Historia ya IAN KAGAME Mtoto wa Kagame Mwenye Mafunzo Hatari Anayemlinda Baba Yake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #HomeOfUntoldStories #CharlesKombe
    #charleskombe #ianKagame #kagame
    Hii ni stori ya kipekee ya Ian Kagame mtoto wa Tatu wa Rais wa Rwanda Paul Kagame anaetolewa macho na wengi na kuhusishwa na tetesi za kuwa huenda ndiye atakayekuwa mrithi wa baba yake katika kuliongoza taifa la Rwanda.
    _____________________________________________________
    MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
    MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
    MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
    For brand and partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com

Komentáře • 223

  • @charleskombe
    @charleskombe  Před měsícem +18

    Asante sana kwa maoni na kwa kufuatilia channel hii ❤

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh Před 21 dnem +5

    He is patriotic to his country. From dad's dedication to son commitment to ensure that Rwanda is a nice place for everyone to stay. Longest Live Kagame Family. Hugs from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @niyonzimaelisha5100
    @niyonzimaelisha5100 Před měsícem +7

    Tunamupenda Sana ❤❤❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @user-pq1zv2mo7x
    @user-pq1zv2mo7x Před měsícem +7

    Kijana yuko vizuri ana haki kulithi kaz ya baba yake kwa kumtizama tu kijana anaheshima namuombea kwa mungu awe rais wa badae hapo rwanda ni sawa na mtoto wangu huyo maana mtoto wa mwenzio ni wako yuko vizuri sana mwanangu mungu ampe uwezo mkubwa sana katika maisha yake amenx100

  • @NuruKhavele
    @NuruKhavele Před 29 dny +4

    Alla kagame ako na heshima sana lija yakuwa mtoto wa present he is very respectful to others fellow ❤❤❤

  • @HamadShah-m4n
    @HamadShah-m4n Před měsícem +8

    Well done IAN KAGAME keep it up.

  • @todachbaton6812
    @todachbaton6812 Před měsícem +4

    Asanteni sana ndungu.❤

  • @Abik8no
    @Abik8no Před měsícem +4

    THIS MAN DESERVES A RIGHT PERSON TO SUCCEED HIS FATHER. MUCH APPRECIATION TO H.E. PAUL KAGAME FOR PREPARING THE RIGHT PERSON TO SUCCEED HIM . RWANDA HAS INSURED IT SELF FOR FUTURE LEADERSHIP.

  • @gastonkomanda5801
    @gastonkomanda5801 Před měsícem +15

    Ilimradi ni chaguo letu Wanyarwanda kuongozwa na Mh.PAUL KAGAME hata baadae yeye fikra na Ushauri wake ndio tutakao ufuata kwani KAGAME ni Kipenzi Cha Wanyarwanda.

    • @dusasaidi454
      @dusasaidi454 Před měsícem +2

      Unasema ukweli ndugu Gaston👍
      Aturu imbere tumuri inyuma Haki ya mungu

    • @datydon6676
      @datydon6676 Před 27 dny

      Safi sana, nasi Watanzania tunamkubali sana P Kagame na Falsafa zake.

  • @christineochieng1772
    @christineochieng1772 Před 7 dny

    Ian looks responsible boy may God protect him

  • @kombomakame5778
    @kombomakame5778 Před měsícem +19

    Mm siamini kwamba anaandaliwa kishika madaraka ya urais bali nina imani anajengwa kizalendo lakini vile vile inaonekana ni mtu anayependa kazi yake

  • @AinekishaNyakato
    @AinekishaNyakato Před měsícem +14

    Kama amesoma na ni mzalendo wa nchi yake hao ndio wanatakiwa maana baadhi ya watoto wa wakubwa wanapenda starehe tu lkn huyu kasoma tena nchi za nje kijesh kabisa hakuna ubaya tena ni kijana apewe nchi baba apumzike maana mwananchi wanachotaka ni maendeleo ya Taifa na amani basi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem +1

