Korea Kaskazini imewezaje kujenga mijengo bora hivi! Wanapewa bure! Jionee Mapinduzi ya Kim Jong UN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 247

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 Před 2 měsíci +22

    Sma ni mtu alonifungua sana kuelewa Geopolitics, God bless Sma

  • @soyamBay
    @soyamBay Před 2 měsíci +24

    Kwa kweli wanaumbuka vibaya wamagharb, Ahsante kwa kutufungua ubongo maana!

  • @appolonation
    @appolonation Před 2 měsíci +26

    Dj Sma nakukubali sana kbs!!! Nakusikiliza kutoka Rwanda Kigali 🙌

  • @user-eo6ou4zd4d
    @user-eo6ou4zd4d Před 2 měsíci +5

    Tupo pamoja Dj.Sma,siku hizi nimeacha kiangalia taarifa za habari.
    Habari zenu ni uhakika,hongera sana.

  • @BUSHASHASWITCH
    @BUSHASHASWITCH Před 2 měsíci +8

    Asante sana 💥🥰🇧🇮🇧🇮 ndakwemera cane 💥 BURUNDI 🇧🇮 tunakupenda sana

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před měsícem

      Burundi 🇧🇮 &Tanzania 🇹🇿
      🤝🤝🤝🤝🤝
      ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 Před 2 měsíci +17

    Mimi niko USA 🇺🇸 ila kuna city na state zimechakaa hapa huwezi jua kama ni USA

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před 2 měsíci +14

    Hizi zama ukweli hata uufiche vip utajitokeza tu

  • @sadikiswidik
    @sadikiswidik Před 2 měsíci +14

    Nakukumbali 100%

  • @graceKisomopepe
    @graceKisomopepe Před 2 měsíci +8

    ❤❤❤❤❤❤❤natoka Congo mimi nakukubali sana ndugu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saidibuja5050
    @saidibuja5050 Před 2 měsíci +14

    Nakufata sana kutoka DRC🇨🇩 kam sijapata abari kutoka kwako huwa najiisi vibaya sana

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 Před 2 měsíci

      Habari, maisha ya congo yakoje ndugu?, uko congo sehemu gani?

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Před 2 měsíci +8

    Dj smaa nakukubali sana uchambuzi wako

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před 2 měsíci +16

    Korea Kaskazini siyo masikini kama tunavyo aminishwa ila ni propaganda tu za magharibi

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Před 2 měsíci

      Ni kweli Ile ni NCHI ya kijamaa uchumi unamilikiwa na serikali na sio wananchi

  • @nsabimanaabedi541
    @nsabimanaabedi541 Před 2 měsíci +11

    In'chi inavikwazo tena inamahendeleo kuzindi in'chi zetu ambazo hazina vikwazo

  • @RAMAMOHA-vn9xv
    @RAMAMOHA-vn9xv Před měsícem +1

    mimi ni ramadhani mohammed Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatu kutoka kenya nairobi

  • @user-nd5uf6lw4g
    @user-nd5uf6lw4g Před 2 měsíci +14

    Hiyo mijengo ni moto sana ❤🎉🎉 cjui MAGHARIBI na media zao wameona hii

    • @godwinmandary5116
      @godwinmandary5116 Před 2 měsíci +2

      Magharibi wameipotosha Dunia kwa mda mrefu

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat Před 2 měsíci

      ​@@godwinmandary5116kweli wanasemaga Waafrika ni maskini

    • @goodluckmsoka3660
      @goodluckmsoka3660 Před 2 měsíci

      Tujishughulishe na maisha yetu tunapoteza muda kujadili magharibi hakuna aliyekuambiaufatilie media zao

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před 2 měsíci +1

      Maghreb media za mashoga

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před 2 měsíci

      @@goodluckmsoka3660 😂😂

  • @catprettyworld
    @catprettyworld Před 2 měsíci +2

    Swala langu la ICON DJ SMA , appreciate sana kazi yako🎉

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 2 měsíci +7

    Hongera kwa kazi nzuri Dj Smaa. Team Russia, China, North Korea, Iran tukiongozwa na Vladimir Emirovic Putin lengo ni kuwaondoa Mabepari Barani Afrika kupitia Viongozi Vibaraka.

  • @JumaAyo-qp3fm
    @JumaAyo-qp3fm Před 2 měsíci +5

    upo poa ,👍kutoka pemba

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d Před 2 měsíci +4

    Njaa hata marekani wanayo mbona Wana kuja afrika kuchukua chakula

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 2 měsíci +2

    Safi sana ndugu!! Haydom Manyara hapa. Team Russia!! Pamoja sana rafiki.

