Video není dostupné.
Omlouváme se.

DJ Sma afunguka kwanini alitabiri jaribio la kuuliwa TRUMP, ‘Aliyehusika ni mbuzi wa kafara’

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 247

  • @assateke7199
    @assateke7199 Před měsícem +32

    Hahahaha Hatuna Dj tuna intelligent 🧠 kwa kweli... Hurrah

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před měsícem +53

    Alafu huyo jamaa DJ sma nilisha mfatilia toka mda kuna neno amewahi kusema kipindi yuko Ivory Coast, niliamini kua anaweza kua mwana intelligencia, mungu awalinde #vladmir puttin,#hayatollah khamenei,#Xin jinping,#kim jong un #donard trump #aleksandra lukashenko,#shebaz sharif,#nalendra damodardas,#victor orban 🙏🙏🙏🙏

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před měsícem +29

    Dj Sma with Big Brain Allahumah Bareek 🤲🏼🤍

  • @12345678938129
    @12345678938129 Před měsícem +47

    Sky kwanini DJ smart asiwe na political show take mwenyewe mara kadha kwa week . Kwasababu iko vizuri sana na history , economics, and research

    • @Eng2460
      @Eng2460 Před měsícem +3

      Fuse ipo and ana mambo mengi anafanya sio rahisi kujigawa,ndo maana tunapaswa kuwasupport kwa kutuma tips ili waweze kujitoa kufanya haya mambo

    • @BillyJames-l6x
      @BillyJames-l6x Před měsícem

      Hayupo vizuri Ww ndio upo vibaya kaka

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 Před měsícem

      Fuse ipo

    • @Eng2460
      @Eng2460 Před měsícem

      @@zahrababygarl1568 🥂🥂

  • @sakitiyesse5973
    @sakitiyesse5973 Před měsícem +14

    DJ smaa naona ulishafanya profiling ya situation mapema, yaani you are a profiler, apo imebaki tu kuanalyse crime scene eneo la tukio. Hongera bro.

  • @valleluoga6258
    @valleluoga6258 Před měsícem +13

    Asante sana kwa SNS na kaka DJ SMA, Kwa uchambuzi wenye weledi, Kwakweli political view ya sasahivi Marekani inazidi kuwa complex na hasa upepo wa kimadaraka the more complicated time is coming

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp Před měsícem +2

    Jambo la Maana syo kumwinua na kutumtukuza kiasi hiki,bali kitakacholeta baraka dj smaa nikumtukuza Mungu aliyemfanya awehivyo,jina la Bwana litukuzwe sana.

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před měsícem +20

    Smaa nakukubali sana, hongera kwa kazi nzuri

  • @elisanteezekiel5998
    @elisanteezekiel5998 Před měsícem +17

    Dj Sma is well informed and a good analyst's, ally masubi is detailed, technical details, na Sasa Henry kwenye GPS you guys your making a good team.

    • @kassimbayuu
      @kassimbayuu Před měsícem

      @@elisanteezekiel5998 yaan unajua kuipanga battline

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před měsícem +19

    Mzee wa fact and logical,

  • @thadeomwaulambo
    @thadeomwaulambo Před měsícem +2

    Dakika almost 6 za kujisifia go straight to the point tutakupa maua yako 🎉 though haipingiki your a good analyst

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Před měsícem +4

    Dj sma ni kati ya binadamu wachache wenye akili nyingi sana na uwezo mzuri wa kufikiria.
    Mwenyez Mungu amjaalie maisha marefu yenye afya njema inshallah.

  • @user-si7kv4vl2b
    @user-si7kv4vl2b Před měsícem +6

    Dj Smaa pa1 na elimu ulinayo pia una kipaji ndan yko lkn kubwa zaid ulichomuomba Mwenyez Mungu ktk kaz zako ndicho anachokuonesha ili watu wauelewe ule ukweli ambao unaousema siku zote shukran Allah akupe maarifa zaid uendelee kutupa ukweli next ukiwa na wachambuzi wenzako hapo mjengoni.

