Video není dostupné.
Omlouváme se.

BIDEN ajikanyaga kwenye MDAHALO na TRUMP, asahau mengi na kupoteza mwelekeo, Democrats wakata tamaa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 153

  • @paulomaisa340
    @paulomaisa340 Před měsícem +25

    Nampenda sana turmpo

    • @Qqambaa
      @Qqambaa Před měsícem +1

      Umesahau aliamuru waafrika warudi kwao

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      ​@@Qqambaana walirudi au

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f Před měsícem +1

      Nampenda sana trump unatulegezea sauti mvulie chupi bs

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 Před měsícem +17

    Trump bana huyu jamaa ni mchokozi saaana cheko yake yenyewe na vile anamuangalia Biden ni kicheko tosha

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 Před měsícem +12

    Hawa wote lao moja tu hamna unafuu 😢

  • @BillySmart-tk1wu
    @BillySmart-tk1wu Před měsícem +13

    Amuna cha mafua wala mafuta iyo umekwisha 😊😅😊

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Před měsícem +20

    😂😂😂😂 cjui nini kinanichekesha..sasa yule msemaji wa Hhite House atajitokeza kwa waandishi kumtetea #Bidenica😂

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před měsícem +24

    Viva Trump
    Mungu mpe uraisi Trump iwe sababu ya kusimamisha vita

    • @MohammedGabaye
      @MohammedGabaye Před měsícem +2

      Uyo tramp ndio nsenge kabisa

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před měsícem

      Nani kakudanganya?

    • @Farhah0035
      @Farhah0035 Před měsícem

      Uyu kama ndo tramp ndo aliziteta mada za ushoga simpendi wallah

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 Před měsícem

      Kumbe watu hawajui tramp kuwa ndo hatarii

    • @joshuawenceslaus2466
      @joshuawenceslaus2466 Před měsícem

      ​@@Farhah0035Trump hatetei ushoga acha ujinga kama hufuatilii siasa za marekani Kaa kimya, bora Trump kuliko biden

  • @redpromediat.o.tstrongteam1679
    @redpromediat.o.tstrongteam1679 Před měsícem +14

    Ndo nilikuwa nasubiria. Hii mada kali mno.

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před měsícem +5

    Cheki Trump anavyomkata jicho Biden hahahahahahaha inanichekesha 😂😂😂😂 kwelikweli

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před měsícem +2

    Safi sana muche ajikanyage tu mda wake wa kuwa mtoto ushafikia

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Před měsícem +7

    Kesha kubwa damu za watu wa gaza ishamlewesha mungu atamlipa hapahapa duniani kwa kuchochea vita

  • @ce-08
    @ce-08 Před měsícem +4

    Angekuwa ndiyo rais wa Afrika hapo wangemsema kweli kweli hajiwezi lakini bahati mbaya ni wao sasa

    • @mussakiziyzi408
      @mussakiziyzi408 Před měsícem +2

      Wazunqu hawana time ya kuwasema watu weusi
      Mansemana wenyew,mnaibiana wenyewe na kuuwana wenyew kwa wenyewe.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem

      ​@@mussakiziyzi408ww choko unatetea mashoga

    • @user-xl9so6jg1e
      @user-xl9so6jg1e Před měsícem

      ​@@mussakiziyzi408kwel kabsa

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před měsícem +6

    Very good mh trump. Kwa kufanya vizur

  • @frank18112
    @frank18112 Před měsícem +6

    Tanzania pia tuweke midahalo kama hii...😊

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před měsícem +10

    Nilikuwa natizama live last night nilikuwa nacheka kauli za Trump Kwa Biden na watu waliokuwa waki comments ... Aise watu wengi inaonesha hawamtaki Biden... Hata alipoongelea kuhusu Putin, Kim na Xi 😂😂😂

  • @Elybwayz
    @Elybwayz Před měsícem +2

    Heee ata wao wanadaiwa duu mimi ni nan 😅

  • @user-rw4qn6zh6n
    @user-rw4qn6zh6n Před měsícem +23

    Trump alivyo kuwa anamwangalia sasa😂😂😂😂😂

  • @EmanuelNicholaus-of1qg
    @EmanuelNicholaus-of1qg Před měsícem +1

    Raisi ana kigugumzi

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Před měsícem +5

    Wote wamezeeka hamna mzima hapo wote wapigwe chini

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Před měsícem +2

    jamn democratic mbn hamnaa akili kwann mnamlazimisha biden

  • @MwangaBora
    @MwangaBora Před 29 dny

    Kilajambo liamwisho

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 Před měsícem +1

    Hawa wamarekani eti wanaona hilo ni jambo baya akati wameruhusu uchafu,

  • @flavourboyke
    @flavourboyke Před měsícem +2

    Mimi kama mkenya niko team trumph,,, huyu biden amepea ruto kiburi they mus go

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er Před měsícem +1

    Walisahau humpiga shindano ya energiser robot,ili awe active

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před měsícem +3

    Trump ndie anaefaa kuwa Rais nipo Tanzania lakin kama kunaruhusa ya kupiga kura basi kura yangu nampigia kura mwamba trump