      Kwaani Rwanda ni nchi ya kifalme,akae pembeni wazalendo wako wengi kuliko yeye aliyekulia baga na soseji

    • @rukundorwiza5223
      @rukundorwiza5223 Před měsícem

      ​@@FridayMwassakagame kibaraka cha American

    • @robertmangoli40
      @robertmangoli40 Před měsícem

      Kasoma kijeshi nchi za nje vipi and yet we trained him in kenya Lanet Army barracks acheni kudanganya watu am witnessed infct i have the video and the picture wearings kenya army jungle.

    • @rukundorwiza5223
      @rukundorwiza5223 Před měsícem

      @robertmangoli40 let's not forget his father and museveni and Ruto there all western puppet

    • @mrope348
      @mrope348 Před měsícem

      Wakenya mnapenda sifa za kitoto sana, hivi kuna kitu chochote au mtu yoyote mzuri mkaacha kumuhusisha na kwenu nyie manyang'au😅😅​@@robertmangoli40

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Před 21 dnem +1

    Kizuri kinaonekana.mungu awe nae katika maisha

  • @margaretawuorodera3948

    Great.

  • @user-vz8ul6tw2z
    @user-vz8ul6tw2z Před měsícem +20

    Ian kagame bana sio Lieutenant ni full Captain

  • @rwampororosamuel2329
    @rwampororosamuel2329 Před 26 dny +1

    Mwanajeshi kipenzi cya wengi nyumbani huku Rwanda...unyenyekevu wa kupenda watu na kuchezs Basketball na watoto wa LDK,,,Sekondari mojawapo hapa kigali .heko iyan❤

  • @phanuelmkenda2621
    @phanuelmkenda2621 Před měsícem +2

    Leader are created

  • @ramadhanikambalame5185
    @ramadhanikambalame5185 Před měsícem +8

    Pamoja kuwa ni mtoto wa raisi ila anajituma sana

  • @user-wp1gw3wx5l
    @user-wp1gw3wx5l Před měsícem +1

    Good

  • @ingabiresandrine3806
    @ingabiresandrine3806 Před měsícem +2

    Uko juu mkuu

  • @wallenkirayi5553
    @wallenkirayi5553 Před měsícem +2

    ako sawa

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Před 12 dny

    God bless u Iyan

  • @Toffi-tx7yi
    @Toffi-tx7yi Před měsícem +2

    Music Song❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EkwenyiPatrick-m4f
    @EkwenyiPatrick-m4f Před měsícem

    Chosen one

  • @stephenluseka1742
    @stephenluseka1742 Před měsícem

    Is fine

  • @fabricekayiranga4353
    @fabricekayiranga4353 Před měsícem +1

    Ni U rwanda rwacu ♥️💯

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Tuwachie wenyewe kubwa amani ya Afrika kwa ujumla ndiyo shida yetu. Amen.

  • @nazarethally9509
    @nazarethally9509 Před měsícem +4

    Makomandoo wetu wapo vizuri sana huwezi kumlinganisha na huyu mtoto wa mama wa kagame

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 Před měsícem

      Kubeba magunia labda

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik Před měsícem

      Mutakufa kwa sifa na hamuna lolote mtu akiwasikiq na sifa zenu anaweza kuzania ni wa maana kumbe hamnq kitu

    • @leonmusanabera12
      @leonmusanabera12 Před měsícem +3

      ma komando gani mnapigwa congo mjinga we

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik Před měsícem

      @@nazarethally9509 labda wa sifa hapo sawa ila hamna lolote

    • @ihirweAngel
      @ihirweAngel Před měsícem

      Wewe umetoka wali kweli

  • @OmarjumaOmarjuma-g5s
    @OmarjumaOmarjuma-g5s Před 22 dny +1

    Yeah hayo mambo ni yakweli

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna Před měsícem +3

    kikubwa tu awe mzalendo kama baba yake mana nahisi kabisa kua afrika ni tajiri sana ila tatizo kubwa ni viongozi ambao hawana uzalendo yani wanaiba pesa nyingi sana ambazo zingeweza kujenga miundombinu tofauti tofauti🙏

