‘Nisingekuwa hapa’ kwa huzuni TRUMP asimulia kunusurika kuuawa akikubali uteuzi wa kuwania Urais

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 70

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi Před měsícem +13

    Sns mmekuwa tishio hamna mpinzani tanzania

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi Před měsícem +10

    Yn wapinzani washampa point mpka ssa target zao mwenyezi mungu kazipangua

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Před měsícem +8

    Jamaa amekua na ushawishi mkubwa safari hii atashinda kwa asilimia kubwa

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f Před měsícem +5

    Mungu ni mzuriii jmn

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem +2

    Huyu ndio anafaa kuwa raisi wa marekani kwa sasa

  • @HassanhaidaryKamana
    @HassanhaidaryKamana Před měsícem +3

    Mshukuru Mungu kuendelea kukupa pumzi

  • @user-ys8mr1ex9y
    @user-ys8mr1ex9y Před měsícem +5

    Wakwanza leo

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem +1

    Wazungu wanamsikiliza vizuri sana

  • @MwangaBora
    @MwangaBora Před měsícem +1

    Safi,Mungu,asimamenawe,umalize,mavita,ambayohayana,maana

  • @billmkushi849
    @billmkushi849 Před měsícem

    Glory to God the Almighty

  • @mrzahoro
    @mrzahoro Před měsícem +1

    Thank you tena❤

  • @Calis2451
    @Calis2451 Před měsícem

    Habari pls sns studio when we share something take a look and have a listern coz what I believe here in sns we have strong intelligence compound u are just our presenter to this great media we love u all and we appreciate keep it up

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv Před měsícem +3

    Dj sma yuko wapi atuchambulie Israel kushambuliwa na dron ya Iran mji mkuu wake

  • @star_wizard2792
    @star_wizard2792 Před měsícem +5

    Nimekuwa wa 816 Leo like zenu plz,

  • @olomweneabongela1717
    @olomweneabongela1717 Před měsícem +2

    Nitampa kura yangu

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před měsícem +4

    Huyu mwamba jana nilikua nafatilia video zake za hapo nyuma wakati akikutana na Mr Vladimir, pia na kim aisee inaonekana yeye ndie wakuiunganisha dunia iliyo jitenga na magharibi

  • @mussaisaac
    @mussaisaac Před měsícem +1

    Nimependa hotuba yako Trump Mungu akulinde kweli ni kwa Neema tu kweli Mungu yuko upande wako.

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 Před měsícem +1

    vote yangu kwa trump i love trump

  • @nkeshimanayuda1115
    @nkeshimanayuda1115 Před měsícem +1

    Warumi 8:31

  • @ayoubelabela8963
    @ayoubelabela8963 Před měsícem +2

    Mwamba GOD BLESS YOU once again IN HISTORY PRESIDENT OF USA

  • @NkunzimanaAsma
    @NkunzimanaAsma Před měsícem +2

    Mbona naskia huzuni vile😭😭😭

  • @MwangaBora
    @MwangaBora Před měsícem +1

    Tunakuombe,Zab,23

  • @giztony2009
    @giztony2009 Před měsícem +2

    Sir Donald Trump to the world

  • @GodfreyChalo-id4mi
    @GodfreyChalo-id4mi Před měsícem +1

    mumgu kampendekeza trump kuja kumaliza uozo unaoendelezwa nawasenge wa magharib dhid yawapigania haki

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před měsícem

    Jamaaa Anashinda urais

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před měsícem +1

    Hata mimi nimepata huruma flqni kwq tramp ingekuwa mmarekani kura yangu ninempa tramp😢

  • @izack9191
    @izack9191 Před měsícem +1

    THE BEST DONALD J TRUMP

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem +2

    Trump Trump Trump.. ni kosa lenye heri.. huyu ni mtu anayepinga abortions, ni team pro-life. Tukio la kukoswa na risasi ni baraka kwake,ametetea maisha ya wachanga wengi kwa imani yake.