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Před měsícem

      Hata hao wamarekani wenyewe hawawezi kuchagua, rais anachaguliwa na Masenata wala sio raia

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před měsícem

      @@Fgldesigns alafu utasikia raiya wao wanademokrasia kumbe hawana lolote

    • @mtenhussein
      @mtenhussein Před měsícem

      @@Fgldesigns. Lengo la kupiga kura ni kuwashawishi wapiga kura wanaowakilisha jimbo lako, ambao nao watapiga kura kumchagua mgombea wako.
      Katika kila jimbo, kura ya watu wengi huamua idadi ya wapiga kura ambao wameahidi kumpigia kura mgombeaji wa chama fulani. Sio uchaguzi wa moja kwa moja; unapiga kura kumchagua mtu ambaye atapiga kura kwa niaba yako.
      Mshindi sio kila mara mtu aliyeshinda kura nyingi kwa sababu mbili:
      1. Majimbo madogo yana uzito kupita kiasi katika idadi ya wapiga kura wanaopata. Kila jimbo hupata wapiga kura sawa na idadi ya wawakilishi pamoja na maseneta wawili. Wawakilishi wanalingana na idadi ya watu, lakini maseneta kuna mfumo tofauti: kila jimbo linapata wawili, iwe Californi au Rhode Island(Ndio state ndogo sana Marekani). Kwa hivyo majimbo madogo hupata kura kadhaa za ziada.
      2. Upeo wa ushindi katika jimbo haujalishi. Ukishinda 100% ya kura katika CA na ukingo mdogo kwingineko, bado unaweza kushinda uchaguzi ikiwa maeneo uliyoshinda kwa nywele yatakuwa na wapiga kura wengi kuliko California.
      Kwa hivyo sio mfumo uliojengwa ili kuakisi kura ya watu wengi; ni mfumo uliojengwa ili kuhakikisha kuwa majimbo makubwa hayaendeshi uchaguzi upande mmoja mara kwa mara. Lakini matokeo kwa ujumla yanawiana na kura za watu wengi. Katika uchaguzi huu uliopita (ambapo Clinton alishinda kwa kishindo kikubwa katika California na New York na kushindwa kwa tofauti ndogo katika majimbo mengine mengi), lakini kwa wingi wa majimbo mengine.
      Unapaswa kupiga kura kwa sababu ile ile ambayo ungepiga kura katika uchaguzi wa moja kwa moja: kumfanya mtu wako afisini. Ni kwamba tu unampigia kura mpiga kura, sio moja kwa moja kwa mgombea. Chuo cha uchaguzi huchagua, lakini unachagua chuo cha uchaguzi.

  • @gaudencemihungo4348
    @gaudencemihungo4348 Před měsícem

    Thanks Bundara!

  • @luckkaserekadancer6832
    @luckkaserekadancer6832 Před měsícem +1

    Huyo biden ni robot😂😂😂mnipe like zangu

  • @mayunga..777
    @mayunga..777 Před měsícem +5

    Trump sura yake bwana😂😂😂

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 Před měsícem +1

    Lakini mboka kama Amedhohofu sana

  • @jacksonseverin5670
    @jacksonseverin5670 Před měsícem +1

    Tumpu yupo vzr ila sera zake haziibebi africa

  • @user-vr4vw7dk7j
    @user-vr4vw7dk7j Před měsícem +1

    The 1

  • @MerciMariamu-bt9vm
    @MerciMariamu-bt9vm Před 26 dny

    🥰🥰🥰🥰

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před měsícem +2

    Trump Sasa alivyo kunja mdomo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před měsícem

    Uyu miaka yake imesha pita yy ahache wengine watawale 😅😅😅😅 baiden kachoka kabisa 😢😢😢😢😢 sioni baiden kushinda

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Před měsícem

    Mbona wazee sana

    • @89_Media
      @89_Media Před měsícem +1

      Ila wana mitonyo💸💵
      Moja ya sifa kushinda uchaguzi mkuu Marekani,ili usiwe mwizi mwizi😂😂😂

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před měsícem +1

    Dunia hii omba sana usokutane na changamoto ambazo hata pesa haiwezi kukusaidia chochote...omba sana!!!!!

