4309
    @musashaban4309 Před 2 měsíci +1

    Waha wagumu kuzeeka

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 Před 2 měsíci +1

    Ukitaka kujua wanyaturu wanaishi miaka mingi ingia ndani ndani kugonga Miaka mia ni kawaida sana unakuta bado wako fiti, na singida Kwa sasa ndio ina wazee wengi sana!

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 2 měsíci

    Yess

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 2 měsíci +3

    Atoke aende tu shenzi kabisa muuwaji

  • @ezrahaloyce1230
    @ezrahaloyce1230 Před 2 měsíci +2

    Eeeh😂

  • @user-rt1wf6se5f
    @user-rt1wf6se5f Před 2 měsíci +4

    K😂😂😂 vita inatisha putin kamchanganya mwezake

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +2

    Singida ASILIMIA KUBWA wanakula mwakula vya asili hasa mafuta ya kula ,lakini pia asililimia kubwa wanalala saa mbili umezidi sana saa tatu washalala labda wazee town baadhi Yao kidogo

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Před 2 měsíci

    I sallut u guys

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci

    Uzee bwana.yaani Mungu bwana

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 2 měsíci

    Ni mzee sana!! Tumwombee tu!! Tusijenge chuki, visasi juu ya huyu mtu au juu ya hili taifa la marekani. Biblia inasema hivi, kisasi ni juu yangu asema Bwana, mimi nitalipa, ipisheni ghadhabu ya Mungu. Warumi 12:17-21. Uushinde ubaya kwa wema. Kwahiyo wapendwa, Mungu atamhukumu kwa yote aliyowatendea watu wengine. Ahsante.

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 Před 2 měsíci +1

      Nikijatahidi sana sintomuombea kitu, ila kiuhalisia mungu amjaalie awe miongoni mwa makaa ya moto wa jahanam

  • @EliaPastori
    @EliaPastori Před 2 měsíci +2

    Wasukuma mti mkavu ilawakijijini

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 Před 2 měsíci +3

    Babu apumzike imetosha

  • @SalumMajorhood
    @SalumMajorhood Před 2 měsíci

    Dj sma amefanana na van disel

  • @awadhisarai4331
    @awadhisarai4331 Před 2 měsíci

    Wamasaai

  • @MoosaMoosaaltoby
    @MoosaMoosaaltoby Před 2 měsíci

    Wanyaturu ndio watu wapo fit

  • @Is-hakaAbdallah
    @Is-hakaAbdallah Před 2 měsíci +2

    Waruguru

  • @fidelismasaka2735
    @fidelismasaka2735 Před 2 měsíci +1

    Trump yuko vizury kwenye commenteg siasa

  • @petrokayanda5361
    @petrokayanda5361 Před 2 měsíci

    Wanyiraba
    Kuna babu wa miaka 100 anakata mti na shoka mm kijana wamiaka 15 sikuweza ilikua mwaka 2010

  • @Calis2451
    @Calis2451 Před 2 měsíci +2

    Barr in mind i see america in yhe hand of mamas raris or hilary clinton posible micheal obama

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před 2 měsíci

    Sky me nnahisi itawezekana serikali ya marekani wataweza wakatengeneza debate ila itakuwa recoded km debate itakuwa nzuri kw biden after wataitoa km live.ila muda utaongea.

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima Před 2 měsíci

    Umri nawo tatizo

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před měsícem

    Waha ni hatari hawazeekii

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Před 2 měsíci +2

    Wachaga mtu mkavuuuuuuu😂😂😂😂

  • @joshuanjau3429
    @joshuanjau3429 Před 2 měsíci

    Wasandaweé na wanyaturuu

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 2 měsíci

    Hyu n zombiiii😂😂😂😂😂

  • @animalchannel296
    @animalchannel296 Před 2 měsíci

    wazee wa kirangi hawaishagi nguvu

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g Před 2 měsíci

    Hapo kwenye afya mnafeli,anaejua hatma ya afya yamtu nimungu,jikiteni kwenye uchambuzi muhimu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci

    ✌️👍👊.

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 Před 2 měsíci

    Dj smaa towa sns zako peke Yako apo haponogi bana ni xtory tuu ukiwa peke Yako unachimba down

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 Před 2 měsíci

    Umri ukisogea hicho ni kitu cha kawaida, sasa mnataka mzee awe na akili zilezile kama alivyokuwa kijana? na waliomuweka wanajua wanao uwezo wa kum control coz huyo hata akiambiwa dk mbili kesha sahau...

  • @user-rt1wf6se5f
    @user-rt1wf6se5f Před 2 měsíci +1

    😂😂😂😂 ana skrach

  • @hamisihasan2865
    @hamisihasan2865 Před měsícem

    Waparee😂😂

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 Před 2 měsíci

    Uki mtaani kuna wazee wanamiaka kibao na hawana tabia za Biden

  • @user-yj3mu3bo6t
    @user-yj3mu3bo6t Před 2 měsíci

    UNAJUA UKIANGALIA AKIVY BIDEN N KM LOWASSA EB ANGALIA VIZUR

  • @hamzaally2283
    @hamzaally2283 Před 2 měsíci

    WAHA wagum sana hawa😂😂

  • @hemedisufiani3219
    @hemedisufiani3219 Před 2 měsíci

    Kauwa watu wengi ndo maaaana wenge linamwingia kila wakati mizimu kila wakati inamjia akiona mzimu kama yuko kwenye kikao kuna hali inamkuta

  • @DullaJonson-dw4vy
    @DullaJonson-dw4vy Před 2 měsíci

    mm naomba biden apite mana ntakosa kucheka

  • @MaeBuromera
    @MaeBuromera Před 2 měsíci

    Waha na wasukuma niwagum kuzeheka

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Před 2 měsíci

    Mmmm amekat tear

  • @joselynesango4430
    @joselynesango4430 Před 2 měsíci

    waganda hawazekagi mbiyo

  • @duhuzebosco6207
    @duhuzebosco6207 Před 2 měsíci +1

    Makonde makonde

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s Před 2 měsíci

    Wazanzibari peke yao ndo mti mkavu..yani kiufupi watu wanaoishi sehemu za visiwa hawazeeki haraka.maumbo yao Ni madogo lkn Wana miaka mingi,km wazanzibari..