  • @stevendevid
    @stevendevid Před 18 dny

    he's vzur

  • @thadeombani7869
    @thadeombani7869 Před 28 dny +1

    Yaan mimi siwez kumpereka mwanangu kujifunza mafunzo ya kijeshi uingereza hawajui,peleka china au urusi

  • @humbimusisa-db1tg
    @humbimusisa-db1tg Před měsícem +6

    Ma chawa kwa kusifia watu😂

  • @remmyyasinti1939
    @remmyyasinti1939 Před měsícem +1

    Kazi nzuri Charles

  • @manirakizaclaude8197
    @manirakizaclaude8197 Před měsícem +2

    Ian ni captain

  • @nurusulley3276
    @nurusulley3276 Před měsícem

    Anafaa sana

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Před měsícem

    Ni kweli

  • @habimanaaloys9647
    @habimanaaloys9647 Před měsícem +2

    Asante sana Bro mi natoka Rwanda

    • @charleskombe
      @charleskombe  Před měsícem +1

      Asante sana kwa kufuatilia. Wasalimu sana Rwanda

  • @japhetmanase2010
    @japhetmanase2010 Před 19 dny

    He deserve to be a president

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +1

    Ni sawa tu akitawala japo hawanihusu 😊

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před 19 dny

    Ujui kuelezea history au auhui ukweli

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem +4

    Hawa watoto wa Marais na mawazir hua nimamdazi vitafunwa walaini sana
    Mafunzo yakimandazi hua hawateseki

    • @samsondawson6982
      @samsondawson6982 Před měsícem +2

      Ulishawajaribu wangapi ukawaona ni walaini mbona mnakuaga wasenge

    • @leonmusanabera12
      @leonmusanabera12 Před měsícem +1

      Wewe ni mjinga fikra zako ni za kisenge

    • @samsondawson6982
      @samsondawson6982 Před měsícem

      @@leonmusanabera12 kuma la mamako kwenu hakuna hata mwenyekiti wa mtaa unajaji mtu anaemlinda raisi unafirwa nini

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      ​@@samsondawson6982Hivi matusi kama haya mnajifunzia wapi, kwanini usipinge kwa hoja.Hizi simu wanamiliki hata vichaa

  • @karimmupenzi3538
    @karimmupenzi3538 Před měsícem +1

    Hajawowa bro

  • @robertcheruiyot318
    @robertcheruiyot318 Před měsícem

    Ako Sawa huyu kabisa ❤❤

  • @favouredjames1735
    @favouredjames1735 Před 24 dny

    He is hardworking. He should take over from his father,

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem +1

    ✌️👊👍.

  • @robertbudodi
    @robertbudodi Před 29 dny

    Always Dictectorship leaders in Africa prepare the Strong Army in their family

  • @dimockomwenga309
    @dimockomwenga309 Před 28 dny

    Hi is capable to acquire the position ( from USA ) .

  • @kennedykombo
    @kennedykombo Před měsícem

    Yes hatakua kiongonzi

  • @HakizimanaEric-jg6yt
    @HakizimanaEric-jg6yt Před měsícem

    Wanyarwanda tunampenda sanaaaaaa

  • @user-uv4im1po8n
    @user-uv4im1po8n Před 25 dny

    Nikweli

  • @jerewaitish254
    @jerewaitish254 Před měsícem

    Hes a good leader

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Před měsícem

    Akiwa muadilifu c shida tofauti na hawa washenz wanaoiongoza znzbr

  • @morrismwenda5087
    @morrismwenda5087 Před měsícem

    Kijana ako sawa

  • @mst1studio270
    @mst1studio270 Před 25 dny

    Hujui kuandaa Makala. Kajifunze. Kuna makosa mengi umekosea. Kwanza hujasema amezalilwa mwaka gani? Shule gani alisoma msingi. Na mengine mengi. Hujui

  • @hesbonandala8529
    @hesbonandala8529 Před měsícem

    He was a very polished , well discipled boy. His younger brother was a bit chiky, though respectful.