    • @user-si7kv4vl2b
      @user-si7kv4vl2b Před měsícem +1

      Wakuitwa Mwembe from Mtwara mmetisha sn wana SnS.

    • @faridhamad3678
      @faridhamad3678 Před měsícem

      Allahumma Amiin 🤲

    • @mohamediidrisa1259
      @mohamediidrisa1259 Před měsícem

      Mwembe yupi jumanne au mtwara home pia chikongola ndio kitaa ​@@user-si7kv4vl2b

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s Před měsícem +3

    DJ sma kwa kweli dah? Mungu akuhifadhi sana.una akili kubwa sana ya ziada hii Ni zawadi maalumu toka kwa mungu halafu una kipaji chenye maono sana.alla akubaariq DJ sma...

  • @ABDULShq-wv6st
    @ABDULShq-wv6st Před měsícem +10

    Good job sma 👍

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před měsícem +8

    Amuelewa dj smaa, hiyo aliyonayo ni gift hata kama angekuwa hasomk sehemu, ila kitakachomjia hua hivyo

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem +4

    Hongera sana @djsmaa we ni genius wa Geopolitics..hongereni sana SNS..hongera sana sky..

  • @kibokutiwanatanyika1540
    @kibokutiwanatanyika1540 Před měsícem +3

    Nilichofurahishwa na dj smaa ni msimamo wake kwenye videos za mahojiano yake kwa kutowekwa matangazo ya pombe❤,
    Pombe kwa waislamu ni haramu na wala haitakikani kushiriki chochote katika kuitangaza au kuifanyia promo yoyote.

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb Před měsícem +5

    Jamaa smaaa anajua hatari mungu akuqwke

  • @MudyBankary
    @MudyBankary Před měsícem +12

    dj sm 🙌

  • @msafirikalinga6938
    @msafirikalinga6938 Před měsícem +2

    DJ Smaa ni mwanadam makini sana naomba kuwakilisha

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 Před měsícem +2

    Wanetu leo tupo trending

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 Před měsícem +4

    Dj sma Hatari sana namuelewa kuliko YOYOTE Yule

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 Před měsícem +1

    Please please SNS na dj smaa na brothers wengine hapo studio shalom/bwana yesu asifiwe, Aisee brothers tunahitaji uchambuzi wa mahojiano aliyo fanyiwa yule kijana Joshua okayo raisi wa baraza la wanafunzi chuo cha KSL Kenya, mahojiano aliyofanyiwa na kituo cha NTV, baada ya kutekwa na kupatikana. Please please ilye interview inavitu Naona Ndani yake. Please please.

  • @josephm4233
    @josephm4233 Před měsícem +4

    I was waiting for SnS reaction

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 Před měsícem +4

    daah DJ smaa nomaa

  • @seemeyou862
    @seemeyou862 Před 15 dny

    ❤kazi nzuri sana bro

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 Před měsícem

    Huyu dj sma Bundala sio dj tena huyu ni mwana intelijensia. This guy is so smart aise

  • @user-nl9mc4ji8n
    @user-nl9mc4ji8n Před měsícem +8

    Nakukubari sana

  • @B13-AK47
    @B13-AK47 Před měsícem +5

    Nimekupata dj smaa Ile muvi Kali sana Kuna mwamba anaitwa bob Lee swagger. Ileyeshutumiwa mauaji hatariii.

    • @dmsports255
      @dmsports255 Před měsícem

      jana tu imerushwa dstv nimeirudia kuangalia ni same story na h

    • @baizoboy1719
      @baizoboy1719 Před měsícem

      SHOOTER , 2007 Action Mark Wahlberg- Bob Lee Swagger😅

  • @wazirngwadi7311
    @wazirngwadi7311 Před měsícem +1

    huyu jamaa ni hatari na ndo aliyenifanya nikaipenda sns niliachana demu kisa yeye aliniomba hela ya bando na mm sina bando nikamwambia bora ukose ila nisimkose kumsikiliza dj sma255🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍😍😍👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👊🏿👊🏿👊🏿