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 Před měsícem

    Leo kajuwa Uwepo wa Mungu waachevunyama Kwa wanadam wenzao

  • @MpaaneKatita
    @MpaaneKatita Před měsícem

    Pele sana

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Před měsícem +1

    Tayari president huyu

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 Před měsícem +2

    Chama cha mashoga ,wasagaji na watoaji mimba democratic hawatatoboa.Huyu jamaa akishika nchi viongozi wa Africa wanaotegemea misaada kuendeleza nchi wajiandae kusoma tena ujamaa na kujitegemea.

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 Před měsícem

    Sasa anaongea Kwa adabu na upole Hamna kujiamini Kumbe hatachata ndani ya Marekani chochote kibaya kinawrza litokea

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před měsícem

    Tukiyo la kupigwa Rissington limenigusa mno

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před měsícem +1

    Mashoga Wakina biden , obama wapoona hivi uku mgombea wao kilaza anaangaika na corona basi wanaumiya sana ndio uwongozi wameupoteza 😅😅😅

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue Před měsícem

    Hawa wanapenda kuwa watu sana kaonja moto wa lisasi safi sana

  • @dheGamingking1
    @dheGamingking1 Před měsícem

    Tupe kuhusu global crowdStrike

  • @NgabonzizaRobertAbraham-np6du

    Wapili leo

  • @mariammbwile8671
    @mariammbwile8671 Před měsícem +1

    Usiamini asilimia mia maana huyu ni mdau mkubwa wa mieleka , yanaweza kuwa maigio pia

  • @hatimmohamed4299
    @hatimmohamed4299 Před měsícem

    Watamuibia kura huyu

  • @manpower7006
    @manpower7006 Před měsícem

    @SNS
    Nyie hivi issue ya Crowdstrike iliyosababisha Bluescreen of Death kwa Windows user iliyotokea leo (19/07/2024) imeathiri na Tanzania (Banks, Airport, etc)

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 Před měsícem

      Ikoje hiyo mkuu fafanua mi sijaelewa.

    • @manpower7006
      @manpower7006 Před měsícem

      @africanmandetraveler2847 CrowdStrike ni kampuni inayojishughulisha na Cybersecurity kulinda mifumo mbalimbali ya kimtandao na cloud services.
      Leo hii (19/07/2024) walikuwa wameupdate moja ya service yao ambayo imekuwa na impact kwa watumiaji wa Microsoft windows (computer zenye windows Operating System). Wamekuwa wakipata Blue Screen of Death (BSOD) na kuathiri biashara/huduma zao.
      Ambapo imeweza kuaffect wateja wake katika maeneo kadhaa duniani, hususani katika banks, airports na maeneo kampuni zinazotumia hiyo software ya CrowdStrike. Maeneo yaliyoonekana kuwa affected ni kama India Delhi airport, Dubai, USA nk
      Ila wameshagundua tatizo na wala sio cyber attack so maengineer wamerollback Ile service iliyokuwa updated.
      Samahani itakuwa ni ngumu kuelewa bila ya picha na ikiwa hauna background ya IT/ICT/Computer Science.
      SNS wakilifuatilia hili wanaweza kuja na maelezo mazuri.

    • @manpower7006
      @manpower7006 Před měsícem

      @africanmandetraveler2847 CrowdStrike ni kampuni inayotoa huduma ya Cybersecurity kulinda mifumo ya cloud services kutokana na cyber attack.
      Leo katika ku-update moja ya services zao imeleta shida kwa watumiaji wa Microsoft Windows. Na kupelekea kukosekana kwa huduma mbalimbali katika makampuni yanayotumia hiyo software ya CrowdStrike.
      Dubai, Delhi India, USA, Australia wateja wa CrowdStrike wanaotumia windows wamekuwa affected cjui kama Tanzania (Airports, Banks, au kampuni za TZ )pia wanatumia hiyo Software kwenye kulinda mifumo yao ya cloud
      SNS wakilifuatilia hili wanaweza kuwa na maelezo mazuri Zaid.