  • @kyangwesignermohamed7867
    @kyangwesignermohamed7867 Před 2 měsíci +3

    Dj Smaa mimi nimshabiki wako ninakufatilia kutoka Switzerland🇨🇭

  • @Yayouselim
    @Yayouselim Před 2 měsíci +7

    Kama hawana chakula Sasa wanapata nguvu ya kujenga kutoka wapi😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 2 měsíci +5

    Ila mee toka niazekujua manaya siasa sijawahi kuiugamkon ulaya yote kabis ❤

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv Před 2 měsíci +3

    Duh naomba nchi zetu za Africa japo moja kuwa kama hivi

  • @niyibigiratimothy5448
    @niyibigiratimothy5448 Před 2 měsíci +1

    Nakufuata kutoka Cape Town city center CBD, Cape Town 🇿🇦 ila mimi ni mwananchi wa Burundi 🇧🇮 Bujumbura.

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před 2 měsíci +4

    Kazi nzuri big blaza

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx Před 2 měsíci +1

    Dj sma ningekuwa na pesa ya kuwapeleka Korea oya nyote mngeenda mukaimbia ukweli dunia mungu awabaliki sana

  • @Expl0rer.
    @Expl0rer. Před měsícem +1

    Asante bro 👍

  • @piusrweyemamu3900
    @piusrweyemamu3900 Před 2 měsíci +5

    Mbona hata hizo picha wanazoonesha wa magharibi sio mbaya sana zinaonyesha kuna nafuu kuliko huku kwetu!

  • @mansooranam831
    @mansooranam831 Před 2 měsíci +1

    SNS ni wazungumza ukweli yaani facts and logics mungu awasimamie, amiin!!

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec Před 2 měsíci +6

    Ruto kazi anayo

  • @franksiame8441
    @franksiame8441 Před 2 měsíci +4

    Makonda anaweza rahisi tu kwake

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Před 2 měsíci +6

    Dj smaa hawa vichwa vigumu tuachie sie wana fuse tutawapa ngumu kumeza..😂😂😂 tutawapeleka BBCpropaganda bila nauli 🤗 🫢

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 2 měsíci +2

    Tumekuelewa 💯

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před 2 měsíci +1

    Pamoja kaka frome Oman 🇴🇲 Al amraty

  • @kenochieng3098
    @kenochieng3098 Před měsícem +1

    Dj sma wewe utaki mumerika kweli kweli amerika ako kwa power kwa ajili ya mungu

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 Před 2 měsíci +6

    Kutoka Zenj ddj smaa tunakuelewa vyema

  • @user-kz1jb2nc9t
    @user-kz1jb2nc9t Před 2 měsíci +3

    Very nice😊

  • @ABDULShq-wv6st
    @ABDULShq-wv6st Před měsícem

    Upo vizuri kijana good job 👍

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před 2 měsíci

    From kigoma Asante tunakupata vzr

  • @talents7934
    @talents7934 Před 2 měsíci +2

    Uzalendo na kauli moja Ndio imewafikisha hapo walipo😢

  • @HorebuKasuku-zz8cj
    @HorebuKasuku-zz8cj Před 2 měsíci +2

    Ukitaka kuwaelewa marekani vizuri ishi nao propsgsnda ndo chakula chao😂

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 Před 2 měsíci +2

    Congratulations sana DJ Smaa na Hao maraisi Putin na Kim

  • @selemancokker4994
    @selemancokker4994 Před 2 měsíci +4

    Dj smaa ubalikiwe

  • @bakarussi5428
    @bakarussi5428 Před 2 měsíci +2

    Hawa jamaa barabara zao nimezikubali sana kwanza ni safi sana

  • @kingmtetezi6670
    @kingmtetezi6670 Před 2 měsíci

    Nakufata vizuri kabisa nikiwa Mwanza Tz

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 Před 2 měsíci +2

    Nchi zenye watu walio serious na maisha

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 Před 2 měsíci +6

    Wa kwànza nipeni likes 😂

  • @AziziSelemani-t9x
    @AziziSelemani-t9x Před 2 měsíci +1

    Naskuliza kutoka chuga nakukubali sana mwamba

  • @user-pi3vj5sn3l
    @user-pi3vj5sn3l Před měsícem

    Mimi binafsi nasema Korea kaskazin hakuna njaa na wanaishi vzr sana hayo ndio maisha yao nchi za magharib tushazielewa mipango yao ni kutia ila maendeleo ya nchi nyingine

  • @ahmedshariffu2108
    @ahmedshariffu2108 Před 2 měsíci +7

    Awa jamaa ni kinyume na tunaviamishwa na mgarbi awa jamaa wapo na maendeleo wanalngana na baadhi ya inchi za maga4bi