  • @user-vh3hj8mt6l
    @user-vh3hj8mt6l Před měsícem +2

    Trump ww n noma Sana Yan unamuangalia Biden kijeuri kweli aki hii nkali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 Před měsícem +2

    Kamaaa unamkubal Trump

  • @BabasahdSahd
    @BabasahdSahd Před měsícem

    Kwan beiden ninan aswaaa kama mnajua lecode yake nijuzeni😂😂 malekan inachekesha mngu ata walipa xku moja

  • @eleven-in5qw
    @eleven-in5qw Před měsícem +1

    Jamaaa na si kumchukia lakini aachane tu na uongozi lakini hii inaonyesha kuna watu au mtu sahii analiendesha taifa

  • @noelmusa3502
    @noelmusa3502 Před měsícem

    Eeeh yani anaongea kama roboti

  • @hassanikaawizy2597
    @hassanikaawizy2597 Před měsícem +1

    Wakwanza

  • @Zuu673
    @Zuu673 Před měsícem

    Wala hakuna wa maana apo

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 Před měsícem +1

      Lkn panapo na vbaya viwili bs ki1 kitakua afadhali

  • @shabanimataka8418
    @shabanimataka8418 Před měsícem

    Angekuwa rais wa wenzao uyu sijui ingekuaje bahat mbaya ni wao

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx Před měsícem

    Kusema ukweli uyu mzee amchoka hajiwezi kabisa

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 Před měsícem +1

    kwanza Trump kavaaa tai nyekundu nzuri Sana alitakiwa havae Joe Biden Kama raisi wa sasa.

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 Před měsícem +2

    Biden ni kama robot vile

  • @lucymacha1853
    @lucymacha1853 Před měsícem

    Trump anaubaguzi sana baiden nae kazeeka wote hawafai Bora Obama arudi .

  • @LUJIGA_PODCAST
    @LUJIGA_PODCAST Před měsícem +1

    😅😅😅😅😅😅 ila Trump

  • @Agath45
    @Agath45 Před měsícem

    Nilingojea kwa hamu sana. Ila trump kauwa

  • @hemedisufiani3219
    @hemedisufiani3219 Před měsícem

    Mpumbavu baideni kauwa watu wengi sana huyu mzeeee loho zitamtesa sana kabuli lake litawaka moto milele 😢😢😢

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před měsícem +1

    Trump kama kichaa flani hiv 😂😂 kumbe ni genius

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 Před měsícem +1

    Wote wamezeeka wakwende huko kwan America haina vijana wa kugombea urais😢

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před měsícem

    Team Trump 🎉

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Před měsícem

    Hawa wazee wote wana bore,kwani hakuna vijana hukooo

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před měsícem

    Wasioleweka

  • @katayaloveness5529
    @katayaloveness5529 Před měsícem +1

    😂😂😂😂trump siyo mambo yake 😂😂😂

  • @MohammedGabaye
    @MohammedGabaye Před měsícem +2

    Watu wengi wanamtaka tramp ila tramp ndio mpumbav akiwa rais

    • @sarastephano3409
      @sarastephano3409 Před měsícem +1

      hakuna waislam wanaomkubali Trump maana Ni myahudi😂

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před měsícem

    Mara anajamba huyo mzee, kun clip km tatu au nne hiv anajamba

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před měsícem

    😂😂 trump hivyo anavyomtizama..... Biden

  • @kassimramadhani3198
    @kassimramadhani3198 Před měsícem

    Mbona haujachambua na alio yasema Trump

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 Před měsícem +1

    Biden ni mzee mwenye shida ya akili wapaswa kumwacha astaafu 😕Hata hajui anachozungumza.

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 Před měsícem +2

    Trumph kajikaza sana kuto kumwingilia Biden na kumchamba Kwa udhaifu wake😂😂😂

  • @BaboumitengaMutenga
    @BaboumitengaMutenga Před měsícem

    1❤

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Před měsícem +1

    Ina maaana wa democrats hawana wagombea wengine zaidi ya Biden😂😂

  • @MHDFURNITURE-jn2rx
    @MHDFURNITURE-jn2rx Před měsícem

    baiden kama lowasa

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Před měsícem

    Kaz kwen waislam mambo yameanza kuchangamka mnajifanya kmsifu Trump nnasahau kpind chake alizuia nch za kiislam kuingia america viva tramp

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 Před měsícem

    Make American great again, Viva Trump

  • @kembopere4961
    @kembopere4961 Před měsícem

    Nyie acheni habari za uongo...ndo kuongeya kwa Baden.