  • @dusasaidi454
    @dusasaidi454 Před měsícem

    Asante sana Charles

  • @elirehemaringo188
    @elirehemaringo188 Před 17 dny

    Hata akipewa hiyo nafasi anastahili co wengine wanapewa hata kama hana uelewa au hana sifa kisa tu ndgu au mzazi wake anauwezo wakumpachika mahali matokeo yake wanaharibu kwakuwa hana sifa ila hiyu historia inasadifu

  • @jacksonmuia-b1o
    @jacksonmuia-b1o Před 20 dny

    He's ok

  • @lordtorome6868
    @lordtorome6868 Před 29 dny

    Ako sawa ian

  • @symonkoech2594
    @symonkoech2594 Před měsícem

    If he qualifies for the job, he deserves it for his hard gain discipline

  • @erickkigugange5209
    @erickkigugange5209 Před 19 dny

    Kikubwa ni kuwa mzalendo, hilo tu hatutaki migogoro, babaake ameiongoza vizuri sana nchi yake, yeye tunaomba akawe mzuri zaidi. Mimi ni mtz.

  • @lubegajosia973
    @lubegajosia973 Před měsícem

    Sawa waendelee

  • @PatrickBwamipikinini
    @PatrickBwamipikinini Před měsícem

    Ndiyo

  • @muturarwandainnocent3979

    🇷🇼

  • @KwihanganaUwimana
    @KwihanganaUwimana Před měsícem

    Ian kagame❤

  • @hajjsuleiman3317
    @hajjsuleiman3317 Před měsícem +1

    Ni kweli kijana ndiye anayeandaliwa kumrithi baba yake huo ndiyo u kweli hapa duniani

  • @ElyHardy
    @ElyHardy Před 20 dny

    Ni kweli anaandaliwa kuwa rais

  • @lubegajosia973
    @lubegajosia973 Před měsícem +1

    Mfumo huu ni hatari sana nikutaka kutegeneza ukoloni na mfumo wa kifalme kitu ambacho ktk zama hizi hatunao Tena.

  • @Abik8no
    @Abik8no Před měsícem +1

    NINAWAOMBA WANYARWANDA WAMUOMBEE SANA RAIS KAGAME MAANA ANAIPENDA NCHI YAKE NA KUIENDELEZA KWA MOYO WAKE WOTE.
    NI VIGUMU SANA KUPATA VIONGOZI WANAOPENDA NCHI ZAO KAMA RAIS KAGAME .

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 Před měsícem +5

    Comments nyingi zimejaa wivu na fikra za kimasikini.😊

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Před měsícem +1

    Hadithi za kichoko hizi

  • @muremyi
    @muremyi Před měsícem

    Ian kagame ni mtoto anawopendwa na wanyarwanda kama baba yake mungu amulinde

  • @tumuhoranealphonsine5319
    @tumuhoranealphonsine5319 Před měsícem

    👍👍👍💞❤️💙💚

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 Před 27 dny

    Safi kijana anafaa ila aandaliwe pia bwanamipango mzur mzur kumshaur

  • @RajabuMerci-cq4lb
    @RajabuMerci-cq4lb Před měsícem

    Congo Bado itapora saaaana

  • @augustinomathias1893
    @augustinomathias1893 Před 23 dny

    Kwa namna nilivyomfuatilia anafaa kuwa kiongoz wao

  • @CecileMukandoli
    @CecileMukandoli Před měsícem

    Uko sahihi kabisa hujakoseya

  • @pierclavermaya7576
    @pierclavermaya7576 Před 20 dny

    Hiyo si kweli hakutayarishwa kuwa mrithi wababae ila tu ni sababu watu wanapomuona mwenyi utii kwa ws comandor waku. Na kuwa ni mtaratibu.mtulivu na mwenyi kuheshimu kila mtu wati wasema hivyo