    • @JohnCage-we6tp
      @JohnCage-we6tp Před 2 měsíci +1

      Kenya allies 😅😅😅😅😅Alf watu wanakuja North Korea maskin ety wanasem Nigeria ni Tajiri kuliko North Korea haya Walete hat Mji wenye kufanan na huuu

    • @LinconLopez
      @LinconLopez Před měsícem

      asante watu maskin serekali inajenga nyumba inawapa watu waishi buree nyie majiri pakukaa mtihani

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 Před 2 měsíci

    Duh isee mm nilijua korea ni masikini sana kumbe hatuwagusi hata kidogo

    • @iskiji1240
      @iskiji1240 Před 2 měsíci

      Hapo ni mji mkuu Pyongyang , ili uishi hapo lazima uwe na kibali cha serikali. Miji mingine haijaendelea kihivyo ( lakini sio kama bongo 😂😂). Nchi hiyo haina uhuru kabisa, hata watalii wanawachagulia pa kwenda na watu wa kuongea nao.

  • @user-vt6du7ll8l
    @user-vt6du7ll8l Před 2 měsíci +3

    Napenda sauti yako

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před 2 měsíci +3

    Pesa za magharibi ndio zimejenga iyo mijengo.

    • @mwlpierre
      @mwlpierre Před 2 měsíci

      Lakini anatumia magari kama Benz(Germany) pia naiona Land Cruiser V8(Japan) ni sawa uchumi wake anategemea zaidi malighafi za madini kama Congo ambazo anauza kwa nchi kama China na ulaya lakini ingekuwa na maana zaidi kama angeuza bidhaa za viwandani ingetoa tafsiri kubwa ya uchumi kama kiwango cha ukosefu wa Ajira

  • @mtushindirena2981
    @mtushindirena2981 Před 2 měsíci

    Aise hakika unajua from 🇨🇦🇨🇦

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 2 měsíci

    Dj sma mtu Wa fact 👏

  • @rogatimushi689
    @rogatimushi689 Před 2 měsíci +1

    Leo nakupata Thailand umetisha sana

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 2 měsíci

    Thanks mr.dj sma

  • @safitechnologies2000
    @safitechnologies2000 Před 2 měsíci +1

    Lakini sisi tuna demokrasia😅😅

  • @dominic4727
    @dominic4727 Před 2 měsíci +3

    Mti unao pigwa mawe ndio wenye matunda

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před 2 měsíci +8

    Kutoka Zanzibar

  • @user-il6my8sp3i
    @user-il6my8sp3i Před měsícem

    Asante sma kwa kuzid kutup madini ambayo huyapt popote

  • @brownshirima5924
    @brownshirima5924 Před měsícem

    Sma. Hakika nakuambiah leo north ni watu brave sana. Na wanachokisema BBC n uwongo mtupu jua kuwa mwanamke awez msifia mke mwenzake bhnan. Ila big up una open sana mind za watu hakika

  • @abdaboking1463
    @abdaboking1463 Před 2 měsíci

    Mbona kwenye Group tukiingia hatuoni uptodat

  • @valentiniradukunda
    @valentiniradukunda Před 2 měsíci +1

    From burundi kk❤❤❤

  • @Linsha1993-hw9kl
    @Linsha1993-hw9kl Před měsícem

    Nakupata vizuri kutoka mansa ZAMBIA

  • @Jitumasta
    @Jitumasta Před 2 měsíci +2

    Nchi pekee yenye mafanikio bila IMF na WB

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 2 měsíci +1

    hata marekani watu weng wanalala kwemye madaraja home less people ni weng sana . umaskin uko mkubwa tuuu

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Před 2 měsíci

    Mashallaah ni mzuri sana

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Před 2 měsíci +2

    Yani wamagharib niwaongo sana

  • @hamzaally8038
    @hamzaally8038 Před 2 měsíci +1

    Kaka upo vizur mwamba kwauchambuzi

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před 2 měsíci +2

    Magharibi ni wa hovyo sana

  • @19ddr
    @19ddr Před 2 měsíci +1

    Sma kama Richard medhust

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před 2 měsíci +2

    Moja kati ya sera za mashoga (west) nikuuhadaha ulimwengu yaani uwongo kila maali

  • @salumkasongo7507
    @salumkasongo7507 Před 2 měsíci +1

    Russia sanction zote hizoooo 😅😅😅

  • @millionairementorndobandol4724

    MAREKANI PIA KUNA SEHEMU MBAYA SANAAA NA WANAKAA WATU

  • @technicalgearboxenginebysc1360
    @technicalgearboxenginebysc1360 Před 2 měsíci +3

