JOE BIDEN Hamuwezi TRUMP?/KAMALA HARRIS Ndiye KIBOKO ya TRUMP kwenye KAMPENI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Kumekuwa na maswali mengi sana kwa watu kuelekea uchaguzi mkuu nchini Marekani ambapo baadhi ya watu wanaamini kuwa Donald Trump atapata urahisi wa kushinda kiti cha Urais endapo atapambana na Joe Biden huku wengine wakipendeza kuwa Joe Biden anapaswa kumuachia Kijiti Makamo wa Rais Kamala Harris ili afanikishe kuzifuta ndoto za Trump kurudi kuitumikia Ikulu ya Marekani
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Komentáře • 4

  • @iam_deo
    @iam_deo Před 2 měsíci +2

    Huyo mama hawezi kabisa kumshinda Trump. Joe Biden afya yake ndio imezorota, Kwa hiyo hawezi na atashindwa kwa sababu ya Afya yake.

    • @RickMediatanzania
      @RickMediatanzania  Před 2 měsíci

      Kwahiyo hii inaitwa iwe jua iwe mvua TRUMP ataingia IKULU😂😂?

    • @iam_deo
      @iam_deo Před 2 měsíci

      @@RickMediatanzania No wakimbadilisha Biden wakaweka mtu mwingine huyo mtu ataweza kumshinda Trump maana democrats wote wataelekeza nguvu Huko na Unajua idadi ya wapiga kura wa Democrat ni wengi kuliko Republicans. Wanatakiwa wawatoe wote Biden na mama . Democrats watashinda la
      Sivyo Trump anarudi

    • @RickMediatanzania
      @RickMediatanzania  Před 2 měsíci

      Shukrani sana kwa maoni yako. Familia