  • @user-dx2cf5yh5t
    @user-dx2cf5yh5t Před 23 dny

    aya

  • @paulmangana696
    @paulmangana696 Před měsícem

    Storia ingeanzia uri na maisha ya wali

  • @user-or6ee1qi9i
    @user-or6ee1qi9i Před 28 dny

    Niukweli

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e Před měsícem +2

    Mm bado silizishwi na mifumo ya kiafrika

  • @mastercocomartialarttraini4517

    Cpt Ian Kagame mimi namufarahia kua kukubali kutujuza kuhusu yeye nakazi anao fanya kwa muduhuu,namutakia kila la kheli InshaaaaAllahu
    Kuwa kigongozi Bora,kama Mweshimiwa Raisi PK!!

  • @MikidadiMandali
    @MikidadiMandali Před měsícem +1

    Anastahili achilia mbali mafunzo alobahatika kuyapata. Jambo moja kubwa na zuri na la kupendeza hiyo Nishimura.

  • @MikeSamuel-io2jn
    @MikeSamuel-io2jn Před 10 dny

    Niwatusi

  • @robertmangoli40
    @robertmangoli40 Před měsícem

    A trained personnel will not pending in posture even faces are smelling fire not that kind of blue band face,a trained person is a talented and even the background from summer area eg Ndorobos in Africa every part of any countries and call of passionate to do the service

  • @nyombayirebrian7449
    @nyombayirebrian7449 Před měsícem

    Nafikiri si kweli,ha andaliwi kumurithi babake,ni askari mwenye nithamu kama wengine wenge ndani ya jeshi la Rwanda, kusema ana andaliwe si kweli bado ana safari ndefu kufikia hapo munako wazia na kama siku ya siku ikifika akionekana anafaaa basi chaguo ni la wanyarwanda wenyewe,basi apewe muda kwanza afanye kazi na tu muombeee aendelee vizuri kama anavyo onekana atatufaa huko mbereni hata ndani ya jeshi ni mzarendo wa kweli.

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 Před měsícem +4

    Kwani wakati anasoma, hayo mafunzo alikua peke yake? Acheni fikra za kitumwa!!! Au umasikini umefifisha ubongo wenu kutokua na uwezo wa kung'amua mambo?

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik Před měsícem +1

      Wivu tu!wanawo jifunza wote siyo wanawo faulu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Uko sahihi kabisa nchi ni ya wanyarwanda wote siyo ukoo wa kagame

    • @DonathilleGuya
      @DonathilleGuya Před měsícem +1

      @@Mutako-ig1ikjibu nzuri 👍

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik Před měsícem

      @@FridayMwassa sisi munavo muona tunamuona tofauti babu zetu na baba zetu mpaka nasisi tumekuwa wakimbizi toka 1959 na tumekutana na mengi tulitamani kuionq nchi yetu au kuijua ila ilijawa na ubaguzi uliwo wafanya kila wanyarwanda kuiogopa nchi yao sababu ilikuwa kama Rwanda niya kabila moja mpaka walipo dhihilisha chuki iliyo pelekeq mauwaji Genocide wakauwa watu ndugu zetu waliwo bakia ndani ya nchi walichinjwa kama wanyamq leo hii huyu baba kaitengeneza nchi hakuna ubaguzi kila munyarwanda anajivunia nchi yake watu wasiwo juq machungu wala kujali tumepitiq changamoto ipi ndio munajifanya washauri na wanafiki kutuonyeshq jinsi gani huyu baba hana umuhumu na kutujaza chuki ila niwape tu ukweli tunamupenda wenye wivu wajinyonge hamuna cha kutushauri kwanza mujishauri wenyewe yamewashinda mengi huwo utajili wenu bongo munao ulingia mbona upo kwajili ya kuwanufaisha mafisadi wenu wanainchi wana maisha magumu maendeleo hamna mumeshindwa kuzungumuza ya kwenu munakuja kuenexa chuki kwa wanyarwanda hamutuwezi tunajua alipo tutoa raisi wetu wenye wivu mujinyonge

