BILIONEA WA KIARABU TANZANIA AANGUSHA MSIKITI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #sheikhmwaipopotv #sheikhmwaipopo #muhubirimwaipopo

Komentáře • 63

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y Před 24 dny +7

    MaashaAllah, Allah Ampe pepo ya Firdous na Familia yake

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Před 23 dny +4

    Mwenyezimungu Ampe Jambo mwisho mwema na pia amwongeze saana alipotoa!

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 22 dny +1

    Amiin yarrabillaalamiin sheikh wetu
    Mwaipopo.
    M.mungu atakubariki ndugu zetu.

  • @moestate9982
    @moestate9982 Před 23 dny +1

    Mashallah SubuhanaAllah Alhamdulillah ALLAHUAKBAR
    ALLAH awazidishie kila la heri pale walipotoa ALLAH awazidishie awamjalie pepo ya fil dous Amiin

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před 24 dny +3

    Mashaallah,, Mwenyezi Mungu awajaalie khekima busara na awaepushe na Kila lililo baya, Amin Amin Amin.

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před 20 dny +2

    Love mwaipopo kwajili Allah

  • @asriyaaljabry27
    @asriyaaljabry27 Před 23 dny +3

    Allah awazidishiye kila la kher

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali1697 Před 22 dny +1

    Shekh hongera kwa kazi nzuri inayotia hamasa
    kwa wengine.Bali kumbuka neema kama hizo zikiwekwa wazi huzaa chuki. Ungesubiri hata ukaisha ukapaprisaiz
    Yote kwa yote Allahumma amin

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 23 dny +3

    Mashallah mungu ampe Mali zaidi umri mrefu na atupe na sisi moyo wa kutoa

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 23 dny +2

    Masha Allah Allah amzidishie umri na ampe kauli thabit na ampe pepo yake tukufu ya firdausi

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y Před 8 dny

    Maashaallah Allah amlipe jannah

  • @abuuumama6877
    @abuuumama6877 Před 23 dny +3

    Allha amfanyie wepesi na amuongeze kipato chake

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 23 dny +1

    Allah akulipe sheikh endelea kulingania dini ya Allah

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před 23 dny +2

    Allah amjalie umri baraka tele

  • @papsmicrocreditcompanylimi1443

    Mashallah ulipotea hewani shekhe mwaipopo umerudi tenga hongera sana ndugu

  • @salihinashamaghana513
    @salihinashamaghana513 Před 23 dny +5

    Sheikh mwaipopo mmiliki wa kampuni ya jambo shinyanga amefanya jambo jema tumwombee mema..ombi kwenu wasaidieni kuwaunganisha waislam na taasisi za kiislam ziweze kujenga makubwa zaidi ya hayo uliyoyaona jambo shinyanga,ijengwe misikiti ,mahospital, mashule,vyuo mbali mbali vya kidini na vile vya utaalam mbali mbali kitaaluma.matajiri waombwe badala ya kuwashambulia kama wabaya.

  • @zulekha3028
    @zulekha3028 Před 21 dnem

    Mashllh..Mashllh..Allaah ampe yalomema dunian na ksho akhera...aujue hajapoteza bali ametengeneza akherayake.

  • @hassanabdalla9688
    @hassanabdalla9688 Před 19 dny

    Mashaallah.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 22 dny

    Waambie ukweli sheikh mwaipopo

  • @JumaMvungi-ot4ef
    @JumaMvungi-ot4ef Před 23 dny +1

    ALLAH atuongoze

  • @albahsans
    @albahsans Před 23 dny

    Allah amjalie mali zaidi na ampe mwisho mwema

  • @DivNg27
    @DivNg27 Před 20 dny

    MashaAllah

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 Před 23 dny

    Allah amjalie awe miongoni mwa wakazi wa firdous

  • @sadatbarakat6041
    @sadatbarakat6041 Před 23 dny

    Masha allah m
    .amzidishie zaid

  • @ZuberiSaid-m6v
    @ZuberiSaid-m6v Před 23 dny +2

    Allah amjaalie kheri katika Mali zake ampe Tawfeeq katika kuuendeleza Uislamu ampe umri mrefu wenye barka, Allah ampe mwisho mwema, tunamuomba Allah awape Tawfeeq matajiri wengine waige mfano huu

  • @user-dk6zr9ed6m
    @user-dk6zr9ed6m Před 15 dny

    Allah akuridhie wewe na familia yako

  • @GreysonMheni-ln9rm
    @GreysonMheni-ln9rm Před 4 dny

    Mbona Mwaipopo unapenda sana kulalamika?

  • @MaulideAmadeAmade
    @MaulideAmadeAmade Před 19 dny

    Apate zaidi

  • @RashidBusanya
    @RashidBusanya Před 22 dny

    Siku nyingi sikuoni sheikh

  • @shasha12-y2h
    @shasha12-y2h Před 23 dny

    mashallah allah amuongezee zaidi

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před 23 dny +1

    Hapo, Sasa mwaipopo utauza sana data za kenyeji

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Před 23 dny

      Mbona Wazungu wanatumia dawa hizo hizo za kienyeji kutengeneza dawa mbalimbali za hospitalin?