  • @hebertotanaely6607
    @hebertotanaely6607 Před měsícem

    Marekani toka atoke Obama Bado hawajapata Raisi, Antony Blinken anafaa

    • @Awatee
      @Awatee Před měsícem

      😂😂😂😂

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem

    Speech diosder 😂😂😂

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei Před měsícem

    Najarbu kutafakar ikifika tz hi democracy, huku samia vs mbowe! Naamin siku hyohyo kuna mtu ataomba kujiuzuru😂😂😂

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před měsícem

    Trump hii sura yake sasa na alivyo jaariwa zarau😂

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 Před měsícem

    TRUMP /YES

  • @alexbahindolwa3921
    @alexbahindolwa3921 Před měsícem

    Huo muono wa Trump sasa 😂😂.jpt

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem

    Sasa😅 kwanini wanajua na wana uhakika kama hayuko vuzuri alafu wana kuhusu hii midahalo kwani ni lazima?😅😅😅

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Před měsícem

    Trump anamchora

  • @blezywatino1043
    @blezywatino1043 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @stephenmmbago4975
    @stephenmmbago4975 Před měsícem

    Viva Trump

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Před měsícem

    Ilipaswa kichwa cha habari kiandikwe biden kayakanyaga lkn sio kajikanyaga😂😂

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před měsícem

    DT for the president hii Amerika inamhitaji mwamba wa sheria kali Trump akishinda tu wenye upinde wakatafute kwa kuishi 😂

  • @MosesHarerimana-ku2cp
    @MosesHarerimana-ku2cp Před měsícem

    Trump ipo makini san😂😂

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 Před měsícem +2

    Biden inasemekana ni Robot tu sio mtu sahihi

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před měsícem

      Inasemekana wapi Biden kawa kwenye siasa miaka zaidi ya 50 , ni sawa we Leo useme yusuph makamba sio mtu ni robot

    • @emmaonalloh5515
      @emmaonalloh5515 Před měsícem

      ​@@FahadAbubakariakili yake haiko sawa anasahau sahau vitu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před měsícem

      @@emmaonalloh5515 uzee

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před měsícem

      @@FahadAbubakari inasemekana huyu Biden sio yule halisia wakawa wanaonesha na tofauti za Biden Og na huyu Robot wanaamini yule halisi ashafariki

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před měsícem

      @@emmaonalloh5515 unatakiwa kabla hujajibu uelewe kwanza sijasema huyu sio Biden kwamba nna uhakika 100% ila nimeongea kwa baadhi ya madai ya wa2 yanaweza yasiwe yakwel pia ndomaana shule mkaambiwa read instructions yaan jibu kitu ambacho unaelewa nacho ok!

  • @Ibrah__
    @Ibrah__ Před měsícem

    Ulafi wa madaraka Jaman, Biden kazeeka vibaya, aachie madaraka. Kufiamadaraka

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 Před měsícem

    Hamjuagi Biden ni Robort? Ile ni AI. Biden alishafariki.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem

    Trump direct white house ❤

  • @e11said23
    @e11said23 Před měsícem

    Trump kawapa mayahudi mji mkuu jerusalem nauyu baiden kaja kupiga haya karibuni wote mbwa nyie uwanjani mpaka muombe poo

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem

    Trump anamwangalia biden kama vile helewi

  • @joshuawenceslaus2466
    @joshuawenceslaus2466 Před měsícem

    Roe vs wade iliondolewa chini ya Biden😂😂😂 asimseme Trump, halafu sasa mahakama ya marekan imempa kinga Trump, hahahahahahah kwahyo huyu mzee bado yupo yupo, na hii ni kesi ya biden, kwasababu mahakama ya juu ilisema Mahakama haina mamlaka ya kuamua utoaj mimba bunge ndio ina hiyo haki, so wabunge wa democrats ilibidi walete muswada bungeni wa kupromote utoaj mimba walishindwa, so wasimlaumu Trump🤣🤣🤣🤣 hawa jamaa hawashindi tenaa

  • @KarisBaya
    @KarisBaya Před měsícem

    Bado biden atashinda tu,hakuna wa kumzuia hapo

  • @joshemman520
    @joshemman520 Před měsícem

    plz like video

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před měsícem

    😂😂😂😂😂

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před měsícem

    Trump apewe nchi Baden apumzike

  • @kingpunzy194
    @kingpunzy194 Před měsícem

    Kaka Sky sie wengine tulikuwa tunasubiria hatma ya GAZA na URUSI, ila jamaa wamecheza trick Kwenye kuuliza maswali na kujibu maswali. Biden & Trump are Zionists Brothers

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er Před měsícem

    Huyu biden ni gay, hayo sio mafua, hiyo sauti ishaanza kubadilika, hivyo ndio mahanis wanavyokuwa

  • @HarounRashid-rh6jr
    @HarounRashid-rh6jr Před měsícem

    😂

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 Před měsícem

    Trump latima ashinde

  • @ramadhanikazimoto3052
    @ramadhanikazimoto3052 Před měsícem

    Uwe unanyama kaka tuwasikilize viongozi mda wotw unaongea wewe tu unakera bana

  • @AjudeKaluwa-bp1zz
    @AjudeKaluwa-bp1zz Před měsícem

    Welcome trump Biden buried