    • @SleepyBacon-zx9rm
      @SleepyBacon-zx9rm Před 17 dny

      Kama hizo sofa ni za kweri shida ni nini?

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 Před měsícem

    Sawa ni mrithi wake

  • @lubegajosia973
    @lubegajosia973 Před měsícem +1

    Mfumo wa kurithi madaraka ni wa kifalme ya yatawafikisha kwenye vita vikubwa sana

  • @berabosemansuri2770
    @berabosemansuri2770 Před měsícem +2

    IAN Hajoa ! Pica Ile nikwenye ndoa ya dada yake Ange kagame ,

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před měsícem +1

    Huyu dogo ana zaliwa ikulu hajui shida za nchi huyo mtoto wa mama sana privilege tu hizo

  • @user-el9bd4yz2h
    @user-el9bd4yz2h Před měsícem +3

    Ni wa kawaida mno sema TU ni mtoto wa kagame wanaompa chance ni kujikomba kwa Rais ili wasiuawe

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik Před měsícem

      Wivu ndio unakusumbua ila huna lolote

    • @leonmusanabera12
      @leonmusanabera12 Před měsícem

      Wewe unafirwa vaa pampers umbwa we

    • @gakujan
      @gakujan Před měsícem +2

      Wenye wivu wajinyonge. Kijana huu Ian Mungu abariki Kila hatua maishani mwake💪💪🇷🇼

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik Před měsícem +1

      @@gakujan Amina

  • @gakujan
    @gakujan Před měsícem +1

    Ian Kagame bado hajaoa. Alikuwa akihuzuriya harusi ya rafiki yake David

  • @MtanganjiaMtanganjia
    @MtanganjiaMtanganjia Před 27 dny

    Huyu ni Captain kwa sasa na sio Luteni

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 Před měsícem

    Looking good follow back done God bless you 🇱🇷 💪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NEZA138
    @NEZA138 Před měsícem +1

    Mtoo yuu ali fanya kosi ngumu sana

  • @kassimathumani2213
    @kassimathumani2213 Před měsícem

    Kweli ilayuko sahihi kwakua nimsomi

  • @hemedrashid2921
    @hemedrashid2921 Před měsícem +7

    hanaa uhatarii wowotee ulee boya wakawaidaa tu yote nguvuu ya marsilimali ya congo chini ya mlinzi wao mmarekani

    • @samsondawson6982
      @samsondawson6982 Před měsícem +1

      Mnakuaga wasenge unadhani kumlimda raisi ni mchezo raisi ni asset maku wewe

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem

      @@samsondawson6982 haluna chochotee punguza nyegee mshidooo wew mpumbavuu njoo tz ndio utajuaa kawaidaa sanaa huyoo

    • @bonyngoyindengoyinde6139
      @bonyngoyindengoyinde6139 Před měsícem

      😂😂😂😂😂😂

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik Před měsícem +1

      Haaaaaa nyie wa Congo ndio hamna lolote mmeshindwa kuilinda na kuiongozq nchi yenu mumebakiq kupiga makelele sa kama munaweza kimewashinda nini kumutoq huyo mwizi nikweli kazi mbili hamuziwezi kelele na vitq haviendani mukajipqnge

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem

      @@Mutako-ig1ik acha ujingaaa wewe kunguniii mm sifanani na mkongomani...mm ni mtanzaniaa mwambiee kagame wako ajaribu kwetu aone mzikii mtamu