    Ngozi nyeusi tuna laana wizi ndio tunajua

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 2 měsíci +2

    Kutoka dodoma kaka

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 Před 2 měsíci

    Nchibza kijamaa hazina hali mbaya ya maisha ,ni uongo

  • @niffonlinetz7214
    @niffonlinetz7214 Před 2 měsíci +4

    MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN

  • @issajumaali4009
    @issajumaali4009 Před 2 měsíci

    Binafsi nadhani vikwazo vimesaidia sana vimewafanya kutumia akili zao vizuri

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Před 2 měsíci +1

    Africa tu ndio tupo nyuma ila nchi nyingi za Asia zimeendelea na licha ya vikwazo vyote Korea kaskazini sio masikini

  • @user-yh6nz6ri2m
    @user-yh6nz6ri2m Před 2 měsíci

    No economic restriction

  • @INFORMATIQUE-yr5mx
    @INFORMATIQUE-yr5mx Před měsícem

    Ili niwe kwenye groupe tunafanyaje

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 Před 2 měsíci +2

    Nipo bagamoyo

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před 2 měsíci

    Me naona hizo nchi zinazopewa misaada na hazijawekewa vikwazo ndio taabani kuliko hao wenye vikwazo.

  • @furahamwaseba7910
    @furahamwaseba7910 Před 2 měsíci +1

    Bora nasisi tuwekewe vkwazo labda ndo tutapata akili ya kujinasua kamavmataifa yalio wekewa vkwazo ndo wanamaendeleo kuliko cc

  • @shijakuligi2674
    @shijakuligi2674 Před 2 měsíci

    ❤ na hitaji kujiunga kwenye whsapp group....

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Před 2 měsíci

    Wenzetu wamewekewa vikwazo lakini bado wanafanya maendeleo ila sisi sasa Tz hatuna vikwazo lakini bado hatuna maendeleo na tuna ombaomba tu kila kukicha wakati rasilimali tunazo na zina hitajika sijui elimu yetu ndio haitusaidii au

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y Před 2 měsíci

    MiMi nakataa wanaonekana kabisa Hawana uhaba wachakula mbona wamenona ☹️☹️☹️🙏

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před 2 měsíci

    Mimi nilipenda gisi waliwazani wao not Korea kua maskini Ivyo kuvichika Siri ya inchi nisawa sn hihi inchi sheria yao mimi nahipenda sn ongera sn inchi zamangaribi n'a uyo bwana wao marekani mwenye kujaha wivu wote ni waongo kazi yao nikutangaza vitu vibaya kwa inchi zingine wao wahonekane bora kumbe wao ndo wabaya mbona ata marekani kuna watu wanahangaika 😂😂😂😂😂😂

  • @BeatriceBeat-hk5cy
    @BeatriceBeat-hk5cy Před 2 měsíci

    Yaani wako vizuri kuliko nchi ambazo hazina vikwazo

  • @wesakawesaka3516
    @wesakawesaka3516 Před měsícem

    Ata dar haifiki hapo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci +2

    👊✌️👍

  • @milindiibrahim8285
    @milindiibrahim8285 Před 2 měsíci

    Dj sma habari za geopolitics Drc-rwanda please

  • @African511
    @African511 Před 2 měsíci

    Mimi binafsi huwa siwaamini wazungu,maana akikuambia maneno yake,weka uchunguzi wako wa kina ili uone kupitia maono na usikilize kwa kina zaidi hawa wajomba waongo mno,unaweza kuambiwa Africa kuna tembo wa kupaa na usipochunguza unaweza kulishwa matango pori😂😂😂

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q Před 2 měsíci +2

    Daah kama bongo KUBABAKE 😂😂

  • @DoctorBondia
    @DoctorBondia Před měsícem +1

    Kiufupi jamaa wapo vizuri sana Tanzania bamoja na kuwa hatujawekewa vikwazo lakini Korea iko mbali sana kiubora kuliko sisi (Tz) 😅😂
    Hongera kwa Wakoroea wote.
    Wazungu wamejaa Propaganda😅😅

  • @mwandishimussa6319
    @mwandishimussa6319 Před 2 měsíci

    Si mlikua mnasema KOREA KASKAZINI kuna njaaa😂😂😂😂 nyiiie niwasenge Kama bado mnafuatilia WESTERN MEDIA washenzi kweli kweli
    Watu wenye njaaa wanamijengo kama hiyo ???

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Před 2 měsíci +1

    Nimependa viji vyao