  • @asyajey3479
    @asyajey3479 Před 2 měsíci

    Warangi watu wakondoa na wanyaturu singida hawa watu mfupa mgumu😂

  • @user-jx1rg4eq9x
    @user-jx1rg4eq9x Před 2 měsíci

    kama video hizo zimetengenezwa basi wa waonyeshe video zilizo halisia. Issue ya kuzeeka haraka NA kutokuzeeka inategemea NA udongo WA mtu alioumbwa nao . mambo ya unajimu au nyota ya MTU. Lakini vilevile MTU anayenyonya maziwa ya mama Kwa muda mrefu zaidi anayo chance ya kuishi umri mrefu zaidi.

  • @mtoobebe5778
    @mtoobebe5778 Před 2 měsíci

    Wa furero wa kongo the don't old so easy

  • @allykwaya
    @allykwaya Před 2 měsíci +1

    Wasukuma lainilaini

  • @aliomarali8890
    @aliomarali8890 Před 2 měsíci

    on my side I think putin yupo phisical zaid kuliko trump but issue ni behavior zao trump ni mchangamfu sana but putin ni mpole na mwenye akili nyingi hususan on decision making

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Před 2 měsíci +1

      Hata Trump yupo Smart sana japo Putin amezid uwezo

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 2 měsíci

    Fitness inaanzia kwenye genetic make up then environment ko it is possible kuwatofauti hata mkizaliwa pacha.

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před 2 měsíci

    Ndio maana anawatimikiaha Israel kuwauwa wengine kule Gaza hakilizake haziposawa 😂😂ye bora apeane makombora yakuwalipua wapalestina

  • @user-tm6gv9kp7v
    @user-tm6gv9kp7v Před 2 měsíci

    SMAA VP UMEPGA CHA ARUSHA AU NI HOMA

  • @sylvestermalelo9719
    @sylvestermalelo9719 Před 2 měsíci

    He's old enough. Wamwache apumzike.

  • @user-ox1ce7iu8i
    @user-ox1ce7iu8i Před 2 měsíci

    MBONA KAMA NI ROBOTI
    AMA PENGINE IYO NI AI SII YEYE MAAK TECHNOLOGY TODAY IKO FAR SAAN

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v Před 2 měsíci

    Amerogwa waparesna

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 2 měsíci

    Wafipa hawazeeki mapema ukimuona Mzee jua ana number ya kutosha

  • @user-cq2lt6ho5w
    @user-cq2lt6ho5w Před 2 měsíci

    Anaigiza bana, mbona mkutano wa G7 alkua mzima kbs na hapajapita muda

  • @nyanyambuli8101
    @nyanyambuli8101 Před 2 měsíci

    Kama hizo zimetengenezwa walete original

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Před 2 měsíci +1

    Nebukadreza amerejea.

  • @kingpunzy194
    @kingpunzy194 Před 2 měsíci

    Bro joe is run by Intel Celeron.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 2 měsíci

    Bola wamuweke mke wa Obama ...atashinda kwakishindo..mke wa Obama..juu juu

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s Před 2 měsíci

    Wazalamo mpo jaman lain sana

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane Před 2 měsíci

    Huyu inawezekana ni Cloned au robot bhana

  • @missp1814
    @missp1814 Před 2 měsíci

    huyu Biden usikute anatumia ngada,maana ni mzee ndio ila tabia zake hazilingani na uzee wake dishi limeyumbaaaaa😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 2 měsíci

    Apo wamuweke Michelle Obama..ndo anastaili...kwamana mumewe alikuwa rais so atamsaidia madalaka

  • @saidkhatib9146
    @saidkhatib9146 Před 2 měsíci

    Maiti inayotembea

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 2 měsíci

    Kwisha khabari

  • @afromixstudios
    @afromixstudios Před 2 měsíci

    Mi nna wasiwasi kuwa huyu sio mtu

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 2 měsíci

    Biden : Ipo clip kajamba 😂😂

  • @JoachimFrancis-jm4xi
    @JoachimFrancis-jm4xi Před 2 měsíci

    Dj Sma mzee wa facts and logic 😊😊😊Muongo huyo jamaa 😂😂😂😂😂

  • @sammy-b6281
    @sammy-b6281 Před 2 měsíci

    Waha😂

  • @Yayouselim
    @Yayouselim Před 2 měsíci

    Al😂😂😂😂 Ali pooop😅😅😅😅😅

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před 2 měsíci

    Hakuna mtuu humo ni picha #Biden

  • @user-bm9tj7hl7i
    @user-bm9tj7hl7i Před 2 měsíci

    Wapare

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 2 měsíci

    Biden atakuja fia kwenye siti

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 2 měsíci

    Nahic ni mbinu tu maana uchaguzi ni vita 😂, trump akija kwenye mdahalo ajiangalie sanaa, suprise inakuja

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před 2 měsíci

    #Wasambaa hawazeek haraka