  • @morganyiskaka815
    @morganyiskaka815 Před měsícem +3

    The shouter niliona kama bendera ya tz ilionekana

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před měsícem

    DJ anaiba prophecy kwa Mitanndao imetabiriwa tangu 2021

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 Před měsícem

    Warra DJ smaa Asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @godefroidniyonkuru7332
    @godefroidniyonkuru7332 Před měsícem +5

    Kuna video ali shoot before tukio anadai eti anacukia Republicans na Trump ila mwisho akasema eti otea " mulinasa wrong guy"

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z Před měsícem

    Smaa Genius

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před měsícem +3

    Dj sma ni hatareee sana na wewe inabid ujilinde sana 😀 maana unatusanua sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před měsícem +3

    Dj smaa nakuelewa sana

  • @isayajoseph14
    @isayajoseph14 Před měsícem

    Shooter ni noma sana inafundisha sana

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před měsícem +1

    Unachambua vizuri mno media za magharibi hawakupendi unawamaliza

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před měsícem +7

    Nyie mngefungua chanel ya television mngepata fans wengi sana

  • @sereveolivier5395
    @sereveolivier5395 Před měsícem +1

    sns kwakweli napenda Sana kuwafatiliya ila ikiwa hamtakua makini na wafatiliaji watawavuruga Sana Iyo tabiya yakiubaguzi siju wamoja DJ sma Ally masubi wengine wanaenda mbali Zaidi wanaleta hadi ubaguzi wa kidini na ninavyo one kwasasa vimaanza kuwasili muweni makini Sana Izi siku Ally tunamusikia Sana ila sio kwaubaya but not again just because people trying to separate you guys love you all Wana sns Yusuf from 🇿🇲

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Před měsícem +1

    Nakumbuka dj sma alitabiri kweri duuh😮😮 hapa ndio namuelewa dj sma akisema nakupa facts and logic & time will tell🤔🤔🤔🤔

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 Před měsícem

    Yes, on migrants,you are right bro

  • @chande2k250
    @chande2k250 Před měsícem +3

    Dj smah nakukubali issue ya trump inaendana na movie ya shooter kabisa

  • @sugumbeya
    @sugumbeya Před měsícem

    Dj uko vizuri kaka, lakini huyo dogo ndiye muhusika, kwa kuwa wamemkuta hana ID yoyote ile ikawa ngumu kumtambua, then risasi na bastora waliyomkutana nayo zimesajiliwa kihalali kabisa kwa sheria za marekani, na hiyo bastora ni inamilikiwa na baba yake mzazi. Lakini dogo hana historia yoyote mbaya. Naomba kuwasilisha

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 Před měsícem

    Salute 🫡 dj 🙌 🙏 👏 💪 💯 unajua kutabiri

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před měsícem +2

    Selikali tadhania mngetumia kumpa kazi anajua kweli mnawatu wanaakili hamtumii ila watakuja warusi wamerekani watachukua sasa muhamuwe akipaji umakini mfatiaji sio balaa nalka ausifa una haja kusikiliza cnn kumsikiliza tu unajua kila kitu

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z Před měsícem

    Watu wenye uwezo kma smaa nchi za waenzetu huwachukuw na kuwaeka sehemu inayofaa kwa nchi zetu za Africa wanawapuuzia ila kwa sisi wananchi tunajuwa muhimu wa Smaa ktk swala zima la kutupatia vitu vya uhakika

  • @mzomemzome6723
    @mzomemzome6723 Před měsícem

    DJ. Smaa yuko vizuri

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Před měsícem

    Unastaili sifa gd kanzi nzuri

  • @chabrumachabruma
    @chabrumachabruma Před měsícem +5

    Risasi imepita na sikio!halikuwa igizo

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 Před měsícem +1

    Kuna mtu tunaye ila nadhani bado hatujamtumia vizuri, dj sma ni mmoja ya watu makini na anachimbua sana vitu kwa logic and facts binafsi namwamini sana!!