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 23 dny

      Afadhali ya huyo anauza dawa vipi hao wanaouza maji ambayo hayana dawa kabisa haukuwaona?!

  • @saidshukeri4986
    @saidshukeri4986 Před 23 dny

    Allah amjalie kher nying

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Před 23 dny

    Ma shaa Allaah

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq Před 23 dny +2

    Mimi nilikua muislam nimebadili dini na kua mkristo.

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 Před 23 dny +3

      Kubadili si shida kwani hakuna anayelazimishwa kuwa Muislam. Cha muhimu ujue kuwa dini ya Kiislam ndo dini ya Manabii wote waliopita akiwemo Yesu . Hivyo aifuataye ni kwa ajili ya Salama ya nafsi yake na asiyefuata ni kwa ajili ya hasara ya nafsi yake.

  • @jumakwale8414
    @jumakwale8414 Před 23 dny

    Masha Allah Masha Allah

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Před 23 dny

    Allah amjalie kher

  • @AbdallahMiwere
    @AbdallahMiwere Před 23 dny

    Mashalha

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 21 dnem

    Ana akili huyu anayejenga akhera yake.
    Atakuwa ni katika kizazi cha Mtume, maana hao wana historia ya kufanya mama.

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl Před 24 dny

    mashaallah

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 Před 23 dny

    Asalaam Alaykum.
    jamii ya waislamu na waarabu wa tanganyika ndiyo iliyo pigania uhuru wa tanganyika alhamdulillah.
    huko nyuma tulikotoka jamii hii ilifanyiwa fitna kubwa ili waislamu na waarabu kwa ujumla wao wasilete Maendeleo ya nchi. lakini alhamdulillah kwa uwezo wa MwenyeziMungu fitna za makafiri zimefeli alhamdulillah.
    Nabado Maendeleo makubwa yanakuja na yanaletwa na waislamu na waarabu kwa ujumla.
    Historia inajirudia siyo tanzania tu ila ulimwengu mzima Maendeleo ya kweli na yahaki yanaletwa na waislamu.
    MwenyeziMungu amzidishie nduguyetu anaejenga msikiti huo mkubwa hapo mkoani shinyanga inshaallah.

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před 22 dny

      Swali la kujenga na maendeleo halipo ktk rangi kabila au dini Kila mtu anachango wa kuleta uhuru wa taifa hili sisi ndio tuna baguwana kwa dini zetu Kila mtu ana mchango wa taifa hili Wala hakuna dini Wala kabira Wala utaifa ulio zidi wengine

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji Před 23 dny

    Mashallah huu msikiti upo mkoa gani?

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b Před 22 dny

    Sheikh tanga a mambo ya msikiti usilete fitna na kashifa kwa watu wengine; kila mtu anachangia anapotaka na kwa time yake; tumia hikma

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 Před 24 dny

    Mwarabu wa oman hawoo❤❤❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 Před 23 dny +1

    Pumbavu kabisa

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w Před 18 dny

    Hata hivyo mmechelewa sana waislam sisi wakristo hivyo vitu vimefanyika miaka mingi sana wewe mwaipopo ni shahidi kwa hivyo nyie mmechelewa sana kwetu ss sio ajabu niwajibu kufanya hivyo

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Před 23 dny

    Dawa huo ni uchawi huo

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Před 23 dny

    Angejenga mwanza angekuwa amelenga hasa

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 Před 23 dny

    Kama ingekuwa sisi waisilamu ni waadilifu na ikawa hakuna lolongo wazo langu kila msikiti unaoswaliwa ijumaa kila muisilamu asitoke bila kuchangia shilingi mia moja ambayo kila mtu yuko na uwezo nayo,ingepatika shilingi ngapi kwa tanzania nzima kwa kila msikiti bara na visiwani tungekuwa na masikitini kweli? Lakini ikiwa watu wanauza nyumba za misikiti ilo litawezekana kweli?

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 24 dny

    Sheikh Mwaipopo huyo ukhty ameolewa? Na kama bado naomba connection

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 Před 23 dny

      Kama nia yako nzuri huyo dada utampata hapo kwenye ujenzi.

    • @albahsans
      @albahsans Před 23 dny +1

      Mpigie shekh usisubiri asome comment zako utachelewa Hilo nijambo lakheri lifanye haraka

    • @user-sf7lp1fs7d
      @user-sf7lp1fs7d Před 23 dny

      Allah amtilie barka ktk mali yake

    • @salumyusuph6633
      @salumyusuph6633 Před 23 dny

      Aamin

    • @asmaalghafri449
      @asmaalghafri449 Před 11 dny

      Ma shaa Allah Allah amuhifadhi duniani na kesho akhera

  • @binseif2216
    @binseif2216 Před 23 dny

    MashaAllah

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 24 dny

    Maashallah