    • @manpower7006
      @manpower7006 Před měsícem

      @@africanmandetraveler2847 CrowdStrike ni kampuni inayotoa huduma ya Cybersecurity kulinda mifumo ya cloud services kutokana na cyber attack.
      Leo katika ku-update moja ya services zao imeleta shida kwa watumiaji wa Microsoft Windows. Na kupelekea kukosekana kwa huduma mbalimbali katika makampuni yanayotumia hiyo software ya CrowdStrike.
      Dubai, Delhi India, USA, Australia wateja wa CrowdStrike wanaotumia windows wamekuwa affected cjui kama Tanzania (Airports, Banks, au kampuni za TZ )pia wanatumia hiyo Software kwenye kulinda mifumo yao ya cloud
      SNS wakilifuatilia hili wanaweza kuwa na maelezo mazuri Zaid.

    • @franklukazula
      @franklukazula Před měsícem

      Hiyo habari Burundi pia nimeyisikiya window ilikumbwa na virus

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před měsícem

    Linatiyq huzuni kwa hakika Pole tramp

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před měsícem

    Tupo na wewe trampu mpaka wakate masikio yote😂

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 Před měsícem

    Wote Majambazi si Trump si Biden wote madhetani Tu Kwa muafrika

  • @user-ys8mr1ex9y
    @user-ys8mr1ex9y Před měsícem +3

    Uyu jamaa kwanini amekuwa ki n'ga n'ganizi urais marekani ?atakuja kuleta matatizo makubwa duniani wamtazame Vizuri

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding Před měsícem

      Unaonekan unatombwa akil trump hatak ushoga vip anakuharibia Dili au pia hatak vita na pia hatak unyonyaj anawatetea weng km lraq lyibya na anatak kuimaliz vita inayoendelea kwasas kashasem ukwel madhamb mengi yanayofanyw na marekan ningekuambia mengi ujifunze ila huwez kuelew ma'an unaonekan hauli bila kufirwa kisimi Cha bibi ako

    • @Huruma-ze5xk
      @Huruma-ze5xk Před měsícem

      😢😢😢😢😢😢😢😢​@@TeophilBuilding

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 Před měsícem

      😅😅😅😅😅​@@TeophilBuilding

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 Před měsícem

      ​@@TeophilBuildingumemuelewesha vizuri ila mwisho sasa 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před měsícem

      ​@@TeophilBuilding😂😂😂😂🙌🙌

  • @alianzarodger538
    @alianzarodger538 Před měsícem

    Alipanga mwenyewe mauwaji

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před měsícem +1

    Nakupenda sana mzee Trump nina imani ipo siku ☝utakuja africa nitagala gala kwa chini ya miguu yako 😭😭kama ishara yakuuona wewe ni mtu muhimu

    • @MwalimuTina
      @MwalimuTina Před měsícem +1

      Huyu mzee anaita Afrika "shit hole" maanake shimo la kinyesi anakuita wewe. 😢

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před měsícem

      @@MwalimuTina unamaana yakwamba anachuki kubwa sana dhidi ya watu wa Africa?😢
      Aisee nilikua sjui kuhusu hilo

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před měsícem

      ​@MwalimuTina umeona eeeh huyu ndo wale wale hata hao walioko marekani wajipange..tamanio lake moja kustopisha baadhi ya nchi za kiafrika kuingia marekani..ikiwemo tanzania. Watu wanapiga makofi ila huyu hawapendi watu weusi.

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před měsícem

      @@shamsahaji6202 bhana wee, niwale wazungu wenye roho mbaya eeeh wajali maslah yao hawana mpango na watu weus, kwakwel Asante sana

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem

      ​@@shamsahaji6202huyo ndio safi mnafanya nini uko marekani ushoga tu huko