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Před měsícem

    You dont need cristal ball to see what is coming, give the atmosphere right now😮

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx Před měsícem +2

    Sma we inabid serikali yetu inabd ikuajir we ni ktk vichwa adim sana dunian

  • @jacksonmrema4737
    @jacksonmrema4737 Před měsícem

    Dj sma sio mtabiri aliyetabiri anaitwa Prophet Eubert Angel tofautisha kunarrate na kutabiri ndugu sns

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před měsícem +1

    Ni woga tu huo, baada ya Marekani Chini ya Biden kuhisi kushindwa kwa Putin ndiyo wameona bora wamuue Trump ili asije akawachafua baada Biden kushindwa Katika Uchaguzi maana wanahisi kwamba Trump akishinda Uchaguzi atauanika kwa Wamarekani Uchafu wote uliofanywa na Democrat ndani ya Uongozi wa Biden kwa mda wa miaka minne ya Uongozi wake.

  • @HadijaJulius
    @HadijaJulius Před měsícem

    Djsmaa una kitu kikubwa sana🙌🙌

  • @user-ls8zn3ho8l
    @user-ls8zn3ho8l Před měsícem

    😂Dj angalia kwa umakini mkubwa hii ni kiki trump anaigiza angalia reaction ya alie chunoi na risasi from Congo

  • @ahmedymahmudu9532
    @ahmedymahmudu9532 Před měsícem +1

    Safisana Dj smaaa

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Před měsícem +3

    Wacha tusubirie GPS

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před měsícem

    Kweli kabisa propaganda tu alietaka kuua sio wanayosema ni wao manyang'au...DJ SMA salute

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 Před měsícem +1

    SHOOTER , 2007 Action Mark Wahlberg- Bob Lee Swagger😮

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před měsícem +2

    Dj smaa ni mchambuzi na nusu huwa anawaambia mapema ila vilaza mashoga wanaleta ubishi… ata kenya Smaa alisema mapema Ruto avunje baraza lamawaziri

  • @flaviaurio7957
    @flaviaurio7957 Před měsícem +1

    Pamoja sana

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Před měsícem

    Sma upo vizuri

  • @user-co1bk7wo7t
    @user-co1bk7wo7t Před měsícem

    Dj sema 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před měsícem

    Angekua ni muislam tungeambiwa ni shambulizi la kigaidi na waislamu huko wangejuta kuwepo marekani

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 Před měsícem +1

    #SMA 🔥🔥🔥

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před měsícem +3

    hii tukio linataka kua kama la jay f kennedy

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 Před měsícem +1

    the shooter naijuwa..ndo mchezo huo

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona Před měsícem +3

    Iyo risas imempata au mbona hamuongei habar ya kueleweke na kama imempata sehem ganii ya mwili maneno kibaoo mxuuuu😬

    • @misagosylvestre3356
      @misagosylvestre3356 Před měsícem

      Imesepa na sikio

    • @valleluoga6258
      @valleluoga6258 Před měsícem

      Sasa si ufatilie vema hiyo habari ndg..!? Unamletea nani makasiriko sasa wakati simu kubwa unayo na unaweza kuperuzi chochote...!? Haya nenda DW, BBC au nenda TBC au Jamii forum. Utakuta unachotaka, jiongeze basi siku nyingine, Simu kubwa kutumia akili aaahh...!!!

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 Před měsícem

      Imempata ktk sehm ya sikio lke la kushoto

    • @jacksonmsendo3478
      @jacksonmsendo3478 Před měsícem

      Imemparaza tuu sikio

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso Před měsícem

    Genius smaa

  • @POLITICS_WAR_DIPLOMACY
    @POLITICS_WAR_DIPLOMACY Před měsícem +1

    Sma yupo vizuri ata ile notio ya kuwa biden hatagombea pia itabainika na mishel Obama pia possible kuwa nominee wa chama chake

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Před měsícem

    Tukiongea mnasema ooohh….dj smaaa kazi nzr anaifnya tangia mwanzo….

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem

    Afu skilizeni. Mungu akiamua uende we unaenda tu...kwa ile ile moja...hao walinzi ni mifumo tu

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Před měsícem

    SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA 🇲🇿🇹🇿

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před měsícem

    Putini naye atauliwa na zelesiky pia atauliwa Nami nitakufa na dj Sma nayeye atauliwa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před měsícem

    Wabongo bana..,hizi story zimesemwa saana na watu kibao.,years back. Sasa huyu amepita mulemule anajifanya ni yeye kapatia.

  • @hubertgodwini3574
    @hubertgodwini3574 Před měsícem

    Inaitwaje hiyo movie

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 Před měsícem

    Very nice

  • @user-sg4xn4hz5d
    @user-sg4xn4hz5d Před měsícem

    Kuna wachambuzi alafu kun huyu dj smaa jamaa ya yup vizur sana ya kun mamb mengi ameshawahi kusem na kwel yanatokea japo kun watu wanampinga ila mwenyw anamsemo wake anasem time will tell na ndo hivi sas

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před měsícem

    Mnachqmbua vizuri

  • @brightsakafu
    @brightsakafu Před měsícem +11

    There's no way trump akarudi madarakani, ila kuna namna trump anarudi madarakani tena

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 Před měsícem +1

    Kuna yule dogo anaitwa Ali masumbwi 😂😂😂 ama kweli yule ni masumbwi 😂😂😂

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem +1

    Dj sma ni bonge la mchmbuzi kutoka nairobi

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před měsícem

    kuna mtu atasema alikuwa atafuta kiki😂😂😂

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb Před měsícem

    Hapa sns ndio kuna wa andishi wenye uandisi wa kiahabar fact zimeshiba kazi kubwa na bless kwa sky smaa Ally. Na mwinuka mnatufanya kuwa watu watofsuti sana hata uku mtaani

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 Před měsícem

      Ally hamna kitu xio mchambuzi mtowa hadith tu

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      ​@@hamicpina1151Mkuu mpe moyo mwenzako, una maneno makali sana na yasiyo na adabu pia.

  • @davidngomeni2608
    @davidngomeni2608 Před měsícem

    Nimekuelewa sana ulivyoonganisha na #shooter

  • @francisdavo
    @francisdavo Před měsícem

    Kweli Kaka nishaona hiyo muvie

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka5834 Před měsícem

    Shooter (2007)
    movie tam sana hii daaahh, anaeitaka anichek nimtumie.

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje Před měsícem

    Good job . Pia Kuna channel ya Cartoon inaitwa Simpson Huwa wanatoa Matukio kama hAya kabla . Walitabiri nyingi tu ukiangalia utajua vingi sana

  • @fastking3177
    @fastking3177 Před měsícem

    Dj smaa💥

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před měsícem +1

    Dj smaa Wewe utakua KGB intelligence service cz unavyo chambua na kutabiri uko smart sana kwenye anga ya Geopolitics. Jamaa katolewa kafala ila FBI,CIA wako nyuma ya assassination attempt dhidi ya Trump.

  • @MwadawaSaidi
    @MwadawaSaidi Před měsícem

    Tunampenda Trump haijalishi hapendi wa Africa ila tunampenda sana sisi wazazi kwasababu anatupatia pesa tuna enjoy kwakweli nisameheni wanaomchukia 😂😂😂😂kura yangu nisha mpa kitambo

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 Před měsícem +1

    Dj sma nakukubali chukua soda hapo ntalipa

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Před měsícem

    Watuwenyeakilinyingi tunaendramwishon yanabakia kizazichapili kutokazombi wejamaa unaonambali unanishinda kupangiliamada kutokana naelim aliokujaalia mwenyeiz mungu

  • @KidawaMzee-xr3mv
    @KidawaMzee-xr3mv Před měsícem +1

    Ah bro unakitu ndani yako bana sio bure

  • @cleverboy3812
    @cleverboy3812 Před měsícem

    Shooter nimeiona hii movie.. Kuna uwezekano kweli hili tukio likawa kama ile movie ya shooter.. Kwa sababu kama vyombo vya ulinzi na usalama waliambiwa kuna mtu anasilaha then wakapuuza basi hii tukio limechezwa na wakubwa..

  • @kabwelerywamwatumu5078
    @kabwelerywamwatumu5078 Před měsícem +1

    DJ Sma umeongea ukweli yule ni mbuzi wa kafara